Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

11---12 NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSS❣️

2nd Aug, 2025 Views 74



EP 11.

Nilikumbuka kile kipigo cha yule toyo, hofu ikaanza kuingia, ila nikakumbuka tumeshaachana, baby akamuuliza, kulikoni chumba hiki ama umekosea?

Akajibu sijakosea wala hamjakosea,alinisogelea akanikata jicho, akamshika na baby, akamlima mtama mmoja hatali, nikamfata kumkingia kifua, wee nilipewa hilo kofi, mpaka nikatoa damu,shavu likavimba,alituzimisha tumekuja kushtuka mimi siko kwenye sofa, baby wangu yuko kwenye kiti kafungwa mikamba...

Niliinuka nikaanza kulia, D alikuwa pembeni tu ananoa visu, niliogopa nikaanza kuomba msaamaaa, D jamani lakini si tumeachanaa baba, hee naulikubali kabisa...

Darian ; tena manka, ungekuwa naa akili ungefunga huo mdomo ikaaakusaidia kutokukuongeza kipigo, sikutegeme kama wewe ni mjinga kiasi hiki, yani unaenda kunichanganya na mtu wa ajabu hivi mimi? Kuachana umeachana na nani? Nilikupa muda sio talaka...

Ata aibu huna sasa umeanza kutembea na waume za watu, " mimi sinawai kitembea na mme wangu D, ata kama nina uchupa, siwezi mpa mme mtu...

Darian alicheka, kicheko cha hasila kali, huyu bwana ako ni mme wa chatu ama? D emu achaa kufananisha watu, huyu hajaoa...

D akamsogelea baby wangu, wee nikaona asinitanie acha nitete kidume changu, nikasogea nakumkinga, D nakuheshimu sana, ila naona hutaki kuheshimika, kama unataka kumpiga anza namimi niue kwanza, nikiwa nataka kuendelea nilipigwa, sijakaa sawa nikalimwa mtama...

Nilipigika mpaka nikawa siwezi hata kutembea,wala kuongea vizuli,alivyoona hivyo akasogea kwa baby wangu, mimi hapo ni machozi tu, D akaanza kumuhoji, wewe si ni mme wa mtu, tena ndoa ya kanisa haya kulikoni kudanganya watoto wa wenzio , ilihali hata wewe unamtoto wa kike...

Nikasikia tu baby anajibu bro nisamee, sikujua kama ni dem wako, mimi nilikuwa na kisasi nae, alinikataa vibaya mno mbele za watu, tukiwa chuo, nilitaka tu kumkomoa,nyie nyie nilichoka nilitamani kuinuka nikasikilize vizuli, alipigika kipigo cha mbwa mwizi...

Nilijuta nakujiona mjinga mno, wakati anapigwa, akaingia mwanamke hivi, alivyomuona anaepigwa akaanza kulia nakuita mme wangu, unamadhara unayoleta, umeniambukiza ukimwi, bado hujatosheka, kwa ajilu ya huo huo umalaya, unawasmbukiza watoto wa watu, nyie niliishiwa hata nguvu za kujisogeza, vipi kama ningetembea nae, inamaana D kaniokoa, leo ningeenda kuhalibu maisha yangu...

Nilijikuta nalia tu na kumshukuru Mungu na D, nikiapa sitaki tena mazoea na viumbe vyenye mikua mbele mimi,nililia mpaka nikazimia sikujua hatma ya uyo mbwa ilikuwaje, na hata sitaki kujua...

Nilikuwa natibiwa na koku ndo aliekuwa ananiuguza,nilitibiwa nikapona siku natoka hosptal, nafika kwangu tunakuta mtu ndani, nilichoka nikahisi tu ni D na kweli, alikua kapika, akaondoka ata hakuaga, koku aliniuliza..

Koku; Manka nini kinaendelea kati yenu mnaugomvi? na ninani aliekupiga mpaka kuwa hivi?

Koku mimi na kaka ako tumeshaachana, kuhusu haya majanga naomba unipe muda, nikiwa tayali nitakwambia, koku sio mbishi alinielewa, hakuniuliza tena, zilipita siku mbili nijaanza kwenda dukani na koku akaludi kwake...

Jioni naludi kwangu nakutana tena na D, jamani uyu kiumbe, kwanza namuogopa, nikimuona tu nashtuka,akinisogelea lazima nipige kelele ya uoga...
Kupata fulk bonyeza hii link hapo juu ukasome yote mpaka mwisho...

Itaendelea...💥

NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSS

EP 12.

Alivyonisogelea tu kumbukumbu za makofi zikajiludia kichwani, nijajikuta najikinga na mikoni huku napiga kelele, akaamua kuludi nyuma,alivyoludi nyuma nikakimbilia chumbani, nilivyotaka kufunga mlango, tayali D alikuwa kashaingia, niliamua kuongea uku natetemeka...

D mimi na wewe si tumeshaachana jamani kea nini unanianda... Kabla hata sijamaliza kuongea nikazimishwa, nakuja kushtuka niko kwenye ule mjengo, nilijikuta nalia tu, D alikuwa zake bize na laptop yake, kwa nini unanifanyia hivi, mimi na wewe si tumeshaachana jamani😭...

Darian; manka hatuachani mama, yani kutongoza kulivyo kugumu, na sio tu kutongoza mimi sio mwanaume wa kila mwanamke, mimi ni mwanaume wako tu, hakuna mtu naweza hisi kama ninavyojihisi nikiwa na wewe, hivyo kuhusu kuachana hio futa akilini mwako...

Na yunakoelekea, utakuja kunisababishia kesi ya mauaji, kaa mbali na wanaume naludia tena kaa mbali nao, unashida yoyote ibayohitaji msaada wa mwanaume nipo, piga simu hata kama ni saa 8 usik, muda wowote kwako, kunipigia mimi piga nitakuha mwenyewe kufanya....

Usinitafutie kesi ya kwenda gerezani, aliongea nakutoka nikahisi anakuja kwangu nikapiga kelele, ndo nikafanya akaludi, alifika karibu yangu,akanikumbatia, hivyo hivyo nikuwa natetemeka, hakuniachia mpaka nilivyotulia...

Akatoka na kuniachia maagizo nile, akiludi asikute chakula, nilivyokuwa namuogopa nilikula,nikaoga nikaludi kulala, D aliludi akakuta nimejikunyata kwenye shuka,akaniamsha tutoke, "manka amka tutoke kidogo unyooshe miguu...

Sitoki wewe toka tu, D alivyoona nazingua aliingia kupika, akatenga cha usiku tukala, akapanda na yeye kulala, sikuwa huru hata kidogo, na hilo halikuwa tatizo kwa D, alilazimisha kunikumbatia hivyo hivyo Kibishi...

Kulivyokucha aliniambia naweza kwenda kazini kwangu, na nikiwa tayali nihakikishe nampigia anifate muda wa kuludi nyumbani, na kuhusu chakula,nisile popote ataleta, nilimuitikia tu, alinileta mpaka dukani,akasepa...

Mida ya saa sita koku akaja na chakula dukani, hakushuka hata kwenye toyo, akanipatia nakusepa, sikuvunga nilikipiga nikiwa katikati ya msosi, D akafika asiee alinitizama jicho baya, halaka akanibeba nakuniweka kwenye gari nikaanza kumwambia unanipeleka wapi dukani nitaibiwa, hata hakujali jamani...

Nikiwa kwenye gari, nikaanza kusikia maumivu makali ya tumbo, mala damu zikaanza kunitoka, muda muo tukawa tumefika kwa doctor binafsi wa D, waliniwahisha matibabu,lakini kumbe nilikuwa na ujauzito na D hakuniambia, alilijua hili yeye na koku tu, mimba yangu ikawa imetoka...
Kupata full bonyeza link hii hapa juu ukasome yote...

Itaendelea...💥

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

11---12 NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSS❣️  >>> https://gonga94.com/semajambo/11-12-nimemuonjesha-asali-mafia-boss
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest