AAAAH IMETOSHA BOSSππ N0 70...71ππ
Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo ndivyo vilivyopelekea Junior kupatikana Junior ni jina la mtoto wa lia...ucjali lia tayari yalishapita hatuna budi kuachana nayo tugange yajayo.... aliongea paschal..... mimi pia siyo msafi ni mkosefu nilimuomba lia samahani kwa sehemu yoyote ile niliyowahi kumkwaza basi aniwie radhi sote binadamu makosa tumeumbiwa sisi.....tulikumbatiana pale baada ya hapo tulimuaga lia alimkiss mtoto wake Junior alimwambia nakupenda sana kipenzi changu hata kama kesho ukiamka usiponikuta basi tambua kuwa mimi mama yako ninakupenda sana na ninakuombea ukue vyema rehema za mwenyezi mungu ziambatane nawe..... machozi yalikuwa yakimtoka lia kipindi alipokuwa anayaongea hayo maneno..... basi inatosha lia wacha sisi tuondoke ili tusiendelee kukufanya ulie.... pumzika hali uliyonayo hautakiwi kabisa kulia utajiumiza.... nilimwambia vile tuliaga tukaondoka pale....
Moyo wangu ulikuwa na amani sana.... angalau lia aliweza kuyatambua makosa yake na kuomba msamaha siyo hilo tu hata mimi nina amani kwa kuwa nimeweza kumuomba samahani kwa pale nilipowahi kumuumiza angalau sasa tutaenda kuwa marafiki mimi na yeye.....namuomba mwenyezi mungu amponye....eh mungu wangu lia kaweza kukiri makosa yake na kuomba radhi kwangu na mme wangu namimi natamani kuomba radhi kwa mme wangu kwa makosa ya uzinifu niliyoyafanya yakapelekea mimi kuzaa nje ya ndoa....usiku wa ile siku nilimfuata mme wangu nilimuomba tuongee alinikubalia..... niliyakiri makosa yangu yote kwa paschal nilimuomba anisamehe nilishajutia mme wangu na sitamani kuwa kama zamani.... mme wangu alinikumbatia aliniambia pendo nakupenda sana ni wewe pekee ndo mwanamke uliyejaa kwenye moyo wangu ikitokea ukaniacha wewe basi hakuna yeyote yule atayeweza kuufikia upendo nilionao kwako hata ikitokea mapenzi yetu yakaisha basi tambua wewe katika moyo wangu utaendelea kuwepo milele na milele.....alinikumbatia alinikiss aliomba namm nimsamehe kwa kila kitu alichowahi kuteleza kwangu nilimwambia yote kheri mme wangu siku zote tunajifunza kutokana na makosaππ.....
Tulienda zetu chumbani kulala usiku ule ulikuwa ni usiku wetu wa pekee wa kulizindua penzi letu lileeee kama la zamani kipindi ndo tumeanza kutongozanaπ ilikuwa ni baada ya kuondoa vinyongo vyote katika mioyo yetu...... mme wangu aliniomba twende bafuni tukaoge wote pamoja niliambatana naye kwenda bafuni tulioga huku tukiwa tunachezeana mapenzi ni raha sana haswaa pale unapokuwa katika himaya ya yule unayempenda kwa dhati baada ya kutoka kule bathroom mme wangu aliyakausha maji yaliyokuwa katika mwili wangu kwa kuitumia towel nyepesi baada ya hapo alinipaka mafuta mwilini kwangu huku akiwa ananipapasa fulani hiviπ₯hisia nzito zilianza kulindima katika viunga vya mwili wangu nilikuwa namtizama tu mme wangu vile anavyonihudumia kwa upendo wa hali ya juu basi nilijikuta najiambia hata ikitokea tukazaliwa upya basi mimi nitamuomba yeye tu ndo awe wa kwangu.....alinifanyia massage pale kwenye nunu yanguππ alikuwa anaimassage taratibu kwa mahabaππππ....
Nilinogewa na ule utamu niliokuwa naupata niliendelea kuusikilizia tu nilitamani aendelee kunifanyia vileππ alinifanyia kwa muda hadi kiusingizi kilianza kuninyemelea.....ni zamu yangu namimi nataka kukufanyia kama hivyo.... nilimwambia..... ni sawa laazizi wangu aliniruhusu nilimkalia kiunoni kwake nikaanza kum-massage katika sehemu za shingoni kwake mabegani kila sehemu yani nilimfanyia na yale maandalizi ya kikubwa baada ya hapo alikuja juu yeyeππ alianza kunichokoza kwa kuitumia bakora yake alikuwa ananitekenya pale kati na mwishowe aliizamisha et nilianza kuililia ilikuwa tamu siyo kidogo alianza kunitia taratibu huku akiwa ananipatia mate mdomoni kwangu hakuacha kunisugua huku mikono yake ikiwa inazichezea nyonyo zanguππ ni utamu tu ndo kitu nilichokuwa nakisikia.... niliitumia mikono yangu kuupapasia mwili wake katika sehemu mbali mbali zile zinazoongeza hamu ya tendo sikuacha kumzungushia kiuno changu taratibu naye alikuwa ananitia taratibu huku akiwa anaisifia tamu yanguππ alinisugua tena na tena alichoka kukaa juu akanipandisha mimi nikaenda jipakulia.... niliichezea kiufundi hadi akakojoaaaaaaaππ
Baada ya tendo tulilala huku tukiwa tumekumbatiana nampenda et upendo wangu wote upo kwake kamoyo kangu kote nimekauza kwakeπ€£π€£ nayeye hana neno mtoto wa mama mkwe ametulizana kwa mtoto wa kiiraq..... usingizi ulikuwa ni mtamu sana si mnajua ukikumbatiwa na yule umpendaye vile unavyoenjoy na radha ya usingizi inakuwepo ya kutoshaπππ...... kesho yake asubuhi baada ya kupambazuka tulijiandaa baada ya hapo tulielekea hospital kwa ajiri ya kwenda kumuona lia tumpeleke na Junior kwa ajiri ya kwenda kunyonya....tulifika pale hospital madactari walituzuia kumuona lia.... samahani sana hamuwezi kuonana naye hali yake imebadirika ghafla amerudishwa icu kwa ajiri ya kuwa chini ya uangalizi wa hali ya juu wa Jopo la madactari wanaopambana ili kuweza kumrudisha katika hali yake ya kawaida...... hayo yalikuwa maelezo ya dactari kuhusiana na lia....amekuwaje kwani?! yani kimemtokea kitu gani?! Na hali yake mnaionaje nawaomba mfanye kitu kwa ajiri ya kumrudisha katika hali yake ya kawaida doctor nakuomba upambane fanya kwa ajiri ya Junior anamhitaji sana mama yakeπ°π machozi yalianza kunitoka baada tu ya kuambiwa kuwa Hali ya lia inatisha sana.....
Maskini Juniorπ°π°kila nilipomwangalia nilisikitika sana yeye hakujua hali anayoipitia mama yake huko icuπ°π° kenyewe kalikuwa tu kanatuangalia hatukujua hata kanawaza nini akilini kwakeπ°π° baby usiwaze mommy atakuwa safe nilimwambia Junior huku nikiwa nambeba kutoka kwenye kile kigari chake..... nilienda nikaket sehemu nzuri yenye kimvuli nikaanza kumnywesha Junior maziwa yake nilimpatia maziwa taratibu alikunywa akashiba baada ya hapo nilichukua kile kitambaa chake cha kumsafishia mwilini kwake nilimsafisha baada ya hapo nilimbadirishia pampers pamoja na nguo kalisinzia et...nilikabeba nikakafunika vizuri tulipanda zetu kwenye gari tukaanza kuondoka pale hospital. ..... tulifika nyumbani nikaenda chumbani kwa Junior kwa ajili ya kumlaza Junior nilimlaza kitandani kwake baada ya hapo nilimfunika vizuri nikatoka nilienda maktaba nikachukua vitabu viwili kimoja ni kitabu cha mapenzi kinachoelezea namna ya kuimarisha ndoa pamoja na mahusiano...... na kitabu cha pili ni kitabu chenye simulizi za kutisha ambazo mara nyingi mme wangu huwa anazipendelea sana...... nilimpatia kitabu chenye simulizi za kutisha kisha na mimi nilibakia na kile kitabu changu chenye simulizi zinazoelezea namna ya kuimarisha mahusiano pamoja na ndoa....
Tuliketi tu pale kwenye ngazi za juu ghorofani nje ya chumba cha Junior tukawa tunajisomea kurasa za kwenye vitabu ili angalau tuweze kupoteza mawazo tusogeze na muda.....tukiwa zetu busy kujisomea ghafla ilisikika sauti ya Junior akiwa analia kwa sauti ya juu sana mimi na mme wangu wote tulikimbilia chumbani kwa Junior kwenda kumwangalia kawaje mbona alie kwa sauti kiasi hiko na wakati alikuwa yuko usingizini nilikwenda nikambeba baba yake aliniomba nimpatie ambembeleze alimbembeleza mno lakini mtoto alikuwa ananyamaza kwa sekunde tu kisha analianzisha upya...... alilia hadi kwikwi ikamkamata... tukiwa bado tunaendelea kumshangaa Junior tuliwaza hadi kumpeleka hospital lakini simu ya mme wangu pascal iliita alipiga baba yake lia alikuwa anatutaarifu kuwa lia hatunaye tena katika dunia hiiπππ...
Itaendeleaaaa........
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni