Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJILI *SEHEMU YA 03*

10th Sep, 2025 Views 62


Niliwaza haraka haraka nikasema huenda hizi ni njia Mungu anatufungulia za kutupatia ada sisi yatima wakeπŸ₯ΉπŸ₯Ή..

Nilimwambia Hemed it's okay kwa hiko chakula kitakuwa cha watu wangapi???

Akasema ni chake yeye tu atakuwa anapitia anaenda kula nyumbani then anarudisha vyombo asubuhi😝😝😝...

Sawa basi nimekuelewa... na chakula kitakuwa cha aina gani maana hicho cha mtu mmoja si itatakiwa niwe napika chakula unachojisikia kula😞..

Hemed aliniambia ni kweli but mimi nitakutajia tu vyakula ninavovipenda then nitakuwa nakupa pesa ya mahemez ya week nzima then wewe utakuwa unapangilia kipi cha kupika..

Okay sawa basi Hemed naomba nikutakie usiku mwemaπŸ™πŸ™tuliagana hivo huku pembeni kadogo kangu kakawa kanacheka cheka tu😳😳

Unacheka nini wewe badala ujisomee😳😳 hahahaa dada mbona huyo kaka alikuwa anakuongelesha hivo😝😝😝 ni kama vile anakupenda πŸ™ˆ

Hivi huyu ni chizi eehπŸ˜³πŸ˜‚ anawaza upuuzi ila simlaumu maana ndo yuko kwenye ule umri wa foolish ageπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nilimpiga kakibao kadogo kichwani nikamwambia soma huko uache upuuziπŸ˜’

Tuliendelea kusoma mpaka saa sita za usiku tukaingia kulalaπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°siku iliyofuata kama kawaida tuliamka mapema tukaenda sokoni tukahemea makolo kolo ya mgahawani then tukaenda kuandaa chakula

Tulipika chai na vitafunwa tukapeleka kule site kwa Boss Hemed yeye hakuwepo walikuwepo mafundi tu😝😝

Siku hiyo nimefika pale mambo yalikuwa tofauti na jana😳😳😳 yani siku hiyo mafundi walinionesha heshima fulani hivi mmmhhh nikabaki nashangaa..

Jana tu walikuwa wananitania tania wengine mpaka wananiita mama watoto wengine wakaanza kuniomba namba ila siku hiyo nikaanza kuitwa miss mara madame hahaaa haya ni maajabuπŸ˜‚

Niliwapa chai then nikakaa pembeni kusubilia vyombo wakati nasubilia vyombo hee mara nikaona gari ya Hemed 😝😝😝 alafu akaja kupark pale nilipokaaa nyieeeπŸ™ˆ

Alitelemka kwenye gari akanipa hi alikuwa ananiangalia kuliko kawaida ila sikumzingatiaπŸ˜‚πŸ˜‚ alipoona nampotezea akasimama pembeni akawa ananiangalia kwa macho ya kuibia😝😝

Mimi wala sikuwa na time naye hahahaaa nilikuwa bize tu nawaza majukumu mimi ndo mama mimi ndo baba kwangu na kwa mdogo wangu sina nafasi ya kuwaza ujinga hata kidogoπŸ˜“πŸ˜“..

Nilikuwa nawaza mbali sana mpaka akili ikawa haiko tena pale siteπŸ˜“ nilikuja shituka kwa badae mafundi wanakonyezana tu mmhhh nini kinaendelea

Si ndo ikabidi nigeuke kumwangalia Hemed nikakuta mkaka wa watu kaganda jicho liko kwangu...

Kwa vile mafundi walishamaliza kula nilikwenda kuchukua vyombo vyangu niondoke Hemed akaniita akaniuliza kama chai ipo nikamwambia niliyoleta pale site imeisha ila ofisini ipoo..

Aliomba twende wote ili akanywe chai😝😝😝nikamwambia sawa twende..
Alifungua mlango wa gari nipande nikamwambia siyo mbali tutembee tu..

Please Bella panda kwenye gari please πŸ˜”πŸ˜” ilibidi nikubali kupanda tukaondoka kuelekea pale mgawahani kwetu..

Nilikwenda nikamuwekea chai chapati na maharage akaanza kunywaπŸ₯°πŸ₯° alipomaliza akaniambia chakula ni kitamu sana naomba namimi uwe unaniwekea chai nitakuwa nakuja kunywa hapaπŸ™ˆ

Poppy kwa pembeni ni kukenua tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nilimwambia sawa Hemed hakuna shida..

Aliomba Bill nikampatia yake na mafundi akanilipa... baada ya hapo kuna kikaratasi alinipatia kilikuwa kimeandikwa vile vyakula anavokula yeye..

Alinipatia na hiyo pesa ya mahemezi ya week nzima na ya kwangu ya upishi nyieeeeee mbona ananipa pesa zote hiziπŸ™„πŸ™„

poppy alinikonyeza dada chukua mbona unakuwa mshamba hivo weweπŸ€”

Nilichukua zile pesa baada ya hapo Hemed aliondoka😝 jioni ilipofika nilikwenda kuhemeaπŸ™ˆπŸ™ˆ

Siku hiyo nilipanga kumpikia samaki na ndizi pamoja na juice ya embe na passion 😝😝😝...

Niliingia jikoni mtoto wa kitanga mapishi nayajua si kitotoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nilikaangizaaaaaπŸ™ˆπŸ™ˆ

Hiyo juice nikaisaga nikaitia kwa fridge ipoeeπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ usiku mida ya saa mbili ndo nikapigiwa simu na Boss Hemed anaomba nimwelekeze home aje kuchukua chakula😝

Mmmmh nyumbani tenaaaa

Nini kitafuata???.. itaendelea..
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJILI *SEHEMU YA 03*  >>> https://gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajili-sehemu-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest