AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 53...54ππ
Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasaππ my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa keroπ³π³ ilinibidi nimuweke mgongoni nikaanza kumbembeleza kwani ananyamaza sasaππ nilibembeleza hadi nikanyanyua mikono juu mtoto aliendelea kulia anamtaka daddy yake cjy kilikuwa kinahisi Tristan ni babakeππ bahati nzuri chumba nilichopewa kiko jirani na chumba cha Tristan alivyopita kuelekea chumbani kwake si ndo akazisikia kelele za nice akajanigongea nilimfungulia nice alivyomuona tu akanyamaza Tristan alimbeba nice akaanza kumuimbia nyimbo...... hahahaaa ucjali naweza nikaenda tu kulala naye chumbani kwangu we pumzika tu aliniambia Tristan...... mmmhhhππ akalale na kitoto changu chumbani kitoto chenyewe mashallah hiko asije niharibia mtoto kwanza sijamjua vizuri asijekuwa ni kijana wa ovyoπ€£π€£π€£ hapana Tristan lbda unisaidie tu kumnyamazisha then nitalala naye tu.....
Tulitoka tukaelekea sitting room kwa sababu ya nice tuπ€£π€£π€£ tulienda zetu kukaa sitting room kwa ajiri ya kumbembeleza yule mtoto hivi mnajua hadi nilianza kuhisi huenda ni mizimu ya kwao na paschal ndo imemuingilia mtoto inataka nimrudishe nyumbaniπππ tulikaa pale sitting tukakabembeleza huku tukiwa tunaangalia movie hadi kakasinzia nilimpeleka chumbani nikamlaza namm nikajilaza kichwani kwangu nilikuwa nawaza vitu vingi sana nimtafute hemed nimpatie taarifa za ujauzito au nifanyeje mungu wangu duh aibu gani hii hivi paschal akija kujua kuwa mimi ni mjamzito atanielewa kweliππ hivi ndoa yangu si ndo inaenda kufa kwa namna hiyoπ€π€..
Usingizi ulinipitia nilikuja shtuka asubuhi mama Elizabeth aliniomba nibakie nyumbani kwanza hadi pale hali yangu itakapokaa sawa yeye aliondoka kwenda ofisini mme wake naye alitoka kuelekea ofisini kwake mtu wa mwisho kutoka alikuwa ni Tristan kabla hajaondoka alikuja nigongea mlango alitaka tu kunijulia hali mimi pamoja na mtoto tulijuliana hali baada ya hapo aliniomba tuwe marafiki.....if you don't mind ππ I hope we can be friends π«°π«° it's okay Tristan we can beπ₯°π₯°..... alinishikuru kwa kumkubalia ombi lake la sisi kuwa marafiki aliniomba namba yangu ya simu nikampatia aliniambia raha ya urafiki ni kuwekana wazi kwa kila kitu yani natamani tuwe matafiki huru ambao hatutofichana kitu chochote kile...... pendo ukiwa na changamoto yoyote ile usiache kuniambia iwe ni ya kifedha au kiushauri niko hapa nitakusaidia..... ni sawa Tristan asanteππ ni sawa pendo basi utampa nice salam zangu wacha mimi niwahi ofisini...... okay π nakutakia kazi njema my Best friendπ«.......
Urafiki wangu na Tristan ulikuwa kwa kasi sana tulizoeana kwa kiasi kikubwa sana ukaribu wetu uliwafanya wazazi wa Tristan kutuhisi kuwa sisi ni wapenzi hahahaaa lakini cha ajabu ni kwamba Tristan hajawahi hata kunionyesha darili za kunitongoza zaidi ya kuniletea vizawadi vya hapa na pale tuvitu tuchachu chachu si mnajua mtu ukiwa mjamzito ehπ€£π€£ jamaa alijua kunifaa yule alifit kila kona kama baba kija vile alivyokuwa akinicareπ€£π€£kila weekend ilikuwa ni siku yetu kutoka kwenda kuenjoy mimi Tristan pamoja na mwanangu nice Tristan hakuishia hapo tu hata siku ya kwanza nilipoenda clinic yeye ndo alinisindikiza yani ilifikia hatua mida yake ya kutoka kazini ikifika mimi naenda mngoja getiniπ«°π«° Tristan aliyabadirisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana mambo ya mastress hayakuwa na nafasi tena kwenye maisha yangu alikuwaga anapenda kuniambia tabasamu mwenye kuhukumu ni Mungu pekee usijekosa kutabasamu kwa sababu ya kuzihofia hukumu za wanadamu kwa mungu hakuna mkamilifu ukitambua kosa lako tubu enenda katika njia nzuri impasayo mungu wako..... niliendelea kula bata na BFF wangu nitake nini nisipewe..... nitake kwenda wapi nisipelekweππ nitake kula nini nisiletewe kazini alikuwa ananipeleka yeye asubuhi jioni aliniwekea usafiri wa kinirudisha kwa sababu yeye alikuwa anachelewa kidogo kutoka kwenye shughuri zake....... maisha yaliendelea ujauzito wangu ulifika miezi saba na mwanangu nice alikuwa kakuwa kuwa tena alipendeza jamani mom Elizabeth alijua kumlea yule mtoto aliuvaa uhusika wa ubibi kwa mtoto wangu katoto kalinawili kaleπ«°π«° sema ndo vile tena alizoea kumuita Tristan daddyπ€£π€£ni kwa sababu huyo ndo baba aliyekuwa akimuona karibu yake kila siku.....
My wenu kiujauzito kilivyofika miezi saba nikasema hebu nimtafute baba kijacho ambaye ni Mr Hemed nimpatie taarifa mapema kabla cjachelewa kwenye kujifungua huwa ni kuweka roho mkononi ni bora nimtafute mhusika ili awe na taarifa ya kile kilichozalishwa na kile kitendo tulichokifanya siku ile kule kilimanjaro hotel..... nampatia wapi ndo mtihaniππ sina namba yake kichwani wala kwenye notebook nirudi zanzibar kule nyumbani kwake nikamtafutekoπ€π€ au niende kumtafutia USA...... niliwaza kichwani ningali bado naendelea kuwaza juu ya swala hilo simu yangu iliita alinipigia BFF Tristan nilipokea hello BFF ππ hello my pipi Tristan anapendaga kuniita pipiπ€£ alinijulia hali aliniambia nimekumis kapipi kangu nimekumis pia potato wanguππ alikuwa akinitaarifu tu kuwa atachelewa kurudi nyumbani kwa sababu kule ofisini kwake kuna kazi za muhimu ambazo ni za lazima alitakiwa kuzimaliza usiku ule kwa sababu kesho yake ilikuwa ni weekend haingii ofisini na siku inayofuatia alikuwa na safari..... safari tena my BFF so utaniacha nikae bored peke yanguπββοΈπββοΈ nop nimepanga kuondoka na wewe..... wow ni safari ya wapi vileππ tunaenda USA my pipi naenda kumuona mchumba wangu kitty nimemkumbuka et itakuwa poa kama nitakupeleka na wewe uende ukamuone....... wow π π hii imekaa poa sana my potato T hebu wacha nianze kujiandaa kwa ajiri ya safari π«°π«°π«° yani potato wangu Tristan alipita mulemule π«°π«° safari ya USA ninakwenda kutafuta baba kija wangu ambaye ni hemed nilipanga pia kumtembelea Mr paschal kwa mbali ili nijue yuaendeleajeππ.....
Safari yamimi na potato T wangu kutokea ufaransa kuelekea USA iliwadia nice nilimuacha na bibi yake mom Elizabeth pamoja na babu yake mzee philipe wanampenda yule mtotoπ€£ USA tulifikia nyumbani kwa Tristan ana nyumba huko USA anaishimo kitty mchumba wake kitty ni mwanafunzi wa chuo kikuu mjini Los Angeles..... tulifika usiku tukapokelewa na kitty ni mrembo sana mkarimu mpaka raha vile wanapendana sasaπ₯Ήπ₯Ή walinikumbusha mbali enzi zangu mimi na boo wangu kabla upepo wa kisurisuri haujayavuruga mapenzi yetu..... baada ya dinner nilikwenda kulala nikawaacha wapendanao wale wapate muda wa kutoana upwilu wa muda mrefu mie nilienda kupambana na hali yangu chumbani peke yanguπ€£ na lile baridi la USA unaweza kubaka mtuπ€£π€£π€£ sikumwambia Tristan kama nina jambo langu lililonipeleka USA yeye alijua tu kuwa nimeenda kumuona bebe wake lakini mimi nilienda kumuona bebe wangu piaπ€£π€£ kesho yake mapema baada ya chai nilianza safari ya siri kuelekea nyumbani kwa Hemed.......
Itaendeleaaaa.............
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi