Zayn alipoingia ofisini asubui ile ya Ijumaa, hakutarajia chochote kipya. Alikua na usingizi bado, kichwa kilimuwasha kwa hasira na mawazo ya Tatiana. Lakini mara tu alipofungua mlango wa ofisi yake, alikutana na sura ya mtu ambae hakutarajia kumuona pale kabisa๐
โโ๏ธ.
โKevin?โ Zayn alipiga kelele akiwa haamini macho yake๐ฃ๏ธ
Kevin alisimama kwa tabasamu akasema, โBro! Surprise!โ๐ฅณ
Zayn alimkumbatia Kevin kwa furaha mno maana ni mchizi kichizi wake toka enzi za primary๐ซฐ
โDamn! Wewe ulikuwa Seychelles, lini umerudi?โ
โJana usiku. Nilitaka nikufanyie suprise kidogo nikushtueโ Kevin alijibu huku akicheka๐คฃ.
Walikaa wote kwenye sofa, Kevin akiwa na shauku ya kujua mengi kuhusu mchizi wake
โSasa niambie, mkeo yuko wapi? Leila, yule binti mzuri tuliyehudhuria harusi yake pale St. Maryโs?โ๐คทโโ๏ธ
โTafadhali usianze na huyo. Sina mpango naye kabisa. Napanga kumpa talaka muda si mrefuโ Zayn alikunja suraโน๏ธ
Kevin alishtuka โWait, what? Kwa nini?โ๐ณ
Zayn alitingisha kichwa, akavuta pumzi ndefu, โHakuna mapenzi. Niliamua kumuoa kwa shinikizo la familia. Kiukweli moyo wangu ulikuwa na Tatianaโ
Kevin alinyanyua nyusi, โTatiana? Secretary wako?โ๐คจ
โYes. Lakini ananizingua. Amekuwa na mwanaume mwingine. Nimemtoa moyoni! Am done with herโZayn alisema kwa mkazo๐ก
Kevin alimtazama Zayn kwa jicho la kiuchunguzi, โBro, you donโt look okay. Hata uso wako umejaza stress. You need a break. Tonight, kuna sehemu nataka twende. Club ONE! Kuna madansa wa ukweli. Ni therapy yangu kila mwanzo wa weekend also nimesikia siku za weekend nipa moto kinyamaโ
Zayn alicheka sana maana Kevin hupenda mno mambo ya club
โUnasema therapy? We jamaa hujabadilika. Lakini poa, twende. Nahitaji kuondoa stressโ
โNice brooโ waliepana tano huku stori za hapa na pale zikiendelea. Ujio wa Kevin uliweza kumchangamsha Zayn mno.
Basi Usiku ulipofika, Kevin na Zayn waliingia kwenye gari aina ya Range Rover Sport, wakaenda hadi Club ONE.
Zayn alijua ni club ya kawaida, hakujali sana, alitaka tu kelele, pombe, na wasichana warembo. Lakini walipofika pale akagundua asilimia kubwa ya watu ni wanaume tena wenye pesa.
โBroโฆ asilimia kubwa ya watu ni wanaume! Hii ni gay bar au??โ Zayn alimuuliza Kevin kwa mshangao๐ณ๐คฃ.
Kevin alicheka, โHapana bwana! Ni club ya madansa wa kike. Madansa high classic bro! Hii club ni unique. Madansa huvaa masks na Nobody knows who is who! Nimesikia kuna huyo mmoja anaitwa Luna! Nimesikia yupo hot sana but hucheza kila jumamosi na jumapiliโ๐ฅ
โAah sio mambo yangu haya!โ Alisema Zayn๐ค
โI know! Ila najua uta enjoy just chill manโ
โOkayโ
Wakalipia kiingilio cha laki mbili kila mmoja na kuingizwa VIP. Waliketi mbele kabisa, karibu na steji. Muziki ulikua mkubwa ukisindikizwa na disco lights za kutosha, inshort palikua pamechangamka sana.
Ilifika Saa mbili usiku, Boss wa club alikua akitetemeka vibaya mno
โRuby hayupo! Ana homa kali. Hatacheza leo!โ ๐ฐ
Binti mmoja mwingine aliesimama pembeni yake akamuuliza
โSasa tutafanyaje Boss? Wateja wa leo ni wa maana mno?โ
Boss hakujibu, alienda chumba cha kubadilisha nguo ndipo akakutana na Leila ambae alikua amekaa pembeni akipiga stori na Sinyati baada ya kumaliza mazoezi yao.
โLeila, leo unacheza weweโ alisema Boss๐ฃ๏ธ
โMimi?? But huwa nacheza jumamosi na Jumapili?โ Leila alishangaa๐ณ
โNajua, leo kuna emergency! Ruby anaumwa and kuna wateja wa maana mno siwezi wadisappoint hata kidogo!โ
โBoss lakiniโฆโ
โNitakulipa vizuri! Jiandae haraka, vaa mask yako kapande stejini, tumeelewana??โ
โNdio Bossโ Leila hakua na namna na hakuweza kuendelea kumkatilia Boss wake kwa hofu ya kuonekana mkaidi.
Sinyati alimsaidia haraka haraka kujiandaa, akampaka make-up, akatengeneza wigi lake kisha Leila akamalizia kuvaa gauni lake na Heels akawa tayari. Mwishoni kabisa akavaa mask yake tayari kwa kazi๐ฅ
Basi Steji ikazimwa taa. Spotlight moja ikamulika katikati. DJ akapunguza sauti ya mziki, akachukua kipaza sauti kwaajili ya kumkaribisha Leila stejini
โGuysss! Leo tuna suprise kwaajili yenu! So Give it up for โฆ. LUNAAAAAAAAAAAโ ๐ฅณ๐ฃ๏ธ
Weee watu walishangilia mno hasa Kevin maana walikua wanajua Luna hupanda siku ya jumamosi na jumapili tu! Ilikua suprise nzuri kwao๐ฅณ
Haya Leila alipanda na kuanza mambo yake ya kuchezesha kiuno, kungโata lipsi na kujitikisa kidogo. Lakini ghafla macho yake yakatua kwa mtu aliyekaa VIP tena mbele kabisa. Si mwingine bali ni Zayn, mumewe๐.
Aliganda na kutoa macho akiwa haamini kile anachokiona. Alitaka kukimbia kwa uoga ila akakumbuka kitu, alivaa mask na sura yake haikua ikionekana.
โHawezi kunitambua. No wayโ alijisemea kimoyomoyo na kuendelea kunengua bila uoga๐
Zayn yeye hakua hata na habari kuwa Luna ndie Leila, macho yake yalikua juu ya Luna akikitazama kiuno chake kilivyo enda, paja na jinsi alivyo tabasamu. Mwanaume akavutiwa na Luna, akahisi hisia ambazo hakuwai kuzipata popote pale hata kwa Tatiana๐ฅ.
โDamn bro! Huyu ni bonge la dancer! Cheki kiuno! Flat tummy iko mahali pakeโ alisema Kevin na kumfanya Zayn atabasamu. Macho yake yalikua yameganda kwa Luna.
Hakujua kwa nini moyo wake ulianza kwenda mbio. Kuna hisia aliyokuwa anapata pindi akimtazama Luna! Ni wazi Zayn alichanganyikiwa na yule dansa pale stejini.
Je nini kitaendelea?
Nakujaโฆโฆ...
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.