Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1
Gonga94 ยท Stories

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

By Babie Love
Tsap 0742133100

Anzaaaa

โ€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?โ€ Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye Ndio mmiliki halali wa hotel hiyo

Msichana wa kisasa kabisa mwenye hadhi ya kitajirii haswaa alikuwa na kila kitu alichokitaka yeye alikuwa nacho

โ€œ Madam Camilla kuna faili unatakiwa kuweka saini yako kwaajili ya mzigo hapaa....โ€ aliingia mmoja wa wafanyakazi wakee kwenye hotel Hiyo

โ€œOkay wekaa hapa nitashughulikia hapo mara moja .....โ€ alijibu Camilla huku akichukua faili hizo akasain kisha akasema

โ€œ Afu nahitaji chumba kizur kwajili ya part kubwa kiasi kitengenezwee kwa maua hai sitaki bandia hakikisha hiloo Oky?!?โ€

โ€œ Sawa madam nitampa mtaalam wa urembo wa chumbani hakika atafanya vizur sana ..โ€ alijibu yule mfanyakaz

โ€œ Vizur unaweza kwenda ..โ€

โ€œ Sawaa madam..โ€

Yule mfanyakaz Alitoka moja kwa moja hadi kwa meneja wao na kumtaarifu kile madam alichokitaka

โ€œ Sawaa ukitoka muite Mariana Ndio anaweza kufanya hiyo kazii...โ€

โ€œ Sawaa meneja..โ€

Mariana ni mmoja wa wafanyakazi pale kwenye hotel ile yeye alikuwa kwenye sehemu ya upambaji ama dizaini mkubwa wa chumba punde tu baada ya usafi

Mdada huyu alikuwa mkarimu mno kwa kila mmoja wao wengi wa wafanyakazi walimpenda sana Mariana

โ€œ Mariana unaitwa na meneja tafadhal ..โ€
โ€œ Meneja tena!?!? Kuna nini?!?โ€
Ali uliza Mariana kwasababu alijua kuna shida sio rahisi mtu kuitwa na meneja hovyo hovyo

โ€œ Kuna kazi hii hapa hivyo meneja anakuita kwaajili ya maelezo kamili kwasababu ni chumba atakachotumia madam Camilla..โ€

โ€œ Ahaaha Sawaa ngoja niende...โ€

Mariana alitoka haraka ofisini kwake na kuelekea kwa meneja haraka

โ€œUmeniita meneja?!?!!โ€ Aliuliza punde alipofungua mlango
โ€œ Ndio nahitaji chumba kizur ufanye kwa ufanisi maana atatumia madam Camilla nadhan unamjua sitaki makosa yatokee ...โ€ alisema meneja na kumfanya Mariana atabasam na kusema

โ€œ Usijali meneja sitafanya makosa nakuahidii..โ€
โ€œVizur .....โ€

Baada ya kuchukua maelezo jinsi ya hicho chumba kiweje Mariana alitoka ofisini kwa meneja na kwenda Kufanya maandilizi ya chumba hicho
๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน

โ€œ Hello darling hujafika badoo?!!โ€ Ali onekana Camilla akiongea na simu kwa madaha yote akiwa bado ofisini kwakee

โ€œ Nina dk kadhaa za kushuka aridhini mpenzi najua umenimis sana ..โ€ iliskika sauti yakiume maridhawa kabisa iliyomfanya Camilla aachie tabasamu zito kabisa

โ€œ Hakika nimekumic mno na Niko na maandiliz safi kabisaa nakuja muda sio mrefu hapo uwanja wa ndege dear ...โ€

โ€œ Okay โค๏ธ Nakupenda sana ..โ€

โ€œ Nakupenda zaidi Brayton ..โ€

Camilla baada ya kukata simu alichukua pochi yakee kisha akatokaa nje ya ofisi yakee na kutoka nje ya hotel Hiyo na ku ingia moja ya gari ya kifaharii mno iliyokuwaa tayari na dereva ndani

โ€œ Twende uwanja wa ndege haraka ...โ€ alisema Camilla baada tu ya ku ingia kwenye gari hiyoo

Dereva bila kusitaa aliwasha gari na safari kuanzaa kuelekeaa uwanja wa ndege
๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน

Mariana tayari alikuwa bize kwa kuandaa chumba cha boss wakee kama alivyoambiwaa alitumiaa akili yakee yote kufanya kazi Hiyo hakutaka kufanya makosa kabisaa

โ€œ Weka rangi za kuvutia sitaki taa za angavu sana zinaumizaa macho hizo slzitakii okay weka kila kitu Sawa tuna dk 10 kila kitu kiwe tayari...โ€alisema Mariana huku akiwa bize sana na jambo hilo

๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน

Baada ya dakika kadhaa ndege ilitua kwenye nchii hiyo na kuteremsha abiria wakee na mmoja wao alikuwa ni Mwanaume mmoja anaeitwaa brayton

Camilla alifurah alipomuonaa mpenz Wakee baada ya miaka mitano kupita alikuwa masomoni kipindi hicho

โ€œ Waoooow dear...โ€ alisema brayton huku akimkumbatia Camilla kwa mahaba mazito mno hapo uwanja wa ndege

โ€œ Mmmh kipenz nilikumiss mno..โ€ alisema Camilla huku akiwa kwenye kifua cha Brayton

โ€œ Ndio nimefika sasa naona na wewe umekuwa mkubwa sasa..!?!โ€alitania kidogo Brayton na kumfanya Camilla acheke sana

Ndipo walipoingia ndani ya gari kwaajili ya kwenda hotelini

โ€œ Ooho ni muda sana Camilla Una fanya kazi gani?!?!โ€ Aliulizaa Brayton

โ€œ Aah niko na kaz ni nyingi otea ni kazi gani?!?!โ€

โ€œ Aaah labda n msimamiz wa kazi maana tangu shule ulikuwa kiongozi wetu...โ€

Wote walicheka huku wakikumbatianaa kwa raha mno huku gari ikingia hotelini hapo ila Brayton alionekana kushangaa kidogo na kuuliza

โ€œ Camilla Mbona tunakuja Huku nilifikiri labda utanipeleka home kwanzaa nimechoka nahitaji ku pumzika dear...!!?โ€

โ€œ Aaah kwani hapa hatuwezii kupumzikaa?!? Nimekumic unajua?!?โ€

โ€œ Nafahamu ila au basi twende tyu ..โ€

Camilla alifurahi baada kusikia hivyoo ndipo waliposhukaa na kupokelewaa vizur kabisa hakuamini hata Camilla mwenyew kama utakuwa vile

โ€œKaribunii...โ€alisema Mariana huku akiwapatia vinywaji baridiii kabisa
โ€œ Asante sana..โ€ aliitikia Brayton huku akichukua glass moja

Lakini cha ajabu na kilichowashangaza wote walikuwa palee macho ya Brayton hayakutoka kwa Mariana kabisa

Kitendo hicho kilimkera mno Camilla na kumgeuza shingo yakee huku akimuulizaa

โ€œ Unamjua huyu?!?โ€
โ€œ Hapana hapana dear kuna nini kwani?!?โ€

Camilla hakutakaa kumjibu zaidi alimshika mkono na kuelekeaa kwenye chumba alichokiagizaaa huko juu

Brayton baada ya ku ingia ndani alistuka baada ya kuona jinsi chumba kilivyo dizaini wa vizur kabisa ndipo akaulizaa

โ€œ Mtaalamu gani kafanya hivi?!?โ€

โ€œ Brayton usinichanganye kabisa ulichokifanya hapo nje sijasahau huwez fanya hivyo mbele ya wafanyakazi wangu huoni aibu wewe?!?โ€ Camilla akiwaka tayari

โ€œ Aaah mpenz wangu nisamee unajua yan sijui ilikuwaje ila nisamehe sana nakuomba nisamehee..โ€ Brayton alikiri makosa na kumfanya Camilla atulie sasa na kumkumbatia akisema

โ€œ Nakupenda usinichanganye tafadhal...โ€
โ€œ Nakupenda pia usijal..โ€
๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน

Huku nje gumzo lilizukaa hadi kumfanyaa Mariana ahisi hofu sana maana Camilla anaweza kumfukuza kazi kabisaa

โ€œ Yaan acha wanaume hawaa et katumbua macho kabisa kwa Mariana badala ya madam Camilla yaan ..โ€ alisema mmoja wa wafanyakazi hapo ndani na kufanya wote wacheke mno

Mariana alikuwa pemben aliwatazama tyu maana kwa upande wake alikosa Amani kabisa kwa kile kilichotokeaa ndipo simu yake ilipoitaa alipotazama alikuwa mdogo wake a napiga

โ€œ Hallo ..โ€
โ€œ Dada utaweza kuja maana leo nimetoka mapema tu ..โ€
โ€œ Aaah Isabel chukua tu taxโ€™s Nina kazi hapa tafadhal mdogo wangu nitakukuta nyumban..โ€

Isabel hakujibu alikata siku maana alichukia kutokuja dada yake kumchukua hakuja kumchukua Kama kawaida yakee

Mariana alichanyikiwa kwa kilichotokea pale maana ana weza kukosa ajira ile inayomfanya apate mahitaji yote yake na ndugu yakee
๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน

Wawili hao wakiwa kwenye chumba cha wapendanao wakipata raha zote za dunia ndipo simu ya Camilla iliianzaa kuita bila kuchelewa Camilla alipokea huku akimtazama Brayton usoni

Brayton anamfahamu vizury Camilla hivyo hakungoja kuambiwa ndipo akachukua begi lake na kutaka kuondoka ndipo Camilla akamzuia huku akisema

โ€œ Brayton unaenda wapi sasa?!?โ€
โ€œ Camilla nimekuja hapa kwasababu sitaki kuaharibu mood yangu leo afu wew umeshaaanza simu zako nakujua vizur utaondoka uniache hapaa na sihitaji hilo....โ€ Brayton aliongea kwa upole sana

Camilla alimtazama kisha akasema

โ€œ Ni kweli kipenz hii simu ni muhimu pengine kuliko wewe na lazima niondoke Ndio ..โ€

Brayton alimshangaa sana ndipo akamuuliza kwa mshangao sana

โ€œ Unasema mimi sio muhimu kama Hiyo simu?!?! Camilla sihitaji ugomvi ila naona unataka kunikwaza kwanini?!?โ€

Camilla wala hakujibu alichukua pochi yake na kumkiss shavuni kisha akaondoka zakee

Brayton alishikwa na hasira mno maana penzi lakee linamtesa kweli kweli ukizingatia anampenda mno Camilla

Ndipo alipoagiza chupa mbili za kinywaji kikali kwaajili ya ulevi kidogo ..............

Itaendeleaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1


By Babie Love
Tsap 0742133100

Anzaaaa

โ€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?โ€ Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye Ndio mmiliki halali wa hotel hiyo

Msichana wa kisasa kabisa mwenye hadhi ya kitajirii haswaa alikuwa na kila kitu alichokitaka yeye alikuwa nacho

โ€œ Madam Camilla kuna faili unatakiwa kuweka saini yako kwaajili ya mzigo hapaa....โ€ aliingia mmoja wa wafanyakazi wakee kwenye hotel Hiyo

โ€œOkay wekaa hapa nitashughulikia hapo mara moja .....โ€ alijibu Camilla huku akichukua faili hizo akasain kisha akasema

โ€œ Afu nahitaji chumba kizur kwajili ya part...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/black-butterfly-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi black-butterfly
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

1.14K
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

600
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113

502
MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*

477
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

197
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

175
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4

110
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

108
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7

85
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

77

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.32K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: โญโญโญโญ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story ๐Ÿซถ Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: โญโญโญโญ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story ๐Ÿซถ
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa โ€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?โ€ Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair โ€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair โ€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic โ€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYOโ€ฆโ€ฆ โ€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza โ€œHuyu ni nani tena?โ€ Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. โ€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wakeโ€ nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. โ€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest