AAAAAASH BOSS ENZO ๐โค๏ธ* *Chapter 5*
ANZA NAYO.....
Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi.
"Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?"
Ilikuwa ni SAUTI ya kike SAUTI nyororo sana na kwerrye mawazo yangu niliwaza Kuwa ni binti tu Kama Mimi, Maana ni Mtoto wa huyu mama ambaye amenichukua na kunileta NYUMBANI kwake.
"Ulitaka nifanye nini? Nimuache MTAANI au ? Suzy usisahau Kuwa ni wewe Ndio umemsababishia matatizo huyu binti, usisahau Kuwa wewe Ndio ulimgonga na kusababisha kupoteza kila alichokuwa nacho"
Hapo kwanza nikashtuka Maana naona taarifa ni mpya kabisa na ni tofauti na ile ambayo nilipewa mwanzo na mwana mama huyo.
"Ila mama sijui unajikutaga Nani, Yaani Sijui, wewe muda wote unatakaga kusaidia watu tu, kwani si ulishamtibia ungemuacha aende
alikokuwa anaenda tu"
"We unajua alikuwa anaenda wapi au? Suzy Kuwa na huruma binti yangu"
"Mimi simtaki Huyu binti hapa NYUMBANI"
"Ndio nimeshasema, Ishani atakuwa hapa ะฟะฐ sisi tukitazamia hali yake, na akikaa Sawa tu namuajili kazi za Ndani aweze kumsaidia mama Zena
"Utajua Mwenyewe Bwana"
Alijibu msichana huyo ambaye sikuwa Nimeona sura yake, Bali nilishika tu SAUTI yake na kujua
Jina lake kupitia maongezi Yao.
Kwa Namna moja nyingine, niliweza kugundua Kuwa, madam Groly ni mtu Mwema sana, lakini huyu binti yake sasa ni kazi juu ya kazi
Muda huo huo niliweza kusikia SAUTI za miguu ikisogea hivyo kwa mwendo haraka nikajiondoa eneo ilo na kwenda sebuleni na kubaki nikishangaa tu uku na uku.
"Umeshaamka"
Alizungumza mama zena bada ya kunikuta sebuleni nikiwa nashanga shangaa tu "Ndio mama, naweza kupata maji ya kunywa?"
Nilimuuliza mama zena ambaye ni msaidizi wa kazi za Ndani hapo.
"Nifuate"
Moja kwa moja Mimi na mama zena tukaenda jikoni, my zangu, kuna watu wanaishi kishua sana, Yaani huyu mama uwiiiiih, Uko jikoni kwake Ndio usiseme ni pazuri sana, hii familia
Inaishi maisha ya ndoto zao.
Baada ya muda familia nzima ilikutana kwenye meza ya chakula kwaajili ya kupata chakula cha usiku, na madam Groly akatumia muda huo
kunitambulisha kwa kila mtu, lakini pla kunikaribisha Rasmi kwenye familia yake uku akiniaidi kunisaidia.
"Asante sana mama Mungu akubariki mno"
Nilimshukuru kwa kila kitu ambacho madam Groly amenifanyia
Hatimaye mwezi mzima ukapita nikiwa kwenye Nyumba ya madam Groly na tayali nilikuwa ni Kama dada wa kazi na nilikuwa nikishare chumba kimoja na mama zena ambaye ni
mfanyakazi mwenzangu.
"Hivi ulimpelekea Suzy maji yake ya moto?"
Mama zena aliniuliza, muda huo Mimi na mama zena tulikuwa jikoni tukiandaa kifungua kinywa.
"Sjampelekea"
Nilijibu uku niliendelea kukanda ngano kwaajili ya chapati
"Ishani nae unapenda kugombana na Suzy, Yaani muda unayoyoma na ujampelekea maji yake
Alizungumza mama zena kwa style Kama
ananilaumu hivi.
My zangu iko hivi, Suzy ni binti ambaye yuko
makini sana kwenye kutunza mwili wake, ni binti
ambaye anauchukia sana unene hivyo, amekuwa
akifanya diet lakini pia uwa anakunywa maji ya
moto yenye limao kila siku asubuhi kwaajili ya
kuchoma mafuta ya tumboni.
Kabla sijamjibu mama zena, muda huo huo Suzy akaingia jikoni alionekana Kuwa na hasira Sana
na nilijua kabisa hasira yake ni juu yangu.
"Kwahiyo Unataka kila siku niwe nakukumbusha
kuja kuniletea maji yangu?"
Aliniuliza Suzy uku akinikanyaga vidole vyangu vya miguuni, imagine, yeye amevaa viatu, halafu
Mimi niko pekua.
"Suzy unaniumiza"
Nililalamika Maana viatu chake vilikuwa na soli ngumu sana.
"Ni jibu swali langu, Unataka kila
Siku tuwe tunakumbushana tu au? Kwani Ishani
wewe ni Chizi kidogo?"
Suzy aliniuliza kwa kunifokea Kama Mtoto Mdogo vile, lakini pia bado alikuwa akikanyaga
vidole vyangu.
Klukweli Mimi ni binti mpole na Mtulivu mno, lakini maisha ya manyanyaso ambayo nimeishi
kwa mama yangu Mdogo yamenibadilisha pa kubwa mno, Nimekuwa muongeaji mno lakini. pia ni mtu ambaye sitaki kabisa kuonewa, na kuna Namna Nimekuwa ni Kama mtu ambaye.
siwezi kuzuia hasira zangu.
Nilijikuta nikimsukuma suzy kwa nguvu sana na kwakuwa hakuwa ametalajia tukio fio, Suzy
akaanguka chini Kama Mzigo na kujikuta akiangukia makalio.
Mama Zena alishtuka sana na kwa haraka
akawai na kumnyanyua Suzy.
"Ishani Muombe msamaha Suzy
Alizungumza man zena akiwa amenikazia macho.
"Nafikili yeye. Ndio anatakiwa kuniomba Mimi
msamaha
Nilijibu kwa kujiamini mno.
"Nitakuonesha
Alizungumza Suzy kwa hasira kisha akatoka nje.
Baada ya muda Suzy akarudi na kuzungumza.
"Mama zena niletee maji chumbani"
Kisha akaondoka zake.
Kwa upande wangu niliendelea kukanda ngano
lakini kwa hasira sana.
Ishani ni nini lakini umefanya??"
Mama zena aliniuliza.
"Huyu msichana anataka kunipanda kichwani tu,
Jana usiku si aliniambia ataki Tena kuandaliwa maji na Mimi? Bado akasisitiza kuwa ataki kuniona chumbani kwake, halafu sa Hizi
ananiletea ubabe wake wa kijinga
"Lakini sio kwa style hiyo, Ishani usisahau Kuwa Suzy ni Mtoto wa boss wako"
Nilimuangalia mama zena kwa muda kisha
nikamjibu.
"Na yeye ajue mipaka yake Mimi ni msaidizii wa kazi tu na sio mtumwa wake"
Kisha nikaendelea na kazi zangu mie.
Kama kawaida Mimi nikishamallaga majukumu
yangu moja kwa moja Uwa naenda kukaa tu chumbani.
Ikiwa ni Majila ya Saa 1 jioni kuelekea saa mbili,
nikiwa na uchovu wa hali ya juu, nikajivuta vuta na kwenda jikoni kwajili ya kutenga chakula mezani Maana Uwa wanakula sa mbili au Saa 3.
Nikiwa natokea jikoni kuelekea Kwenye meza ya chakula, nikajikuta nikishangaa sana baada ya
kumuona madam Groly akishuka ngazi kwa kukimbia lakini pia alikuwa akishangilia kwa
Furaha sana uku akiimba
"Mwanangu, Mwanangu Mwanangu
Nilibaki nikimshanga na madam akaenda moja
kwa moja na kufungua mlango.
Uwiiiiiih kitendo cha madam Groly kufungua tu
miango, nilijikuta nikiangusha jagi la Juice
baada ya kukutana uso kwa uso na mkaka Yule aliyetoa bikra yangu nikiwa kwa ma Mdogo
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni