Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper sehemu ya 04
Gonga94 · Stories

Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper sehemu ya 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU)
Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper
sehemu ya 04
WhatsApp……....0613083801
Umri………………...18+

ENDELEA..........
"Unataka nipigwe risasi ya kichwa!?"
"Hawezi kujua wewe fanya mpango uwe unamfua Bibiana kisiri!"
"Hiyo siwezi aise kwanza na hasira na Bibiana acha tu, tutaongea kesho ngoja nipumzike"
"Poa poa!"
Niko alikata simu na kuupuzia kabisa ushauri aliopewa na Ben.
Dakika chache mbele chakula cha maana kililetwa ambacho hakuwa kukila toka azaliwe.
"Furahia siku yako!"
"Asante!"
Niko alianza kukifakamia na baada ya kutosheka kula ulikuwa ni mda wa kupumzika.

Siku iliyofata Bibiana alienda kumpokea Mama yake na nyumba ilibakiwa na watu wawili tu Makoye na Tatiana ambaye ni binti wa kazi, Makoye alimwita Tatiana na alipofika alianza kumtongo...za ila Tatiana alimkataa.
"Mbona unanitolea nje kila nikikutongoza!?"
"Sikupendi!"
"Acha mambo yako hunipendi wakati nimekuona jana unamkonyeza Niko au mna mambo yenu ya siri!?"
"Hayo tunajua sisi ila elewa tu sikupendi!"
Tatiana aligeuka zake na kutaka kuondoka ila Makoye alikuwa na uhaba wa tendo kwa wakati huo na ukizingatia wamebaki wao wawili tu ndani ya nyumba.
Alimsogelea Tatiana na kumshika kwa nguvu nakuanza kumvuta akitaka kumpeleka kwenye gheto analolala na Niko.
"Niachie Makoye!"
"Kidogo tu Tatiana mbona tunabaniana!?"
"Tapiga kelele kwa watu kuwa unataka kuni..baka!?"
Makoye hakutaka kuelewa zaidi ya kuendelea kumvuta mpaka akafanikiwa kumfikisha mlango.
"Piiiii!"
Sauti ya gari ilisikika upande wa nje na ndiyo ilikuwa pona pona ya Tatiana mbele ya simba mwenye njaa kali.
"Ukomee na subiri nakuja kumwambia boss!"
Tatiana aliongea kwa hasira na kuondoka.
"Dah, nani tena huyu kaharibu mambo!?"
Makoye alifoka na kusogea getini kuchungulia kwanza kabra ya kufungua na kumshuhudia Bibiana akiwa na mama yake mzazi wakishuka kwenye pikipiki.
"Duuh! kumbe ni mke wa boss!?"
Haraka alifungua geti na Bibiana akaingia ndani akimkaribisha mama yake.
"Mbona umechelewa kufungua geti!?"
"Nilikuwa nimepumzika kidogo!"
"Sawa, mama karibu ndani!"
"Asante mwanangu!"
Walielekea ndani na kupokelewa na Tatiana aliyekuwa kafyumu kwa hasira baada ya kukoswa kutafunwa na mlinzi na kama wasingekuwa wao kuja basi mambo yangekuwa yameshaharibika tayari.

Siku ya tatu yake Niko na boss wake walirudi tena ikiwa ni mida ya asubuhi na Bibiana alikuwa kakaa nje pamoja na Mama yake na hakuwahi kumwambia mama yake kama Niko ni dereva wao, macho yalimtoka Mama Bibiana baada ya kumuona Niko.
"Wewe Bibiana yule si Niko aliyekuwa mme wako!?"
"Ndio mama!"
"Imekuwaje mpaka akaongozana na mme wako na hapa anafanya nini!?"
"Nyamaza Mama asije kukusikia mme wangu"
Bibiana alinyenyuka sehemu aliyokuwa amekaa na kwenda kumpokea Ivan na macho ya Niko yalikutana na macho ya aliyekuwa Mama mkwe wake na hakutaka kujihangaisha kumsalimia baada ya kuikumbuka siku aliyotimuliwa akiwa na swahiba wake Ben.
"Kijana toa mizigo uingize ndani!"
"Aya boss!"
Niko alikubali nakuanza kutoa mizigo kama alivyoambiwa na boss wake na baada ya kumaliza alianza kuiingiza ndani mmoja baada ya mwingine na mda wote Mama Bibiana alikuwa akimchora tu.
"Mama shikamoo!"
"Marahaba mwanangu za utokako!?"
"Njema kabisa mbona umekaa nje?, tuingie ndani!"
"Napungwa upepo mwanangu ila sio mda nitakuja ndani!"
"Basi sawa Mama mimi nipo ndani"
Bibiana aliingia ndani na mmewe akimuacha Mama yake nje na Niko aliingiza mzigo wa mwisho na baada mda alitoka nje na kutaka kumpita Mama Bibiana ila alishikwa mkono.
"Eheeee! unafanyeje kwenye nyumba ya mwanangu!?"
"Nafanyakazi!"
"Hukuona sehemu zingine za kuomba kazi mpaka uje uombe kazi hapa!?"
"Eeeh sikuona!"
"Unamajibu ya dharau wewe kijana!?"
Niko alimkata jicho na kuamua kuondoka akimuacha Mama Bibiana akimwangalia kwa uchu.
"Huyu dawa yake ndogo subiri tu"
Aliingia ndani na hakupenda kabisa kumuona Niko akiishi ndani ya nyumba hiyo ukizingatia aliwahi kumuoa binti yake.

Niko aliingia ndani ya getho lao na kumkuta Makoye ametulizana kitandani.
"Oya nipe mapya ya huko mlikokuwa!"
"Hakuna cha maana!"
"Sema wewe jamaa unakula sana bata na kazi yako ni nzuri kuliko hii ya ulinzi, sijui nilikuwa wapi tu kujitunza kazi ya udereva na mimi!"
"Kazi ni kazi mhimu umeingiza pesa tu!"
"Hatakama ila sio ya ulinzi, kazi kubwa ila malipo kidogo, kwanza ningekuwa na kazi kama yako wanawake wangenikoma"
"Kwanini!?"
"Chuma za boss, ningetumia chuma za boss kuwala ninavyotaka mimi na wote wangeamini kuwa ni gari zangu!"
"Duuh kumbe na wewe umo!"
"Acha tu juzi Tatiana kanibania nusu nilie!"
Baada ya Matayo kuongea Niko alikumbuka kuwa aliwahi kuchukia namba ya binti aliyekuwa kaumbika siku aliyoenda kumchukua Bibiana stendi.

Pale pale aliitafuta namba yake na kumtumia ujumbe na bahati nzuri ujumbe ulijibiwa mda huo huo, alijitambulisha na binti alikumbuka vizuri alivyomkuta Niko akiwa na gari la kifahari hivyo alianza kujirahisha kwa Niko akiamini kuwa ni gari lake.
"Aise nimeamini maneno yako!"
"Kwanini Niko!?"
"Wanawake wanathamini sana watu wenye magari kuliko nyumba, hapa kuna mwanamke kaishaeleweka tayari!"
"Umeona eeeh!? nilikwambia jamaa yangu kazi kwako tu akijaa kwenye mfumo wewe pita naye tumeubiwa hawa viumbe na sir God"
Makoye alizidi kumjaza na kumtia hamasa Niko ambaye naye aliweka ubize mkubwa wa kuchati na binti aliyejitambulisha kwake kwa jina la Tatu.

Upande wa ndani Mama Bibiana alitafta upenyo wa kuongea na mwanae na bahati nzuri aliupata baada ya mme wa Bibiana kuingia chumbani.
"Mwanangu fanya juu chini huyu chizi umfukuze hapa!"
"Nani mama!?"
"Niko kwani kuna chizi mwingine kwenye hii nyumba zaidi yake!?"
"Mmmmh kwanini Mama!?"
"Atakuja kukuharibia ndoa yako huyu na inaonekana kaja hapa kwa mpango maalumu au mmeo anajua kama aliwahi kukuoa!?"
Bibiana alikataa na kumjibu mama yake kuwa mme wake hajui.
"Basi mfukuze mapema kabra hajakuharibia"
"Siwezi maana aliyemwajiri hapa ni mme wangu na sio mim!"
"Hatakama wewe fanya juu chini aondoke!"
"Ngoja nitajaribu"
"Sio ujaribu hakikisha anaondoka!"
Bibiana alikubali tu ili kumridhisha lakini moyoni hakuwa na huo mpango kabisa wa kumchongea Niko ili afukuzwe kwani bado alikuwa na kazi naye maalumu na hakutaka kumshirikisha mama yake maana asingekubaliana naye kabisa.

Usiku ulipofika akiwa amelala kitandani pamoja na mmewe aliyekuwa kwenye usingizi mzito kutokana na safari ndefu ya siku hiyo Bibiana alishika simu yake na kumtumia ujumbe Niko huku akitamani ujumbe ujibiwe kwa wakati.
Alisubiri bila mafanikio yoyote yale mpaka usingizi ulimchukua akiwa kaishika simu yake mkononi na palivyokucha Niko aliamka na kutazama mda kupitia simu yake na ndipo alipokutana na ujumbe aliotumiwa na Bibiana na ujembe wenyewe ulisema.
"Toka nje tuonane sasa ivi na jambo la mhimu la kukwambia!"
Niko aliuupuza na kuamka zake kwenda kufanyakazi ya kuyaosha magari ya boss wake...........ITAENDELEA.

Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801

Namba za Malipo 👇👇👇👇

0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper sehemu ya 04

Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU)
Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper
sehemu ya 04
WhatsApp……....0613083801
Umri………………...18+

ENDELEA..........
"Unataka nipigwe risasi ya kichwa!?"
"Hawezi kujua wewe fanya mpango uwe unamfua Bibiana kisiri!"
"Hiyo siwezi aise kwanza na hasira na Bibiana acha tu, tutaongea kesho ngoja nipumzike"
"Poa poa!"
Niko alikata simu na kuupuzia kabisa ushauri aliopewa na Ben.
Dakika chache mbele chakula cha maana kililetwa ambacho hakuwa kukila toka azaliwe.
"Furahia siku yako!"
"Asante!"
Niko alianza kukifakamia na baada ya kutosheka kula ulikuwa ni mda wa kupumzika.

Siku iliyofata Bibiana alienda kumpokea Mama yake na nyumba ilibakiwa na watu wawili tu Makoye na Tatiana ambaye ni binti wa kazi, Makoye alimwita Tatiana na alipofika alianza kumtongo...za...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-she-was-my-wife-alikuwa-mke-wangu-mtunzi-simulizi-za-zooper-sehemu-ya-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-she-was-my-wife-alikuwa-mke-wangu-mtunzi-simulizi-za-zooper-sehemu-ya
Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper Sehemu...ya......02
Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper Sehemu...ya......02
Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper Sehemu...ya......01
Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper Sehemu...ya......01
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

941
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

194
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

191
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

187
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

182
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

135
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

127
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

119
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest