Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

SEHEMU YA NNE* MADAM JOY NA MIMBA YA CEO MWANAFUNZI 💋

2nd Aug, 2025 Views 144



Nilimtizama nikaona kabisa, unafiki mkubwa niliamua kumtoa kwangu kwanza ninayangu yamejaa kichwani natakiwa kutafakari, nilimchotea kg 2 tu, bahati nzuli aliona mcheke tu, sukari na mafuta vilikuwa chumbani, hata kitanda hakukiona aliona frig, tv, jiko, meza ya kioo, sofa pia vipenzi sikuwaambia ila adi sofa tena zile za bei mbaya...

Nilimpa huo mcheke, " jamani joy ndo kidogo hivi shoga niongeze basi, hee jamani ivi uyu mtu mbamuelewa kweli haaa, Roz kumbuka mwenzio sina mshahara,na hata nikikwama ushasema huwezi nisaidia, apa natakiwa nijibane ili nisijekulala njaa, labda nikukopeshe tuandikushane kabisa, ili ukiisha niijie, nijaona kavuta mdomo nakusema " heee yani kunipa tu mchere mpaka tuandikushane, makubwa asante huu utanitosha,muda huo huo akapigiwa simu na bwana ake, pale pale akaondoka, nikashukuru Mungu, nikabaki kuwaza uyu mwanafunzi katoa wapi hizi pesa jamani,nilibaki nazunguka zunguka sebreni kwa mawazo mno...

Au kaiba jamani dah, natakiwa kuwa makini sana, niliwaza mpaka kichwa kikaanza kuniuma, saa mbili ilifika mimi ndo naingia kupika, nimeivisha mboga, nasikia geti linagingwa, kwenda kufungua, ni Jeon, jamani nilianza kuchungulia kama kuna mtu kamuona, kisha nikafunga geti kwa hofu mno...

Nililudi ndani, nikakuta mtu yuko zake bize chumbani kafungua kitanda anataka kufunga kipya, kwanza nikatizama kama kaona kabati zangu, nilizoanika chumbani, nikakimbia kuzitoa, akanitizama huku anatabasamu, "huna haja yakutoa, nishaziona na kuzinakili kichwani kabisa, njoo basi unishikie apa tufunge kitanda mke wangu...

Jean unajua unanizoea vibaya, hivi huoni aibu kuniita mke wako?, ujue wewe ni mwanafunzi jamani, utaniletea shida kuwa muelewa basi dah,niliongea huku nataka ata kulia, " J acha utoto naomba uje unishikie tufunge muda sio lafiki, kumbuka natakiwa kuludi shule, nikakaze kwa ajili yenu wewe na watoto wetu...

Dah nilichoka ivi ananielewa kweli uyu kiumbe🤔, " J ama unataka nitumie njia mbadara kukuelewesha eee? Aliuliza huku anaweka spana yake chini aliyokuja nayo, wee nikaona huyu huenda sio timamu faster nikakamata upande wa kitanda afunge...

Alinitizama huku anatabasamu, akafunga tukaweka chaga, na godoro, " mke wangu naomba unipikie ugari nina njaa mno, mimi sio mke wako, niliongea huku natoka chumbani asije nikabia uko, mtu mwenyewe mlefu vile na ule mwili akhaaaa...

Nilienda jikoni nijasonga huo ugari, nikamtengea mimi nilikaanda ndizi nikala na nyama, tukiwa tunakula geti likagingwa, ajainuka kwenda kufungua, wewe Jeon ebu acha mambo ya kijinga, unajua ni nani ukute umeonwa tumekuja kukamatwa...

" Punguza presure basi mke wangu, ao ni watu wangu nimewagiza vitu walete,wamenitumie ujumbe wako getini soma uhakiki, kweli nikaona, ila mashaka nikaomba twende wote tu,akakubali tukatoka wote mpaka getini,kufika nikafungua ila mikono yote imejaa unyevu, nikaona watu wako na cret za soda, maji, juice na maziwa, wakaingiza ndani, wakatoba na aliewaagiza, baada ya dk 3 akaludi...

Akamimina maziwa mgando, akaendelea kunywa, mimi nikachukua soda,kimya kimya,tulivyomaliza tu kula, nikatoa vyombo, nikamkuta mtu sebren akuna naingia chumbani, nasikia tu maji bafuni, nikatoka haraka nisije nikaona vitu vya ajabu...

Nilifika sebleni, nikaanza kupanga soda na vitu vya kwenye frig, nimemaliza nikaon niwashe tu mziki, nikawasha, kidogo jeon akatoka kapaka roshen yangu, sikutaka hata kuuliza, nikakimbilia chumbani, nikafunga kabisa mlango nioge, nilioga nikavaa..

Nikaja kuchungulia kama kaondoka, nakuta mtu yupi kajaaa sebre, niliona ndo muda wakumuhoji, Jeon naomba tuongee, " ok ongea haina shida...

Ivi hizi pesa umetoa wapu ilihali wewe ni mwanafunzi, na kwa nini umeamua kuninunulia mimi, yani sikuelewi unajua unakosea sana?
" Joy naelewa ninachokifanya, kuhusu nimetoa wapi na nimwanafunzi, usisahau mimi ni mwanaume, sitegemei elimu pekee kwenye utafurahi wangu, natafuta uku nasoma, kuhusu kwa nini kwako, kwasababu wewe ni mke wangu, ni kitu muhimu kwangu, na niwajibu wangu kukutunza, siwezi kuwa na amani kulala kwenye kitanda ukichogharamikia kwa pesa zako, au kupewa, siwezi kulala nyumba ambayo inalipiwa kodi na mtu mwingine tofauti na mimi...

"Wewe ni wajibu wangu, hivyo natimiza majukumu yangu, hata kodi nimeshalipia na nimesahau kukupa mjataba , akatoa kwenye koti lake, kweli kodi imelipwa ya mwaka mzima, " kuhusu kukuletea matatizo hilo halitotokea,na endapi litatokea,siwezi kushindwa kulitatua...

Jeon ujue unanichanganya, yani mimi ni jukumu lako kivipi,na mimi na wewe how, yani nitajibu nini ety natembea na mwanafunzi kweli wewe unaona imekaa sawa? Wazazi wako wakijua si nitakuwa kituko mimi tena nitaambiwa nabemenda wanafunzi...

Jeon alicheka, " ha ha ha ha ha joy ebu acha kunichekesha, miaka 21 unambemenda nani? Nakuzidi miaka 7, acha wenge, unachotakiwa saivi, nikunijali tu mmeo, ayo mambo mengine niachie mimi"...

Jeon mimi na wewe hatujakubaliana, umejuaje kama nakupenda? na kama niko na mtu mwingine mbona unajiamini sana?..

Kwa sababu najua moyo wako ni wangu, na hio habari ya mtu mwingine, nafkili usiutafute upande wangu wa pili, najya hauna mtu, sasa jichanganye, uludiane nae ama ujiingize pengine utauona upande wangu wa pili ulivyo...

Aliongea kwa hasira, akaniambia njoo ufunge mlango niondoke, naona nikiendelea kuwa hapa utahalibu siku yangu...

Alivyoanza kutoka nijamuwahi kwa mveke kumuzuia, tukatazamana, alinikazia macho ikabidi nishushe tu yakwangu, nikamwambia huondoki adi tufikie muafaka, huwezi kunipeleka peleka tu kama gari bovu, " J naona una unachokitaka leo si ndio? Jeon aliongea hivyo uku anavua koti lake, nakuludi ndani...
Kupata mwendelezo wote adi mwisho bonyeza hii link apo juu ukasome yote adi mwisho...

Itaendelea...💥

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SEHEMU YA NNE* MADAM JOY NA MIMBA YA CEO MWANAFUNZI 💋  >>> https://gonga94.com/semajambo/sehemu-ya-nne-madam-joy-na-mimba-ya-ceo-mwanafunzi
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest