Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

MJEDA TARATIBU BASI SEHEMU YA KUMI NA SITA

2nd Aug, 2025 Views 110


______________________________________

Aliongea ivyo akaondoka , Amina alienda kuleta dawa za kumeza nikameza, kidogo mzee akafika, nikamsalimia Kwa uoga kweli, tulikula, nikatoka kuongea na mzee pamoja na Mudy, mzee aliuliza kama tumemaliza tofauti zetu ndoa lini tusizini hovyo, " baba Mimi binafsi Niko tayali hata Sasa hivi ila mwenzangu akaomba iwe wiki ijayo, tutafunga kwanza ndoa Sherehe ndio tutapanga, nilishangaa Mimi ndoa, nikajifanya kukubali tu ila kichwani napiga hesabu ivi, Nina akili kweli Mimi niolewe na huyu shetani, mbwa ibilisi mkubwa huyu hapana��...

Tulimaliza kuongea siku hio tulilala hapo na mimi nililala na binti yangu Kwa amani kabisa, asubuhi kulivyokucha, nilikuwa wa kwanza kuamka, nikafanya usafi mikonono ilikuwa sawa, nikapika nilisaidiana na dada wa kazi na Amina wangu....

Anapenda kupika ilibidi nianze kumfundisha saivi chai binti yangu ni fundi hachemshi anakupikia chai chai kweli...

Mimi nilipika vitafunwa, Amina wangu Kwa mara ya kwanza kapika chai ya familia, siku zote alikuwa anapika kwangu tu, Leo kapika kwao tena ya watu wengi, wote hawakuamini wakadai nampa kichwa tu, hii chai ata dada wao haijafika kiwango hiki...

Tulibishana mpaka wakafungua CCTV ya jikoni, wajashuhudia Mimi wakati Amina anapika chai Mimi nilikuwa na deki hivyo hakuwa na mtu hata wakumwelekeza ni yeye mwenyewe...

Familia nzima ilifurahi, babu akatoa zawadi kwangu na Kwa mjukuu, baba mtu akatoa zawadi Kwa mwanae afu Mimi akasema tutamalizana ��, mnaielewa kweli hii jamani...

Tulikula tukasambaa Mimi niliaga kabisa make Leo ilikuwa siku ya kurudi kwangu, Amina alitaka kuondoka na Mimi nikamzuia kuwa Leo akae na familia afu kesho aje, Mudy alinitizama akakausha...

Nilipelekwa na Mudy mpaka kwangu, Kisha akaondoka, alivyoondoka tu, nikabeba vitu vya muhimu, nikawapigia nyumbani nikamueleza mama Kila kitu...

Mama akasema nipande gari sasa hivi, japo muda ulikuwa bado nikaona bora niunge unge nipande za Arusha afu huko ndo nitapata zile gari za jioni kuliko nisubili huku...

Nikaweka vitu sawa funguo za dukani na kila kitu Ili Sophia akija anisaidie kuuza vitu baadhi siwezi kubeba vitu nitashtukiwa, hata begi niliacha nikabeba kimkoba tu Cha nguo baadhi...

Nikatoka mpaka stend, nikakata ticket yakwenda Arusha, nikiwa nimekaa zangu natamani gari iondoke haraka, Mungu akawa upande wangu gari ikasema, imekimbia kama dk 20, ikapigwa mkono, mambo ya matrafic...

Gari ilisimamishwa akaingia trafk, alikagua gari Zima, akataka kutoka ghafra akaja kunisimamisha nikasimama akaomba nishuke mara moja nyie sijui nini kinaendelea mwenzenu...

Itaendelea...��
Full sh 1000

Njoo WhatsApp katika namba 0683944333.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MJEDA TARATIBU BASI SEHEMU YA KUMI NA SITA  >>> https://gonga94.com/semajambo/mjeda-taratibu-basi-sehemu-ya-kumi-na-sita
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest