Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐊𝐀 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 🫨😋 😋🔥12

20th Aug, 2025 Views 129

𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊:....:
Cliff alinitazama nikamwambia kumbe uko na wifi .. Diana akaniangalia akatabasam😊😊😊 akasema karibu Wii nikamwambia sorry nilisahau cm yangu uku kwako ngoja nikaitazame uko juu nyie endeleeni bas nikapita nikapanda juu chumbani kwa cliff nikafika chumban nikakaa kitandan nkaanza Julia😭😭😭 yani uyu mpuuz ananisaliti anatembea na Diana kumbe afu nilishamwambia kila kitu kuhusu Diana kwann ananifanyia usenge nililia here kidg cliff akaja akapiga magot kalibu yangu akaniambia Annabell plz niskilize mkewangu nikamulz nikuskilize nn ? Utaniambia kitu gan nikuelewe ww sindo ulinifany kuniita nije kumuona Diana na ukasema hauna mpango nae Ninini kile nilichokiona alikua anakunyonya shingo na umetulia tu unaniona mi mjinga si ndio unataka kuniua si nilikwambia ni mgonjwa yule unataka nife Kwa ukimwi si eti nilijikuta naongea bila kumeza mate nilikua na hasira sio kidogo skutaka kumskiliza Wala kumpa nafas ya kuongea nikamwambia Sasa skia cliff ww si Malaya ulikua unajiandaa pale kut.....o--m#bana na Diana Sasa Mimi ntakuonesha si unanisaliti nakwambia ntaigawa hii k mpk kwa mlinzi wako apo getini

Cliff akaniziba mdomo akaniambia nooh Anabel usiseme ivo usiseme ivo mpenz Wang nakupenda na unajua Mimi siwez kukusaliti yule rafk Ako alikuja apa na briella Tena amefika muda si mrefu Brie amemuacha apa amesema anaenda kufata vitu vyake Kwa rafk Ake afu atampitia waondoke na kaniambia Kwa rafk ake ni apo tu nyuma mpenz Wang plz sijafany chcht na Diana nikamulz kwaio alivyowaacha si Ndo mkaanza kuchezeana si ndio au ckuona kile alichokua anakifanya pale si alikua anakuingiza mkono ktk bukta uliyovaa akawa anazichezea sehem zako za Siri( apo niliongopa Yan wivu ulinijaa nkajikuta naongea na uongo😂😂😂😂😂 cliff akaniambia niskilize mkewangu cjafanya kitu na Diana Mimi kama ulivyonikuta pale uliona mikono yangu imemshika kokote mi nilikua nafaham kama ananitaka alivyoona Brie kaondoka akaja kukaa miguun kwangu na sio kama nilitaka apana nilitaka kumtoa Ndo ukaingia mpenz Wang plz sijafany chcht nielewe Diana 😳😳😳 Diana yaaan ananiita Mimi Diana ikawa kesi nyingine apo Yan Ndo alinivuruga kabisaaaa ananiitaje mm Diana nikamwambia unaniiita Mimi Diana yani uyo Malaya amekukaa akilin mpk unaniita Mimi Diana poa niache niondoke usinijue jue kwanzia Leo Yan ukiniona na mtu yyt usije niuliza ndo unenifungia nakwambia ntafanya umalaya madaktar wenzako woote ntat.....ia..na nao niliongea kwa hasira nikafungua mlango nikasepa mda uo cliff Ameloa Yan amenywea macho yalibadilika mi skujal nikaenda zangu hom Ile naingia tu briela uyu apa akaniambia umetoka wap na night dress saiz

Nikamwambia Kwan vipi mbona skuiz unaniuliza uliza vitu vya ajabu ajabu shida Nini akanijibu Amna shida ila nmeshangaa usiku huu unatoka wap na night dress nikamwambia hayakuhusu briella kuwa na adabu Mimi ni mkubwa wako atakama unamwili kunizid sipend uwe unaniuliza uliza vitu ambavyo avina msingi bas briela akabinua midomo😏😏😏 mi sikujali nikampita nikaingia zangu ndani kwangu nikakaa kitandan nikanyanyua sim yang nilikuta mised call kibao za cliff na sms lakn Wala skumjibu na ckumpigia nikaeka simu uko nikalala zangu asubh nikaamka nikasema siend Kazn leo ngoja nitulie tu nikaenda zangu kuoga nikavaa Tait ndefu nyekund nkavaa na flana nyeupe nikabeba poch na sim Yangu nilivaa na vindara miguuni nikatoka mpk seblen nikakutana na Maggie nikamuulz Brie kashaondoka akaniambia ameondoka tayal nikamwambia mi naenda zangu kusuka nna ham ya kusuka Rasta nikitoka salun ntalud au nisipolud ntakwambia nikafungua pochi nikampa pesa nikamwambia kannue simu ila usichelew kulud nyumba Iko pekeake sawa akaniambia sawa dada ila Jana nilimsikia briela anaongea na mtu katika sim anamwambia kwaio umefanikiwa watagombana afu akasema fanya ivo my Wii ww ndo utaolewa ila nilihis anaongea na Diana nikamwambia anhaaaa kumbe alisema ivo bas nshajua nilijua tu lile picha la Jana kule kwa cliff ni mpango ila nikampotezea nikamwambia achana nae ila uwe unaniambia kama ataongea chcht kunihusu sawa akanijibu saw dada nikamwambia aya badae kipenz akasema saw bas nikatoka nikaingia zangu katika gar nikaenda salun apo napigiwa sim na cliff atal na ata skupokea nikaenda zangu saluni nikafika

Nikaanza kusuka bas vidada vya pale saluni vimbea khaa😂😂😂 vikawa vinamteta mwenzao mi nawaskiza tu Kuna mda wakawa wanaongea afu wanauliza si eti dada 🤣🤣🤣🤣 yani ilimrad niwasapot nikawa sichangii mada mana mi sio mtu wa izo mambo nikamaliza kusuka nikapendeza 😘 😘mi mzur bana my zangu mpk nilikua nataman kujitongoza 🤣🤣🤣🤣🤣nilivyomaliza nikatoka Sasa wakat natoka pale nilipopak gari yangu Kuna gari nyingine ilipak kwa mbele nikaenda nikagonga kioo akashusha nikamwambia samahan akasema bila samahan alikua ni mkaka tu ila sio handsome Sana lkn Yuko smat nikamwambia naona mmenibana apa mana nyuma Kuna gari mbele Kuna gari nashindw kutoka mimi nliopo katikati akaniambia oooh sorry ngoja nisogeze mbele nikamwambia sawa akawasha gari yake kuisogeza mbele nam nikarud katk gari yangu kabla cjatoa gari yule kaka alikuja akaniambia sorry naomba nipate mawasiliano yako nikamwambia ooh saw ila ungenipa yako kama autojal ntakuchek akaniambia saw akatoa kadi yake akanipa akaniambia naomba usiache kunitafuta naitwa Agrey nikamwambia sawa Agrey mi naitwa Annabell akatabasm😊😊akasema ok mrembo tukaagana nikatoa gari nikalud zangu home mie..... Maggie alivyoniona akaniambia umependeza dada nikamwambia asnte kipenz😘😘 nilisuka vitunguu virefu vya rangi ya blue huwa napenda kusuka Rasta za rangi bas nikaingia zangu chumban nikaona ngoja nimpigie Agrey nikamtafuta akafrah akaniambia naomba tuonane jion kama autojal tukae sehem nzur unipe compan nikamwambia saw Amna shida bas akakata sim nilikubal maksud nilitaka mazoea nae ili nianze kumuumiza cliff bas jion ikafika nikavaa kigauni Chang cheus kifup nikavaa na high heels Zang nikabeba pochi nikamwambia Maggie natoka Kuna sehem naenda akamjibu Brie mana alikua ameshalud akaniambia unaenda wap shoga tuambizane au unaenda zako Kwa binam nikamwambia we brie cku ntakubutua kuniona mm mtt mwenzio shaul ako😏😏😏 nikatoka zangu nikaingia ktk gari nikaenda aliponiita Agrey bas ilikua sehem bzr tu yenye hadhi nikafika nikampigia nimefika akaniambia nakuja kukufata 😂😂 akaja kunifata bana bas watu wote wanantazama nilipendeza bana 🤣🤣🤣 kwann nisijisifie jamn bas tukachagua sehem tukakaa akamwita muhudumu akaja

Tukaagiza zetu chakula tukawa tunapiga vistori bas akawa ananichekeshaa vile anacheka akawa ananipiga mabegani 🤣🤣🤣 ili mradi tu furaha sim yangu ikaita nikapokea alikua cliff akaniambia unafanya nn apo na uyo ninan nikasema hayakuhusu nikamkatia sim nikasonya 😏😏😏 Agrey akaniulz mmewako nn nikamwambia nooh sijaolewa Niko single 😂😂 Agrey akasema ok nikaendelea kupiga zangu stor na Agrey bas wakat stor zimenoga tunacheka sa ngap asije cliff nashangaa tu mtu huyu apa kasimama kasimama ananitazama😳😳😳

𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊:....: 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐊𝐀 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 🫨😋 😋🔥13
SONGA NAYO.............
Cliff alitutazama Kisha akatusalimia mi mda uo nmekaa kimagutu magutu mana uyu mbwa ni mkorofi akilianzisha apa nakimbia kama sio mimi ...Agrey akaitikia mi sikuitikia wala nn bas cliff akasema samahn niliwafananisha Agrey akamjibu usjal kaka karibu cliff akamwambia aya nyie endeleeni afu akaondoka akaenda kukaa meza ya peke ake Kwa pemben anatutazama mi tena naona sifa bichwaaaa hilooooo kama shipa la mganga🤣🤣🤣 nikawa nacheka na Agrey tunagongeshana mikono kama vile nimewah kufahamiana nae kabla kumbe walaaaaa tumekutana Leo mchana😃😃 chakula kikaja tukawa tunakula kuna mda Agrey akaniambia naomba nikulishe nikamwambia nilishe tu usijal si nataka sifa tena namuona beb yuko pale nataka kumtia wivu😃😃 Agrey nae anayaweza akawa ananilisha nikawa napiga jicho pemben namuona cliff anakututazama nkajisemea kimoyo moyo kumbe inaumaga ee shenz ntakuumiza ww utajuta 😃😃 Kuna mda nikamwambia Agrey sogeza kiti apa bas nikulalie began nmechoka nahs kusinzia Agrey akasema ucjl beb akaja 😂😂😂 uyu nae anasifa mala hii nishakua beb wake aiiiiiiiiiiii bas nikaeka kichwa changu katk bega lake nikamuona cliff ananyanyuka akapita tulipo akiwa amekasilika akaondoka nilivyoona kaondoka tu nikamwambia Agrey muda umeenda unajua nahisi kusinzia naomba niende kulala Agrey akasema saw Asante kwa kampan yako Annabell skutegemea kama ungekuja nikamwambia usijal tutawasiliana bas akaniambia poa akasimama akaenda zake ktk gar yake nami nikaingia katk gar yangu nikaondoka zangu mpk home nafika nje getin nakuta gari ya cliff imesimama alivyoona gari yangu imefika akashuka akaja akanigongea kioo Cha gari nikashusha kioo nikamtazama akaniambia shuka ktk gar nikamwambia Kuna barid Sana uko nje siwez kushuka kama unataka ingia katk gari akasema ok akafungua mlango akaingia

Akanitazama uson akaniambia Annabell unafanya maksud kuniumiza au ni umedhamilia kufanya ivi nikamulz kufanya nn akaniambia inamana Jana tu Leo unatoka na mwanaume kwaio inamaanisha uyu mwanaume unae mda mrefu si ndio nikamwambia inakuhusu nn Ww si upo na Diana unataka niendelee kuwa na Ww utueke matala si ndio akaniambia matala gani kwan mm natembea na uyo Diana em usinichanganye Annabell unatoka usiku na mwanaume unacheka nae mnagongana mikono mnalishana unamlalia mi nikiwepo nia yako ni nn unataka niumie uone Niko vp si ndio unataka kuujua upande wangu wa pili 😏😏😏 nikawa nabinua midomo moyoni namwambia fanya niuone uo upande wako wa pili bas cliff akaniambia skia sas nikwambie wiki ijayo wazaz wako wanaludi nakuja apa nawaambia nataka kuoana na Ww nikamwambia weeee Tena usithubutu nakwambia ntakukataa mbele Yao ctak na ckutaki usinifatilie akaniambia nyamazaaaaa🙄🙄🙄 aliongea kwa hasira nikashtuka akaendelea nyamaza Anna usinione mm mjinga kama aunitak kwnn umenionjesha Sasa.. unataka niwe Malaya si ndio unataka nianze kuwavua nguo waschana wengne kwasabb yako em niskilize umeshanipa nimeweka na nimenogewa yani nimepagawa ctak kusikia lolote Yan staki chochote et aunitak umeninogesha afu unaniambia aunitaki Sasa bas nikikuona tena na yule mwanaume au mwanaume yyt tofaut na yule Annabell nakuapia mama angu mzaz ntakufanya kitu autoamin afu akashuka katk gari yangu akaingia katik gari yake akaondoka🙄🙄🙄 uyu vipi eti nmempagawisha Kwan mi ndo mwanamke wake wa kwanza akanye uko 😏😏 niliongea peke angu nikaingia gari ndan nikashuka nikaingia chumbn kwang kulala

Bas siku zikaenda apo tumenuniana na cliff nikimuona nampita ata simsalimii briela alizid kuwa jeul ata ckumfatilia Diana nae akaninunia Yan alinikasilikia naskia alienda Kwa cliff kujililisha apendwe Clif akamwambia anatoka na Mimi na ananipenda akamuonesha na picha zetu tukiwa tunaki....ss mala ivi yn mradi tu amuaminishe na akaamini akawa anantumia sms ananichamba et Sina aibu natembea na ndugu yangu mi Wala ckumjali nilimpotezea tukakata ushoga clam nae akawa ananitumia sms nimsamee eti anahali ngumu😂😂😂 nikawa nazitazama simjibu bas kipindi iki Sasa ndo baba na mama wanakaaga home huwa wananipa miez mitatu ya mapumziko na wakiwepo Amna fyoko Wala nyoko tunafanya mambo yetu mchana usiku ukifika nyumbn huwa awatakag ujinga ndo mana mdogo angu brayan alipelekwa boding ili tu asiwe anazurula zurula ovyo bas bana skuiyo ilikua jumamos Niko zangu job mchana iyo Agrey akanipigia kipindi iko mazoea yamezid kashantongoza nimemwambia akitaka tuwe marafiki stak mapenz Kwa sasa alikua mgumu kuelewa ila ikabid akubal tu tukawa marafiki bas akanipigia akaniambia Annabell unaeza kunipeleka katka part jion Kuna rafki angu anamvisha Pete mpenz wake nikamwambia usijal tutaenda akasema sawa nakutegemea nikamwambia poa akakata sim.....uyu Agrey alikua mfanyabiashara tu ila kidg anazo za kubadilisha mboga skujua kwnn alikua hajaoa na Wala sikutaka kumuuliza mie niliogopa nisije kuonekana mmbea bas bana nikafanya zangu Kaz nikamaliza jion nikaenda home nikajiandaa nikamuaga mama naenda katk party ya rafk angu anavalishwa Pete ya uchumba nilimuongopea ili iwe rahisi kukubal akanikubalia bas nikaondoka kipind Iko nishabadil mtindo wa nywele kichwan nikatoka zangu mpk nje ya get nilishamuelekeza Agrey nyumbn kwetu so alikuja mpk karibu na home akanichkua tukaenda zetu kwenye part part ilipendeza

Ilikua na watu wachache sio wengi snaaa ila ilikua ya kipekee nikaona Kila mtu ameenda na mwanamke wake mwingine na mwanaume wake ilimrad tu watu waww couple afu walipendeza yan kila mtu alivunja kabati bas mziki ukawa unapigwa watu wanacheza wengine wanakunywa ili mradi tu mda unaenda bas bana kabla party aijaanza sa ngap nisimuone cliff alijua na rafk zake kama wawil ambao wote alijua anafanya nao Kaz madaktar wenzie na wananijua nlivowaona tu nikataka sifa nikawaita ili ajue kama na Mimi Nipo 😂😂😂 nikawaita rafk zake wakaja tukasalimiana wakaniulz kumbe nawe upo nikawajibu nmemleta rafk angu Uyu apa anaitwa Agrey wale shemej Zang wakasema ooh sawa sisi apa tumekuja kumsapit rafk etu tunafanya nae Kaz anamvalisha Pete mwanamke wake nikawaambia oooh sawa bas mi Nipo apa nikitaka kuondoka ntawaita niwaage wakajibu poa wakaondoka kukaa alipo cliff mda uo cliff ananitazama tu nam nnavyotaka sifa bas namshika agrey mashavu ilimrad tu nimuumize mtu😂😂😂 sherehe ikaanza bana mtu na mpenz wake wakaingia wakavishana Pete tukawpigia makof muda wa kula ukafika tukala bas ikafika mda wa kucheza mziki Sasa nikamwmbia Agrey nishike kiuno tucheze akanishika tukawa tunacheza zetu mziki taratibuuuu uku nimemlalia kifuan saa ngapi asije cliff akanitoa kifuan akaniambia ivi Ww unafanya vitu kijinga ili iweje unataka iwe nini yan 🙄🙄🙄 sa iwe nn ndo nn Uyu vipi mi sinacheza apa au niliongea kimoyomoyo...cliff akaniambia usinipandishe wazimu we mwanamk usinifanye niwe kichaa nakwambia ntakuumiza ohooooo naona unafanya mambo ya kijinga mbele yangu unazan napenda si ndio? Bas vile alivyokua anaongea Kwa kulusha lusha mikono watu wakawa wanatuangalia Yan kama vile fumanizi😂😂

Mara akaja kelvin na dikson ndo ao marafk zake wa kazini Sasa wakamuuliza oya vipi mbona ivo kaka akawajibu Uyu Dem ananletea usenge ndo nn sasa namvumilia anafanya ujinga wake mwez wote huu namtazama imezid Sasa kelvin akamwambia sawa acha bas utaalibu sherehe ya watu nendeni mkaongelee nyumban ....mda uo Agrey anantazama aelew maskini mi apo nimeshikwa mkono nashangaa tu🤣🤣 bas cliff akamtazama Agrey akamwambia oya si unanikumbuka Agrey akamjibu yes nakukumbuka bas cliff akamwambia sa skia mi uyu Dem nagongana nae🙄🙄 Agrey akacheka😃😃 afu akauliza unagongana nae kivipi cjaelewa kauli yako nikamsikia cliff anacheka akasema aujaelewa Nini Sasa aujui Nini maana ya kugongana inamana ww hauna mwanamke si ndio kwaio wew bikra😂😂😂 cliff anadharau uyu mbwa khaaaa ndo nn Sasa kumwambia mwenzie bikra afu kamwambia kwa dharau sasa😃😃😃 bas akamtazama afu akwambia kama aujaelewa ni ivi uyu demu wangu nat.....o--m#bana nae afu naona ananletea usenge anakumbatiana na wanaume wengine anashikwa shikwa mi namwangalia tu sjui ananionaje uyu mwanamke... oyaa sa skia

naondoka nae ,🙄🙄🙄uyu vipi anaondoka ma Mimi kwenda wapi😏😏 Agrey akauliza unaondoka nae wapi kwn umekuja nae uyu .....cliff akamjibu alafu akamjibu Kwa dharau uku anatabasam akasema najua umekuja nae ww lakn mm naondoka nae yani nambeba apa naondoka nae uku unaona na autafanya chochote afu akanikokota kunitoa nje nikamuona Agrey anataka kuja lakn kelvin akamwambia muache tu aende nae yule jamaa mkorofi Sana akilianzisha apa ataharibu sherehe ya watu basi Agrey akawa mpole apo watu wanatutazama tukatoka mpk nje tukaingia katk gari walikuja na gari Moja cliff akasema oya nishushen apo wakatushusha sehem cliff akapiga sim ikaja tax tukapanda mpka kwake akanikokota apo namwambia cliff niache akaniambia we si jeul utaona ntakachokufanya Leo baba aka na mama Ako watanilaumu😭😭😭😭 nakufa Mimi Leo uyu kichaa namjua balaa lake uwiiiiiiiii nmeyakanyaga...........

........
Soma mpaka mwishoooo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐊𝐀 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 🫨😋 😋🔥12  >>> https://gonga94.com/semajambo/jamani-kaka-assssh-12

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
profile
majario 20 Aug 2025 21:40
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐊𝐀 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 🫨😋 😋🔥😏😏😏 Piga kura Andika Nzuri au Mbaya
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest