Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

MUUAJI WA TANZANIA KATIKA SOKA AMELETWA TENA DAHANE BEIDA @dahane2006 refa

21st Aug, 2025 Views 19

wa kimataifa mwenye Beji ya FIFA toka nchini Mauritania @ffrim ameteuliwa kuwa Refa wa VAR
katika mchezo wa kesho Tanzania vs Morocco katika michuano ya CHAN @caf_online inayoendelea.

Huyu Refa ni Muuaji katika maamuzi yake ndani ya mpira kwa
Watanzania na historia inajua hivyo na hapendwi wala kutakiwa kuwepo katika michezo ya Tanzania maana tayari
nyongo zimetumbuka juu yake.

Mechi ya Mamelod vs Yanga alituuua waziwazi kule South
Africa katika CAF Champions league ila tukio la hivi karibuni ni la Fainali ya CAF Confederation Cup kule Zanzibar Simba vs
Berkane toka Morocco alitoa maamuzi anayojua yeye na kuacha vidonda sana kwa Tanzania baada ya ile mechi
hakuweza kuondoka na ndege alikuja nayo bali ndege binafsi iliyoandaliwa na Rais wa Soka la Morocco na Makam wa Rais
wa CAF bwana Ferouz Lekjaa @tft_morocco hii ni kuonyesha
ni refa wa Mipango anaelindwa na @caf_online

Sasa Katika mchezo ambao Tanzania inacheza dhidi ya Taifa la Morocco ameletwa tena yule Refa wa Mipango na kusimamia VAR katika mchezo ambao Morocco inatoka North
Zone ya CAF na Refa anatoka North Zone hiyohiyo ya CAF kupangwa ni ubatili hii ni dhairi kuonyesha kuna Mipango
inasukwa na Watanzania safari hii Hatutakubali.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUUAJI WA TANZANIA KATIKA SOKA AMELETWA TENA DAHANE BEIDA @dahane2006 refa  >>> https://gonga94.com/semajambo/muuaji-wa-tanzania-katika-soka-ameletwa-tena-dahane-beida-dahane2006-refa

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest