Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*REALLY LOVE Chapter 20
Gonga94 Β· Stories

*REALLY LOVE Chapter 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema

fahima

"siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven

sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima

unadhani ni rahisi kukaa hivo yani naona haupo sawa halafu nikae tu hujui kama namimi naumia nikikuona hivo alisema seven

"ok twende tukale alisema fahima

sawa ila nimekumiss sana alisema seven kisha akamsogelea fahima na kumkumbatia

"ujue nakupenda sana mke wangu kwahiyo tukiwa na mifarakano siwezi kabisa kuna kitu nimekimiss sana zaidi ya chakula alisema seven huku akimuangalia fahima ambae alitulia.

kwa wakati huo

mh kitu gani aliuliza fahima kwa tabasam

"nimekumiss sana wewe fahima pis nakuomba unipatie tu kidogo mke wangu nimejikaza sana ujue alisema seven kwa hisia mno

lakini mi naogopa sikulle uliniumiza sana alisema fahima

am sorry mamaa haitajirudia tena nakuahidi hautaumia tena" alisema seven

sawa alijibu fahima

nakupenda mwenzio alisema seven

nakupenda pia severni alisema fahima ebwana ee kasauti cha mahaba ka mtoto wakike kalimchanganya seven, alimvutia kifuani kwake.

taratibu akasogea mdomo wake na kumpa romance mtoto wa watu, alitulia nae ndani ya dakika 4 jinsi gani alimmisi mtoto wa kike kisha akaondoa mdomo wake

asante sana mke wangu twende kwanza. tukale kisha tukimaliza nikuogeshe nikuandae vizuri alisema seven

sawa asant pia mume wangu alisema.

fahima basi walifurahi sana wakatoka chumbani.

humo wakiwa wanatabasam fahima akaelekea Jikoni kuendelea na mapishi ya jioni huku seven akarudi sebleni kuongea na familia

muda ulienda sana hatimae chakula cha usiku

kiliandaliwa walikula kisha mzee fahad yeye akamua kuondoka maana muda ulienda mama seven na dada zake wakaenda chumbani kupumzika na fahima akaongozana na seven.

chumbni,

siku hiyo mtoto mzuri aliogeshwa aliandaliwa vizuri ipasavyo kimwili hatimae fahima.

alimtunuku penzi tamu sana seven yaani penzi

la utulivu sana lililomkolea seven kisawasawa siku hiyo walienjoy sana ndipo fahima akajua kumbe mchezo huu wa usiku ni mtamu sana, basi walimaliza na kulala siku hiyo walilala

usingizi mnono kwelikweli,

asubuhi na mapema nyumbani kwa mama

cathe, sikuhiyo calor aliamka akiwa na mawazo. sana, aliwaza mengi sana juu ya mdogo wake, aliamua kumfata nje ambapo ndio cathe alikuwa amekaa tangu alfajiri

naona leo umeamka mapema sana alisema calor

"ndio kaka alisema cathe

nimekuja hapa nina jambo muhimu sana. nataka tuzungumze alisema calor

sawa kaka alisema cathe

kabla ya kuzungumza naomba ujue kitu kimoja, cathe sisi wanaume tunajijuwa ni waongo sana kwahiyo hata ukinidanganya

nitajuwa tu hivi cathe nikweli devi amekubali hiyo mimba aliuliza calor cathe alishtuka sana hakutegemea swali zito kama hilo

nataka uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje mdogo wangu ukinificha haitasaidia kitu alisema calor

kaka nikweli kusema ukweli devi hajaikubari

ameikataa kaka amenikataa namimi pia sijui

nitafanyaje mimdanganya mama ili asinifukuze alisem cathe huku analia

dah usijari mdogo wangu nataka nikaongee na devi pia nikaongee na seven najuwa seven ni muelewa sana anaweza kunisaidia alisema.

calor

kaka seven hatonikubali tena mimi kaka alisema cathe.

usijari niachie mimi alisema calor, muda huohuo akajitokeza baba cathe akiwa amesikia

kila kitu wakati wa maongezi yao, cathe na calor walishtuka walipomuona baba yao waliamini kasikia kila kitu,

"wote njoeni ndani alisema bab cathe kisha akatangulia ndani, nawao wakafuata wakiwa na wasiwasi sana,

upande mwingine wa wapenzi hao wawill seven alikuwa anafungwa vizuri vifungo vya shati alipokaa sawa kila kitu akawa tayari sasa kutoka. kwenda kazini

kwa staili hii mimi sirudi tena nyumbani alisema seven nakufanya fahima acheke

Macha ujinga huko kumbuka leo wote mnarudi nyumbani mama kasema alisema fahima

"yani sirudi nani arudi sirudi kwalile penzi la Jana yani muda wote naliona tu utakuja kuniua fahima we haya tu alisema seven

"sasa seven ujue hivi tunazini mimi sipendi kabisa alisema fahima

"am sorry mke wangu nafanya maandalizi ya ndoa leo ndo nataka nikaandae kadi za mualiko wa harusi alisema seven

"wow nitafurahi halafu leo nataka nitoke alisema fahima

wapi yani usije kuniambia unaenda kwenu sitaki kusikia kabisa hapa ndo ushafika na usitarajie kutoka wewe ndio mama mwenye nyumba hii alisema seven

seven jamani hata sijamaliza mi nilitaka niende kwa agness tu kule bar kumsalimia alisema fahima

aha sawa ila tutaenda wote alisema seven

alokwambia naenda nani yani apa sitoki nitakaa mpaka utakapoondoka namimi nikupeleke na nikurudiahe nyumbani ndo niende

The seven hebu nenda kazini alisema fahima

kazini alisema seven maneno hayo yakamchukiza ghafla tu fahima akatoka

chumbani akiwa amekasirika seven nae akamfuata walifika seblen na kumkuta mama. seven anaandaa chai

"kumekucha nyie vipi asubuhi asbh kugombana tu alisema mama seven

mama mwambie seven aende kazini alisema fahima

"mimi siendi sasahivi alisema seven

"kwani shida nini jamani aliuliza mama seven

sihuyu apa hataki kwenda kazini anataka kufuatana namimi tu alisema fahima aiseee mama seven alishindwa kujizuia akaanza kucheka alicheka sana

sasa seven jamani mkwe wangu yupo nenda kazini mie sinipo leo alisema mama seven

mama uyu anataka kutoka siwezi kumuacha atoke pekeyake apa tunaenda wote na kirudi wote alisema seven

sasa hapo shida iko wapi basi fahima.

mwanangu usijari nenda na seven sawa mwanangu tatizo muelewe mwenzio anakupenda sana na anawivu sana ndio maana hataki utoke pekeyako alisema mama seven

sawa mama fahima alijibu kishingo upandw

kisha akaelekea jikoni, mama seven aliwaangalia sana akabaki kucheka tu

*MWISHO WA SEASON ONE*

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*REALLY LOVE Chapter 20



fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema

fahima

"siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven

sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima

unadhani ni rahisi kukaa hivo yani naona haupo sawa halafu nikae tu hujui kama namimi naumia nikikuona hivo alisema seven

"ok twende tukale alisema fahima

sawa ila nimekumiss sana alisema seven kisha akamsogelea fahima na kumkumbatia

"ujue nakupenda sana mke wangu kwahiyo tukiwa na mifarakano siwezi kabisa kuna kitu nimekimiss sana zaidi ya chakula alisema seven huku akimuangalia fahima ambae alitulia.

kwa wakati huo

mh kitu gani aliuliza fahima kwa tabasam

"nimekumiss sana wewe fahima pis nakuomba unipatie...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-chapter-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love-chapter
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* Chapter 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

1.15K
MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 58

717
*MY WANGU❀️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❀️* *sehemu ya 109 na 110*

633
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜

572
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60

376
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

156
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

85
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

82
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

45
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!

38

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.49K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.42K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.32K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*REALLY LOVE Chapter 20 Post Mpya
*REALLY LOVE Chapter 20
@majario LIVE

fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema fahima "siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima unadhani ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Mhh CEO alinitizama tuu maana, kisha akatabasamu hujafukuzwa kazi, ila ni vile tu hujaelewa nilikuwa naamaanisha nini hapo, binti sikusem kwa nia ya kukufukuza kazi basi nikisema pengine kuna siku...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

59 MPAKA 60 MWISHOOOO 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Ahaaa basi nikamtoa na t shirt ya juuu. Wala hajabisha tena . Nikamfungua na sidiria yake. Kisha naikabugia ziwa lake la kushoto nikaliingiza mdomoni. Weeeeeee. Akaanza...

*MY WANGU❀️*   *sehemu ya 109 na 110* Post Mpya
*MY WANGU❀️* *sehemu ya 109 na 110*
@majario LIVE

Aseeeee ata nikifurah ndo sio wangu ni mume wa mtu. Basi nangalia missed calls mama kanipigia sana . Wee mimi wala sikutaka kumpigia mama nikamtumia tu sms.mama mi naludi keshi...

MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyamaπŸ₯²hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❀️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be BrΓΆtchenβ€”those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing societyβ€”it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity πŸ’”  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity πŸ’” Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest