Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

BABAMKWE..17..18

1st Aug, 2025 Views 95



Nilimpa kisha tulilala asubuhi kulikucha kama kawaida tulipo maliza kupata breakfast kilammoja wetu alienda kwenye majukumu yake

Sikuhiyo nilienda ofisini kama kawaida nikamuacha dada wa Natalia na Natalia

Nikawaambia natoka kidogo naenda mjini wanisubili kwa muda hadi nitakapo ludi

Nilienda mjini kufanya manunuzi mbali mbali ya zawadi za nyumbani kigoma

Kisha nilipomaliza nikaludi ofisini na kuwa chukuwa Natalia na dadaake kisha tukaludi nyumbani

Tukaingia ndani nikaanza kupanga vitu vyangu kwaajili ya safari dada nilimwambia amlishe mtoto kisha amlaze

Mida ya chakula ilipita hivyo tukiwa kitandani tumelala nilipokea ujumbe kutoka kwa kwa Mzee devi

Hivyo niliifungua Tony alikuwa kalala

Alikuwa akisema akilala Tony tafadhari naomba uje nimekumis sana hujui tuu nimekuwa naham na wewe mnoo

Nikamjibu usijali tulizo langu wewe ndio unae niwezea hakika umli sio kigezo

Hakika tangu nakua sijawahi kukutana na mtu anaejua kama wewe unaweza mno kipenzi

Ndio maana huwa nakaa nakuwaza wewetu natamani wewe ndio ungekuwa mume wangu

Ila hatahivyo hakijaalibika kitu

Bado nimumewangu na wewe ndio unanifanya hadi najihisi nimefanywa

Haya nipo njiani nakuja unile sana kipenz changu nifungulie mlango

Niliinuka nikaenda chumbani kwa Mzee devi nikaingia alikuwa ananisubili alinipokea na kuanza mahaba.

Akaninyanyua juu akiwa kaniegemeza ukutani

( Kitendo cha kikubwa kiliendelea..kuchambuliwa kwenye WhatsApp hapa sheria imenibana ila jua tendo limetendeka)

nilimbusu na kumwambia nitaondoka kesho asubuhi mapema hivyo naomba ujitizame uwe na afya njema

Nae aliniambia pia wewe kajitunze pia mtunze binti yetu kuwa makini nakupenda sana mpenzi

Nikamjibu nakupenda pia kisha niliondoka na kuludi chumbani kwetu

Nilimkuta mumewangu akiwa anageuka akaniuliza unatoka kumtizama mtoto

Nilimjibu ndio kipenzi kisha akanivuta haya njoo hapa niku kumbatie

Maana kesho unaondoka nitakosa wa kumkumbatia nilienda nikamkumbatia

Tukalala hadi alfajiri ilifika nikaamka na kujiandaa na kupakia mizigo yangu yote kwenye gari na dada na Natalia nao walikuwa tayari wamejiandaa kwa ajili ya safari

Watu wote walitoka kutuaga tukawaaga wote Mzee devi akanipa kadi ya pesa kwa chini chini akuna alieiona

Nikaitia kwenye pochi na kuiweka kwenye gari dereva akaingia nikawaambia baba na Tony msikose kupita kwenye ofis yangu

Wakaniambia usijali haya uwende salama nikaingia kwenye gari na kuanza safari

Tuliondoka na safari ilianza kwa muda kidogo hatimae tulifika moro

Mwendo ulichanganya tulifika kigoma tukiwa hoi tumechoka sana

Tulipaki gari nje ya nyumba yetu alitoka mama na kutazama ninani huyo

Ilikuwa usiku mnoo nikashuka ndio mama akaniona

Akanisogerea akamigundua akanikumbatia wow mwanagu kipenzi

Nikamkumbatia mama yangu kipenzi nikamwambia dada shuka na mtoto amuone bibi

Mama akamchukuwa mtoto Natalia jamani mjukuu wangu

Karibu sana kijijini kwenu kipenzi hapa

Endelea kufuatilia..........

BABAMKWE epsd 18.

Tulipokelewa na kuingia ndani tulishusha mizigo na kuingia ndani

Tukaingia kuoga na kisha chumbani kulala

Nililala chumbani kwangu mimi na dada wa Natalia pamoja na Natalia

Dereva alipewa chumba nae akalala

Nilipokuwa chumbani nilimpigia Tony kumtaarifu kuwa tumefika na baada ya hapo nilimpigia na mzee devi

Nilimwambia kuwa nimesha fika kipenzi ila nimekumis mnoo

Akanijibu kuwa pia mimi ikiwa haupo humu ndani naona kama kunakitu muhimu sana kimepotea

Nikamjibu pia mimi kipenzi nahisi nikompweke sana kwa upendo nilio nao kwako sijui umenipa nini mimi

Hakika natamani niwe karibu yako muda woote mpenzi

Haaya nikuache ulale kesho nitakupa uongee na mama sawa

Mzee devi aliitikia sawa kipenzi haya lala upumzike sawa

Nilimwitikia na kulala hatimae asubuhi ilifika nikaamka na kukutana na baba na mama woote na bam kubwa na dada na ndugu zangu wengine

Woote walifurahi sana kuniona na wakaenda kumchukua na bibi pia alikuja na kufurahi

Walikuwa wanashangaa na hilo gari wakawa wanauliza niyako

Niliwajibu ndio yangu nimekuja na dereva wetu

Huyoo na huyu ni dada wa Natalia hivyo kila kitu atamfanyia yeye msipate tabu

Hivyo dada alienda kuchemsha maji na kumuosha na kumuandalia chakula kisha alimlisha

Mimi nilikuwa na mama tunapiga story
Watuwoote walikuwa pale nyumbani kwa furaha

Waliandaa maandalizi kibao kama kunasherehe

Nilimwambia mama ninanyumba mama nzuri sana ipo kama kasri hivyo nimeifunga tuu nataka nikiondoka muhamie haraka

Mama akasema sasa mmh atakubali babaaako mwanangu

Nilimjibu kuwa nitamshawishi mkakae nitawafanyia kila kitu msihofu kwani nina hotel kubwa yakwangu na inafanya vizurituu

Mama akaniuliza sasa mumeo anajua

Nikamjibu kuwa hajui nawala sitaki ajue kuwa namjengo mkubwa kama huo

Mama kwani umemuibia?

Nikamjibu kuwa hapana mama hii ni inshu nyingine mamaangu

Nitakuambia ila naomba usije kumwambia mtu mwengine

Mama hiyo nyumba nimepewa na baba mkwe wangu ananipenda sana

Mama akauliza sasa kama kakupa yeye mumeo kwanini haijui

Nikamwambia hayo ni mambo binafsi mama

Nimekuambia kuwa Mzee devi ananipenda sana na nipo kwenye uhusiano naye hivyo nisiri

Kitambo sana tangu sina mimba hadi nimejifungua mtoto huyo niwake Mzee devi

Wala sio wa Tony hivyo naomba uwe nami bega kwa bega hakika nitakufanyia vitu vikubwa sana

Na nampenda hata sijui kwanini simpendi Tony hata kidogo nikiwa na mzee devi huwa na amani kuliko Tony

Mama aliguna na kuniambia mwanangu hii ni hatari mnoo sijui umekumbwa na nini mwanangu

Nilimjibu kuwa na amani tupo makini mnoo usiogome nataka familia nzima muhamie dar nitawahudumia

Na hata Hotel nimepewa na mzee devi ninapesa sana achenitu

Hivyo mama hakuwa na lakufanya akaitikia nitaongea na babayako tutaamia

Endelea kufuatilia............

KWETU morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BABAMKWE..17..18  >>> https://gonga94.com/semajambo/babamkwe-17-18
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest