FROM BANGI TO BABY ๐๐ SEHEMU YA 8
Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee.
Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka kama paka zee, Aibuu yaani sijui hata nasema ninii, hapo sina hata nguo ndo naanza kupapasa naitafuta gauni yangu, akanitupia T_shrt yake nijifutie hahah yaani kimya kimyaaa nikajifuta, Hee si namuona anaondoka yaani hata hasemi kwaheri au natakiwa kufanya nini.
Nikaona kaenda kugonga geti moyo ukalipuka nikasema huyu hawezi kwenda kumwambia kweli D amenilala humuu, weee nilivaa haraka haraka nikachomoka mbio yeye alikuwa ameingia ndani ya geti nikawasha gari mbiooo kwanguuu
Njia nzimaa naenda nawaza kuhusu Ule mjunjano pale aloo, Sijui nifurahie au nihuzunike maana nimebakwa hivyo, habari za D ameenda kulala na wanawake watatu hata sikuwa nazikumbuka tena, Nikachukua simu yangu nikamtumia sms Tinner
"Shoga nimebakwa mwenzio" hapo hapo akapiga simu hahah sijui alijua nipo hoii nimetatuliwa
"We Veroo upo serious??" Aliniuliza kwa hamaki kweli mpaka nikaanza kucheka
"Afu ujue utakuja kuniua na presha mjinga wewe, Enhee D amekubaka mana sio kwa cheko hilo"
"Bora hata D shoga angu yaliyonikuta leo mmh hata sijui nianzie wapi"
"Bwanaa embu anza hapo hapo!"
"Veda amenibaka dada tena kwenye gari ya D"
"Veda....Veda ndo nani "
"We nae si yule mvuta bangi wa huko kwenu"
"MUNGU WANGUUU....!!! hahahah we Vero kwelii???"
"Unachekaaa??"
"Hahaha hata sijui nacheka niini ilaa I'm sure umefurahiaa huo mbako eeh"
"Mxeeeuw!!!"
", enhee embu nambie ilikuwaje??"
" Nitakuja kesho shoga angu yaani sa hii hata akili haifanyi kazi ila nina makubwa hatari ..." Nikakata simu nikanyoosh goti mpaka kwangu , Nilifika hoi miguu bado haina nguvu kama nimepandisha kilima
"Mungu wangu .... hivi Veda amewaza nini??? Kwahiyo amenibaka hahah uuuuh hata siaminiii " nilikunywa maji mengi sanaaa lakini mpaka ndani ya glass nilikuwa naona ile picha ya Veda kuanzia anavyo fungua mkanda mpaka zipu yake anavyoniekea uuuh nikajikuta nasisimka tenaa
"Ohooo ..." nikajitupa kitandani kwanza usingizi haukupita kabisaa yaani nilikuwa nageuka huku nageuka kulee jamani jamaniii huyu kaka aligoma kabisa kutoka kichwani vile alivyokuwa ananinyonya lips mwili wotee unasisimkaaa, mpaka nikawa najipiga makofi ya kwenye paji la usoo anitoke lakini wapiii, Nyie mpaka majogoo yana wiki mie Veda hajanitoka kabisa kichwani....
Palivyokucha kibishi kibishi tu hivyo hivyo nikajiandaa kwenda kazini, nikapanga nikitoka kazini niende kwa Tinner nikamuadithie yaliyonikuta jana labda nitapumua, nishajiandaa zangu nimeupara natoka tu D anaingia tena akiwa na Veda mweeh, Nilihisi miguu kama imepiga shotii .
Sio D ndo alinishtua Noo!!! Ni Veda yaani ile kumuona Veda halafu tukagongana machoo mie picha nzima ya jana ikaniijia kichwani na hivi li mkaka mbavuu aah weee, Moyo ulikuwa una dunda kma ngoma ya harusi ya ghafla, alikuwa kawaida kama jana hakikutokea kitu, mikono kaweka mfukoni, macho yakee ..aaah yale machoo ndio yalinimaliza na vile alikuwa ananiangalia kwa wizi wizi yaani kama ananipimia hivi na mie nashindwa kabisa kulitoa jicho kwake, Kuna muda tuligongana macho kwa sec tu ila mie niliona kama dakika nzima imeisha tunatazamana, mkavuu hata kutabasam hakuna, Nilihisi kachanganyikiwa walaiiii...
"Wife ndio unatoka!!" yaani D anajitoa kabisaa ufaham hahah yaani kaa jinga et pamoja naa upuuzi wake wa jana anavyoniuliza hapa jamani kama hakuna kilichotokea jana
"NAOMBENI MTOKE NYUMBANI KWANGUU!!" yaani niliongea kwa msisitizo na ukaliii tena nilimaanisha
โVerooo, yaani unanifukuza hapa??โ kama jingaa, nilishusha pumzi kwa hasira mana anajitoa ufahamu nikapiga hatua kadhaa nikamsogelea na alikuwa karibu na gari yangu
"D mie na wewe tulimalizana jana , Kwahiyo kila mtu ana maisha yake TOKA KWANGU!!!"
"Ah ...khaa...Veda hivi unamuelewa huyu mwanamke???"
Veda akanitazama mpaka nikajikuta nameza mate kwa nguvu, Hasira, Aibu na Hofu vyote humo humoo ..
"Ulinidharau D, umenidhalilisha mbele ya wanawake zako umenifanya nijione sina maana D Toka kwanguuuu!!
"Aah, , Vero Unajua jana nililewa sana mke wangu, sikumbuki chochote kilicho endelea, Yaani hata sijui nikueleweshe vipi, Veda embu nisaidie kumwambia kama wale wanawake waliniwekea ma dawa kwenye kinywaji!!'"
Baba hilii hata haya halina jamani, Huyo Veda sasa hahaha embu ngoja kwanza nicheke akaondoka na hapo akatoka nje ya getii hahaha yaani hadi nilitamani kucheka
"Sikia Vero wale wanawake sikufanya nao chochotee aliwatumia Veda baada tu ya wewe kuondoka pale" yaani angejua huyo Veda alinibanjua kwenye gari zaidi ya lisaaa humo hata asingeropoka huu ujinga .
Nikaona huyu ananichanganya tu hata kama napenda hela mwenzangu ila nilimuamini sana huyu mwanaume jamani sanaaa nikajua nimepata ila kwa picha ya jana mmmh hapana natakiwa kujitafakari upya juu ya maamuzi yangu ..
Wakati naenda kufungua mlango wa gari akawa ananizuia anataka nimsikilize aah, zikatokea purukushani hapo vuta nikuvute mie sitaki kabisa habar zake analazimisha kweli et wale wanawake Veda ndio alitembea nao yeye alikuwa amelewa sana hata hajielewi, Mjinga kweli sasa kama alikuwa Hajielewi ikawaje akaelewa Alienda nyumbani nawanawake na Veda akalala nao, mara aliwekewa madawa yaani anajikanyaga huku na kulee ..
Nikamsukuma huko nikaingia kwenye gari wakati nawasha gari yeye akatoa upepo kwenye tailli ya mbele, Nilisikia hasiraaaa akanambia haya shuka tuongee ukinisamehe nitakununulia gari ya kifahari ambayo utaendana anayo, Nilimtolea bonge wa msonyo nikashika nikafungua geti bahati nzuri kulikuwa na Boda inapita Nikapanda, Veda alikuwa amesimama nje ..
Hata niliposema nisimtazame sikuweza nikajikuta tu tumekutanisha macho, akanikazia macho huku anatoa moshi puani nyieeeee shhhh So romantic hili kakaaaa la mtumbaaaa hahaha
ITAENDELEA.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi


Maoni