Alikuwa mama yake mzazi na J, alileta tuhuma zangu shuleni ikapelekea nikaachishwa kazi,hakuishia hapi alitutengenezea zegwe na majambazi ili nitolewe mimba,bahati nzuli yule mlinzi akapata taarifa, akaamua kututolosha mapema, na bibi, sikuwa na ujanja tayali tumbo lilikuwa limeshatokeza...
Tuliamua kwenda kujibanza mwanza, bahati nzuri ile pesa ya biashara sikuwahi kuigusa na hata kadi ya kipindi kile siku ya kwanza nipewe sikuwa nimeitumia, tuliuza mifungo ya bibi na pale tukaweka wapangaji..
Kwa kutumia mgongo wa mlinzi, tikakimbilia mwanza, tulinunua nyimba ya ml 50, ilikuwa na geti kabisa nzuli tu, pamoja na tumbo langu lakini sikutaka kulemaa, niliamua kufungua biashara, nilifungua hotel ya kawaida tu lakini nzuli sana, nilikuwa vizuli kwenye mapishi hivyo haikunisumbua kabisa...
Bibi yangu alibaki kuniombea kila wakati, upande wa J alihanagaika kunitafuta, nae aliibiwa simu, kumbe hio yote ni mipango ya mama ake, alitaka kijana wake aoe mtoto wa patner wake kwenye biashara..
Jeon alivyoona mambo yako sawa, akaamua kuludi hapo ni baada ya kuona mama ake hamuelewi, kila akiulizia hali yangu anapewa taarifa zisizoeleweka, hakumjulisha mama kama analudi, alimshtukiza tu, tena hakuanzia kwao alianzia shuleni, kufika ndo ajapewa raarifa mama yake alienda kupekeka malalamiko, kila kitu akaambiwa...
Alichoka mwili na roho akaenda nilipokuwa naishi hakunipata, akapata za chini chini mama ake alituma watu wanibake na kunitoa mimba, nikapewa taarifa mapema nikatoloka, aisee, alijisikia vibaya, alienda kwetu kule arusha akaambiwa hapo tulipauza, alivyofatilua mnunuzi akakuta ni yule mlinzi....
Akajua huyu atakuwa na taarifa kamili haiwezekani aweze kupanunua pale huo uwezo hana, apa Kuna jambo, akaamua kuanza kukuza kampuni zake za siri ambazo hata mama ake hakuwa anazitambua alijitanua kimya kimya huku akinitafuta, na mama mtu hakujua chochote...
Mimi muda wa kujifungua ulifika nyie nyie reba shikamoo,
Nilizunguka leba nzima, nikakuta madoctor wamesimama duara, wakifanya kikao, na mimi nikajiunga kwenye duara nasikiliza...
Wakanyamaza wote, wakawa wananiangalia, ndio nikashtuka, aah kumbe stakiwi kuwepo hapa eeh,nikaludi kuendelea kusoma matangazo yote ya leba huku nalia...
Kwakweli sitokaa nisahau, nilienda nimependeza mwenyewe, nimevaa wigi, nimepaka wanja,lipstick, na kapoda kiukweki nianchokumbuka, lile wigi nililikuta juu ya feni za wodini, hakuna cha wanja wala lipstck, miguuni nilikuwa peku...
Viatu vilikuwa uvunguni, gauni nikapoteza hata sikukumbuka nimeliweka wapi, ikabidi niwaulize tu manesi...
Kupata mwendelezo wote hadi mwisho bonyeza hii link hapo juu ukasome yote hadi mwisho ...
Itaendelea...๐ฅ
Full 1000
Whatsp 0784468229.
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.