waliokuwa nao.
"Clara!"
"Abee mama!"
"Hakikisha mpango wako unaenda vizuri ili Nelson atoke kwenye hii nyumba tumeleewana?"
"Ndio mama!"
Mama Clara baada ya kuongea alinyenyuka na kuondoka na Jesca alimsogelea Angelica na kumwongelesha kwa sauti ya chini.
"Umeona mwi..chi wa Nelson ulivyo mkubwa?"
"Nimeona ila twende chumbani!"
"Mnanong'oneza nini nyinyi?"
Clara aliwauliza ila Angelica alinyenyuka na kumshika mkono Jesca na kuelekea naye chu..mbani na sebleni akabaki Clara peke yake.
Huku chumbani Nelson alikuwa akijilaumu tu kwanini alishindwa kuibana maxxxhine yake kwenye mkanda mpaka wakaiona ilivyokuwa imejichora ila bahati mbaya tukio lilikuwa tayari limeshatokea hivyo hakuwa na uwezo wa kulirudisha nyuma.
Alivua nguo zake zote na kuitazama du**du yake, maxxhine ilikuwa kubwa kweli kweli ila tatizo bado alikuwa na go..vi mpaka mda huo, Alikuwa bado hajata..hiriwa kama ilivyo kwa vijana wengine na hiyo ilitokana na maisha magumu aliyoyapitia toka akiwa mtoto kiasi cha kumfanya ashindwe kutenga mda wa kwenda kutahiriwa.
Wazo lilikuja kichwani mwake la kutamani kumwambia Mr Alex ili aweze kumsaidia na kumtatulia tatizo lake.
Angelica na Jesca walivyofikishana chumbani Angelica alimtaka Jesca amsugu..e kama anavyomfanyaga.
"Angelica takufanyia usiku!"
"Sitaki m..me wangu nataka sasa ivi!"
"Alafu acha mambo ya kuniita m..me wako unaona ulivyotaka kuleta balaa huko sebleni!"
Angelica aliona kama Jesca anataka kumchelewesha tu, alisogeza mdo..mo wake na kuanza kumla de..nda mpaka Jesca mwenyewe aliyekuwa hana hi..sia akajikuta akishikwa na hi..sia na kuanza kumpa ushirikiano.
Upande wa Clara alikuwa bado kakaa sebleni mwenyewe akifikiria mbinu atakayoitumia kumtimua Nelson nyumbani kwao, pale pale alipata wazo na kunyenyuka haraka kwenda kwenye chumba wanacholala Angelica na Jesca na alivyofika alisukuma mlango na kubaki kwenye mshangaa kwa kile alichokiona kwa wadogo zake.
Angelica na Jesca waliachiana haraka baada ya kufumwa wakisa..gana.
"Angelica, Jesca? mnafanya uchafu gani huu?"
Clara alifoka kwa sauti iliyopenya kwenye masikio yao licha ya sauti ya mvua kusikika. Wote macho yalikuwa chini na walishindwa namna ya kumjibu na dada mtu aliamua kuwasogelea karibu zaidi.
"Nawauliza mmeanza lini kusa...gana?"
"Clara sikia nikwambie!"
"Tena wewe ndiyo usinishike kabisa Angelica!, wewe sindio mkubwa unashindwaje kumkataza mdogo wako msifanye tabia chafu"
"Tusamehe hatutarudia tena!"
Jesca naye aliongea na Clara aliwapa onyo na kuwakataza wasije kurudia tena kusa....gana.
Hamu ya kuwashirikisha mpango wake ilikata na kuamua kwenda kwenye chumba chake.
"Kumbe hukufunga mlango?"
"Nilisahau!"
"Ona sasa leo mpaka tumefumwa mimi ndiyo maana nilikuwa sitaki Angelica kufa**nya!"
"Uzuri Clara ni mwelewa hawezi kumwambia Mama wala Baba, sogea basi tuende..lee!"
"Weee mimi sitaki kabisa!"
Jesca aliamua kutoka kabisa chumbani ili tu kumchenga mwenzake aliyekuwa na nye**ge mda huo za kusuguliwa kiharage chake na kukutana na Nelson aliyekuwa kwenye pilika za kutafta chakula baada ya kukuta vitunzia vyakula tupu mezani.
"Unatafta nini?"
"Chakula hamkunibakizia?"
"Wewe ni nani mpaka ubakiziwe chakula kwenye hii nyumba?"
"Dah!"
Alinyoosha mikono yake na kujishika kichwani na tisheti yake ilinyenyuka kwa juu na kuacha uwazi upande wa chini. Kwa mara nyingine tena Jesca aliona maxxxhine ya Nelson ilivyokuwa imejichora ndani ya suru....ali na kuongea.
"Labda uende ukaangalia jikoni unaweza kupata chakula!"
Nelson alitoka mbio mpaka jikoni na Jesca alishika kifua chake na kuzungumza.
"Ila hili likiba**ka linabonge ya du**du sijawahi kuona jamani mweeeee!"
Alikaa zake kwenye kochi na haukupita mda Nelson alirudi akiwa na sahani ya chakula na kukaa pembeni yake.
"Kwani lazima ulie hapa wewe vipi?"
"Samahani!"
"Sio useme samahani nyenyuka ukalie pale aaaaaah mijitu mingine bhana!"
Kisitarabu Nelson alinyenyuka na kwenda kukaa kwenye meza ya chakula na kuendelea kula huku kichwani akiwa na maswali kede.
Anapata kila kitu sawa ndani ya mjengo wa Mr Alex lakini haishi kwa furaha tofauti na alivyokuwa mitaani na kilichokuwa kikimsikitisha zaidi ukimtoa Mr Alex wengine wote walikuwa wanamchukia ndani ya nyumba hiyo.
Nelson alijihapiza kama mambo yataendelea hivyo hatadumu ndani ya nyumba hiyo na ataondoka mwenyewe pasipo kufukuzwa.
Mvua ilikuwa tayari imeshakata, masaa yalisogea huku kila mtu akiendelea na mishe zake ndani ya nyumba ya Mr Alex na hatimae usiku ulifika wakala na baada ya kumaliza kula karibu kila mtu akaenda kwenye chumba chake.
Kumbe ulikuwa ni mda wa Clara kuhakikisha anakamilisha jambo lake la kumharibia Nelson ili aweze kufukuzwa na Baba yao ndani ya nyumba yao.........ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, Namba ya malipo ππ»ππ»
LIPA NAMBA 67027625 - VODACOM JINA JOHN ELIAS..
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments