Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

JAMANI BOSS USIWEKE 😍EP 13.

23rd Aug, 2025 Views 94


Tulifika mimi uso umejaa machozi, alinibeba nikawa nampiga sitaki kubebwa, alivumilia nimpige lakini anibebe tu,alifika mpaka chumbani kanibeba, aliniweka kitandani akaja kwa juu yangu nayeye ili kunizibiti nisimtoloke,alikuwa pia analia, " Le wangu nilmsikilize tafadhali najua umeumia sikukujulisha mapema, naomba unisamed kwa hili, usinifikilie vibaya, nakupenda mno Le, yule mwanamke, nilimuoa ndoa pia ya serikali, lakini sio kwa matakwa yangu, alinilewesha akasingizia nimemtoa bikra..

Nikalazimishwa kumuoa, sikuwa na namna nilihisi huenda kweli kwa sababu ni kweli nilitembea nae ila nachokumbuka hakuwa mpya kama alivyodai, nilipiga sana, lakini badae ikaonekana na mimba pia kabeba, tylifanya DNA, majibu yakatoka ni kweli ni mwanagu, sikuwa na ujanja nikamuleta kwa bibi, ili akabidhiwe vitu vya muhimu lakini viligoma, ikajulikana kadanganya hakuwa mpya, bibj akagoma kumpa chochote kitu kama baraka, wakawa maadui sana, Baba akasema tayali anadamu yetu atuwezi kumkataa, niendelee tu na maisha, hata yeye mama angu alimuoa akiwa hana vigezo, nisijali imeshatokea...

"Ikabidi tu maisha yaendelee, lakini siku moja akiwa na mimba nilimfumania anamtukana bibi na anataka viti kwa nguvu, walikuwa wanashilikiana na mama, nilichukia sana, akaomba msama yakaisha, ila bibi yangu walizidi kumnyanyasa,siku moja akaingiza mwanaume ndani, chumba ninacholala mimi na yeye, walijua nimesafili nilikuwa nakuja huku lakini ndege ikawa imeniacha..

Na mzee pia alikuwa kasafiei na mama,niliingia milango ilikuwa wazi, hata mlinzi getini hakuwepo, nilivyofika chumbani, nasikia sauti za chumbani kufika namkuta wanapeana na mlinzi kitandani kwangu, walivyoniona walishtuka,mwanaume akawa anataka kukimbia, mwanamke anamvuta ajikinge, mwanaume akampush akadondoka,akadondokea tumbo...

Ikapelekea mimba kuhalibika, ilibidi nimuwahishe hosptal nikwajulisha mzee na mama wakaja, niliwasimulia hali halisi, lakini uyu mwanamke alikana akasema namsingizia kwa kuwa simpendi, niliandika sain talaka, nikaiacha hapo, nilivyoona familia yangu pua hawanisaport nikaamua kuondoka, ila mzee aliniamini, akaomba nisamee, nilishindwa..

Lasmi nikahamia Tanzania, alikuja mpaka huku nilimfukuza zaidi ya mala 9, ndio maana nikajenga hii nyumba akija huwa naondoka mpaka siku akiondoka ndo naludi, huu ni mwaka wa 4 toka nimemuacha, lakini haelewi,kukuoa wewe ni kwa sababu sitambui kama ninamke ni karatasi tu bado ila nitajitahisi asaini na nitafunga ndoa ya milele ya mke mmoja tu, niliogopa kukwambia sikutaka kukupoteza mke wangu naomba unielewe mke wangu nakupenda sana....
Kupata mwendelezo wote hadi

Full 1000
Whatsp 0784468229....
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI BOSS USIWEKE 😍EP 13.  >>> https://gonga94.com/semajambo/jamani-boss-usiweke-ep-13

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest