Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"By Babie Love 0742133100"

Shangazi baada ya kuona mashuka alooh wacha aitishe mkoba wake wenye dollar 💵 😂😂😂niliziogaaaaa...

Nilimiminiwaaaa mpaka yale maumivu ya bikra yakapotea kwa muda😂😂😂🙌 shangazi aliniambia nikibeba mimba ya mtoto wangu wa kwanza nitaenda kumzalia America nyie😂

Nikaambiwa gari yangu ya kwanza nayotakiwa kumiliki ni Rangeeeeeeee😂😂😂nilipagawaaaaa😂😂😂kimoyomoyo nikajisema nitake nini mieeeee🙌

Kumbe haya mambo kweli yapo mwenyewe nilikuwa siamini😂😂😂🙌kumbe kujitunza kunaheshimisha kiasi hiki??

Familia ilinipandisha vyeo mme ndo usiulize alikuwa ananiona kama malkia nikikohoa tu ananiuliza babe umeniita???😂

Nilidekezwa zaidi ya walivyokuwa wananidekeza wazazi wangu😂😂😂🙌 kesho yake nilimpigia mamangu simu nikiwa natabasamu la pesa yote nikamsimulia kila kitu mama alifurahi sana jamani..

Aliniambia mwanangu ndoa ni baraka ndoa ni heshima heshimu mme wako heshimu familia yako mpya heshima ni utajiri...

Sawa mama nimekuelewa nitafanya hivo.... sina mashaka na wewe malkia wangu nina imani nimekulea vyema ninachofanya ni kukumbusha tu🥰..

Hahahaaaa bila shaka mama yangu❤️ tuliongea vingi mwisho mama akaniambia...

Tunakupenda sana binti yetu mwenyezi Mungu aifanye ndoa yako kuwa yenye furaha Amani na upendo wa dhati....

Kibarikiwe kizazi chako na daima machozi kwenye ndoa yako yawe machozi ya furaha tu mwanangu.... ndiyo mamaa🥹 nina imani itakuwa hivo❤️❤️❤️...

Ndiyo Maya hivo ndo itakavokuwa mke wangu nakuahidi🫂♥️

Alidakia Rouhy wala sikujua kama alikuwa nyuma yangu akinisikiliza kile ninachokizungumza kwenye simu🙈🙈❤️

Kumbe uko hapa??? Ndiyo mke wangu nitaenda wapi na kwako nimefika❤️❤️... Rouhy alinikumbatia na kisha alinipokonya ile simu na kuiweka sikioni..

Aliwasalimia wazazi wangu kisha wakazungumza... wazazi wangu walifurahi sana...

walimwambia Rouhy tunatumai mtoto wetu yuko kwenye mikono salama tunaomba sana umlinde binti yetu...

Mme wangu aliwaahidi kuwa hayo ni majukumu yake atayateketeleza ipasavyo🥰🥰🥰..

Nilifurahi sana mwenzenu🙈🙈nilijiona kama mwanamke mwenye bahati sana❤️❤️❤️..

Rouhy baada ya kuongea na wazazi wangu aliniuliza unaendeleaje mke wangu mzuri🙈🙈nikamwambia unataka uniumize tena??.

Akasema mke wangutukirudia itakuwa tamu sana nawe utaenjoy....

Nilimuahidi nitampa tena lakini siyo kwa usiku ulee... yale mahela niliyopewa na shangazi Rouhy aliniambia ataenda kunifungulia account bank niziweke..

Bibi yeye aliniambia zawadi yake atanipa nikijifungua tena aliniambia niharakishe kabla hajafa akione kitukuu chake😂😂😂🙌..

Ndo kwanza ndoa ina siku tatu nishaanza kuomba kitukuu😂😂😂kazi ninayo...ila kwa zile raha nilitamani niwazaze hata wanne kwa mkupuo😂

Mama mkwe wangu yeye aliniambia zawadi yake atayabadilisha maisha ya nyumbani kwetu

akiwa na maana ya kuwajengea wazazi wangu jumba la kisasa pamoja na kuwafungulia mradi wowote kule kijijini ili waweze kujikimu kimaisha....

Aliniambia Maya nimekupenda ukiendelea hivi hivi utavuna vingi sana kutoka kwangu❤️❤️nilimkumbatia mama nikamwambia asante sana mama mwenyezi Mungu akuzidishiee...

Wanafamilia wote walitoa zawadi akabakia Rouhy peke yake mpaka muda huo alikuwa hajasema lolose🙄🙄

Na kumtunzia kote huko jamani🙄🙄🙄au anapanga kunizawadia Dunia😂😂😂

Itaendeleaaaaaa

WhatsApp 0742133100

Itaendeleaaaaaaa...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10



"By Babie Love 0742133100"

Shangazi baada ya kuona mashuka alooh wacha aitishe mkoba wake wenye dollar 💵 😂😂😂niliziogaaaaa...

Nilimiminiwaaaa mpaka yale maumivu ya bikra yakapotea kwa muda😂😂😂🙌 shangazi aliniambia nikibeba mimba ya mtoto wangu wa kwanza nitaenda kumzalia America nyie😂

Nikaambiwa gari yangu ya kwanza nayotakiwa kumiliki ni Rangeeeeeeee😂😂😂nilipagawaaaaa😂😂😂kimoyomoyo nikajisema nitake nini mieeeee🙌

Kumbe haya mambo kweli yapo mwenyewe nilikuwa siamini😂😂😂🙌kumbe kujitunza kunaheshimisha kiasi hiki??

Familia ilinipandisha vyeo mme ndo usiulize alikuwa ananiona kama malkia nikikohoa tu ananiuliza babe umeniita???😂

Nilidekezwa zaidi ya walivyokuwa wananidekeza wazazi wangu😂😂😂🙌 kesho yake nilimpigia mamangu simu nikiwa natabasamu la pesa yote nikamsimulia kila kitu mama alifurahi sana jamani..

Aliniambia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

736
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

542
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

215
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

211
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

170
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

161
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

159
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

32
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

30
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

22

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.28K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest