πππDRAMA OF LOVEππ.
part 35
Siku ingine ukienda kuiba, hakikisha unaenda pekee yakoπ. Otherwise kuna witness π. I don't know what it means π, lkn kwa uwezo wangu nadhan ina maanisha usiwahi trust mtuππ. Yes usiwahi amini yeyote mtuπ. Who knew Brianna was just fooling me,, nani alijuwa apewe zawadi sahiπ, after all those sad texts she sent me,,
Nilibaki kama nmeduwaa,, kwa mara ya kwanza akili yangu ilisimama,, haijawahi in my entire lifeπ. Should I go to Njeri's room?? π€. Oh no, koz I had already told her that I wasn't going thereππ. Heri uibiwe kuliko ufanyiwe kama nilivyofanyiwa na Brianna akiπͺ. My π wasn't happy at all π. Nikiwa najiliwaza nikijitia moyo kwamba siku moja nami ndamfanyia vivyo hivyoπͺ,, si walisema what goes around always comes round πͺ. Kidogo nilianza kusikia sauti ya watu wawili kwa mlango wanguπ±.
"So you guys have f*cked π‘, eeh hii ni madharau gani mnanifanyia?? " Sauti ilikuwa kama ya Njeri π±. Nilitoka kwa bed mbio hadi kwa mlango, feelings zilikuwa zimeisha hataπͺ.
"Brianna it's you am talking to,, hivi ndo mmekuwa mkifanya? " Njeri asked..
Nilifungua mlango kuwakanya,,, kumbe Njeri hakuamin nilipomwambia asikuje kwa room yangu, kwa hiyo she was timing Brianna,, yani alikuwa akitoka kuangalia kama Brianna bado yupo sitting roomππ. "Sky, umeamua mateso nmepitia nikiwa kwetu hayatoshi,, sasa ni kulala naye mm nikiwa hapoπππ,, what have I done to you to deserve thisππ,? Tell me please" Njeri alitokwa na machozi ambayo yalifanya niumwe sana,, kwanza nikifikiria nilichofanyiwa na Brianna πͺπͺπ.
ME: Mama Maya β£οΈ,, don't cry again please,, I'll explain everything to you π. Actually it's not what you think dearππ.
NJERI: (alicheka machozi yakatiririka,,) Sky, ni nini cha kuexplain hapa surely,,si ametoka kwa room yako akiwa na bra pekeeππ. What do you want to explain ππ. Am going home nowππ. Heri nitesekee kwetu basiππ.
ME: Njeri nimesema sio venye umefikiria ak,,, Brianna na wewe si umwambieπͺπͺ.
NJERI: Noohπ
π
. There's nothing to explain here,, kama nimempata akivaa panty sahi,, bra ndo hii bado ako nayo,, Beb and you still have audacity to say "nothing has happened" π.. bado unataka kukanaππ??.
ME: Hey Brianna, why are you so silent Please,, si umshow hakuna kitu tumefanyaππ. Sasa sahi ni sita usiku anaenda aje homeπ±π..
BRIANNA: SKY mm mtu asiniingize kwa mambo yenu pleaseπͺπͺ. Nmechoka nataka kulalaπ±π±.
ME: Umechoka??? Umefanya nini ndo uchoke?
NJERI: Yameisha Sky, it's like mm kukuja hapa ninawaharibia mengiππ. Fungua mlango niendeπ. Usiniguze nakuomba tafadhaliππ.
ME: Beb,, beb, please stop crying,, huendi mahali,, walahi hata mungu anajuwa hatujafanya kituπππ.
NJERI: Okay ametoka kwa room yako akiwa naked sindio??
ME: ππππ.
HER: Sky? What do you want to explain here?? What??
ME: Mama Maya,, I think you need to rest please,,, I promised you happiness in this house,, that's why I asked you to come over ππ. Sifurahii ukilia hivi akπ.
Brianna alicheka akiwa kwa blanketπͺπͺ.
NJERI: Brianna what's funny now?? I know wewe hujui kwann nilikam hapaπ. Usidhan nilikuja kulala na skyβ£οΈ,, nilitaka furaha na time nzuri ya kusomaππ.
BRIANNA: Then why are you mad at him? Kama ilikuwa kusoma si lights ziko on, take your books and readπͺπͺ.
NJERI: What's wrong with you Brianna,,, kwan imekuwa tuanze kutukanana tenaπͺπͺ..
BRIANNA: Nawewe nani amekuchokoza,, you better shut your mouth up you mad woman π±.
I don't know what happened nextππ. Chenye nakumbuka tu ni sauti ya Brianna akilia kama mtoto π. Zile kofi na mateke za flying kicks aliwekelewa π Brianna amesahau Njeri the queen of mautamu is still the queen. Kabla sijaongea niliona njeri amesimamia vidole za mkono mmojaπ±π± walahi ilibid Brianna aombe msamahaπ±π.
BRIANNA: Wuuuih ak usiniue please ππ.
Ni mm nilienda tu nikamg'oa Njeri akiwa juu yake,, alikuwa amemnyonga hadi Brianna amelegea mikono karibu anakufaπ±π±π.
ME: Hey Beb please,,, hiyo imemtosha ak,, usimuueππ.
NJERI: Nyny ni kama hamjui uchungu wenye mm napitia na huyu mtoto wakoπππ. Unajuwa naweza jiua nikuwachie haka katoto sky π.
ME: Usiseme hivo jamani,,, mtoto ni wetu sisi zoteππ. Trust me tommorow I will sent her away ππ. I understand your pain dearππ.
NJERI: Pain can only be felt,, it can't be understood πͺπͺ. I wish ungeifeel kuliko kuielewaπ. As for you Brianna,, Kesho mrng, saa moja isikupate hapaπͺπͺ. Hujanijuwa vizuri weweπͺπͺ. Goodnight ππ
ME: Can I come over to your room NJERI??
HER: I don't want to kill anyone when he's sleeping please,, just go to your roomππ. My daughter is enough to warm me up π.
ME: Et kuua mtuπππ..
Asubuhi sote tuliamka kama Brianna ashaendaπ±, hata hakuambia mtuπ±π±. Hakuna aliyejuwa tym aliendaππ.
NJERI: So she has gone without even informing usπ€π€. SKY mm sikuwa na ubaya na yeye π. Lakn huo ulimi wake siku moja utakuja kumweka pabayaππ. Hajuangi kitu anasema na ni wakati ganiππ. I hope she find a place in her heart to forgive me π.
ME: But you also have to learn how to know everything before you judge ππ.. for sure jana hakuna kitu tulifanya,, Brianna alibehave tu ivo ju anajuanga ulinichukuwa kutoka kwakeππ. So kawaida yake huwa hataki tukiwa pamoja β£οΈππ.
"She didn't took you from me Sky π±π±,, ni wewe ndo hukuwa unanipendaππ. Sisi wanadada ndo huwa tunajipoteza,, sijui kwann huwa tunashambulia wenzetu ju ya et alikunyang'anya BF πͺπͺ. Mwanaume anayekupenda kiukweli hawezi chukuliwa tu virahisiππ, okay mbna ulikubali kuchukuliwa na ulijuwa uko na mm??
"Infact hata ni wewe ulimchukuwa huyu Njeri kutoka kwa KAMAU πͺπͺ" niliskia Brianna akisema
KUMBE hakuwa ameenda,, alikuwa amejificha chini ya kiti et ndo askie tunaongea niniππ.
NJERI: Morning girl?,, aki am sorry for what happened yesterday ππ. Ilikuwa hasira tuβ£οΈ
BRIANNA: I should be the one asking for forgiveness from you Mama maya,, sikuwa najuwa uchungu ulikuwa naoππ. Hadi karibu uniueππ.
NJERI: Am sorry but also am not sorry,, huo mdomo wako mammy,, utakuja kukuweka pahali pabaya akππ. Kama umejam ni heri unyamaze,, kuliko uongee matopeππβ£οΈ. Pole laknππ.
BRIANNA: Leo ni Sky anaandaa breakfast,,, hakuna mtu umeoa hapa ndani ndo tukupikiange kila sikuπͺπͺ, neverπ
ME: It's alright,, my Mom trained me wellπͺπͺ.....
Niliingia kitchen nikaamua kuwapikia pan cake ya mayayi, chipo kwa chaiππβ£οΈ. Nikiwa huko ndani nilihisi mtu akiniguza kwa mgongoππ. "Who's that touching me with soft hands?" Niliuliza Badala ya kujibiwa, nilifunikwa machoπ±.
" Now sky,, guess who's this?"
ME:. Mmmmh Brianna najuwa ni weweπͺπͺ.
HER: Kila saa Brianna , mrng Briana,, afternoon Brianna,, jioni Brianna.. Si umuoe tu yaisheπͺπͺ.
Kumbe alikuwa Njeri ππ.. "Najuwa ni Brianna anakuanga na hiyo kiherehere dear,, calm down π€π€.
HER: ooh so mm kukufunika macho ni kiherehere sindioπͺπͺ?
ME: Njeri please I beg you,, don't start it again π‘π‘.
HER: Hata sijaanza already unataka kuliaπππ.. tulia baba.. okay sky. nmekam tuongee kitu na weweππ.
ME: Mmmhπ€π€,, hope si ya machozi tenaππ.. anyway, maskio yote mawili nmekupa weweβ£οΈβ£οΈ..
HER: It's now two weeks since we closed up the school, right??
ME: Yaa exactly,, it's two weeks and 4 daysππ.. mbna unauliza??
HER: Kwan huna hata brother ya mamako ama ya babako wa kukuja kukuonaπππ... Hivi ndo utaishi jamani,, π..
NJERI alinikumbusha mbaliπ.. wapi my uncle π€π€,, Uncle Mike ππ.. mbna hajawahi kuja kunionaπ€. Mbna??
NJERI: Hey dear,, I didn't say you start thinking about your Mom please,, but we must discuss about this,, you are only 17 β£οΈ, kando na mm na BRIANNA, bado unafaa uwe na mtu wa kukushughulikia akπβ£οΈ..
Kabla hajamaliza kwa mlango mtu akabisha,, "who are you?" Brianna aliuliza akiwa kwa sitting ππ.
Kumbe alikuwa yule askari rafiki yanguβ£οΈβ£οΈ.
ME: Oh my goodness π,, welcome Sir β£οΈ.
HIM: Didn't I tell you not to approach me as Sir.. am like your elder brother.. just call me ISAA π. In full ni Isau ππ.
ME: Okay Sir,, ah sorry, it's just that I respect you so much ππ.
HIM: Don't respect meππ..
NJERI: hahaa welcome β€οΈ.. please have a seatβ£οΈ.
HIM: Thank you π.. so sky how have beenπ€π€. Where's is your report card??
ME: Bro is it a must you see it??
HIM: No I have been sent by the inspector ππ.. he wanted to know if you picked up in education β£οΈβ£οΈ.
I handed my report card to himπ. After he looked at it for a couple of minutes,, he smiled π€π€.
HIM: Wowβ£οΈ. Can I ask you a question??
To be continued.... NJERI the queen of mautamu akiπ±ππ.