Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

SEHEMU YA TATU*

6th Sep, 2025 Views 43


UDHAIFU WA MR CEO
SEHEMU YA TATU*
mwamba kama anaanza Nikashangaa kunogewa vile, maana akawa ananikiss huku anahema juu juu kama mtu ambae amepoteza muelekeo, nikaona huyu anaelekea kutaka zaidi ya busu, nikajitoa mwilini kwake, akaniachia ila mnara ulishasoma zamani sana, akaniangalia kisha akatabasamu na kusema unaweza. kwenda sasa..

Nilikurupuka na kuondoka, sikutaka kupoteza muda kuendelea kukaa pale, asije kunibadilishia mada bila kutegemea, nikaondoka zangu..

Basi nimeyoka pale na mawazo ya kutosha, nikawa nawaza imekuwaje, mpaka kwanza akawa anaogopa kelele kiasi kile, na kwanini amelala na mimi na hali ya kuwa hata hanijui, nilikuwa nataman kumlaan, nataman kumtukana ila sikuwa najua hata naanzia wapi, maana kwanza nilikuwa namtegemea kwenye field yangu, nikaenda nyumban ninapo kaa, nilikuwa nimefikia kwa shoga yangu, hata niliporudi asubuh hakunihoji sana maana anajua mimi ni mtu mzima, nikaanza kujiandaa na mara baada ya kumaliza kujiandaa tu nikaanza kwenda zangu kazini, nafika kazin nashangaa kila mtu. ananishangaa na sio kawaida...

"kuna nini, ikabidi niulize mara baada ya kuona kama sielewi yanayoendelea..

" una mahusiano gani na boss? Yule niliemuuliza nay eye akaniuliza...

" hamna sina mahusiano nae yoyote yale, kwani

kuna kitu gani kimetokea?...

"yaan kama tunavyojua boss wetu huwa sio mtu wa watu, hata kama sisi ni wafanyakazi wake ila kumuona ni ngumu sana, sasa leo amekuja anakuulizia wewe, ndio maana kila mtu anashangaa maana sio kawaida yake. kumuulizia mtu, au ameshaanza kukupenda hautuambii, maana kwanza amesema ukifika tu uende ukamuone ofisini kwake, na si unajua mtu pekee ambae huwa anaruhusiwa kuingia ofisini kwake ni Yule msaidizi wake, hivyo inashangaza na wewe leo uende ofisini kwake, akanambia huyo aliekuwa ananiuliza....

Sikutaka kuhoji sana, nikaanza kwenda kwenye ofisi ya boss, alikuwa amesimama mlangoni kwake akiwa anazunguka zunguka kana. kwamba kuna kitu alikuwa anakisubiri, aliponiona hata hakuvunga akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu kisha akasema mbona umechelewa hivi kazini, unajua nilikuwa nimekuja mapema sana nakuulizia wew..

Nikashangaa ananiulizia mimi kwa minajili ipi, maana kwanza mimi sio chochote kwake, "kwanini ulikuwa unamuulizia mfanyakazi ambae hana cheo chgochote kile kwenye kampuni yako, ambae hana maana kwenye maisha yako, embu nambie ulikuwa unaniulizia kwa sababu gani?.. Akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akajikoholesha na kusema "wewe upo hapa kwa ajili ya kupimwa ila nashangaa unachelewa, unafikiri nitakutafuta kwa sababu gani zaidi ya kukuonea huruma tu, mkufunzi wako akafika alafu wewe haupo...

Nikaona sababu zake hazina mashiko yoyote, nikamuangalia na mimi kwa sekunde kadhaa. kisha nikasema " naomba nikaendelee na majukum yangu, ukinihitaji kwa kazi yoyote unaruhusiwa kuja kuniita, kisha nikawa. naondoka zangu, ila ni kama hakuwa anataka niondoke kabisa, ila hakuwa anajua anaweza vipi kunizuia, nikashangaa anaanza kujikohoza kana kwamba amepaliwa, na kwakuwa nilikuwa mimi pekee yangu pale ofisini, nikaanza kumtafutia maji, kisha nikampelekea, ila nilipofika aliponikampa glass ila hakuishika na badala yake glass ikaanguka na akaanza kunikiss kwa fujo, ikabidi nijitoe mwilini mwake, Ila akawa anivuta kana kwamba alikuwa amenipania sana, ila nikamskuma kumuweka kibao, kisha nikaanza kumuambia "wewe sijui ni mwanaume wa aina gani, yaan kila nikikusaidia kwa lolote unataka kunilipa kwa kunifanyia ubaya, una shida gani na mimi, au ni kitu gani nimekukosea mpaka unataka kunikwaza, ila hata hakunijibu kabisa akawa zake kimya na mimi nikaondoka zangu.....

Basi mkufunzi akaja na nikaassesiwa na baada ya hapo nikashangaa mkufunzi ananipongeza na kunambia hongera hakika una bahati sana. kisha akaondoka zake...

Basi baada tu ya kufanyiwa usalli baada ya kama siku tano nikawa natakiwa kurudi chuo nashangaa ceo hataki, alikuwa anaitwa Edward marco, mfanya biashara maarufu sana kwenye jiji la dar es salam, yaan hauwez kutaja biashara bila kutaja jina lake kama ambavyo alivyo bwana vunja bei kwa zama hizi....

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SEHEMU YA TATU*  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/sehemu-ya-tatu



#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #war

#love #photooftheday #fashion #beautiful #happy #tbt #followme #picoftheday #art #nature #travel #fitness #motivation #life #fun #instagram #friends #smile #food


 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in


Pyar Ho Jane Dushman
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sehemu-ya-tatu
😂 CHIZI MLA NDOGO WAKE ZA WATU🔥  SEHEMU YA TATU  ( Onyo ukiwa mtoto au ujakomaa akili usisome simulizi hii)  👉 Jamani niache toa huo mkono usipeleke
😂 CHIZI MLA NDOGO WAKE ZA WATU🔥 SEHEMU YA TATU ( Onyo ukiwa mtoto au ujakomaa akili usisome simulizi hii) 👉 Jamani niache toa huo mkono usipeleke
Chombezo : Dirty Family  Sehemu Ya : Tatu (3)
Chombezo : Dirty Family Sehemu Ya : Tatu (3)
‎MAMDOGO TARATIBU ‎GOLDEN BOY (0699286085) ‎SEHEMU YA TATU
‎MAMDOGO TARATIBU ‎GOLDEN BOY (0699286085) ‎SEHEMU YA TATU
❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tatu.  👉 Mama yake alisema uyu hana jina langu kwenye kadi alafu aniite Rama sio baba kumbe anayo tu  kama...
❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tatu. 👉 Mama yake alisema uyu hana jina langu kwenye kadi alafu aniite Rama sio baba kumbe anayo tu kama...
AISHIIII! INAUMA ILA TAMU SHEMEJI🔞  Sehemu ya tatu  ( Wewe kama sio msomaji chombezo usisome)
AISHIIII! INAUMA ILA TAMU SHEMEJI🔞 Sehemu ya tatu ( Wewe kama sio msomaji chombezo usisome)
.🔥🔥 BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA😋😋🐓🐓  Sehemu ya tatu.
.🔥🔥 BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA😋😋🐓🐓 Sehemu ya tatu.
️𝕾𝖎𝖒𝖚𝖑𝖎𝖟𝖎: 𝐒𝐇𝐄𝐌𝐄𝐉𝐈 𝐔𝐌𝐄𝐈𝐍𝐆𝐈𝐙𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐇  🔞  𝙈𝙧 𝘽𝙪𝙧𝙪𝙙𝙖𝙣 - 𝑆𝑖𝑚𝑢𝑙𝑖𝑧𝑖    *SEHEMU YA TATU{ 03 }*
️𝕾𝖎𝖒𝖚𝖑𝖎𝖟𝖎: 𝐒𝐇𝐄𝐌𝐄𝐉𝐈 𝐔𝐌𝐄𝐈𝐍𝐆𝐈𝐙𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐇 🔞 𝙈𝙧 𝘽𝙪𝙧𝙪𝙙𝙖𝙣 - 𝑆𝑖𝑚𝑢𝑙𝑖𝑧𝑖 *SEHEMU YA TATU{ 03 }*
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe..3  Dar es salaam  SEHEMU YA TATU  ENDELEA  “Anko wangu huyo.Subilia nikutumie”
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe..3 Dar es salaam SEHEMU YA TATU ENDELEA “Anko wangu huyo.Subilia nikutumie”
😋 PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA🤭  Sehemu ya tatu.
😋 PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA🤭 Sehemu ya tatu.
Sɪᴍᴜʟɪᴢɪ﹕ 𝙈𝘼𝙋𝙀𝙋𝙀 SEHEMU YA TATU
Sɪᴍᴜʟɪᴢɪ﹕ 𝙈𝘼𝙋𝙀𝙋𝙀 SEHEMU YA TATU
TUNDA LA DADA    Sehemu ya Tatu
TUNDA LA DADA Sehemu ya Tatu
ILA KWA MPARANGE 😢  Sehemu ya tatu. 3,4,5  👉 Shoga mjibu maana kakufata wewe uyu...👇
ILA KWA MPARANGE 😢 Sehemu ya tatu. 3,4,5 👉 Shoga mjibu maana kakufata wewe uyu...👇
 MALIPO YA BUSU,💋 SEHEMU YA TATU*
MALIPO YA BUSU,💋 SEHEMU YA TATU*
PENZI LA SINGLE MAMA  SEHEMU YA TATU
PENZI LA SINGLE MAMA SEHEMU YA TATU
Chombezo : Huruma Ya Dudu  Sehemu Ya : Tatu (3)   “Vipi umekojoa mke wangu?”Sudi aliuliza.  Mkewe akamjibu ndiyo akiwa kamvutia mdomo.Masalu
Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Tatu (3) “Vipi umekojoa mke wangu?”Sudi aliuliza. Mkewe akamjibu ndiyo akiwa kamvutia mdomo.Masalu
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya tatu
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya tatu
SIMULIZI YA KOSA LANGU SEHEMU YA TATU
SIMULIZI YA KOSA LANGU SEHEMU YA TATU
CHIZI UNGEKUWA  NA SIMU NINGEKUPIGIA SI KWA UTAMU ULE UMEMZIDI TIMAMU   Sehemu ya tatu.
CHIZI UNGEKUWA NA SIMU NINGEKUPIGIA SI KWA UTAMU ULE UMEMZIDI TIMAMU Sehemu ya tatu.
KIKOBA CHANZO CHA MIMI KULIWA sifuri????  Sehemu ya tatu.
KIKOBA CHANZO CHA MIMI KULIWA sifuri???? Sehemu ya tatu.
🔥 TOTO LA KIMASAI   SEHEMU YA TATU
🔥 TOTO LA KIMASAI SEHEMU YA TATU
CHOMOA 🔞  SEHEMU YA TATU 03 (stori ni nzuri 🔥)
CHOMOA 🔞 SEHEMU YA TATU 03 (stori ni nzuri 🔥)
WIFI AKE KHAA Sehemu ya tatu
WIFI AKE KHAA Sehemu ya tatu
KICHAA NA MIMBA YA BOSS❤ SEHEMU YA TATU*
KICHAA NA MIMBA YA BOSS❤ SEHEMU YA TATU*
SEHEMU YA TATU* CEO NISAMEHE SIRUDII TENA 3--4
SEHEMU YA TATU* CEO NISAMEHE SIRUDII TENA 3--4
🔥UWIIIIIIIIIIIIIII BABA MDOGO MIMI MWANAO🔥  Sehemu ya tatu.
🔥UWIIIIIIIIIIIIIII BABA MDOGO MIMI MWANAO🔥 Sehemu ya tatu.
NILIPOFUNGA NDOA NA MAITI UKU NALIA.  Sehemu ya tatu.
NILIPOFUNGA NDOA NA MAITI UKU NALIA. Sehemu ya tatu.
KIJANA WA HOVYO  Mtunzi matunu ngolonje  SEHEMU YA TATU   " beby eti huyo kijana una mjuwa " ndio ni lafiki wa kaka yangu mala nyingi huwa...
KIJANA WA HOVYO Mtunzi matunu ngolonje SEHEMU YA TATU " beby eti huyo kijana una mjuwa " ndio ni lafiki wa kaka yangu mala nyingi huwa...
 KICHAA NA MIMBA YA BOSS❤ SEHEMU YA TATU*
KICHAA NA MIMBA YA BOSS❤ SEHEMU YA TATU*
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tatu  (  3  ) *************
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tatu ( 3 ) *************
3--4 SEHEMU YA TATU* PILOT JEON INAUMA
3--4 SEHEMU YA TATU* PILOT JEON INAUMA
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in



Warning: Cannot modify header information - headers already sent by (output started at /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/pages/includes/header.php:85) in /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/core/function.php on line 258