VYOTE NDANI GONGA94
AAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 06ππ
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Wewe chukua Sweta uvae π³π³ aliniambia Mr Paschal baada ya kuniona vile ninavyoteseka Kwa baridi...... Boss nilisahau kuiweka Sweta kwenye bagππ ukasahauπ€·πΌββοΈwhy usahau na nilikwambia mapema kuwa huku Kuna baridi sanaππ nilisahau et! Mr Paschal aliivua Sweta yake aliyokuwa ameivaa akanipatia nivaeππ kale kafilling nilikokapataπ€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ kwanza hiyo Sweta siyo ya kibongo my zanguππ ni kitu original kutokea USA π€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ niliivaa then nikamtizama Mr Paschal machoni kwake nilimwambia thank you ππ! Aliniangalia then akaniambia it's okay pendo feel free! Haaa hivi ni yeye Kweli au naotaπ«£π«£ Mr kufoka Leo Kawa mpole Hadi ananiambia nifeel freeπ€£π€£ he is shangaza me Kwa Kweli! Safari iliendelea tulifikia Hill view hotel iliyopo jijini mbeya! Mr Paschal alilipia vyumba viwili Cha kwangu na Cha kwake! Tulikabidhiwa funguo Kila Mmoja akaelekea chumbani kwake! Vyumba vyetu vilikuwa viko Jirani Sana! Niliingia chumbani kwangu ilikuwa ni usiku niliweka bag langu hapo nikajitupia kitandani nilijifunika oops bardi ilikuwa ni Kali sanaπ΅βπ« kwenye simu yangu iliingia msg niliicheki ilitoka Kwa my booππ aliniuliza Chakula ambacho nitapendelea kula usiku huo Ili aweke order! Niliwaza chapu chapu think think Nile Nini mmhh nichague Nini Sasa hebu Nile tu chip's yai na gland Malta! Nilimwambia Paschal ya kwamba aniwekee oda ya chip's yai pamoja na gland Malta! Baada ya nusu saa alinipigia akaniomba tushuke chini Kwa ajiri ya kwenda kupata dinner! Nilitoka Nikamkuta ananingoja nje ya chumba Changu nyie nyieeeeeeee π€Έπ»ββοΈ nilianza kujiona mie ndo Mimi ππ
Alivyoniona paschal aliniambia pole baridi ni Kali Sana! Alloh π€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ hivyo ndivyo kinafsi Changu kilivyokuwa kinajisikiaππ thank you boss π
Tulishuka chini pale tukawa tumekaa sehemu tulivu amazing iliyokuwa na taa za rangi na kimziki Cha taratibu π€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ chakula kililetwa nyama choma ya mbuzi chip's zangu ugali wa boss gland Malta pamoja na maji makubwa ya boss tulinawa na kuanza kula! Nilikuwa nakula Kwa mapowziππ as you know nimekaa na handsomeπ€ͺπ€ͺ pendo kula mbona hauli unachezea tu Simu au unaniogopa mimiπ€·πΌββοΈ no boss mie ndo nishazoea kula taratibuππ Mambo ya kujifagilia yakafikiwaπ€£ππ€£ ooh it's ok πββοΈπ«° tuliendelea kula huku tukiwa tunatizamana Kwa kuibia ππ uwww aibu nyie π€£ hivi ukila na handsome ndo unakuwa unajisikia aibu vile ππ mbona hamkuniambia akiiπ nilikula Kwa tabu hivyohivyo Hadi nikashiba buana! Thank you boss I'm doneπ oh okay! Tulinawa baada ya Hapo boss Paschal aliniuliza kinywaji ambacho Huwa napendelea kutumiaππ nilimwambia Mimi situmiagi vinywaji vikali I mean I don't like an alcohol ππ oh but unaweza kuonja hata taste yakeππ mmhhh sijui nikubaliπ it's ok boss basi Wacha nionje kidunchuππ Mr Paschal alimuita mhudumuπ«°akawa ameagiza mzingaπ aliniwekea Kwa glass na yeye akaweka yake tuligonga chears π₯ nyie nyieeeeeeee π€£ nilivyoonja nilihisi kama machunguπ€π€ sikumeza nilirudishia Kwa glassππ hello kunywa aliniambia paschal huku akiwa anaishika Glass yangu Kwa mikono yake na kuanza kuninywesha Ile π· wineπ nilijikuta nakunywa etππ chezea kunyweshwa Wewe π€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈHow does it taste!? Aliniuliza boo mmhh naanzaje Sasa kusema et ni chunguππ nilimwambia oohπ it's very sweet π
""Wow really!?""
"" Yeah Ofcz π""
"" so you enjoyed it!?""
""Yeah yeah I like it""
""π₯π₯π₯π₯""
My boo aliendelea kunishawishi nami nikaendelea kujilazimisha tu ilimradi nisimkwazeπ€£π€£ nyieeeeeeee kupenda huku mtu Hadi unakunywa kitu ambacho hujawahi kunywa na unaulizwa ladha yake unasema ni tamu na ilihali Wala hauenjoy taste ya hiyo kitu π€£π€£ Alf Sasa mbona hamkuniambia kama ukishakunywa ndo unakuwa vile π mie nikaanza rembua rembuaππ smile smileππ khaaa π€£ hamkuniona tu nilitisha Walah basi nikaanza kumtizama boo Paschal Kwa kurembua Paschal naye na vile kichwani vitu vishaingiaππ basi akaishika mikono yangu na kuanza kunipapasa aiishhπ€£ eh sangapi sijanyanyuka na kumtaka my boo anyanyuke tuchezeπ ukisikia pombe si chai we amini tu π€£π€£ Wala siyo uongo
paschal alinyanyuka pale kwenye kiti chake akanishika kiunoni tukaanza kucheza anajua kubambia mshenzi yule alikuwa ananipeleka taratibu aliichukua wine iliyokuwa kwenye Glass yake akawa ananinywesha nayy akawa anainywa Yani tukashea Hadi kinywaji imagine ππ baada ya ule mziki kuisha nilibakia namuangalia paschal Kwa jicho mlegezo huku nikiwa nampapasa kwenye ndevu zakeππ alitulia akawa ananiangalia tu alinishika mkono akanikalisha kwenye kiti changu akaniuliza vipi nikuongezeee kunywaji??! Najibu Sasa mie rembua rembua all de tymeπππ nilimshika mikono yake nikaanza kumpapasa huku nikiwa namchungulia machoni kwakeπ€£π€£π€£ nilitia aibu siku Ile Walah kama mtu angekuwa anaweza kujichapa siku Ile ningejichapa siyo Kwa ujinga ule niliokuwa naufanya Kwa bossππ pendo are you okay!? Yeah πππ₯°
Niliushika mkono wa boss Paschal nikauweka mdomoni kwangu nikaanza kuuchumu chumu nyie ππ mwanaume alibakia kunishangaa tuππ pendo naomba nikupeleke chumbani kwako uende ukapumzike.... No boo nataka niendelee kubakia hapa na Wewe! Kesho tuna kikao uende ukapumzike aish nataka kupumzika na weweπ no unatakiwa kupumzika chumbani kwako right!? Boo I want sleep in your bed room with you ππ with me!? Yeah with youπ paschal alinishikilia mkono tukawa tunapanda juu chumbani kwangu mbona hamkuniambia kama ukilewa ukiwa unaenda mbele unaona ni kama ndo unarudi na ukiwa unarudi nyuma unakuwa unaona ni kama ndo unaenda mbeleπππ paschal akiwa busy kunivuta mkono nimfuate yeye namimi Niko busy kumvuta mkono namrudisha nyuma huku tulikotokaπ€£π€£π€£π€£Alf hapo nacheka Cheka kama Kamala kalikoona madanga yenye Helaππ paschal alitamani kuninasa vibao π€£π€£ alinibeba Juu Hadi chumbani kwangu akanitupia kitandani kwani namuachia Sasaππ nilimvutia kitandani nikawa namwambia nyunyunyu chumu chumu chumu chumu ahahaha chumu chumuππkaka wa watu alitubu nawambia π alinilaza kitandani akanifunika nikanyanyuka vile amefika mlangoni anataka kutoka nikamkumbatia Kwa nyumaπ€£π€£π€£
Khaaaπ€£π€£ lait kama Mimi ndo ningelikuwa paschal πππau basi nimefupisha naomba tukutane badae katika sehemu inayofuata...............
Itaendeleaaaa...........
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-no
