Basi nikabaki nimeduwaa mimi kama nimepigwa na shotinsiamini kama mashoga zangu wote wamekimbia na viatu vyao wameniachia😭😭
Mara wakati nashangaa nikamuona captain jacob anashuka kwenye gari akiwa kavalia magwanda yake yaleee kapiga na miwani meusii,na alivyo mrefuuu nyie,🥰🥰🥰nikajikutaa navutiwa nae moyo ukadunda paaaah paaaaah🙈🙈jamni nilimwona mbaya ila leo hata sijui kwanini amenivutia gafla tu mwenzenu nimempendaa buree🙈🙈🙈
Nikajikuta hadi hofu yote inakata nikalegea kama mrenda usio na magadi🤣🤣🤣
Taratibu captain jecob akaja hadi pale nilipoo akanikunbatia huku akinishushia dera langu kwa nyumaa huku akinibinyabinya makalio🙈🙈
Hutulii mremboo!!!Haya makalio ni mali yangu mimi kwanini unayaonesha kwa watu???
Nyie🥰🥰🥰hata sikusikia swali harufu ya caotain jacob kwakweli ilinivutia nilijikuta navutiwa nae kwa muda mfupi ,sijui amenipa nini??mbona jana na juzi sikuwa hivi??
Captain jacob akanishika mkono akaingia na mimi hadi kwenye gariii,hakuongea kitu tena na mie nikabaki naduwaa tu kama mwehu vileee
Safari ikaendeleaa huku mimi macho yote yakiwa kwa captain huyo na kwa mara ya kwanza nilimuona mhandisamu hatari🙈🙈🙈🥰🥰🥰
Wakati naduwaa nakuja kushtukia gari lipo ndani ya bombaa jumbaa sijui hata lipo wapi jamani ila ndo tushaingiaaa sina namnaa
Shuka nifuate ,captain jacob akaniongelesha
Khaaaa huyu mjeda jamani mbona anakuwa mkali gaflaa???😒😒😒😒si alikuwa kaniongelesha kimahaba kule kwenye sherehe mbona leo hivi tenaaa
Hapohapo akili ikanijia kwanza huyu mwehu kaharibu kibeseni cha watu hapa kesi yote itakuwa kwanguui ngoja nimpandishie mashetani
yanyu ya kipare leo
Basi nikamfata hadi ndaniiii kiukweli nyunba ilikuwa nzuri sanaa kuliko kawiadaaa ila sikuona hajanya kuisifia
Hivi we mjeda sjui mjedo !!!! Ndo nini unakuja kuniaibisha kwenye sherehe ya shoga angu?? Ona sasa watu wote amekimbia hivi watanionaje mimi????
Caotain jacob akaniangaliaa?? Akachekaaa🤣🤣🤣bila kunambia kitu
Nikaona huyu mwehu anadharau sana enheee??? Ngoja ntamuoneshaa
Kuhusu sherehe usijali kabisaa ila jua tu leo utalala hapa hivyo kama unawaza kurudi kule sahau kabisaa, mjeda akaongea hayo kisha akaelekea chumbani
Hivi hichi kinyago cha mpapule kinanitakia nini mimi jamani??? Ananiona ananguvu kwenye maisha yanguu si ndioo??? Sasa ntamfurahishaa leo
Nikakusanya hasira mie nikaanza kutafuta jiko lilipo ,hadi nikalipata , nikafungua friji mie nikatoa kuku mzima , sio mshamba wa gesi hivyo nikawasha gesi nikapika kuku na chipsi juuuu
Nilipomalizaaa nikakaazangu sebleni nikaanza kulaa na nilivojiona nimemkomesha sasa nikazoa kuku na chipsi zoteee nikawa nakula
Baada ya muda nikamuona mjeda anatoka chumbani kwake
Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.