πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
RATIFA
sehemu ya 37
Romantic stories
Simulizi za john
Basi tukamuaga mama akanambia uwe unawaleta wajukuu zangu jamani ,nimechangamka sana leo mimi nikasema sawa mama ata usijali tukabeba watoto tukaanza safar ya kuludi home
njia nzima ananishika mala ananibusu namwambia karimu wanao wataona alafu yatakua mambo akanambia wanasinzia ao basi tunacheka tunaongea akanambia ratifa sitak kukaa kesho natuma watu moro kwa bibi nakuoa nkasema sawa mpenzi kweli
akatuma watu moro akasema nakuuoa kimya kimya sitak sherehe wala kelele nkasema sawa kweli baada ya mda kama week 2 bibi akaja wakapanga sherehe ya ndoa na kila kitu basi bibi alikua ananifunda kila siku jinsi ya kuishi na mume na alikua na raha si anampenda sana karimu mpka nkasema jamani bibi basi mm nimeelewa na ntatulia jamani basi tarehe ya ndoa ikawa inakaribia nkaanza kuumwa umwa we karimu alikuja nichukua anaogopa ananiuliza unavuja tena chini nkasema apana sivuji labda homa akanipeleka hospital yani yeye ndo anaogopa kuliko ata mm ambae naumwa
Nkapimwa nkaonekana na mimba ya mwez karimu alifurah mno nkasema baby wale bado awajatimiza ata miaka 3 vizur akanambia washakua wale watu wanasema adi nikacheka, akasema nileteee mama ukoo wangu mdogo sana nataka nijaze jaze nkacheka basi karimu akataka ndoa haraka
kweli akanioa sasa nkawa naishi mbez beach na familia yangu nilipendeza mrs karmu mm tako hilo akaninunulia na gari mume wangu akanifungulia duka kubwa la vitenge kariakoo lile dogo akawa analisimamia ashaa
ila wivu tu karimu ana wivu mno umepitiliza ila amani ipo ya kutosha mama alifurah jamani nilikua nampenda sana namlea kama mama yangu mzazi kula tunakula nae tushazoe mda wa kula tunaenda kutandika mkeka chumbani kwake tunamshusha ndo tunakula na yeye anatka kula na wajukuu zake atafanyiwa fujo vibaya sana kuna siku anataka kulala nao analala nao nkasema kweli ndoa na utaolewa na nani upanga mungu hatimae nkajifungua mtoto wa kike nna amani sana na ndoa yangu na huba languuuβ€οΈ
MWISHO//
ASANTEN KWA WOTE TULIOKUWA PAMOJA ASANTAN KWA WOTE MLIOINUNUA STORY.HII NYIE NDIO MLIOFANYA IFIKIE MWISHI MUNGU AWABARIK NAWAPENDA SANAAAAA
MSISAHAU KUFOLLOW UKURASA HUU KWA AMBAYE HAJAFOLLOW HAKIKISHA UMEFOLLOW TUKUTANE KWENYE VIGONGO VINGINE.