Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
Gonga94 · Stories

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita gari moja Kali na la kishue sana, nilibaki nikiliangalia na muendeshaji wal gari lo akasimama na kushusha kioo kisha akaniuliza

"Uko Sawa Mbona umejiinamia?"

Nikamuangalia kwa muda alikuwa ni mkaka hiv handsome kiasi Mwenye dark skin.

"Nimepotea"

Nilijibu kwa SAUTI ya kilio cha kwikwi

Kwa haraka mkaka huyo akashuka kwenye gari yake na kuja kuchuchumaa mbele yangu "Kwani wewe ni mgeni maeneo haya T

Aliniuliza mkaka huyo akionesha kujali sana.

"Ndio Mimi ni mgeni, Nimekuja Leo, nilitoka nje Mara moja tu, lakini mpaka sasa Sijui Nyumba Wala mtaa niliotoka

Kwanza mkaka huyo akaniangalia kutabasamu kuna Namna niliona Kama kanidharau hivi, Kwa hasira nikanyanyuka na kutaka kuondoka.

"Ullifika kwenye Nyumba ya Nani?"

Mkaka huyo aliniultza.

"Kwa enzo

Nilijibu na kusimama nikimuangalia mkaka huyo

"Unamuongelea Enzo Mtoto wa madam Groly au

Weeh hapo kwanza nilijikuta nikitabasamu kwa Furaha sana na kwa SAUTI ya shauku nikajibu.

"Ndio, Ndio huyo huyo, unamjua?"

"Ndio Mimi ni Rafiki yake naelekea Uko

Kwanza nikashusha Pumz Ndefu sana Maana

sio kwa kuzunguka mchana kutwa mpaka jua

linazama

Kwa pamoja Mimi na mkaka huyo ambaye sikuwa ata nikimfahamu tukapanda gari na safari ya kwenda kwa enzo ikaanza "Eeeh Mungu wangu nilinde mja wako huyu kaka

asiwe nyonya damu

Nilikuwa

nikiomba

kimoyomoyo

uku

nikimuangalia mkaka huyo ambaye alikunwa bize na mziki uliokuwa ukiimba kwenye gari. "By the way unattwa Nani

Mkaka huyo aliniuliza.

"Naitwa Ishare

"Waooooh unajina zuri Kama wewe Mwenyewe,

Sasa mitaa anaoka enzo ni huu hapa, kibao ki

hapa kilichoandikwa MAKE STREET na Nyumba

ni ile mbele yako Namba 20 usije ukasahau na

kupotea Tena

Allzungumza mkaka huyo ambaye alionekana

Kuwa Mweme sana kwangu, lakini pia mpole na

Mtulivu kwa kiasi chake

Finally ishani Mimi nikafanikiwa kufika

NYUMBANI

"Ulikuwa wapi

kuwa SAUTI ya ukali ya enzo, ambaye

aliniuliza pale tu Ali Poona Sura yangu

Nilibaki nikimtumbulia macho tu Maana enzo

alionekana Kuwa na hasira sana kwa wakati

huo

"Ndio ulienda kukutana

watu wako

waliokutuma kwenye familia yangu si Ndio 7

Enzo aliendelea kuniuliza uku akiendelea

kunisogelea Kana kwamba ni mtu ambaye

alikuwa anataka kunipiga hivi

Muda huo huo mkaka Yule ambaye amenisaidia

akaingia na kuzungumza.

"Aaah kaka polepole, alipotea huyo ni Mimi Ndio

nimemrudisha

Kuna Namna enzo aliona aibu akawa mpole na

kumkaribisha Rafiki yake

"Oooh Nick Karibu sisseeh

Kwa upande wangu nikachukua nafasi hiyo na

kwenda chumbani kwangu na kuwaachia nafasi

marafiki wapate kuzungumza

"Broh hil pisi umelitoa wapi? Mtoto kanyooka kila

idols"

Alizungumza Rafiki yake enzo ambaye

alijulikana Kama Nick.

Enzo akamuangalia Nick kwa Muda kisha

akazungumza

"Sasa wakisema piel zitoke hii nayo inatoka 7

Acha Bwana pisi mbovu kabisa hiyo

"Weeeh bisha tu lakini hii ni pisi Tena ya maji ya

kwanza wolliliih unajua sikuwa na ratiba ya

kulala hapa lakini kwaajili yake, Leo nalala kaka asubuhi Nimuone live Maana Hizi taa ni Kama azimtendel haki wakati huu Enzo akangua kicheko cha hall ya juu kisha

akazungumza

"Umelogwa wewe"

Waliendelea kupiga story zao za hapa na pale.

Kwa upande wangu nikaingia bafuni nikaoga na

nilipomaliza kila kitu nikatoka nje na kwenda

sebuleni alipokuwapo enzo na Rafiki yake,

macho ya Nick yalikuwa kwangu tu akinitazama

lakini pia hakuacha kutabasamu.

"Kaka enzo tunapika nini kwajili ya usiku

Nilimuuliza enzo kwa sauti ya utulivu sana.

"Nimeshaagiza chakula, unaweza kwenda

kutulia chumbani kwako"

Yaani huyu enzo jamani yani yeye ni mtu

hasira hasira wakati wote tu

Sikutaka kukaa kwa mwendo

nikakimbia na kurudi chumbani Kwangu.

haraka

Asubuhi na mapema nikaamka na kufanya usafi

wa Nyumba nzima kisha nikatulia tu Maana

hakukuwa na kitu kingine cha kufanya

ukizingatia hakukuwa na chochote kile ata cha

kuandaa kifungua kinywa.

Baada ya muda pia entzo

Rafiki yake

waliamka pasi na kupoteza muda Nick

akaaga na kuondoka zake Nikabaki Mimi na

Enzo, kaka Mwenye kisllani chake mjini.

"Eeeeh Jana ulienda wapi?

Enzo aliniuliza akiwa amesimama mbele yangu

lakini pia alikuwa amenikazia sana macho

"Nilienda nje kutafuta chakula nilishindwa

kuvumilia njaa na hakukuwa na chochote kile

cha kupika

"Ulishindwa kuniambia ?"

Enzo aliniuliza kwa hasira ana, Nikamuangalla

kwa muda kisha Ka upole nikajibu.

"Nilimuuliza wewe Ndio uliniambia niskumbue

ata kidogo

Hapo kidogo enzo akawa mpole na kuniuliza.

"Na Kwanini umekawia kurudi ?"

"Nilipotes

Kwa Mara ya kwanza enzo akanichekea Tena ni

baada ya kumwambia Kuwa nilipotea

"Sasa jiandae Tunaenda Sokoni sasa hivi

Alkizungumza enzo na Mimi nikajibu.

"Mimi hapa Niko tayali sina kingine cha

kujiandaa

Kwa pamoja Mimi na enzo tukajiandaa na

kuondoka kwenda sokoni, Uliko tulinunua kila

aina ya zagazaga kwaajili ya mapishi, kuna

Namna niliona Kuwa Enzo anajulikana sano

hapo sokoni Maana kia kona tuliyokatiza

hakuacha kuitwa na alionekana Клка

mchangamfu sana na watu hao.

Baada ya kumaliza manunuzi Mimi

enzo

tukarejea NYUMBANI tukiwa Kama mabubu vile

Maana kila mtu alikuwa kinya na hakuna

allyemsemesha mwenzie.

Tulipofika nyumbani, kwa upande wangu nillinga

jikoni moja kwa moja kwajili ya kupanga vitu

tulivyyonunua, lakini pia kuanda kifungua kinywa

kwani ilikuwa bado ni asubuhi kwa wakati huo

Mwanamke ni mwanamke tu jamani illnichukua

Kama dakika 30

Tu kwenye kupanga kila kitu lakini pia na

kuandaa kifungua kinywa

Baada ya kuweka vitu Saa, nikatenga chakula

mezani na kumuita enzo kwajili ya kuja kula.

Siku ziliendelea kusonga uku uku, kwa

upande wangu sikuwa mtu Mwenye Furaha ata

kidogo, kuna utofauti mkubwa kati ya kuishi kwa

madam Groly na kuishi kwa Enzo.

Enzo amekuwa ni mtu wa kunifokea, kunisema,

kuniongelea vibaya mambo mengine uku

akiwa hana Imani kabisa na Mimi

kwa imebaki siku moja tu ili niweze kurudi kwa

madam Groly, siku hiyo nilikuwa Nina Furaha

sana Maana ni Kema nilikuwa natoka kwenye

jera ndogo ya enzo

Nikiwa nimekaa chumbani kwangu napanga

nguo zangu kwaamaandalizi ya kurudi kwa

madam Groly, gafla enzo akaingia chumbani

kwangu, na akaingia pasi na kupiga hodi, hii hali

halkunishtua eta kidogo kwani nimeshazoea

lakini pia ni NYUMBANI kwake anaweza

akafanya anachojisikia.

"Imekuwa vyema Kuwa unandaa nguo zako,

hivyo Basi jandae unaondoka muda huu

Alkizungumza Enzo baada tu ya kuingia Ndani

kwangu.

"Unamaanisha naondoka Sasa hivi?"

Nilimuuliza kwa shauku lakini pia kwa furaha ya

hali ya juu

"Ndio, niko kwenye gari nakusubilla"

Alizungumza enzo kisha akatoka nje

Nyleeeeh raha na ambayo nilipata wakati huo

Sijui ata niwaelezee kwa njia gani sikuwa Tena

na muda wa kupanga nguo, nilichokifanya ni

kutupia tu kwenye begi

Baada ya muda mfupi kupita, tayali Mimi

Enzo tulikuwa kwenye gari tukielekea kwa

madam Groly.

Katika moja na MBILI Bwana, baada ya mwendo

mrefu tulloembes, nilishtuka sana baada ya

kuona

gari ya Enzo ikiwa imepaki nje ya Nyumba

ya ma Mdogo, yoaani kwenye Nyumba ambayo

nilikuwa nikauza mwili wangu, Nyumba ambayo

imebeba kumbukumbu zangu zote za maumivu,

Nyumba ambayo Furaha kwangu ilikuwa ni

Kama Simulizi za uongo za Abunuasi

Je Kwanini enzo ameniieta kwa ma Mdogo ?

Tukutane sehemu IJAYO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*


Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita gari moja Kali na la kishue sana, nilibaki nikiliangalia na muendeshaji wal gari lo akasimama na kushusha kioo kisha akaniuliza

"Uko Sawa Mbona umejiinamia?"

Nikamuangalia kwa muda alikuwa ni mkaka hiv handsome kiasi Mwenye dark skin.

"Nimepotea"

Nilijibu kwa SAUTI ya kilio cha kwikwi

Kwa haraka mkaka huyo akashuka kwenye gari yake na kuja kuchuchumaa mbele yangu "Kwani wewe ni mgeni maeneo haya T

Aliniuliza mkaka huyo akionesha kujali sana.

"Ndio Mimi ni mgeni, Nimekuja Leo, nilitoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzoo-7-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzoo
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

1.06K
WEWE NI WANGU 12 na 13

WEWE NI WANGU 12 na 13

176
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

98
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

89
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

80
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

38
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

35
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*

16
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.27K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.01K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.12K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.53K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

WEWE NI WANGU 12 na 13 Post Mpya
WEWE NI WANGU 12 na 13
@majario LIVE

SEHEMU YA 12 Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamani😂 sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumaliza kula akanibusu shavuni kisha akaniaga kuwa anondoka nikamjibu poa Akaita boda boda baada...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

Kwanza kila mtu akashtuka na kuniangalia Mimi ambaye nilikuwa nikitetemeka sana. Kuna Namna niliharibu moment nzuri ya Furaha ya mama na Mtoto. Kwa upande wa mkaka buyo aliganda akinishanga na kujiuliza kimoyomoyo Kuwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120. Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Nikasusa chakura chakeee. Basi kaanza kujiombesha msamaha pale nisamehe mke wangu . Nisamhe basi. Mh namjua uyu . Nikaona asije akalia bule baba wa watu. Nikamwambia sawa nimekusamehe ila sitaki...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest