MARIAπππππππππ
Sehemu ya 15
Mwandishi :lissa mwalla
TUENDELEE
Tukaanza kumpepea haamki tukampakiza kwenye gar tukampeleka dispensary ya hapo kijijin wakamuhudumia tukalipia tukawa nje tunasubir mara akaja bibi mmoja akasema nimeambiwa mama maria amedondoka ameletwa huku nikastuka π³π³π³mama maria? bamdogo akamwambia ndio yupo ndani mm nikawa sielewi nilichoskia n sahihi maskion kwangu au sijaskia vizur, nikamuliza baba mdogo huyu mama tuliemleta anaitwa mama maria?anamtoto anaitwa maria au sijaskia vizuri? bamdogo akasema umeskia sahihi huyu ndio mama yako aliekuzaa maria, heeeeeeeee jamani nilikosa nguvu matukio ya kunilaza stoo,vile vipigo kunyimwa chakula kula makombo vipigo kunifata kino kunitukana na mwanae kunipigaa na kuninyang'anya vitu nilivyonunua kwa pesa aloniachia baba mtoto wangu wee huyu mama sio mama yangu weweee nikajikuta nakimbia kama kichaa baba mtoto wangu akaanza nikimbiza na bamdogo huku wananiita mariaa simama mke wanguu mara baba d akaniwahi akanidaka niliskia maumivu makali kifuani yani kama nimepigwa na kitu kizito kifuani nikaona nashindwa kupumua nikapiga kelele moja kaliii uuwiiiiiiiiiiiiiiiiiii nikazimia na mm.nikapelekwa hospital naamka namuona baba d ana uso wa simanzi mno akasema pole sana mke wangu ndo mana ulikua hutak kurud huku kumbe kuna visa vingi sana huku, nikanyanyuka nikamkumbatia nikasema mm mama sasha sio mama yangu kwa alionifanyia yule mama hapana jmn ππhuwez mfanyia ivo binadam nikamsimulia tena lkn baba d hakusema kitu zaid ya kuhuzunika na kunikumbatia nikalia sanaaaaaaaaa nikasema alikuepo mjin anakula maisha mm nateseka nafukuzwa hovyo na visu mara shoka nahangaika kwake akaninyanyasa kama sio binadam leo mm ni mwanae hapanaa sitaki mamangu alikufa, baba d wangu akanibembeleza had nikanyamaza akaniambia mama sasha anasumbuliwa na figo anahitaji msaada mke wangu hata kana alikutesa lkn naomba sabu sisi n watu wa sala naomba tumsaidie apate matibabu nikasema hapana baba d nahitaji msaada wa Mungu ktk hili kwa nguvu zangu na akili yangu siwezi amenijeruhi mnoo mimi nilikua wa kufukuzwa hovyo kama mbwa kukishwa nakombo akaniita mimi takataka hapana, nikasali sana mana moyo wangu uligoma kusamehe nikampigia mchungaji wangu akanipa maneno ya kusamehe na vifungu akasema hicho ndio kipimo cha iman yako mwanangu ukiweza kusamehe hilo bas umekwiva ktk imani akasisitiza sana pia tukasali pamoja mm baba d na mchungaj kwel nikapata aman, nilikua siku mbili nasali tu kisha nikaenda kumuona mama sasha alikua ameamka amekaa kitandan bdo moyo wangu ukikua unateseka lkn akaniambia maria nisamehe mwanangu sikujua nikamwambia kwa io watoto wa wengn ndio wanapaswa kunyanyaswa mama sasha?akasema hapana najuta mm kama adhabu nimepata mtu niliekimbilia kuolewa nae alinisalit akaniacha na kunifukuza kwake kama mbwa mwanangu sasha hakunisaidia nawambia naumwa hajali niko peke angu nikaona nirudi nifie huku kijijin nikamwambia mama sasha Mungu ndie anaeweza kuhukumu mm nimekusamehe niliposema hivo baba d alinikumbatia kwa nguv akasema asante mke wangu,bas mama sasha akanikumbatia kiukwel alikua amethoofu sana sio yule tena jmn basi akasimulia mapito yake nikaingiwa sana na huruma lkn sikueza muita mama.nikamwambia tutarud wote dar ukatibiwe akashukuru sana bas usiku wake bahat nae akarudi akasema alienda miliman kusalimia bibi zake sa 9 usiku tukaanza safar bamdogo nikamwambia rehema akikutafuta unijulishe pia umpe namba yangu ya simu.tukawaachia pesa ya kulipia umeme na kufanya wire ring angalau umeme uwepo nyumbn mana nikamwambia bamdogo hii ni nyumba ya familia na pesa ya matumiz d akaachiwa basi tukaanza safar mm baba d,bahat na mama sasha na d wangu tukafika dar usiku njian tulipokezana mm na baba d kuendesha kesho yake mapema tuliwahi muhimbil kwa ajil ya mama sasha akalazwa na kuanza kuhudumiwa ikawa tunaenda kumuona huku nikisali na mchungaj wangu alikua anamtembelea pia alitaka kuokoka mama sasha akaongozwa sala ya toba Mungu akamsaidia ilipatkana figo gharama zote baba d alilipa hapo ikabidi harus yetu ipelekwe mbele ukapita mwez mama sasha bado hospital baba babamkwe anakuja kumuona na ndugu zake baba d baada ya mwez na kama wik 3 iv akaruhusiwa kutoka nilifurahi sana mana aliendelea vizur akawa anatembea anakula vizur hata mwil ukaanza kurudi.kila siku tuna sali wote moyo wangu ulimsamehe na nilianza muita mama ila mwanangu alianza muita bibi mudaaaa bas mipango ya harus ikaanza baba d hakutaka michango japo ofcn kwao walilazimisha kushiriki ktk maandaliz ya harus mama mkwe akaanza kujirud akawa anakuja kwangu na anaongea na mamangu akanipeleka kwa ma designer kuchagua gaun lkn baba d na mm tulipenda gaun toka nje tukaagiza likaja mama mkwe akalipenda sana tukatuma nauli ludewa bamdogo,mkewe na watoto wao wawil waje pia nikamtumia madam lea na dadake bahat pia waje na mzee mmoja alikua rafik ake sana baba wakafika siku tatu kabla ya harus walishangaa nilivoishi kwenye ghorofa bas siku ilofata nikawapa hela waende kutafuta nguo mana mm sikuruhusiwa kutoka mama mkwe alikua ananisubir nipelekwe hotel nikakae hadi siku ya harus apo nimetaftiwa passport na visa tyr hapo bahat nae yupo kwangu bora nyumba ilikua kubwa nikampigia simu dereva mmoja akaja akawapeleka ndugu zangu shopping bahat akiwa kama muelekezaj bas mie nikapelekwa hotel nikakaa nahudumiwa kila kitu pia mama yangu yaani mama sasha alikuja kunipa kampan, tukiwa tumekaa zetu mara mlango wangu ukagongwa mama akaenda fungua jmn wifi angu kipenzi desire alikua amekuja nilivomuona niliangua kilio nikaliaaa sanaaa akanibembeleza huku anasema ulijua siji nikamwambia ndio nilijua huji akasema naanzaje kukosa kuja kwenye harus yako maria wangu tena leo siwi kama wifi ila mm n dadako nikamkumbatia akasema nimefika leo asubuh nikaenda nyumbn kwanza ila leo nalala na ww hapa mana kesho harus nataka niwe na ww ktk kila hatua nikafurahi sana basi tukazungumza mengi akamsalimia mamangu kipindi hko mama kapendezaa anawaka na weupe wake mama Sasha roho tu alikua anayo mbaya lkn sura mzuri na mshepu anao ,wifi akanionesha heren na chen nzur za dhahabu aliniletea tioka nje akasema nivae pia viatu vizur sana japo nilikua nishapata viatu nikaamua kuvaa vile vya wifi kesho yake wakaitwa watu wa saloon na make-up wakaja hotel kutupamba wote mm mama yangu na wifi pia msimamiz wangu aliwahi kuja tulipendeza sanaa gar nzur range lover na bmw mpyaa zikaja kutufata zimepambwa mm na msimamiz tukaingia range rover mama na wifi bmw hapo sijaonana na bby wangu naham ya kumuonaa nawaza maria mm housgal leo naolewa na mwanaume naempenda afu tajir ππππjmn mm naishi maisha haya nikamshkuru Mungu na kumuomba aendelee kunipigania tukafika kanisani watu walikua wengi tukafunga ndoa tukiwa na furaha nikaomba kutoa ushuhuda wa maisha yangu nikatoa pia nikaimba sana na kucheza tukatoka nawaona ndugu zangu wamependeza jmn kama sio wa ludewa kidongo chekunduuu, madam wangu pia jmn machoz hayakuacha kunitoka tukaenda nyumbn kupumzika na kula jion tukabadil nguo kuna gaun zur nililetewa na wifi toka uingereza nikavaa nilipendeza mnooo na simple makeup na mme wangu alivaa sut nzur simple mtoto wetu benet na aunt ake pia alivaa gaun zur sana bas tukasherehekea baba mkwe na mama mkwe akatupa kiwanja bagamoyo na range lover mama yngu nae akatupa kibox cha zawadi hee pesa sijui alitoa wapi, bamdogo akatupa kiwanja nae ludewa na zawadi zingn nyingiii na watu mbalimbali sherehe ikaisha tukaenda kulala hyatt kesho yake tukapanda ndege safariii marekan kwenye honeymoon jmni maria wa ludewa ndan ya marekan nilimshkuru Mungu huko tulifikia apartment fln maeneo ya L A nikazunguka na bby maeneo mbalimbali pia rafik zake wazungu na waswahili wa huko walikua wanatupa kampan na kutupa offa na zawad mbalimbali wiki mbil zikaisha tukarud nyumbn nikakuta ndugu zangu wa rudewa hawajarud bado wapo zao na mama pia amekua mpolee anapika na kaz zingine bas wakakaa siku mbil nikawafanyia shopping wakaondoka bas mie nikaendelea na mme wangu baada ya miez miwil mm nikawa mjamzito pia niliishi na mama japo alikua anataka atupe uhuru akataka aende kijijin nikamwambia mama umezoea dar utarudije kijjn bas kuna nyumba mme wangu alikua anaijenga akasema bas ikiisha
mama akakae pale nikashkuru sana, siku moja bahat akaja na mabeg analia akasema mme wake amemuacha kaleta mwanamke ndan mm nikawa sina jinsi nikampokea mana alinisaidia sana pia tumetoka mbali nikamkaribisha nikampigia mme wangu akasema mpokee bas tukaanza ish na bahat lkn alikua mtu wa mawazo sna na mm mjamzito nilikua naumwaumwa sana ivo ofcn kwangu alikua anaenda mama kupiga mahesabu mm nashinda nyumbn kipindi hiko nadekaa mana mimba ya d niliishi kigumuu hii acha nidekee hahaha wooiii bas baada ya muda nikaanza kuona mabadiliko ya bahat akikaa seblen mr akiwepo anakaa hovyo mara amsaidie kutoa vitu ktk gar mara amkorogee chai yn vitu nilivokua nafanya mm yy ndio anafanya sasa sabu ya mimba inanisumbua yy akawa anafanya mama yngu aliniambia maria kuwa makin na huyu msichana, mm nikasema mama usijal huyo tumetoka mnaki ni kama ndugu, mama akasema usiamini watu mwanangu nisamehe sikuwepo kukufunza, nikasema usijali mama. siku moja nikiwa nimelala nikaskia gar ya mr ikiingia sasa nikaamka nikajikongoja hadi seblen mara namuona bahat amekaa chin kwa nje kitenge pemben chupi nje analia ssss sss shem nimetegukaa mme wangu amekazana anamnyosha mguu muda huo mama nae kumbe alikua nje akaenda akamwambia bahat ebu vaa kitenge ata kama umeteguka huyu si ni shemej yako uwe na adabu akamwambia mme wangu mwanangu ingia ndan acha nimnyooshe mimi huo mguu mm nikaingia chumbn haraka nikiwaza lile tukio, hahati nzuri mme wangu akaingia akanisimulia like tukio asijue nimeona akasem mke wangu huyu shemej kuna mambo simuelewi au tumtaftie nyumba akapange nikamwambia hapana mme wangu itakua stress tu, yani nilikua mgum kuamini bahat anaeeza nigeuka kwa kule nilipotoka na bahat hawez fanya ujinga bas ikapita wik mbil akaomba kwenda kijijin nikampa naul akaenda akakaa wik akarud akiwa na furaha siku inayofata mchana akaniambia leo nakupikia nikasema Sawa akapika kile chakula mie nimelala kwenye sofa mama akaniambia mwanangu nimeota ndoto mbaya sana kuhusu huyu bahat naomba muondoe hapa haraka, nikasema mama n ndoto tu tukemee akasema haya ee endelea kuwa mbishi muda huohuo dadake akanipigia simu akaniambia maria samahan nina shida nikamwambia nambie akasema kuna shamba anataka kununua hela imefel kama lak mbil anaomba nimuazime nikamwambia sawa kiukwel najua nilipotoka huwa napenda kusapot wenzangu nikiwa nacho muda huohuo nikamtumia akapiga kushukur akakata simu baada ya muda tena akapiga akasema bahat alifika nikamwambia ndio akasema ahaa akakata baada ya muda tena akapiga akasema maria naomba usimwamini sana mtu uwe makini sana nakuomba ata kama mtu wa karib usimuamini nikasema mbona unasema ivo kuna nn akasema ww uwe makin akakata simu mmh mama akauliza vip nikasema hata simuelewi, mara bahat akaleta chakula mana alipika mchemsho wa samak mama akasema nimeutaman bahat akasema nimepika wa mama k tu mama akasema tuonje bahat akawa mkal mpaka nikamwambia usimfokee mamangu pliz bahati kuwa na heshima, akaomba msamaha mm na uroho wngu nikala ule mchemsho nikashibaaa mme wangu akaja mdada akaandaa chakula wakala mm nasinzia mme wangu akanibeba had chumbn ile nimelala nikaota ndoto bahat ananichoma kisu nikastuka nikasema yesuu mme wangu akastuka nae muda huo najihis kama nimeloa huku kwa bibi nikamwambia bby washa taa ile anawasha madamu yamejaa kitandan nikapiga kelele mamaaa damu mme wangu hapo tumbo likaanza kuniuma sanaa na kiuno mme wangu akachanganyikiwa akatoka kifua waz na bukta akafungua milango mama nae akastuka bahat wala hakutoka mme wangu akanibeba apo mm nalia damu zinamwagika na naumivu makali namwona baba na bibi walokufa wananiangalia nikapiga kelele mme wangu akanipakia ktk gar Huku amevaa bukta tu mama yangu amechanganyikiwa nae akaingia ktk gar nakumbuka nikasema derrick mme wangu nakupenda snaa ila mm nakufa hapohapo nikakata moto sikuelewa kilichotokea ..
je nini kitaendelea
Kitu kipyaaaπππππ
.