REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia.
asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha
hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana karibu na mkeo kingine ujauzito wake jnaonekana wa visirani sana kwahiyo tafadhari mvumilie na umsikilize anachosema na anachotaka ukienda kinyume na hivo unaweza kumkosa mtoto alisema dr tomas
sawa nimekuelewa sana dr tommy asante sana alimshukuru basi dr tomas akaondoka na kuwaacha mke na mume taraji wakifurahi,
upande mwingine kwa devi alikuwa anavaa kujiandaa kutoka huku akifungasha nguo zake. alikuwa na lengo la kuondoka mkoa huo wa dar Ili kwenda kuanzisha mkoa mwingine kabisa, basi alivaa vizuri sana kila kitu aliweka sawa, alipohakikisha kila kitu kipo sawa akafungua mlango na kutoka nje ghafla alistaajabu baada ya kuwaona vidume 5 vya mbegu vimejazia vimeshiba kama anodi
mmoja kati ya vidume hivo akampiga ngumi moja devi akadondokea ndani yani alirudishwa ndani kwa ngumi tu halafu vidume hivo vikaingia ndani na kufunga mlango vizuri na wengine. wakaenda kufunga madirisha vizuri, dwvi aliwashangaa alipata sana woga alihisi huwenda wanaume hao wamekuja kwa nia mbaya kwake
jamani kwani mnataka nini? aliuliza devi kwa uoga sana
we si unajifanya jeuri sasa leo tunataka utuonyeshe jeuri yako: alisema mmoja kati yao vidume
jamani mimi so jeuri kwani nimefanya nini alisema devi kwa uoga sana
si unajifanya unajuwa kugonga sana eeeh unawatia mabinti wa watu unawageuza utakavyo halafu ukishawaharibia maisha unawakimbia sio alisema mwingine, hapo ndipo devi akajua kosa lake akakumbuka. maneno aliyoambiwa na calor mara ya mwisho aiseeee alijutaaaaa alijutaaa sana
jamani nawaomba msinipige msiniue jamani
nitamuhudumia kamwambieni calor anisamehe nitamuhudumia jamani alisema devi kwa uchungu huku anataka kulia.......
kelele boya wewe mchumba nini et kama
ungetaka kumuhudumia si ungemuhudumia mbona unakimbia na mabegi yani ushamtia mimba dada wa watu halafu unaikataal ushamuharibia ndoa yake afu unakimbla sasa leo tutakifunza adabu alisema mwingine kati
yao huku akivua shati na suruali yake, hapo ndipo akajuwa mojakwamoja wanataka kumlawiti aiseeee devi akaanza kulia
Jamani kaka zangu nawaomba msinifanyie hivo k....... kabla hajaendelea kuongea alipigwa. ngumi mbili mfululizo huku akiambiwa akae kimya
huruhusiwi kuongea chochote mchumba wewe hebu jioni wewe mwanaume au shoga tu, mwanaum gani kalegea mwili wake kama demu yani hadi unahipsi dah leo tutakufaidi sana maana nawashwa mno yani nataka nikukune leo mpaka ukome alisema mwingine kati yao huku wakianza kuvua nguo zao,
devi alilia sana aliwaomba sana lakini akiongea tu alipigwa alilia sana alijuta kwanini aliikataa
mimba kwanini alimjua cathe alijuta sana
kwanini amezaliwa, walivua nguo zao wote 5 wakabaki kama walivozaliwa aiseee devi alianza kumuangalia mmoja mmoja watu walikuwa na vitu aiseeee hata yeye hakuwa navyo alikodoal macho madude yalivimba kwelikweli
upande mwingine katika familia ya cathe ikabidi wakae kwanza wote chini ilikujua ilikuwaje. kuwaje mpaka mama cathe akazaa nahuyu mzee fahad, ndipo mama cathe akaanza kuhadithia kwa huzuni huku analia,
kipindi calor anasoma darasa la nne na anakaa bodi mimi nilikuwa nakaa pekeyangu tu nyumbani na wafanyakazi tu, baba cathe alikuwa anasafiri safiri sana, tulikuwa tuna pesa lakini bado sikuridhika na maisha ya nyumbani kwangu, kwakuwa nilisikia kuwa kama unataka
utajiri kuna waganga wanatoa tena bila mashart magumu, nikaongea na shoga yangu akanipeleka kwa mganga, nilipofika nilimuelezea akanambia nitapata pesa lakini kwa shart moja. tu, nilale na mwanaume masikini fukara ambaye hana kitu aliishia hapo akaanza kulia kwa dakika kadhaa kisha akaendelea
nikishalala nae nichukue condom yake. niipeleke kwa mganga yeye kuna kitu atafanya. halafu nyota ya uyo kijana itakuja kwangu. ataifanyia kitu na mali nitaanza kupata, ndo ikabidi nijifanye kama naomba msaada hivi nisaidiwe mizigo yangu nilikod kabisa chumba. ndo akapita fahad nikamuomba anibebee kwakuwa fahad alikuwa mstaarabu akanibebea hadi chumbani nilipofika alianza tena kulia alijutia sana
nilipofika nilimdhibiti kama mwanamke ni nikajikuta nalala nae nakuiba kondom yake kisiri
bila yeye kujua kumbe nilijisahau kabisa kama nilikuwa katika siku hatari, safari ya fahad namimi haikuishia hapo fahad alinipenda san japo alikuwa masikini baada ya mwezi mmoja nikagundua nina mimba yake nikamwambia hakukataa aliendelea kunipenda japokuwa kila mtu alikuwa analala kwake, na wakati wote huo mume wangu hayupo
nilimpigia simu mume wangu na kumdanganya kuwa aliniacha na mimba na kwakuwa mume. wangu alinipenda na kuniamini hakunitilia shaka alikubari na kifurahi sana, nikaanza kumkwepa. fahad kimya kimya kwakuwa hakuwa na pes za kitosha ninazotaka, na dawa za mganga wala hazikufanikiwa nisawa nilipoteza mda tu, nilijuta. sana nilijutia sana nilichokifanya nikakata kabisa. mawasiliano na fahad nikabadili hadi namba
*maisha yaliendelea mpaka nikaja kujifungua. ndo nikamzaa cathe hapo mume wangu alikiwa
kasharudi, alimpenda sana cathe kama mwanae na kwakuwa cathe alifanana namimi kwahiyo hakukuwa na shaka, siku moja cathe alitimiza miaka 5 ndipo nikachukua picha yake kwenda kuichapisha iwe kubwa kama albam ndipo nikakutana na fahad akanipokonya ile picha na alivyomuangalia tu cathe akajuwa kabisa ni mtoto wake nilimwambia ndiyo wakwake lakini akae mbali na maisha yangu nikapotezana nae. tena sikuja kumuona tena ndio leo nisamehe. mume wangu alimalizia kuhadisia mkasa huo huku akipiga magoti na kumuomba mumewe.
msamaha
upande mwingine devi alikutwa na majanga mazito sana aliingiliwa kinyume na maumbile na wanaume watano alipiga kelele sana lakini haikusaidia kitu mwisho akapoteza fahamu, wanaume wale hawakumuacha wote waliendelea kumuingilia mmoja mmoja mpaka wote wakaridhika, walitumia masaa 3 kumuingilia,
aiseeeee maumbile ya devi yaliharibika vibaya. sana yaliharibika mno vinyesi vilitapakaa chini huku mikojo pia na damu yaani walimfanyia ukatili mno, walijiweka sawa kisha mmoja wapo akafungua mfuko wake na kutoa kiroba kikubwa. sana ambacho hata mtu anaweza kuingia, wakamuingiza devi na kumfunga vizuri kisha wakatoka nae na kuingia ndani ya gari
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni