Don't make yourself too big because you are not too small❣️. Ridhika jinsi ulivyo, imgn hata sindano ni ndogo lakn inashona nguo za bei kali😘😘..?
NJERI: I don't love him,, we love each other soooo much😘❣️.
ME: bri you see now😭😪,, have you heard😭😭.
BRIANNA: Yes I have heard her🙏.. So?? Robby has already proposed to me ❣️,, mbna nikudanganye sasa,,
Kwan kwa huo wakati hawa wote wamekuwa pretenders 😭.. I thought Brianna loved me, why did she give in for Robby so fast like that 😪..
ME: So you don't love me anymore right 😭..??
BRIANNA: Toa hiyo anymore Sky, I didn't love you at all😪.. you know why? Wewe hujawahi kuwa na msimamo dear,, mara ni mm mara Ni Njeri, aaih am sorry to say this but I have to 🙏🙏.. kuanzia ile day Njeri alinipiga na hukumfanyia kitu, nilijuwa kwako sina changu 🙏.
ME: Why are you saying all these Brianna, it's okay bye😪😪.
That day I didn't talk to anyone except Kamau 😭.. my heart felt so broken 😪.. but why didn't she tell me earlier 🤔. DRAMA OF LOVE💖💖..
A week later nikiwa Lab nimemind my own business 🙏.. Nancy came and sat infront of my experimental table🙏.
HER: Now days they act as if they haven't seen us😪.. am not Brianna please,, salimia watu 😪
ME: Are you mocking me or what?? Umetumwa sindio? Tell her that pia nishamove on😪.
Nancy: Hey calm down,, who sent me?
ME: That Brianna of yours, who else?
HER: Stop engaging me in your personal problems sky, is bri yours or mine😪. Anyway it's like am bothering you, bye bye🙏
ME: Bye..
Nilichezacheza na titration pale moja mbili nikiwa bado nafikiria kuhusu my recent break up with Brianna 😭.. So what does Robby has that I don't have? Yan kuwa msanii pekee ndo imemfanya Brianna amkubali haraka ivo😪.. Wait I'll show them 🙏.. nilichukuwa kalamu na kuanza kuandika song ya mine 💪🙈. Kama watu wanadhani ni wao tu ndo waimbaji😪,, watashangaa😭.
Niliandika lines tatu kisha nikaanza kupractice💪.. kidogo nikasikia watu wakiulizana nje ya dirisha🤔.
VOICE: Ngài kwan frog🐸 aliingia kwa Lab 😱.. nini hiyo inafanya? Ama kuna mtu ananyongwa😱😱? Ebu tupande kwa dirisha tuangalie😭.
Eeish wasee, ilibidi nmejificha😂. Eti chura😭🙆. Siku zilisonga, but Nancy didn't give up on me, she kept coming to me every now and then🙏.
Nancy: So sky, can I ask you a question?
ME: Go on. .
Nancy: Am I the one who broke your heart or Brianna? Why are you avoiding me like this,, mm sina ubaya na wewe,, si mwenyewe ulinambia et nikiwa na any issue nikuwe free kukuuliza🙆.
ME: Am not avoiding anyone here,, they way you approached me last time wasn't good😪.. it's like you are happy to see us apart right?
HER: Why should I be sad, Sky maybe you don't know how I feel about you ❣️.. I mean.....
BRIANNA akaingia😪.
ME: what do you want??
HER: Nothing 😪 (looking at Nancy angrily 😡) I see people are taking advantage of others here😪. Wee excuse us and please sitaki kurudia tena😪
Nancy: bri mind how you talk to people 😪.. usinione mm ni mwembamba ukanidharau🙏.
BRIANNA: Hii nguvu ya kunijibu unatoa wap wewe,, (alimshika tai) mnaongea nini na Sky??
Nancy: (alimsukuma huko) Hehee wewe Brianna hunijui vizuri 😪. I'll show you, wacha nirudi😱.
BRIANNA: Nitolee mwili machoni mwangu haraka,,, Alfu wewe,, So ushamove on already sindio??
ME: How does that bother you Brianna,,, how does it concern you??
BRIANNA: Sky hata mtu huchukuwa tym ya kurecover kwanza ndo amove on surely? Why are you doing this?
ME: Time ya kurecover,, so ulijuwa tu umeniheartbreak sindio??
HER: Okay that isn't what brought me here🙏.. Why are you avoiding me nowdays ?
ME: Am not avoiding or ignoring anyone here🙏. I just want to gave you space and time to enjoy with your new boyfriend.. so wacha kucomplicate mambo hapa😱😪😪.
HER: If it's like that,, then Why did you refuse to go with us kwa kina Robby,, why?? SKY sema tu you are jealousy of me😪😪..
ME: Umemaliza ama bado??
HER: Waah,, kwan nilifanya vibaya kupendana na Robby??
Nancy akafika akipiga mpinja,, alitembea round moja kwa Lab then akarudi🤔🤔..
ME: Nancy? We're done, unaweza come twendelee na story🙏🙏.
BRIANNA: Done with who,, no one is coming closer to you today😪.. nashinda na wewe hapa ad jioni😪.
ME: So pia uko na wivu na sisi??
HER: whatever you will call it🙄. What about NJERI?? Si nilikuwa nadhani unampenda yy kuliko mm😪. Mbna unanionea mm wivu pekee??
ME: Brianna nilidhani hii topic iliisha😪. Siku tatu pekee surely mshapendana,,,, ni nini uliona kwa Robby yenye hukuwahi ona kwangu kwa huu mwaka mmoja🤔.
HER: Yameisha sasa,, tusiongelee mtu mwenye hayuko hapa🙄.
ME: Kwan NJERI ako hapa? Mbna umemwongelea😪.. akh! Just go unanidisturb please, I want to revise 🙏.
I don't know why bri was always mad at nancy kila time akituona pamoja,, she could even beat her up 🙆..
Nancy: Sky kwan bado mko pamoja na huyu Brianna?
ME: Why? Leave her alone,, as long as mm na wewe si malovers, why is that eating up your mind🙏.
Nancy alionekana kuboekaa after kusema sisi sio malovers,, alinyamaza for 3mins🙏.
ME: Why are you silent ,, has she beaten you again??
Nancy: Sky if I ask you a question, will you answer me?
ME: Why don't you ask first then I'll choose whether to answer it or not🙏.
Nancy: Nyinyi huwa mnajuwa aje kama dem ako in love na wewe 🤔🤔.. and how long do you take to notice those signs🙏🙏..
ME: 🤔swali lako limenipata offguard .. give me like two mins I'll answer you..
Nancy: No worry , hata ukitaka week moja nitakupa, bora unijibu🙏.
ME: Okay, nipe hadi jioni basi❣️.
Nilishinda kama nmefikiria, mbna akaniuliza ivo? Ilibid nikamuuliza Kamau pia,, hiyo jioni mtoto alirudi tena🙏.
Nancy: Time siku hizi sijui huwa inakimbia ikienda wap🙏.. am here again 🙏
ME: Okay, why did you ask that question 🤔.
HER: I just wanted to know 🙏. Nothing else🤗.
"Well, huwa tunajuwa dem ako in love na sisi kama,,,, She smiles at us kila tym tukimwangalia......She gives all her attention to us❣️,, Always she wants to spend time with us... Share her deep secrets including her last break up venye ilikuwa hurting sana,, .. Then lastly, hata kama ako busy, ukitaka kumwona huwa lazma anapata time ya kuja❣️ hapo direct unajuwa dem ako in love na wewe❣️" are you satisfied now?
Nancy: So nataka uniambie,, Ni nini sijafanya hapo😭..
ME:.......
To be continued........