Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 43
Gonga94 · Stories

SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 43

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 43

Na Sam Darfur 0717256498

RECAP: SEHEMU ILIYOPITA
Kama ambavyo tulivyopanga, basi tulifanya hivyo kwa kujifumbisha macho. Dakika moja mbele Sammy aliingia ndani, kisha akazima taa na kuwasha tena lengo kupima kama tulikuwa macho ama lah.
Alipoona kwamba tumelala, alisogelea maiti na kuchukua nywele moja lakini, nilisema.
“Kwahiyo ndio kazi ambayo imekuleta hapa sio?” niliona akitetemeka huku akitupa nywele chini na kutaka kuondoka lakini Betrice aliekea katika mlango na kufunga kwa funguo kisha aliitupa kwa nje

SEHEMU YA 43
Weka Like kwanza ndo uanze kusoma. Hiyo like yako ni muhimu sana kwangu.
Baada ya mlango kufungwa sasa tuliamua kuweka kikaangoni Samrathy, tulimkazia macho na swali la kwanza lilikuwa mbele yake.
“Enhe! Mzanzibar hewa, kuna nini ambacho ulikuwa unakitafuta huku?” nilimuuliza huku nikimtazama usoni.
Kwa aibu aliamua kuinamia chini lakini Betrice alimuinua sura yake kisha akalitengeneza kohozi na kumtemea usoni.

Akamuuliza kwa mara ya pili
“Si ujibu, ulitaka kuchukua nywele ili upeleke wapi?” swali hili nalo alijifanya hajasikia.
Nilimzibua kibao kimoja kitakatifu katika sikio la upande wa kulia hadi kile ambacho alikuwa akikisikia katika masikio yake nilikisikia na Mimi. Alianza kujifanya kulia lakini tulimziba nguo mdomoni na kumlaza chini.
“M’bumunde hadi ajue sisi ni kina nani?” Betrice alisema

Sikutaka kuchelewa zaidi ya kuchangamkia fursa, nilimpiga huku akijaribu kulia lakini sauti yake ilikuwa haitoki zaidi ya kugumia kama mtu ambaye alikuwa akigua hivi.
“Umeamua kumuua ndugu yangu na sasa unataka kuniua na mimi si ndio?” nilisema huku nikiendelea kumpiga.
“Mpigie wewe acha kumuonea huruma” Alisema Betrice.

Betrice naye hakutoka nyuma, kama wanavyosema wanapovuna ndipo wanaposhiba. Usitegemee watu wavune halafu uende ukachukue mazao watakuambia kwamba wameuza au hawajavuna mengi. Basi Betrice aliona anakila sababu ya kumfundisha adabu yule mwanamke.

Baada ya kumpiga kwa muda mrefu tulikuwa na wazo kwamba kama tukimuua mule ndani kungekuwa na matatizo mengine ambayo tungejitafutia, tuliamua kumuacha kwanza huku tukiendelea kumuuliza maswali mengine.

Kumbe hili ndio lilikuwa kosa letu, kwani wakati tunampiga mwenzetu alifanikiwa kuchukua nywele ya Betrice na kuficha katika matiti nasi hatukujua hilo. Tuliendelea kumnyoosha adabu huku tukicheka na kulia hadi tulipoona inatosha tulimuacha awe huru na maswali ya hapa na pale yalifuatia.
“Najua kwamba umepanga kutuangamiza na umeanza na ndugu yangu, Sammy ni nini ambacho tumekukosea au nimekukosea? Kumpa mume wako mali au kuna kingine?”
“Ungetaka kujua sababu ungeniuliza kwanza na sio kunipiga halafu mnakuja kuniuliza” “Kwahiyo unataka kusema kwamba hujamuua Brandina?”
“Ndio, ndio hatujamuua”
“Ok, tukishazika utapata majibu ya maswali ambayo leo nimekuuliza.” Nilisema hivyo kama kumaliza maongezi yetu.

Asubuhi ilipopambazuka watu ambao walikuwa nje walishangaa kwwanini chumba kile kilifungwa, walipofungua walitukuta tukiwa tumelala watatu huku maiti kiwa kitandani. Walijaribu kutuuliza maswali lakini hakuna ambaye alijibu.

Niliona Sammy akiondoka akiwa amejifunika mtandio usoni, nilijaribu kumfuata lakini Loy alinizuia huku akijifanya kwamba yeye ndio alikuwa na haki ya kumhoji mke wake.
“Kaa kwanza nakuja” Loy alisema
“Unajua anaenda wapi yule?”
“Nimesema kaa nakuja wewe shida yako nini?” alisema Loy kisha huyo aliondoka na kumfuata mke wake katika eneo la maegesho ya magari.

Niliwaangalia jinsi ambavyo walikuwa wakirumbana wakiwa katika gari, akili yangu ikaniambia kwamba hakuna kingine ambacho walikuwa wakirumbania zaidi ya kile ambacho kimetokea jana kwa bahati nzuri, niliona Loy akishuka kwenye gari na mke wake aliamua kuondoka.

Watu wengine ambao walikuwa nje wakitazama tukio lile walipatwa na mfadhaiko, hakuna ambaye alielewa kwanini mke wa Loy alikuwa akiondoka lakini ndani ya moyo wangu nilisema kwamba kila kitu kimeenda sawa.

Nilirudi ndani ambako nilimkuta Betrice akiwa anawatazama watu ambao walikuwa wakiweka mwili katika jeneza. Nilimuita kwa pembeni ili tuzungumze kwa kile ambacho kilitokea nje. Alinielewa na alikuja eneo ambalo mimi nilikuwepo.
“Tumelichokoza, tunatakiwa kulivaa sawa mwaya” nilisema huku nikimtazama Betrice ambaye alitaka kujua nini ambacho tulikuwa tumelichokoza.
“Sammy ameondoka na sijui ameenda wapi hata hivyoLoy anaonekana kama mtu ambaye amechukia hivi” niliongeza
“Bwana kama bwai itakuwa bwai tu, sio muda wa kuchekea vinyonga hapa au ngoja nitangaze” Betrice alisema kisha alianza kupiga hatua hadi sebureni ambako Mjomba alikuwa akiongea na Baba.

Alipofika tu, hakutaka mambo mengi zaidi ya kumwaga mchele alisema.
“Wewe sijui unajiita Loy, mara Loyce acha kitu ambacho unakifanya halafu mwambie mke wako huu mziki ambao anataka kuufungulia hivi sasa atashindwa kuucheza wala kuusikiliza. Nimemaliza” alisema kisha alirudi hadi sehemu ambayo nilikuwepo.

Mzee Jawan alijikuta akiwa njia panda hata watu wengine ambao walimsikia Betrice hawakuelewa nini haswa ambacho kilikuwa kinaendelea.
“Jamani kwani kuna nini?” aliuliza Mzee
Jawan
“Sifahamu, kwani huyu Binti ni nani haswa?”
Loy naye alirudisha swali kwa Mzee Jawan
“Ni mtu ambaye yupo hapa muda mrefu tu, mke wako yupo wapi?”
“Kaenda hospital anasema kwamba mwili unamuuma” alibuni uongo.

Niliona Baba akiinuka na kunifuata kisha akaniuliza maswali mengi sana kuhusu kile ambacho kilikuwa kimetokea lakini nilimwambia kwamba si muda kujadili mambo yale zaidi ya kujua namna gani tutamzika Brandina.
“Betrice sio mjinga anajua anachokisema heshimu maamuzi yake”
“Ndio amseme mtu mbele watu?”
“Kama huyo mtu haoni kama kuna watu je? Hata hivyo baadaye tutaongea vizuri kwa hivi sasa acha tumpumzishe kwanza Brandina”
“Mh! Sawa hakuna shida ila sijapenda” alisema Mzee Jawan.
Taratibu za mazishi ziliendelea ambapo hadi kufikia saa 11 jioni tulikuwa tayari tumekamilisha kila kitu, tulimpumzisha mpendwa wetu katika nyumba yake ya milele. Nilirudi nyumbani nikiwa na Betrice pamoja na watu wengine ambao walikuwa wakitusindikiza na kutupa pole.

Niliomba wale watu watupishe ili tupate kuongea kama familia yaani mimi, Baba, Mjomba pamoja na Mama hata Betrice pia akiwemo. Kwa bahati nzuri walinielewa.
“Mjomba” nilisema huku nikimtazama usoni
“Nam!”
“Najua hichi ambacho kimetokea kwako sio kigeni sana maana umeona misiba mingi tu ila msiba huu wa Brandina utakuwa mgeni sababu amejinyonga. Yote tisa, nachotaka kusema ni kwamba muda wa kupambana na hali yako umefika. Naomba uniachie kampuni kama kuendesha nitandesha mwenyewe” Nilimwambia huku nikijua kwamba lazima angeleta utata.

Ilikuwa ni kauli ambayo hakuna ambaye angetarajia kama ningeitoa kwa wakati ule, hata Betrice mwenyewe hakujua kama ningesema kwamba nahitaji kampuni. Alinitazama huku akiniuliza kwa ishara ya mikono nami nilimuonesha ishara kwamba kila kitu kipo sawa. Nikamwambia.
“Nipe kampuni yangu. Mwisho wa kikao tunaweza kuondoka sasa” maneno yangu tisa yaliwaacha watu katika sintofahamu lakini nilimaanisha kile ambacho nilikuwa nimekiongea......

Unalalamika inachelewa kutoka wakati nimekushushia bei, kutoka kila season kwa 3000Tsh mpaka bei ya 2500 kwa season zote tatu... Bado unalalamika... Achana na bei ya zamani ya 9000Tsh.... Njoo na 2500 usome simulizi yako.... WhatsApp namba 0717255498.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 43

SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 43

Na Sam Darfur 0717256498

RECAP: SEHEMU ILIYOPITA
Kama ambavyo tulivyopanga, basi tulifanya hivyo kwa kujifumbisha macho. Dakika moja mbele Sammy aliingia ndani, kisha akazima taa na kuwasha tena lengo kupima kama tulikuwa macho ama lah.
Alipoona kwamba tumelala, alisogelea maiti na kuchukua nywele moja lakini, nilisema.
“Kwahiyo ndio kazi ambayo imekuleta hapa sio?” niliona akitetemeka huku akitupa nywele chini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/simulizi-ya-maisha-nilimuua-mama-yangu-mzazi-ili-niolewe-na-baba-ep-43

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi simulizi-ya-maisha-nilimuua-mama-yangu-mzazi-ili-niolewe-na-baba-ep
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 38
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 38
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 47
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 47
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 44
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 44
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 45
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 45
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 40
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 40
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 46
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 46
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 41
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 41
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 48
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 48
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 35
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 35
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 25
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 25
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 39
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 39
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 42
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 42
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 36
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 36
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 37
SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

949
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

198
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

192
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

189
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

136
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

135
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

120
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest