Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.  Sehemu ya 13.
Gonga94 ยท Stories

ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sehemu ya 13.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Sehemu ya 13.

"we Allen wewe, naomba uamke unafanya nini kitandani kwangu wewe"

"Mmmh jamani nini lakini anipha, mbona wewe ni mgomvi hivyo"

"oooh me Ndio mgomvi si Ndio, aya toka sasa hivi nje ya chumba Changu tena haraka sana"

"sasa Mi nikalale na nani jamani, jana umeniacha nikalala mwenyewe na leo pia unanifukiza kweli jamani"

"nini wewe, unamaanisha jana ulilala chumbani kwangu???"

"Ndio jana nimelala humu, nimekisubiri mpka usingizi ukanipitia bila ya kukuona kweli anipha"

"sitaki kisikia hizo ngojera zako sawa, toka chumbani kwangu mpuuzi wewe yani umelala uko na huyu mwanamke wako alafu unakuja hapa kuniambia sijui nyoko nyoko, toka bwana wee allh"

"Anipha,najua nilikukosea sana lakini nisamehe mama angu eeh, Tanasha sio mpenzi wangu ni rafiki yangu tu nielewe basi jamani"

"๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Ngoja nicheke kama mazuri, yani mnaitana sijui babe sjui mme Mara mke alafu sasa hivi unaniambia eti ni rafiki yako tu, unaniona mimi mjinga sana si ndio Allen aya toka"

"kweli kabisa anipha, kama huamini twende hata sasa hivi sebleni nikamuite Tanasha kweli tena na hata kuja hapa nilijua kuwa uko hapa na ndio maan nimekuja kwa ajili yako nielewe basi mama eeeh"

"eeeh we kima wewe, embu toka chumbani kwangu hizo story zako kamsimulie Tanasha sawa"

"we nitukane tu vyovyote hata ukitaka kunipiga ni sawa tu ila mimi humu sitoki kabisa yani mpka tuelewane"

"oooh sawa, basi mimi nalala na sitaki usumbufu kabisa na usiniguse kabisa"

Nilirudi kulala, nikajifunika shuka hadi kichwani nikamuacha Allen anaongea mwenyewe mimi nikajifanya kama simsikii kabisa mpaka kunakucha

Asubuhi, kulivyokucha sikumkuta Allen kitandani kwangu nikahisi labda nilikuwa naota mbona Allen hayupo jamani, nikaamka na kwenda bafuni kuoga kisha nikaelekea jikoni kuandaa chai sasa.

"Anipha, njoo tu huku mezani chai ipo tayari mamy"

"afadhali Ndio maan nakupendaga shoga yangu aya ngoja nije"

"Sasa leo shoga yangu hakuna kwenda dukani mpka tumalize mazungumzo kwanza"

"Mmmh kuna nini tena jamani mbona mnanitisha mimi!!!"

"hamna hata kitu tunywe kwanza chai alafu Ndio tutaongea vizuri sasa"

Mimi hapo moyo uko juu juu nikihisi labda ni kwa sababu Allen alilala chumbani kwangu, huenda Mainda alimuona akitoka au Tanasha, jamani me si ndio nitafukuzwa kazi jamani nilimuangalia Allen kwa hasira sana ๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜กlakini yeye wala hata hajali chochote, basi Baada ya chai nikatoa vyombo nikapeleka jikoni hapo nawaza sjui hata Mainda anataka kuongea nini ๐Ÿ˜”

Baada ya kuweka vyombo jikoni nikarudi sebleni sasa kumsikiliza Mainda.

"Sasa anipha, mimi nimewaita hapa wote nyie Lengo ni wewe kuyamaliza na mwenzio sioni haja ya ninyi kugombana kwa sababu ya mtu mwingine au wewe Allen unasemaje???"

"Ni kweli kabisa sissy Mainda"

"Jamani ngojeni kwanza, mbona mimi sielewi chochote hapa"

"Anipha, iko hivi Allen amekuja hapa lengo lake ni wewe uweze kumsamehe kwa sababu ameshajua makosa yake na Ndio maan yuko hapa"

"Mimi bado siwaelewi kabisa, Allen ni mume mtarajiwa wa Tanasha alafu mmnasema eti anataka mimi nimsamehe kivipi yani"

" Anipha mimi na Tanasha ni marafiki tu hamna kitu kati yetu, na nimekuja kugundua kuwa huna kosa lolote Baada ya kuambiwa na Briana mdogo wangu"

"oooh kumbe, sasa kwa nini hukunitafuta sasa eeeh"

"nimekutafuta sana Anipha bila ya mafanikio yoyote na hata namba ya simu umebadilisha"

"kwa hiyo hapa umenipataje sasa"

"Ni Baada ya sissy Mainda kuniambia kuwa anaishi na mdada anaitwa Anipha, ndio nikamuuliza yukoje Ndio akaanza kunielezea kuhusu wewe hapo"

"aaah kumbe we Mainda ndio umenichoma kwa huyu mbuzi ๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก"

"ukweli mimi ndio nilimwambia na Baada ya wewe kunisimulia kuhusu kuachana kwenu, nikajua kuwa ni Allen mdogo wangu maana hizo Ndio tabia za mama yetu"

"Ndio Anipha, wanayoongea Mainda na Allen ni kweli kabisa, mimi na Allen ni marafiki wa muda mrefu sana na nimekuja nae ili kuhakikisha kuwa mnarudiana basi"

"Ndio, Anipha hata mimi mama alimkataa mpenzi wangu kwa sababu ni maskini na Ndio sababu ya mimi kuondoka nyumbani na kuhamia huku Arusha, msikilize basi mwenzio"

"sissy Mainda Sisi tuondoke hapa tuwaache wenyewe waonge si eti"

Mainda na Tanasha waliondoka sebleni na kuniacha mimi na allen sebleni ili toungee sasa muda huo mimi nimenuna hatari nataka kubembelezwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Itaendelea.......

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sehemu ya 13.

ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Sehemu ya 13.

"we Allen wewe, naomba uamke unafanya nini kitandani kwangu wewe"

"Mmmh jamani nini lakini anipha, mbona wewe ni mgomvi hivyo"

"oooh me Ndio mgomvi si Ndio, aya toka sasa hivi nje ya chumba Changu tena haraka sana"

"sasa Mi nikalale na nani jamani, jana umeniacha nikalala mwenyewe na leo pia unanifukiza kweli jamani"

"nini wewe, unamaanisha jana ulilala chumbani kwangu???"

"Ndio jana nimelala humu, nimekisubiri mpka usingizi ukanipitia bila ya kukuona kweli anipha"

"sitaki kisikia hizo ngojera zako sawa, toka chumbani kwangu mpuuzi wewe yani umelala uko na huyu mwanamke wako alafu unakuja hapa kuniambia sijui nyoko...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/anipha-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi anipha-sehemu-ya
ANIPHA ???????? Sehemu ya 5.
ANIPHA ???????? Sehemu ya 5.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚  Sehemu ya 10.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Sehemu ya 10.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.  Sehemu ya 8.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sehemu ya 8.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.  Sehemu ya 12.
ANIPHA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sehemu ya 12.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

933
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

208
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

194
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

190
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

187
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

178
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

131
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

118
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

114
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.77K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.65K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.59K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest