TRISHA Alishuhudia Alex Akipotea kwenye macho yake Hakujua Kwanini Alibaki Kuipiga Simu ya Alex Iliita Bila Kupokelewa Hakuelewa ILa Moyo wake Ulihisi Hatari kwa Jinsi alivyoondoka pale
Alikaa Chini Kabisa Kama Mtu asieelewa Afanye Nini
Akiwa Pale Chini Alisikia Mlio wa Pikipiki Ukija KWA Kasi Sanaaa
"Alex"
Aliinuka Haraka huku akitaja Jina La Alex AnajuaUendeshaji Pikipiki wa Alex kama Kichaa Akabidhiwe Rungu Ndivyo Alex Akikabidhiwa Piki Piki Mwendo wake Wa Hatar hatar Mda Wote
Trishaa Aliinuka Kuangalia Hakuamin Alex Yupo mbele yake
Alex Aliona Kuliko Kukimbia Tatizo Bora asimame Kupambania Mapenz yake Kwa Trishaa Alipiga Break ya Gafla Sana Hata waliokaribu yake walimlaani Sanaa na Kurudi kwa Trishaa wake
Alifika Na Kumkumbatia🥰🥰
Wakati Yote hayo yakiendelea Kuna Watu Walio Kuwa wakifatilia kwa ukaribu sana Wapendanao Hao wapya Mjini
Aizack baada ya Kuona Trisha Yupo bize sana na Simu Alijitahidi Sanaa Kuona Anachati na nani Aliona Jina Limeseviwa My King❤️
Na alivyotoka Haraka Haraka Aizack alimfatilia Nyuma Kujua anaonana na Nani
Muddy Wakati Huo Alikua Anaenda KWA kina Trisha Kabla Hajafika alimshuhudia Trisha akitoka Mbio kuelekea Nje ya Nyumba Yao Alisimama Kuangalia anaenda Wapi ?
Kulikua na Mtu mwingine kabisa Huyu mtu Ndie aliempgia Simu Alex akumpa Onyo Yeye aliwashuhudia Wote wanaomfatilia Trisha na Huyu mtu Alitumwa na boss wa Alex Kufatilia nyendo Zote. Za Alex Hata ile Kukesha Alex na Trisha Alikua amekesha nao pia
Alex na Trisha wao Hawakujali Walioneshana Upendo wao wa agape mbele Za Watu Kabisa
"New Day Has Coming My Love(Siku mpya Inakuja Mpenzi wangu) "
Alex Alimwambia Trisha
"Umeniacha Dkk2 Tu nishaboleka Twende Wote"
Trisha aliongea Huku akijiweka Vizur Kifuani kwa Alex
"Mimi ndege wako manati Ya Nini"
Alijibu akimpa Busu
Alex alimrudisha Trisha mpk nyumbani kwao Ray Alishangaa sanaaa Trisha na mr handsome Imekuaje tenaa
"Shoga we Ugemsubiri Tu huyo kileso chako Huyu mr Handsome Ungeniachia Mie "😃 Ray Uvumilivu Ulimshinda akaropoka KILA Mtu alicheka
Wote walifurahia Ujio wa Alex Lakin Aizack Alichukizwa Sanaa na Ujio wa Alex pale Laiti angejua Huyu Ndo Hasimu wake Mtu ambae Anamtafuta KWA Miaka Zaidi ya Miwili Basi kazi yake Ingekilikua Rahisi Sanaa
"DaT mi Nampenda Sana Trisha Nipe Tu baraka Zake niondoke nae Kabisa"
Alex Alimwambia Dada ake Trisha
"Ndo wanaoaga Hvyo Huyu Haendi Popote mpaka Ndoa "
Alijibiwa Alex na Kufanya Wote wacheke
Alex Alishinda kwao Trisha Siku Hiyo
Jioni Alex Aliondoa mpaka Sehem ambayo Ameweka Makazi
Ni Jengo Moja Kubwa na la Kifahari Ni Hotel ya Wageni wenye Hadhi inayomilikiwa na Bwana Makregani
Katika Chumba Kimoja Kilicho Ghorofa ya 8 ndio Alimuhifadhi Alex KWA Miaka Zaidi ya minne Tangu Alipo Mkomboa Kutoka Blazil
Alex Siku Hii Alirudi Akiwa Sio muuwaji Tenaa Alirudi kama kondoo alepotea KWA Mchunga wake Nasasa amelipata Zizi lake
Hakuitaji Kazi Wala pesa
Akili Yake Iliwaza ni Vipi atamlinda Trisha Na Atatoka Vipi kwenye mikono ya Boss wake
Kitendo alichokifanya Alijua wazi Kuwa Makregani Hawezi kukubali Kumuacha Akiwa Hai
Alitoa picha ya Mama yake huyo Pekee Ndie aliekua Rafiki yake Huongea na Picha Ya Mama yake Kipindi Chote Akiwa na Huzuni
Leo Ilikua Tofaut KWA Miaka Yote Aliyowah Kuishi Duniani
"I found a women mom Stronger than anyone I know She Shares My Dream,😰 mom I found a Love To carry More Than just my Secret 😓To carry love To carry Children of our own,,I found Girl Beautiful and Sweet (Mama Nimepata mwanamke Shupavu Kuliko yeyote niliewahi Kumjua nitashea Nae Ndoto zangu Mama Nimepata mpenzi ambae Atabeba Siri Zangu ,Atabeba Upendo wangu ,Atabeba watoto wetu Nimepata Mschana Mzuri Sana )" Machozi tu yalilowesha Picha Aliona mtihani Mzito Na Hatari Iliyo mbele Yao Dhidi ya Penzi lake
Alex Aliongea na Mama yake KWA Lugha yao Aliamin mama yake Hajui kiswahili Hivyo huwa hapendi kukitumia sana anapo Ongea na Mama yake
"Well👏🏻👏🏻 Well👏🏻Well👏🏻"
Akiwa Kwenye dimbwi zito la Mawazo Alisikia akipigiwa makofi Nyuma na kusifiwa Baada ya kugeuka Alimuona Bwana Makregani Akiwa Tayari ndani Ya Chumba chake
"Mtihani wa mapenz Hakuna Aliewah kufuzu lakini Wewe Umekua zuzu Kupenda Sehemu Ambayo Hutakiwi Kupenda Kabisa Unajua yule Mschana ni Hatari Kiasi Gani Kwenye maisha yetu UnajiangaliaWewe Sio Unajua Kwasasa nipo kwenye Hatari Kiasi Gani?"
Makregani aliongea huku akimtupia Picha Alex
Picha Hizo Zilikua Za tukio Ambalo amelifanya Alex na Trisha Kuanzia Usiku Ule Mpaka alipo rudi na Piki Piki Picha Zote zilikuwepo
Alex mapokeo Yalikua Tofaut ya Picha hizoKwanza alifurah Sana kuziona Zile picha
Na vile Alijua hata Picha ya Trisha Tofauti na ile aliyopewa na Muddy ikitambulisha sura ya Trisha anaetakiwa Kuondoka Uhai wake
Alifurah sana Kuona Zile Picha Ambazo Wamepigwa Yeye pamoja na Trisha
"Sasa Hivi umekua Unajiachia Unatoka Unavyojisikia Wewe Umesahau kama sura yako kuna Watu wanaijua Vipi Taarifa Zikifika Upo hai Unaniweka Wapi Mimi "
Alex Aliinuka Akamsogelea Boss wake
"Kama ,Kama Ukimgusa Trisha Hata Kwa Kumtazama Na jicho Baya Nakwambiaa NITAKUUA"
Alex aliongea huku akimpiga Piga Kifuani Makregani KWA ujasiri na Sura ngumu
Bwana Makregani Hakuamin masikio Yake
"ALEX"
"YES It's"
"Okay nitamuacha Huyo mwanamke Fine Hakikisha Unamnyamazisha Macho yangu Wakati wote yatakua Kwake "
Bwana Makregani aliongea huku Akiondoka Eneo Lile Na Kumuacha Alex Pekee
....
Soma mpaka mwishoooo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments