MY CRAZY BOSS 1 - 5
MWANZO
"Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo ofisi hio bado haikufunguliwa
"Sijui itakuwaje leo kampuni kubwa hili halafu tupo kibao sijui tutapata kazi jamani?? Jua kali hili mtaani pagumu hatarii, tutapata tu mahi hata usiwaze, hayo ni maongezi ya wadada wawili walioketi pembeni yangu"
Ni wazi nao walikuwa wakisubiri interview kama mimi tua, niliishia kuwaangalia kisha nikatabasamu mithili ya mtu mwenye akili timamu na mwenye kujiamini sana๐kumbeee ni huzuniii
Ukiniangalia vyema nimekati huku miguu yangu nimeibana, kutokana na kutetemeka kwa muda mrefu na sikutaka nijulikane, si mara yangu ya kwanza kufanya interview ila nilishangaa sana kwanini naogopa sana leo
Tulikaa nnje kwa muda mrefu sana huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale
Ikiwa ni majira ya saa mbili na nusu tukiwa bado tupo nnje tumekaa, alikuja mdada mrefu, mweupe , smart mzuri, aliyevalia suti nyeusi pamoja na kiatu kirefu cheusi pia
"Habari zenu, nifuateni mkiwa kimya, dada yule alizungumza"
Wote tulishangaaa kwa kuangaliana kwa kiulizo na hataka sana tulinyanyuka na kumfata nyuma
Tulifika hadi nnje ya ofisi fulani ambayo tulipatiwa viti na kukaa mahali hapo
Tukiwa tumekaa kwa mbali alionekana kijana mmoja wa makamo, handsome๐ฅฐsijapata kuona, mrefu, mweusi, ana kifua cha mazoezi japo alivalia tshirt na kipensi tu lakini wadada wote tulijikuta tukimtazama bila kuchokaa
Ni ajabu sana na tulizidi kushangaa pale tulipoona anakuja upande wetu๐ณ๐ณ
"Acheni kumshangaa hivo ni boss wetu huyo, yule dada aliyevaa suti alizungumza"
๐ณ๐ณ๐ณNi boss mbona ni ajabu hii nilibaki nikishangaa tu
Baada ya dakika kadhaa yule boss alifika hadi pale tilipoketi
"Mpo pouwa warembo?" Alitusalimia
๐คฃ๐คฃBaadhi ya wadada walijichekesha na kuonesha shombo kama wana washwa washwa na upwiru
Mimi sasa hata sikuwa na habari nae nilijitia mkaxi siku hio
Kwa mbali nilimuona boss akiniangalia ila sikutilia manani
Alivoingia ndani tu ya chumba kilichoonekana kuwa ni ofisi yake , tukaanza kumsema sasa๐คฃSi unajua mambo ya girlz umbea kunioga๐๐
"Jamani mzuri huyo hatariii, yaaani yupo fire, ila vaa yake sijaielwa hafai kuwa bwana angu๐ณ,mara mwingine akasem, yaani huyu akikutomb*** unaweza ukapaa kabisa. Khaaa๐๐mie nilibaki kushangaaa tu
Sijui ikawaje nikajikuta nimeropoka" mie natamani awe mume wangu jamani๐คฃ๐คฃ๐๐"
Wenzangu waliangua kicheko mpaka basi,
Muda huo huo boss alitoka nnje na tilivomuona tu tukakaa kimya kama sio sisi vile
Boss huyo akaanza kutuangalia mmoja mmoja kuanzia juu mpaka chini, ni kama vile alikuwa akituthaminisha mavazi , muonekana pamoja na usmart
Alituangalia wote kisha akasimama na kutabasamu
"Wewe uliyevaa juu kijani chini nyekundu ndio utakuwa PA wangu nyie wengine nitawapa nafasi nyengine, boss aliongea hayo, kisha akasema nifuate mrembo"
Mie nikawa najiwazia tu uyo PA anabahati hatari ndo nshakosa mume mie๐คฃ
Nikiwa sina hili wala lile nikashangaa watu wote wananitazama mimi,tena sio kutazama kule ni kunikodolea mimacho kodoo
Friji langu likayeyusha barafu ikabidi niwaulize tu
Nyie vepee ?mbona mnanitazama hivyo??
Si umeitwa wewe na boss au sio wewe mwenye kijani na nyekundu?unajizima data au ndo kuringa kisa umechaguliwa?yule dada aliniuliza
Kheee ni mimi๐ณ๐ณnikabaki nikishangaa tu,ikabidi kwanza nijikague
Khee๐ณkumbe ni kweli nimevaa kijani na nyekundu uwiii๐mbona kama hoho na nyanya si kachumbari hii jamani,yaani mawazo yangu yote nimevaa suti nyeusi ama kweli yanipasa kuhama mchikichini kwenye chumba cha giza mbwa mimi
Ikabidi niinuke haraka haraka na moja kwa moja nikaelekea kwenye ofisi ya boss
Ile naingia tu nikamkuta ana๐ณ๐ณ........
We unahisi alikuwa anafanya nini??
Nilimkuta akivua nguoo nyie jamanii๐ฅฐboss anakifua kizuri hatari
Nilijikuta nikimuangalia kwa mtindo wa kumkagua si tu kumuangalia nilijikuta hadi nameza mate jamani๐๐
Mwanamke gani wewr unamuangalia mvulana akibadili nguo? Au unataka kunibaka wewe?? Boss alizungumza
Yaani mimi babe face hivi ni mwanamke na wewe mkubwa hivo ni mvulana una maanisha nini?? Niliuliza huku sauti yangu ikitetemeka
Unasemaje wewe?? Kwahiyo unataka kunambia mimi ni mwanaume, hapana sio kweli mimi ni bikra kama joseph wa bikira maria
Ni mwanaume mtakatifu sana
๐ณ๐ณJamani huyu boss vipi mbona kazi ninayo mimi ๐๐
Nikiwa nawaza yangu kichwani nikasikia
"Njoo hapa uiname mbele yangu"
๐๐๐
Itaendelea
STORY TAMU HIII USIKOSE MDAU WANGU
MY CRAZY BOSS 02
Niiname mbele yako kivipi boss mbona sielewi nini unamaanisha lakini? Nilijibu huku nikitetemeka akili yangu yote ikiniambia leo natatuliwa marinda sio bure๐ฅฒ๐ฅฒ.
Chagua mawili kuja hapa uiname au uache kazi sina muda wa kubembeleza.
Lakini boss wewe๐ฅฒ,huyo nikajisogeza kama sio mie nlokuwa naogopa nikajiinamisha binuu
"Kiuno chako ni kidogo kama cha dondora hauna tako kabisa , miguu ni midogo kama stiki huwezi kunishawishi hata nikifumba macho, boss aliongea." Sogea hapa nikuinamishe vizuri
๐ณ๐ณ๐ณUniinamishe kiaje na nimeinama?jamani๐nilijikuta nimewehuka gafla๐๐
Sogea hapa nimesema๐ก๐กboss aliongea kwa kufoka hadi nikaogopa ,nikamfuata hadi aliposimama nikainama tena kama mbuzi anakula majani๐ฅฒ
Gafla nikashangaa boss kaja mbele yangu kanisimamia;
" Nifunge kamba za viatu ndo nilichokuitia,alizungumza".
๐ณ๐ณ๐ณNikabaki nakodoa kodo siamini nini nakiona
Unanichelewesha ,fanya haraka tuna safari".Boss alizungumza.
๐ณ๐ณSafari siku ya kwanza kazini??๐eeh Mungu linda marinda yangu weeh,nikajiinamisha nikamfunga nilipomaliza nikainuka .
Nifuate na utembee vizuri ,siwezi kuwa na sekretari anatembea kama ana mabusha hivi๐ณ๐๐jamani๐๐.
Nilimfata nyuma nyuma kama mkia njiani wafanyakazi wote walikuwa wanamsalimia yaani nikajihisi natembea na bonge la jitu halafu mie kinzi maana hata sionekani
Tuliongozana hadi kwenye gari ,akanifungulia mlango kisha na yeye akaingia
"Tunapoeleka sihitaji mdomo mdomo kaa kimya na ufanye kikupasacho".
"Sawa boss".Nikaitikia
Safari ilisonga hadi nnje ya duka kubwa la nguo huko sinza mie tena hata sikupata tabu kupajua kutokana na uzururaji wangu.
"Shuka nifuate".Boss alizungumza
Tuliongozana wote hadi ndani ya duka hilo si haba ni zuri haswa,nikajiona nipo Marekani mwenyewe๐๐na vile nimeshazoe mitumba ya bukubuku ilala aaaah hunambii kitu
"Mfuate huyo dada na umtii,boss alizungumza." Nami nilimfuata huyo dada kwa nyuma akaniingiza hadi ndani ya chumba hiko kikubwa halafu kina mapazia meusi
"Dada naomba usinibake wala kuniua mimi ni binti mtiifu tu hata kama umetumwa na boss naomba tafadhali usinifanyie hivyo mi nna familia".Nilijikuta najihami kila nikikumba nilivyoinamishwa naishiwa pawa uoga unazidi kunitawala
Yule dada akanisogelea karibu nikajikuta napiga yowee"mamamaaa yalaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!"
"Ni nini hiii??we unafanya nini kwenye biashara ya watu??" Si mwingine bali boss wangu alionekana akihema kwa kasi huhuhuhuhuhu
Nilivomuona tu boss,ukijumlisha hasira na jinsi nilivyopayuka nikamponyoka huyoo ,kilichoendelea sikijuii๐
Itaendelea
MY CRAZY BOSS 03
SONGA NAYO
Njianj sasa akili yangu yote inawaza kuhusu kule kila nikiwaza nilivyoharibu naishiwa pawa๐ฅฒ๐ฅฒ"Hivi ushawahi kumpiga mwalimu na jiwe akakuona halafu kesho yake ukaanza kuwaza unaendaje shule??".Wahuni najua mnanielewa vizuri
Yaani njia nzima nipo kama taila nikajikuta natembea kwa mguu kutoka sinza hadi mchikichini ,sielewi nilifikaje ila ndo hivo nikafika kwenye chumba changu cha giza moja kwa moja nikalala maana ilikuwa jioni tayari sikukumbuka hata kubadilisha kachumbari yangu mie nkalala tu
Nakuja kushtuka kushakucha jamani mimi!!!!!๐ณ๐ณitakuwaje sasa sijui nikoje jamani??ila kazi yenyewe nishaharibu acha tu niendelee na maisha yangu mbwa mimi
Basi nikajikongoja hadi kwa mamantilie hapo mchikichini nilipokuwa nafanya kazi mwanzo
Mama ashrafu shikamoo??
"Marhaba hujambo?"
"Sijambo mama nimekuja kusaidia vyombo"
"Karibu ila ile kazi yako vipi au ushamtongoza boss wako na wewe?"
Hee mama ashrafu hivi unaniona mimi ni wakutongoza kweli,kwanza boss mwenyewe wa kumtongoza yuko wapi?
"Ni mimi hapa,nifuate ".
๐ณ๐ณKhee huyu nae kafuata nini hapa jamani,Mungu wangu sijui kasikia nilichoongea yelewiii nimeisha mie uwiiii
Nikapata wazo wakati boss anaelekea kwenye gari mie nikasimama huyoo nikaanza ๐๐haraka huku nayashika matako yangu kwa hofu ya kutatuliwa marinda
Wakati nakimbia nikashtukia nimeshikwa mkono ila nageuka nakutana na boss๐ณ๐ณ
"Boss nisamehe jamani nitunzie marinda yangu ,mimi baba na mama maskini ndomana naishi mchikichini boss marinda yangu."
" Nifuate."Boss alizungumza
Sikuwa na ujanja tena zaidi ya kumfata tu maana hata kama ningekimbia lazima angenikamata ๐marinda yangu jamani marinda yangu mimi
Nikapanda gari huku boss akiwa kakaa pembeni yangu ananitazama kwa hasira balaa๐กmie nazidi kuogopa kila nikiwaza huyu anaonekana sio mzima anaweza nifanya lolote nabaki hoii
Safari iliishia nnje ya jumba kubwa jamani linaonekana kuwa ni kasri la malkia elizabeth,mara nikamuona boss anashuka ananifuata nilipokaa nyie mie nkazidi kuogopaa uwiii๐ฅฒ๐ฅฒ
"Shuka".alizungumza
Mie nikawa naogopa sana kila nikiwaza utekaji haramu kwenye tv kwenye haya majumba makubwa mie hoi jamani๐๐naogopa nikabaki nashangaa tu๐ณnatetemeka kama jenereta bovu mwenzenu
"Mbebenj muingize ndani ,boss alozungumza".
Mara nikawaona vijana wawili wamejazia kama mudi mnyama wa harmonize wananifuata
"Boss natembea a natembe mwenyewe๐ฅฒ๐ฅฒ!!!!!!!!!!!!!!." Nilipayuka sijui sauti ilitoka wapi
Boss akageuka akanizoom kisha akaingia ndani,nikajikaza kutembea kama kobe nanyata huku nazoom mazingiraa,jamani kuna swimming pool ya kipepeo halafu ni ya kijani huku kuna wanyama kibao nyani,mbwa, kuku .
Nilivoingia ndani sasa๐ณ๐ณ๐ณyelewi ikabidi nisimame kwanza nishangae kumbe mbinguni ipo duniani??Nyie nyumba nzuri yaaniangekuwa mume wangu huyu๐ค๐ค๐คnikajikuta nachekacheka
"Bila shaka akili yako ina waza ngono,kaa hapa kuna kazi nimekuitia,boss alizungumza"
Nilikaa huku nikiwa naogopa moyo puuh puuuh boss mkali hata hacheki mmmmh
"Halafu sikujitambulisha mie mwenzenu naitwa JOYCE ADAM nimezaliwa Tanga ila wazazi wangu wote walifarikigi hivyo nikadandia magari ya mzigo hadi dar,kizuri nilisomaga hadi chuo ,nilivomaliza ndo yakajiri yalojiri hivo mi ni yatima na kwa sasa naishi mchikichini chumba cha mlango mbovu maana giza nimelizoea,ni hayo tu.
Itaendelea
MY CRAZY BOSS 04
SONGA NAYO
"Nataka unifundishe kutanua ni muda sana sijatanua ndomana nimekuita hapa, boss alizungumza."
๐ณ๐ณKwanza nikashangaa jamani , kutanua?? Yaani mimi nimfundishe kutanua kivipi jamani natanuaje mbona ana balaa, niliniongelesha kisha nikasimama
"Sawa boss , niliitikia ". Ntafanyaje sasa nyumba kubwa sioni hata pa kutokea nini nifanye๐
"Pascal leta zile file nataka huyu anitanulie baadhi ya idea ". Kwanza unaitwa nani? Aliuliza.
"Joyce Adam , nilijibu."
Sawa, naitwa Erick
Hizi hapa boss, kijana mmoja alieonekana kuwa mlinzi wa boss Erick alifika na kumkabidhi file boss huyo
Boss erick alisimama na kuanza kuja upande niliokuwa nimekaa, nilibaki nikishangaa sana kwani sikuelewa nini lengo lake, alipofika karibu zaidi nilianza kurusi nyuma huku nikifumba macho kwa uoga.
"Siwezi kukufanyia kitu, ulivyomchafu na mdomo mweusi , em njoo hapa unitanuliea idea".
Ni kweli nna mdomo mweusi ila si mchafu ni maisha tu,nilijijibu kimoyomoyo kisha nkkamsogelea na kumsikiliza
Sijui nini kilijiri nilijikuta nimelala miguuni mwa boss giza likiwa limetanda nnje , nilikurupuka haraka haraka huku nikiangaza huku na kule, Nilinyanyuka na kutaka kutoroka haikuwa bahati yangu milango haikuwa wazi na sebleni palikuwa giza
"Utalala hapa leo kesho tutaongozana wote kazini sina muda wa kuja kukutafuta tena , boss alizungumza hayo kisha akarudi kulala kwenye kochi".Nilibaki nawaza sana amani sina kila nikiwaza kutatuliwa marinda, mwenzenu sio bikira ila marinda yangu nayapenda sina hela ya pampasi
Nilikaa macho hadi asubuhi ambapo boss akiamka na kunionesha chumba cha kujiandaa
"Fanyia mambo yako humu na iwe haraka".
Sawa boss niliitikia kisha nikaingia bafuni kuoga, nilipotoka nilikuta gauni nyeusi pamoja na heels, ๐ณ๐ณMungu wangu tangu nizaliwe sijawahi kuvaa hivi si ntachekesha mimi lakini๐ngoja nivae ntajua huko huko
Buana weeh nikatinga ๐viatu na kagauni buana๐ฅฐnikasogelea kioo anhaaaa nyieee butterfly mnazijuaa sile zinazokujaa ukijamba ushuzii zilee yaani kama unapaa ,mashallah jamani mie mzuri japo tako sina๐ค
Wakati najiangalia na kujisifia kwa mbali nilisikia hatua za viatu zikiingia chumbani kwangu,sikujali niliendelea kujiangalia hapa na pale
Nifuate,aliongea boss ambaye alionekana kunitazama kwa muda ,nami nilimfuata kwa nyuma
Hio tembea sasa๐๐kama nna busha katikati ya mapaja nyie hivi viskuna vina watu wake buana sio mie๐
Nilijikaza hadi kwenye gari la boss ,tukaingia na safari ya kuelekea kazini ilianza,ilichukua muda mfupi tulifika ,nilianza kushuka mimi kisha nikamfungulia boss mlango
"Oooooh nimechoka embu nishikie hili koti kwanzA,".
Lakini boss ndani una vest tu sio proffesional kabisa nilizungumza
"Eti ehee kachumbari??๐๐alivojibu hivo ilinilazimu kukaa kimya kila nikiwaza nilivyo vaa juzi๐๐".
Anyway nipe ,angalau niwe tofauti,nikamkabidhi boss koti kisha safari ya kuingia ndani ikaanza
Wakati tunaingia macho yote ya wafanyakazi yapo kwangu,kila mtu anakenua kila akiangalia tembea yangu๐si wao tu ๐ni huzuni
Mara nikashtukia nimebebwa juu juu si mwingine bali boss,wafanyakazi wote wakawa wananing'ona
"Boss nishushe mbona hivyo lakini,kazini hapa"
Nilijaribu kujitetea lakini boss hakunielewa aliongozana na mimi hadi ofisini kwake kisha akafunga mlango na kuniweka kitini
Nnje wafanyakazi wanasikika wakiongea,"yaani huyo dada ni wazi tu analiwa na boss mtu hana mvuto wala nini awe secretary we unahisi nini kama sio kugawa mnato"
Upande wa ofisini tulikuwa mimi na boss ambapo kila mmoja wetu alikuwa akimuangakia mwenzake hasa boss Erick alizidi kunitazama kwa hasira nilijikuta nikitetemeka sana kwa uoga
" Nisamehe boss nisamehe sana boss sirudiii tena".Niliona isiwe soo ni heri nijishushe yaishe
Unalijua kosa lako mrembo??boss aliuliza.
Huku akitabasamu
Nilikaa kimya bila jibu la kumpatia kabisa
" Anyway uvae raba kwanzia kesho ".Boss alizungumza hayo kisha akatoka nnje ya ofisi nami nikamfuata
" Leila njoo mara moja,boss alizungumza huku akimnyooshea mkono binti aitwaye leila".
Abee boss.
Em geuka nyuma mara moja nipe 360ยฐ
Leila alizunguka huku akijichekesha chekesha ni wazi alikuwa akimtaka boss
" Una mchumba?au umeolewa?.Boss aliuliza
Ha.......hapana.
Kwanini huna mchumba hadi umri huo na ushaanza kuzeeka?boss aliuliza.
Bado namsubiri boss,leila alijibu
"Anyway pengine atakuja ila usiwaze kuwa na mimi hauna maajabu yoyote wala uzuri wa ajabu sijui unapataga wapi muda wa kuwakosoa wengine." Nenda kaendelee na kazi zako
Tuliongozana mimi na boss hadi kwenye kikao huku nikiwa natabasamu kila nikiwaza boss alivyonikingia kifua leo
Upande wa leila alionekana akilia na kujawa na hasira huku akila kiapo cha kunikomoa maana mimi ndo sababu ya yeye kukataliwa na boss๐
" Tulifika hadi sehemu kikao kinafanyika boss aliniamuru nikae pembeni yake kisha kikao kikaanza".
" Mauzo ya kampuni yameongezeka sana nj wazi tunahitaji kuboresha mbinu za mwanzo ili tuibuke vinara wa sekta hii.Alisema Kijana mmoja mtanashati alieonekana kuwa na cheo fulani".
" CEO Erick waweza kutoa maoni kwenye hili kama unaweza lakini?,yule kaka alimuuliza boss kwa dharau".
Nilimuangalia boss kwa macho ya uoga uoga ya kuibia ibia nikisubiri nini atajibu
" Kama utaweza kubananisha miguu yako hapo katikati na kufocus kwenye akili yako ya kichwani na si chini kampuni hii itazidi kuwa na mauzo".Boss alijibu
Watu wote walicheka sana ni wazi hakuna alieheshimu jibu lake.
"Nikimaanisha ili kampuni iende sawa zaidi ya kasi ya mwanzo , mbananisho wa ratiba , wafanyakazi na kila kitu kinatakiwa kiwe kwenye mpangilio unaoeleweka na mzuri, mfano muda muutumiao kucheka mnapaswa kuwa kazini".Am done boss alizungumza kisha akanyanyuka na kuondoka huku nikimfuata kwa nyuma
Wafanyakazi wote waliobaki kwenye kikao walionekana kuwa kimya huku kila mmoja akitafakari majibu aloyatoa boss
Nikiwa narudi ofisini na boss Erick nilijikuta nikiyatafari majibu yake aloyatoa japo jibu la kwanza lilinipa hatihati.
"Hivi boss una maana gani na kusema kichwa cha chini jibu lako la kwanza sikulielewa kabisa,niliuliza".
"Huwezi kulielewa kama unakichwa cha juu peke yake,mpuuzi kama Frank na wale wafuasi wake wengine wamenielewa ,by the way am their boss๐ค.
Boss alizungumza hayo huku akiingia ofisini nami nilimfuata
" Inaonekana una uwezo mkubwa sana wa kusoma akili ya mtu, hivi ukiniangalia unahisi nawaza nini? Boss aliniuliza."
"Unawaza mafanikio ya kampuni, nilijibu kwa kujiamini".
Hapana. " Nawaza ngono".Boss alijibu
๐ณ๐ณNgono ??
Usishangae sana ,ni jambo la kawaida kwa binadamu wenye vichwa viwili mwilini mwao,puuzia hilo.
Itaendelea
MY CRAZY BOSS 05
Siku zilisonga huku nikiwa nazidi kujifunza namna ya kuishi na boss wangu nakucopy tabia zake
Kama ilivyokawaida ilikuwa majira ya saa 11 na nusu ambapo nilifika nyumbani kwa boss mikocheni B, sikuwa mgeni mahali hapo nilimuandalia nguo pamoja na vifaa vyote avihitajivyo kazini kama saa na kila kitu
Baada ya dakika tano boss alitoka akiwa amekwisha vaa hivyo nikamsaidia kumuweka sawa kisha tukaongozana hadi kazini
"Una kikao na wafanyakazi saa saba mchana ni lazima uwasili nilizungumza".
Kitu cha lazima kwangu ni kupata mke wa kuoa kwa sasa si vikao , alijibu.
Lakini boss?
Nimekutouch enhee? Anyway nitahudhuria unikumbushe , alijibu kisha akaingia ofisini kwake
"Nikiwa ofisini nafanya mambo yangu iligonga kengele kutoka ofisini kwa boss ikiashiria kuniita". Haraka nilinyanyuka na kukimbilia ofisini humo
"Nimekumiss, Joy em kaa hapa kwanza tupige story mbili tatu, boss alizungumza". Sikubisha nilikaa kama ivyoniamuru.
Hivi msichana ukitolewa bikra huwa mnajisikiaje? Eti nambie joy?
Maumivu . Nilijibu kifupi.
Ohooo kumbe basi leo nilikuwa najifunza kuhusu hilo tukiachana na magari nna mpango wa kugundua kipako maalumu cha kupunguza maumivu hayo, boss alizungumza
Kwanza bikira ni nini? Ukiachana na jina la maria nyie mna nini hadi mnaitwa mabikira?
๐คฃ๐คฃKwanza ilinibidi nicheke maana nilivumilia nikachokaa
"Hivi boss unanitakia nini lakini na haya maswali mimi?" Niliuliza
Hapana nijibu tu , joy sasa kama si wewe ntamuuliza nani?
Okay, basi nikaanza kumuelezea hapo hadi nkachoka
"Anhaa kumbe ubikra ni ngozi? Ina maana mafuta yatafaa si ndio??"
Nilimuangalia boss๐ณ๐ณhalafu nikaondoka maswali yake ya kipuuzi yalinimaliza nguvu.
"Joy ina maana na wewe bado una hio ngozi? Nikiwa naondoka nilishangazwa na hilo swali" .
๐ณ๐ณJamani๐maswali haya hapana jamani nikabaki naduwaa bila majibu kabisa
Okay inaonekana huna itakuwa rahisi sana kwangu sitaumia kama ulivyosema๐คฃ๐คฃuwiii
All in all huyo ndo boss buana ana sasampa la kwendraa akitoka nnje serious balaa ilaaaaah๐๐๐
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni