Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

kakataa milioni 30 za Yanga kwenda kutumbuiza kisa yeye ni shabiki wa Simba

11th Sep, 2025 Views 20

Kwa jeuri aliongea kwamba kakataa milioni 30 za Yanga kwenda kutumbuiza kisa yeye ni shabiki wa Simba imani yake ilimwambia kwamba hakuna mtu atazuia yeye kutoimba kwenye Simba lakini mambo yamekuwa tofauti Simba wamemfungia vioo.

Kwenye hii dunia ukijifanya mfia timu kuna siku utadharirika na kupoteza fursa muhimu, nadhani kwasasa Tunda atakuwa anajiona ni mjinga kiasi gani kwa kukataa pesa ndefu kisa Simba anatakiwa ajifunze kwa wengine.

Alikiba ni shabiki wa Yanga lakini ilipokuja pesa ndefu kutoka Simba hakuiacha na anaifanya kazi ya Simba kwa weledi, Mbosso shabiki wa Simba lakini Yanga wameweka pesa mezani akaenda kutumbuiza kwenye tamasha la Yanga kisha karudi Simba na hakuna aliye mtukana lakin hata Diamond alifanya hivyo alifanya kazi na Simba kisha akaenda kufanya kazi na Yanga kakusanya pesa zake anakula maisha.

Huyu jamaa badala ya kuangalia kazi yeye akaweka ushabiki mbele labda kama hajui, Timu zinapoita msanii lengo sio kumuhamisha timu bali yeye kwenda kuburudisha mashabiki na mashabiki hawa wa hizi timu ndio mashabiki wa muziki pia. Leo hii Diamond, Alikiba, Mbosso na Zuchu wanajua kwamba kwenye hizi timu kuna mashabiki zao hivyo wanapaswa kuwaburudisha bila kujali timu zao na wakikataa kufanya hivyo maana yake wamewakatili mashabiki wao.

Haya leo katupwa na hajapewa hata shilingi angeichukua milioni 30 ya Yanga si ingemsiadia pakubwa? Kimuziki sasa hivi Tunda hana hata thamani ya kulipwa milioni 5 halafu timu inakupa milioni 30 unakataa kisa ushabiki huyu si hajielewi, haya wenzie wanakula pande zote wanapiga pesa zao wanatengeneza maisha yeye kabaki hana pa kwenda.

Kwenye hii dunia ukiendekeza ushabiki wa mipira na vyama unaweza jikuta unapoteza fursa ambazo zingebadilisha maisga yako na kukupa utajili?

#Mbosso #Diamondplatnumz #Alikiba #Zuchu.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

kakataa milioni 30 za Yanga kwenda kutumbuiza kisa yeye ni shabiki wa Simba  >>> https://gonga94.com/semajambo/kakataa-milioni-30-za-yanga-kwenda-kutumbuiza-kisa-yeye-ni-shabiki-wa-simba

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Tangazo - Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest