MARIAπππππππππ
Sehemu ya 13
Mwandishi :lissa mwalla
TUENDELEE
Mmh Nikamwambia bby mm sina ndugu nikamuelekeza akasema tutaenda jengea makabur bas na huyo mjomba ako aliepo tukamuone basi, nikaona anasisitiza nikamwambia sawa akasema ngoja aweke mambo vizur kazini achukue ruhusa twende nikamwambia sawa ila kabla ya kwenda ludewa jumapil ijayo twende nyumbn nikakutambulishe official na kuwaambia lengo langu nikamwambia sawa, ilikua jumapil siku io ikapita kesho yake akaenda kazn mm huwa naenda ofcn pia mana nilifungua fast food kubwa tu nakua naangalia wafanyakaz wanafanyaje na kupiga mahesabu basi nikaenda ofcn nikiwaza cha kufanya nikakumbuka kumtafuta bahati nikawaza niende kwa mama mwenye nyumba wangu kinondon mida io ilikua kama sa 4 iv asubuh. Ofc yngu ilikua sinza nikaenda nikamkuta amekaa nje nae kafungua genge pale nlipokua nauzia mm nikapak Gar nikashuka,
. nikamsalimia shikamoo dada akasema marahaba akawa ananiangalia kama ananifananisha nilivaa surual tite na top nimechomekea na miwan huku nimevaa weaving la bei refuu na pochi yangu sikua mnene sana mana nilikua nafanya mazoez bby alijenga nyumba za nje akaweka na vifaa vya jim sikutaka kupoteza figaπkumbuka nimeshuka kwenye gar yngu safii inang'aa mie mwenyew nanukia walimzoea maria yupoyupo tu anauza chapatππ woooiii nikamwambia mie maria akasema maria mama d?
nikasema ndio akasema hee umependeza hadi nimekusahau karibu ndani mdogo wangu, jmn pesa nyokoo alinifukuza leo naitwa mdogo wangu, bas nikaingia akasema nisamehe kwa kukufukuza maria yule shoga ako alinijaza maneno afu kumbe uongo sa ivi anahaha nikasema usijali n shetan alipita akaendelea kunielezea kumbe ulikua hutembei na yule baba sijui nn nikamwambia tuachane na hayo yamepita akasema kwel sa iv uko wapi?
nikamwambia mm naishi madale ,akasema umeolewa nikasema bado ila naishi na baba mtoto wangu akasema wee alirudi? nikamwambia ndio bas tukapiga blablaa pale nikamuulizia bahat kama ashawahi kuja akasema ndio alikuja kukutafuta ila hakuacha mawasiliano nikawaza nikasema bas ngoja niende alipokua anaish akasema wapi?
nikamwambia magomen akasema na mie nina safar ya huko naomba lift nikasema sawa tukatoka nje ile nafungua gar nikamuona shoga uyoga gift alienifanyia visa mama mwenye nyumba akamuita akasema humuon maria mbona humsalimii akajishaua kiaibu aibu akanisalimia nikamjib vizur na kumkumbatia juuu mi nasali bnaa woooiii basiii nikamuliza waenda wap akasema magomen nikamwambia twende bas wakapanda gar njian wanapiga stor mm naskiliza tunacheka akaanza kushuka shoga akafata mama yule nikampa hamsini akashukuru sna mie nikaenda had alipokua anakaa bahat wakasema alihamaga nikasema najua naomben mawasiliano bahat nzur kuna mdada shoga ake anawasiliana nae akasema yupo buza sa iv akanipa namba nikampigia bahat tukaongea nikamwambia bas kesho nitakuja akasema poa nikarudi ofcn jion nyumbn kesho yake nikawah kwa bahat akanielekeza nikafika akashangaa sana nilivo nikamsimulia mikasa mwishowe nikamwambia bby anataka kwenda nyumbn na sina mawasiliano akasema mpigie dadangu bas nikampigia akasema babangu mdogo yupo vizur analima aliacha pombe nikamwambia nipe namba yake akasema hana simu nikamwambia bas nenda kwake niongee nae akasema jion ataenda nikasema sawa tukapiga stor nying nikamulizia madam lea akasema aliachana na mmewe alikua anatembea na wanafunzi lkn ameolewa tena mana mmew alikua malaya mbwa nikasema malipoo n hapahapa bas jion nikarudi kwangu nikiwa na furaha.kuna mida dadake bahat akanibip nikapiga Alikua yupo na bamdogo nikaongea nae tu mambo ya hapa na pale nikamwambia kesho nitamtumia hela kupitia dadake bahat akanunue simu na lain afu kuna jambo tutaongea akasema sawa.basi kesho yake nikatuma lak 3 nikamwambia dada lak yako lak mbil ya bamdogo alishukuru dada akampa akamsaidia kununua simu na lain usiku akanipigia nikaongea nae kuwa nimepata mwenzangu anataka kuja akasema sawa lini nikasema tutakujulisha pia nikamwambia kuhusu makabur akasema sawa ataongea na wazee nikamwambia sawa bas jumapil ikafika tukaenda kwa mama na baba derrick mm na mwanangu na derrick kufika mama derrick kanuna balaa baba derrick alifurah kutuona derrick akamwambia baba huyu n mwanangu na huyu n mchumba wangu Baba akasema nafurahi kuwaona maria karibu mkwe kumbe zile chapati zilizaa matunda?
.
Nikacheka sana bas mama kanuna baba akauliza mama derrick huwaoni wagen akajib mm siwez kubal maria awe mkwe wangu baba akasema njoo mjukuu wangu akamkubatia d na kumpakata akaendelea kwa nn?akasema mwanangu asome aje kuoa msichana wa kaz derrick akadakia mama iko ndio kilikufanya umfukuze maria na ukijua anamimba yangu akahangaike mitaani na mjukuu wako tumbon?baba akauliza alimfukuza?
derrick akasema ndio na hata maria hakuweza niambia yy nimekuja ambiwa na mtu mwingn maria amehangaika hadi kunusurika kufa mwanangu angefanyiwa vitu vibaya isingekua nico hata mwanangu nisingemuona, baba akamwambia we mwanamke umekuaje?mbona yote hayo sikuyajua mbona mkatili ivo? Mwanangu sikuyajua hayo yote mimi baba yako, derrick akasimulia yotee kuwa mana alisema maria kaiba kaondoka baba akasema we mama rocky si tunasali sisi muda huo rocky na mkewe wakawa wanafika pia babake mdogo derrick na mke wake wakafika lkn baba hakujali aliendelea kumsema na kumfokea mama kuwa unaroho gn mm sikuona kama vizur nikampigia baba magot nikasema baba naomba nisamehe mm naomba yaishe baba, yule mzee akaniambia nyanyuka mwanangu akamuuliza rocky unamfahamu huyu?
rocky akasema ndio si n maria huyu? baba akasema hakuna asiejua tabia za huyu bint tumeish nae vizur sna kwa muda mrefu na derrick mwanangu amempenda na pia maria huyu ametuzalia mrembo huyu mke wangu mdogo mana wewe rocky umeniletea madume yote matatu yaje kunipiga na kuninyang'anya huyu bibi hapa wote tukacheka akasema derick bora umechagua bint tunayemfaham tabia kuliko ungetuletea wazungu watutawale mara ya pili tena akati Nyerere slishakomesha utumwa na kuwafukuza wazungu tukacheka akaendelea haya maria ni mchumba wa derrick wote wakafurahi sana baba akauliza derick mipango yako ikoje kwa huyu bint?
derrick akajib nataka nifunge nae ndoa baba niende kwao kwanza mapema mwez ujao afu mwez unaofata nifunge nae ndoa baba akasema vizur au unasemaje mama rocky mama rocky akasema mm siko tayari, baba akasema hata ivo anaeolewa ni maria na yupo tayar sio wewe unaeolewa mana pale kanisani anaulizwa maria na derick na wao wapo taYari bwana, mm kama baba na kichwa cha familia nabariki kila hatua pia nakukaribisha maria katika familia yetu pia akasema john ambae n bamdogo wa derrick utaenda Kuniwakilisha mana mm mzee miguu ni shida safari ndefu sitoweza mtanikuta hapa naanda ubwabwa wa nyumbn hapa mkirudi tena nitaingia mwenyewe jikoni huyu mama kisirani asije tuwekea sumu tuharishe jmn tulicheka, akaendelea nitawapa mzigo tukienda na mimi hamtaweza nibeba kila mahali rudewa huko tukacheka bamdogo john akakubali baba akasema mama d ulizia mila za kwenu umjulishe mwenzio afu yy atatujulisha sisi nikasema sawa baba asante,
basi tukala chakula cha jion mama amenuna tu tukaaga tukaondoka mie nikamuliza mjomba akaniambia Mila akasema pia anaish nyumba ya baba na haiko vizur nikamtumia pesa nikamwambia tafuta mafund fanya utaratibu wote pawe vizur tutatia aibu wakarabat wakikwama kitu ananijulisha natuma hela wakafumua had bat mana lilikua linavuja wakapiga jipya na nilimwambia mjomba asiseme kwa watu nan anafanya nikamtumia hela hapo baba d anaendelea na kaz huku tukisubir mwez unaofata mwanzon twende na alishakaa na wazaz wake kujadil pia vitu kama ma blanket mashuka vitenge sut ya bamdogo na majembe yalinunuliwa tyr mie nimekazana kufatilia ujenz mjomba akasema tyr mana nilitaka wachapie nje na ndan na chin pia waweke madirisha mazur na vioo mana kulikua na tofar madirishan pia bat lirekebishwe na nyumba ilikua na vyumba vinne na sebule nikamwambia atafute kochi za kawaida akanipa bei pia fens ijengwe na ichapiwe aweke na geti kubwa mie natumaga hela tu we nan akaaibike na vitanda na magodoro muda ukafika bahat akataka twende wote baba d akachukua gar ya babake double kibin zile za nyuma waz na yake kubwa mm,yy ,d na bahat tukapanda yake bamdogo john,
mkewe,mshenga na evanc wakapanda io double kibin tulinunua na malumalu ajil ya makabur na misalaba yenye majina pia tulinunua mchele debe nne na viungo mbalimbal na mafuta lita 20 vikapakiwa nyuma ile mizigo ya mahali iliku kwenye gar yetu bas tulianza safar sa 9 usiku tukatembea na kilikua kipind cha mvua barabara ya kwetu n mbaya lkn Mungu mwema haikunyesha mpaka tukafika ludewa usiku kama sa 6 iv nilimwambia mjomba aandae gest mana kulikua na kagest et muda mrefu sikufika maendeleo yalikuwepo tukapokelewa na bamdogo na mkewe na dadake bahat na kuwapeleka kina derrick na ndugu zake hio gest na ilikua na vyumba sita vinne self ndio tukachukua hivyo tulishakula njian nikawaaga kina derrick mie na mwanangu na bahat na dadake tukaenda kwa mjomba nikakuta nyumba inavutia angalau na get kubwa hata gar inalala ndan tukaingia ndan japo giza na hapo ni kwa baba ivo ni kwetu,tulimulika na kibatar na simu mana nilisahau mambo ya mwanga vyumbn ameweka vitanda na magodoro kama nilivomuelekeza yn kupo saf tukazungumza akasema alishawambia wazee kesho sa nne waje mana nilimwambia washenga wanaharaka ivo mahal n kesho tukajipanga na shangaz na bahat na dadake bahat pia majiran wachache kupika mjomba alishachinja ng'ombe na shangaz kuandaa pombe ya kienyej pia kuku zilishanunuliwa mana hela nilituma tukalala kidogo tukadamka nikaandaa supu na chapat nikaweka ktk mahotpot nikamuomba bahat anipelekee kwa kina baba d mana mie mwali vyakula vikapikwa kina baba d wakaja wazee na mjomba wakaongea nao wakataja vitu vyao viligharim kama mil 1 tu ikalipwa yote na yale mablanket yakatolewa bas nikaitwa nikakabidhiwa kwa derrick akanivalisha pete muda wa kula ukafika watu walikula walikunywa wenye kunywa bia soda na za kienyej had ulanzππ tn kulinoga na bamdogo alikod mzik bas mambo yalienda powa katika kupepesa macho nikamuona yule mamdogo alienifukuza na shoka nae anatandika bia sikujali sasa kilichonishangaza zaidi nikaona mtu kama mama sasha anatokea jmn nilistuka nikasema huyu kafata nn huku jmn au naota kumwangalia vizur n yeye ila amekonda sana uwii jmn rudewa hii mama Sasha kafata nini?
Ina mana ananifatilia bado? Mbona huyu mama ananiandama hivi nilishamkoseaga nini? je nini kitatokea mama sasha kafata nn ludewa kwetu?usikoseee.
je nini kitaendelea
Kitu kipyaaaπππππ
.