MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale road. Naona watu wengi . Kuna mama ni shoga yeke kidogo na mama. Aknmbia faridah wahi runzewe mtoto yupo uko tumemuwaisha hispitali.nyiee nilikuwa nalia. Nilichanganikiwa alafu uo mda mama hayupo kaenda shamba. Mh uyu mama ndo akinisimamia pale akaniita boda harka .ikaja nikapanda Mie mpkaa runzewe. Nakuta mtoto ndo anafanyiwa matibabu na kuna mkaka boda boda ndo alimleta haraka. Na wala sio yeye aliyemonga. Aliyemgnga alikimbia nakwambiaaa alivuoona soo tu akanyoosha moja kwa moja. nimefika nalia kama chizi . Manurse ndo wakanambia tulia mtoto anaendelea vizuri. Usilie ataaa. Nikasema kweli jamani naombeni nimuone kwanza. Naombeni nimuone mwanangu. Nataka kumuona rahul wsngu. Wakanambia hapana ndo anapata matibabu.yupo na daktari. Wala usijali utamuona sawa. nikasema sawa
Nikawa nimekaa pale nalia ata amani sina. Weee mie mwanangu nampenda japo baba yake mshenzi ila mwanangu nampemda mnoo. . Mala na mam nae anakuja naona alipewa taarifa uko. Akanmbia vp anaendeleaje mie nalia namwambia mam bado sijamuona. Mama akanmbia tulia atakuwa sawa.basi nikatulia pale. Mala dr akatoka sasa . Akanambia mzazi wa rahul aya njoo sasa. Nkwambia nilikimbia haraka nikaenda pale.. na mama akja nyuma daktar akaniingiza chunba alichokuwa mwanagu. Jamani alikuwa kavishwa ogo mkononi na mguuni .bado usoni kafungwa mabandages. Aseee niliumia sana na yeye analia mwanangu .nikamkumbatia nikamwambia rahul tulia mtoto wangu si unaona mama nimefika apa. Aya nyamaza baba yangu. Akawa analia pale si unajua mtoto .aseeeeee nafanyaje sasa. Dr anamba gharama za matibabu ni laki 1 na 50. Nyie sina ata buku iyo kuja apa . Yule boda kanileta buleee. Mh tukaangaliana na mama. Yule dr akasema mnahitajika kulipia mana anahitajika kupewa na dawa zengine . Kuzuia maumivu ya ndani kwa ndani . Nikamjibu sawa nakuja kulipia. Yule dr akatoka akaniacha na mama doooh
Namuukiza maam we una pesa .akanmbia sina ata 100. Mh na mm ndo kabisa . Mh kiukweli sikuwa na mtu wa kumuazima pesa. Nilimtumia sms yusta . Nikamuelezea jamani. Nikamwambia anikopeshe. Akanijibu pole sana . Mwambie baba yake mmi nimepanga kuendea saloon pesa yangu. Now sina na sitaki kumsumbua mume wangu ana majukumu mengi kwa sasa. Mh nilijalibu kumbembeleza nakwambia akwa ata hanijibu. Apo mama anamuangalia mtoto.mie nikatoka njeee .sijuh kwa nn sikufikilia sana nikampigia mligeee. Yani ata sikujali ni mume wa mtu au atakuwa na mkewe uo mdaa .mi sikuwaza hiloo . Mlige akapokea akasema helllow nani. Nikasema elly ni mm. Akanmbia unataka nn. Nikasema naomba unisaidie mtoto kagongwa na piki piki nipo hospitali runzewe . naomba nikopeshe laki 1 na 50 tu nilipie apa huduma kisha nakurudishia kesho mapema
Akanmbia sawa kisha akakata simu. Nyie mda uo uo muamala ukatema. Akanitumia laki 2. Kisha kanitumia sms kesho naitaka pesa yangu mapema sana. Nikamwabia sawa. Mbona sikuamini. Aseee nilimuona mlige ana roho nzuri sana. Licha ya yote niliyomfanyia wala hakuona shida kunisaidia. Nikaenda kulipia pesa . Mama akniuliza umepata wpi pesa. Nikasema nimeongea na baba yake kanitumia. Mama akanmbi sawa kimbe wala pesa katuma mlige. Basi tukapewa na dawa zote . Kisha tukaruhusiwa sasa . Nashuru rahul alikuwa sawa tu anaongea ila sasa ndo maumivu analalamika sana. Mpaka namuoea huruma baba yangu. Nampa pole tu. Namwambia tulia baba yanguu eeeh . Si mnajua watoto wakiumia wanavyodeka basi anataka nimpakate tu.
Basi niliangaika nae usiku kucha anaumia . Kila sehemu nafanyaje sasa ndo kulea. Nambembeleza. Nakwambia. Mpaka asubu mh kumekucha nipo hoi. Hii siku mlige wala hakuniulizia kabisa pesa yake.Nikapamabana ane kama week ndo kidogo namuona sawa. Basi siku iyo asubuh nakuta sms ya mlige kanambia nhitaji pesa yangu. Nimekukaushia week ya 2 pili sasa ujanirudishia inakuwaje. Mh acheni kabisa. Napata wapi mm iyo laki 2 ya kimlipa .nikamjibu nivumilie .ntakupa kesho kutwa. Akanmbia acha kunizungisha hauna pesa ha kunipa . Cha kufanya nakuja saa 10 jioni kwa juma . Nakutaka uko uje kunilipa kikubwa pesa yangu. Mh mligee. Mbona anataka kunipa seke seke uyuuu
Mh nikasema no mlige mi siwez kuja uko we ni mume wa mtu bwana mi siji. Mlige akanmbia pow kama huji na kuja mm kwenu . Nakuja kukudai pesa yangu utaona ntakachokifanya apo kwenu . Mh nikasema mlige basi usije ntakujaa . Mh niliogopa asije akniletea balaa kwa mama. Akanmbia sawa sasa ole wako uzingue. Nikasema sawa. Nyie kweli mda wa saa 10. Mi nikamuaga mama naenda kumnunulia dawa rahul runzewe. Et kuna zengine dr alinambia nikafate .kumbe uongo mt
upu. Mama akanmbia sawa uwahi basi si unaona mtoto anaumwa na anavyodeka mwanao.changamka .niksema sawa mama nachangamka. Basi bibi mie nafanyaje .nikanyoosha bondeni. Na ni kumetulia mnoo.watu wanaokaa uku ni wachache sana .mana ni sehemu za mabondeni Ila mlige an balaa sana . Mi nikafika mpaka pale. Nimefika nikgonga malngo. Akanmbia ingia .mie nikaingia namkuta kajilaza kwenye kitanda cha kambaaa. Mie nikaenda kukaaa pembeni
Nikamwambia mlige sio sawa lakini. We shemejo yangu now. Mlige akanivuta wla hajanijibu .akaanzaa kunikissss nyieee . Mi nilishindwa kujicontroll kwa chochote. Na mm nikajikuta nampa ushirikianao mnoo. Aseeee ilipigwa mechi ya mwakaa. Mlige akinikula kwa hasira hii sikuu. Juu ya kitanda cha kamba. Yani kama kile kitanda kingekuwa kinaongea basi kingesema baasi muacheee. Aseeee nilichezea mashine mpka nilichanganikiwa. Hakojoi. Aseeee mwanzo nilikuwa namkatikia ila nikaacha. Aseeeee alinifanya mpaka nikawa namsukuma sasa. Nikawa namwambie mlige mi nimechoka umekuwaje hivi.mbina ukojoi. Asee mligeee. Hakuongea na mm akanifanyaaa mpaka mi nikawa nalia nahisi maumivu makari. Mpaka alipotosheka akniacha ata hajakojoa mdudu umemdinda vile vile . Akanmbia umekuwa mbaya now hauna radha kabisaa ndo mana nashindwa kukojoa . Daaah . Mi nikabaki kimya. Akanmbia yani nishazoea viuno vya mke wangu. Anajua sana kutombana yusta . Na k yake inabna na safi na tamu ila ww. Imekuwa kubwa sana imepanuka na imepoa . Hakuna radha kabisaaa. Aseeee mi naongea nn sasa
Akavuta boksa yake akavaaaa. Kisha akavuta suluali yake akavaaa . Na nguo yake ya juu . Akavuta simu yake akasepa. Kaniacha pale mie uchiii aseee nilipata huzuni moyoniiiii .niliumia mnoooo . Niliumia sana. Njlijisikia vibaya sanaaaa .yani kanionajeeee. Nilijikokota nikavaa nguo zangu. Nikatoka nikasindika mlango wa watu. Taratibu nikaanza kukndoka zangu. Yani hajanipa ata 100 na maneno ya kashfa puuuh. Nikajua aya bwana. Na kweli mwenzangu yusta tangia tunasoma anaonekana anajua sana mambo .si mnakumbuka mambo mengi alikuwa ananifundisha yeye. Basi nilivyoludi nyumbani nilijikausha kimyaaa. Ila nilikuwa na huzuni. Nyie mwanaume akikuzalau kwenye mambo ya ndani na kukukashifu inauma sanaa yani sanaa . Ndo ilinikuta hii siku.alafu akakukompare na mtu mwengine daah inauma bwana
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni