______________________________________
Niliogopa huyu mbona anavua tena, hee uwiii🙆, Jeon basi baba nenda tu sitaki tena kukuuliza chochote we nenda tu, " J usinipime haswa ukiona nimebadilika, kwa leo nakausha, ila ukiludia nitakufundisha namna nzuri ya kuongea na mimi, nini uulize na nini usiulize, nini ujibu na kipi usijibu, alivyomaliza akabeba mkoti wake mkononi, huyo akasepa nyie mmmh naonewa jamani sijui ni huu udogo wangu 😭, nilifunga milango na mageti nikaingia kulala...
Upande wa jeon alifika getini akaingia bila shida mlinzi anapewa pesa kiasi kwamba, anamchukulia jeon kama boss wake,muda wowote akitaka kutoka hakuna wakumzuia, alifika bwenini kwake akiwa na hasira kisa tu nimeongelea mwanaume mwingine, alikuwa anaumia akaamua kwenda darasani, hasira zote akazihamishia kwenye kitabu, alipiga kipindi mpaka saa 9 usiku...
Ndo akaingia kulala lakini akili yake haikumluhusu ikaanza kumkumbusha muonekano wangu, alijitahidi kujizuia lakini wapi, amekuja kupitiwa usingizi saa 11 asubuhi, akaona kuepusha amsha amsha akalale juu ya dari, au kwa mlinzi, akaamka na kuelekea kwa mlinzi kulala...
Upande wangu niliamka nikiwa nimechoka nikaanza kujiandaa niende kanisani, nilioga nikapika nakachai ili nikitoka tu nifikie kunywa,nimefika kanisani mida ya saa mbili ivi asubuhi, kila mtu ananitolea macho, nikajiuliza au kuna tatizo?...
Kuna mama mmoja akanisogelea na kunishika mkono, nikamsalimia, akaitikia kisha akanambia" mwanangu kwa nini usingebaki tu nyumbani, huoni kama umekuja kujiumiza mwenyewe?...
Nikashangaa kujiumiza? Kivipi mama, kwani hujui kama leo peter anafunga ndoa na madam Esta?...
Nyie nyie nilichoka mwili na roho, huyu Esta aliekuwa akijitia dada ushauli wa mahusiano yangu🤔,nilijikuta nasikia maumivu makali kuliko hata maumivu ya kidonda, sijakaa sawa gari ya bwana harusi ikaingia nyie nyie...
Dk 20, gari la bi harusi, nilijuta kuja kanisani, tena kibaya zaidi nilihama kanisa kisa peter, huu ujinga nilioufanya matokeo yake ndo haya😭, nilijikaza nisilie lakini nilishindwa, ilibidi yule mama anitoe pale, alinipeleka mpaka kwangu, alinipa ushauli kibao, nilionesha kuelewa lakini sio kweli,maumivu niliyokuwa nayapata hayaelezeki, bora angeoa mtu mwingine, lakini Esta niliemuheshimu kama dada angu,jilani yangu, akanidanganya kasafili kumbe kaenda kujiandaa na ndoa...
Hii kwangu ilikuwa zaidi ya maumivu, yule mama aliomba nimpigie simu mtu wangu wa karibu yeyote atoke awezi kuniacha peke yangu, lakini kila nikiwaza mtu wa karibu, naona kama nimetukanwa, sitaki tena kuwa na mtu wa karibu, mtu ambae atageuka adui kwenye maisha yangu sihitaji tena, nitaishi kivyangu vyangu, nilijiwazia hivyo moyoni, wakati huo yule mama, abahangaika kunitoa kwenye mawazo yangu kwa kuniita, lakini haikusaidia mpaka akanitingisha ndo nikashtuka...
Akaludia tena, nikamjibu mama angu, kuwa na amani siwezi kufanya chochote kibaya kisa maamuzi ya moyo wa mtu, ndio nimeumia lakini sio sababu ya mimi kujizuru haitosaidia chochote zaidi ya aibu na hasara kwa familia yangu...
Yule mama alinikumbatia na kuahidi jioni ataludi, nisiwaze huenda nimeepushwa na balaa zito, alisema ataludi na chakula,nilikubali, alivyotoka tu,nikaingia zangu kulala huku nalia vizuli,nililia mpaka nikapitiwa usingizi, nakuja kushtuka nakuta mtu pembeni yangu kalala, nilishtuka mpaka nikamuamusha, alikuwa ni jeon...
Aliamka akanitizama sana kisha ajauliza, "J unampenda sana huyo jamaa kuliko mimi?
Nilishangaa inamaana huyu kajua kwa nini niko hivi? Na kwanza ameingiaje ndani🤔,niliganda tu kumtizama huku nawaza yakwangu, alinikumbatia kwanguvu na kuniambia " J mke wangu, naumia mno unavyomfikiria mwanaume mwingine, naomba ujikaze na umsahau, huyo sio sahihi kwako...
"Niko hapa mmeo, nitakuwa bora kuliko yeyote kwako, sitokutia machozi, alinimbembeleza adi nikajisikia vizuli,alipika nakuleta chakula tule, nilijilazimisha, vikawa vinaninyiga tu, Jeon alionekana kuchukia na kuumia sana mpaka mishipa yaje ikawa inajichola kwenye ngozi...
Niliogopa nikaamua kumtafutia sababu, Jeon usijali saivi niko sawa, unatakiwa ukajiandae siunajua kesho ni jumatatu, usije kukosa vindi na uko darasa la mwisho ujue,alinitizama nakunijibu, " nimeomba ruhusa ya wiki moja, sio tu peke yangu nimekuombea pia wewe ya siku 10, na ruhusa zote zimekubarika, nilitumbua macho Jeon ujue uache utani...
Wewe ni mke wangu, kuna vitu ndio tunaweza kutaniana lakini sio hili, na kingine kesho tutasafili mimi na wewe kwenda nje kidogo, tutaludi kumamosi ili jumatatu niludi kwenye vipindi, Jeon asante, lakini hakukuwa na haja ya yote haya, sio sahihi kwako kuacha vipindi ujue, " J niamini hakuna kitakachohalibika, ninaweza na sitofeli naomba ule ukaoge...
Nilijikaza ivo ivo, nikaingia kuoga na nguo zangu nilivyoingia bafuni sikurock mlango, kimbembe nimeanza kuoga wakati najimwagia maji nakuja kufumbua macho hivi,naona mende na mimi na mende ni hatuelewani kabisa bola nione mdudu mwingine sio mende namuogopa mno,nilipiga kelele mpaka jeon akaja, sasa balaa na ule uoga sina hata taulo nimeshajisahau napiga tu kelele, mwenzangu kkuniona tu hali yake taabani, akashindwa ata aanze na nini...
Kupata mwendelezo bonyeza hii link hapo juu ukasome full kwa buku tu...
Itaendelea...💥
Full sh 1000
Njoo WhatsApp katika namba 0683944333.