Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8
Gonga94 ยท Stories

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee.

Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka kama paka zee, Aibuu yaani sijui hata nasema ninii, hapo sina hata nguo ndo naanza kupapasa naitafuta gauni yangu, akanitupia T_shrt yake nijifutie hahah yaani kimya kimyaaa nikajifuta, Hee si namuona anaondoka yaani hata hasemi kwaheri au natakiwa kufanya nini.

Nikaona kaenda kugonga geti moyo ukalipuka nikasema huyu hawezi kwenda kumwambia kweli D amenilala humuu, weee nilivaa haraka haraka nikachomoka mbio yeye alikuwa ameingia ndani ya geti nikawasha gari mbiooo kwanguuu
Njia nzimaa naenda nawaza kuhusu Ule mjunjano pale aloo, Sijui nifurahie au nihuzunike maana nimebakwa hivyo, habari za D ameenda kulala na wanawake watatu hata sikuwa nazikumbuka tena, Nikachukua simu yangu nikamtumia sms Tinner

"Shoga nimebakwa mwenzio" hapo hapo akapiga simu hahah sijui alijua nipo hoii nimetatuliwa

"We Veroo upo serious??" Aliniuliza kwa hamaki kweli mpaka nikaanza kucheka

"Afu ujue utakuja kuniua na presha mjinga wewe, Enhee D amekubaka mana sio kwa cheko hilo"

"Bora hata D shoga angu yaliyonikuta leo mmh hata sijui nianzie wapi"

"Bwanaa embu anza hapo hapo!"

"Veda amenibaka dada tena kwenye gari ya D"

"Veda....Veda ndo nani "

"We nae si yule mvuta bangi wa huko kwenu"

"MUNGU WANGUUU....!!! hahahah we Vero kwelii???"

"Unachekaaa??"

"Hahaha hata sijui nacheka niini ilaa I'm sure umefurahiaa huo mbako eeh"

"Mxeeeuw!!!"

", enhee embu nambie ilikuwaje??"

" Nitakuja kesho shoga angu yaani sa hii hata akili haifanyi kazi ila nina makubwa hatari ..." Nikakata simu nikanyoosh goti mpaka kwangu , Nilifika hoi miguu bado haina nguvu kama nimepandisha kilima

"Mungu wangu .... hivi Veda amewaza nini??? Kwahiyo amenibaka hahah uuuuh hata siaminiii " nilikunywa maji mengi sanaaa lakini mpaka ndani ya glass nilikuwa naona ile picha ya Veda kuanzia anavyo fungua mkanda mpaka zipu yake anavyoniekea uuuh nikajikuta nasisimka tenaa

"Ohooo ..." nikajitupa kitandani kwanza usingizi haukupita kabisaa yaani nilikuwa nageuka huku nageuka kulee jamani jamaniii huyu kaka aligoma kabisa kutoka kichwani vile alivyokuwa ananinyonya lips mwili wotee unasisimkaaa, mpaka nikawa najipiga makofi ya kwenye paji la usoo anitoke lakini wapiii, Nyie mpaka majogoo yana wiki mie Veda hajanitoka kabisa kichwani....

Palivyokucha kibishi kibishi tu hivyo hivyo nikajiandaa kwenda kazini, nikapanga nikitoka kazini niende kwa Tinner nikamuadithie yaliyonikuta jana labda nitapumua, nishajiandaa zangu nimeupara natoka tu D anaingia tena akiwa na Veda mweeh, Nilihisi miguu kama imepiga shotii .

Sio D ndo alinishtua Noo!!! Ni Veda yaani ile kumuona Veda halafu tukagongana machoo mie picha nzima ya jana ikaniijia kichwani na hivi li mkaka mbavuu aah weee, Moyo ulikuwa una dunda kma ngoma ya harusi ya ghafla, alikuwa kawaida kama jana hakikutokea kitu, mikono kaweka mfukoni, macho yakee ..aaah yale machoo ndio yalinimaliza na vile alikuwa ananiangalia kwa wizi wizi yaani kama ananipimia hivi na mie nashindwa kabisa kulitoa jicho kwake, Kuna muda tuligongana macho kwa sec tu ila mie niliona kama dakika nzima imeisha tunatazamana, mkavuu hata kutabasam hakuna, Nilihisi kachanganyikiwa walaiiii...

"Wife ndio unatoka!!" yaani D anajitoa kabisaa ufaham hahah yaani kaa jinga et pamoja naa upuuzi wake wa jana anavyoniuliza hapa jamani kama hakuna kilichotokea jana

"NAOMBENI MTOKE NYUMBANI KWANGUU!!" yaani niliongea kwa msisitizo na ukaliii tena nilimaanisha

โ€œVerooo, yaani unanifukuza hapa??โ€ kama jingaa, nilishusha pumzi kwa hasira mana anajitoa ufahamu nikapiga hatua kadhaa nikamsogelea na alikuwa karibu na gari yangu

"D mie na wewe tulimalizana jana , Kwahiyo kila mtu ana maisha yake TOKA KWANGU!!!"

"Ah ...khaa...Veda hivi unamuelewa huyu mwanamke???"
Veda akanitazama mpaka nikajikuta nameza mate kwa nguvu, Hasira, Aibu na Hofu vyote humo humoo ..

"Ulinidharau D, umenidhalilisha mbele ya wanawake zako umenifanya nijione sina maana D Toka kwanguuuu!!

"Aah, , Vero Unajua jana nililewa sana mke wangu, sikumbuki chochote kilicho endelea, Yaani hata sijui nikueleweshe vipi, Veda embu nisaidie kumwambia kama wale wanawake waliniwekea ma dawa kwenye kinywaji!!'"
Baba hilii hata haya halina jamani, Huyo Veda sasa hahaha embu ngoja kwanza nicheke akaondoka na hapo akatoka nje ya getii hahaha yaani hadi nilitamani kucheka

"Sikia Vero wale wanawake sikufanya nao chochotee aliwatumia Veda baada tu ya wewe kuondoka pale" yaani angejua huyo Veda alinibanjua kwenye gari zaidi ya lisaaa humo hata asingeropoka huu ujinga .

Nikaona huyu ananichanganya tu hata kama napenda hela mwenzangu ila nilimuamini sana huyu mwanaume jamani sanaaa nikajua nimepata ila kwa picha ya jana mmmh hapana natakiwa kujitafakari upya juu ya maamuzi yangu ..

Wakati naenda kufungua mlango wa gari akawa ananizuia anataka nimsikilize aah, zikatokea purukushani hapo vuta nikuvute mie sitaki kabisa habar zake analazimisha kweli et wale wanawake Veda ndio alitembea nao yeye alikuwa amelewa sana hata hajielewi, Mjinga kweli sasa kama alikuwa Hajielewi ikawaje akaelewa Alienda nyumbani nawanawake na Veda akalala nao, mara aliwekewa madawa yaani anajikanyaga huku na kulee ..

Nikamsukuma huko nikaingia kwenye gari wakati nawasha gari yeye akatoa upepo kwenye tailli ya mbele, Nilisikia hasiraaaa akanambia haya shuka tuongee ukinisamehe nitakununulia gari ya kifahari ambayo utaendana anayo, Nilimtolea bonge wa msonyo nikashika nikafungua geti bahati nzuri kulikuwa na Boda inapita Nikapanda, Veda alikuwa amesimama nje ..
Hata niliposema nisimtazame sikuweza nikajikuta tu tumekutanisha macho, akanikazia macho huku anatoa moshi puani nyieeeee shhhh So romantic hili kakaaaa la mtumbaaaa hahaha

ITAENDELEA.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8


Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee.

Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka kama paka zee, Aibuu yaani sijui hata nasema ninii, hapo sina hata nguo ndo naanza kupapasa naitafuta gauni yangu, akanitupia T_shrt yake nijifutie hahah yaani kimya kimyaaa nikajifuta, Hee si namuona anaondoka yaani hata hasemi kwaheri au natakiwa kufanya nini.

Nikaona kaenda kugonga geti moyo ukalipuka nikasema huyu hawezi kwenda kumwambia kweli D amenilala humuu, weee nilivaa haraka haraka nikachomoka mbio yeye alikuwa ameingia ndani ya geti nikawasha gari mbiooo kwanguuu
Njia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

1.14K
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

597
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113

487
MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*

456
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

197
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

175
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

108
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4

105
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7

84
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

77

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.32K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: โญโญโญโญ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story ๐Ÿซถ Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: โญโญโญโญ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story ๐Ÿซถ
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa โ€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?โ€ Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair โ€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair โ€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic โ€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYOโ€ฆโ€ฆ โ€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza โ€œHuyu ni nani tena?โ€ Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. โ€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wakeโ€ nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. โ€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest