Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE*  Chapter 10
Gonga94 · Stories

REAL LOVE* Chapter 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga

alioufanya,

niachieeee seven uyu shetani sana seven yani tumemfumania kwa macho yetu afu anajifanya kukataa seven niache alisema john kwa hsira familia zote mbili wakabaki wanashangaa

hebu upumbavu mbona acheni mnatuchanganya ety seven nikweli ulimfumania au hujamfumania niambie ukweli mwanangu. hata ukificha hautasaidia kitu alisema mama

seven kwa uchungu sana

mimi hiko kitu kuamini tabu kwasabauu namjuwa vizuri cathe mwanangu hana tabia hizo. alisema mama cathe,

hapa tunaouhitaji ni ukweli nasisi pia tunamjuwa vizuri kaka yetu hawezi kulia lia hovyo hila sababu alisema selina nae akionyesha mkazo

"kwahiyo mnamuona mwanangu malaya sana au alisema mama cathe

mama nakuheshimu naomba ualtuvuruge. haukunyanyua hata mguu wako kuja hospitar kutuona mxieeeeew alisema selina dada

anayefanana na john yaani dakika mbili tu kashakuzibua hataki ujinga ikabidi mama seven. aingilie kati

jamani mbona sielewiiiiii seven narudia tenaaa

seven toa maelezo sitaki mnichanganye alisema mama seven huku akianza muhema kwa taabu ndipo seven akamuwahi kumshika mama yake na selina haraka wakampeleka

chumbani kwake na kumpatia dawa za usingizi ili apumzike, kisha wakatoka na kurudi seblenambako bado walikuwepo familia ya cathe

haya kikao kimeisha tunaomba mutokeeee alisema selina ten kwasaut ya juu

"mtuwie radhi kwa kilichotokea wazazi wangu, pia nawaomba mukae na cathe mpaka pale

mama yangu atakapokuwa sawa nitakuwa

nakaa nyumbani kumuangalia mama alisema seven kwa heshima sana, basi wazazi wa cathe wakaondoka najohn pia,,

sio hevi kaka hata ukificha kuna faida gani huko kupenda watakuumiza alisema selina ambaye ndiye mtoto wa kwanza kuzaliwa kati ya hao watatu, sasa mdogo wangu

usijari dada yangu ujue mimi huwa sikurupuki natumia akili sana wewe waache ila nitawadhalilisha vibaya sana zaidi walivonidhalilisha mimi alisema seven kwa uchu sana,

basi ikabidi seven na john waondoke kuelekea hospitar maana seven hakutaka kabisa kukaa mbali na fahima kutokana na jambo

alilomtendea, basi wakaondoka huku wakimuacha selina na sarafina wakimuangalia mama yao,

upande mwingine huku hospitar binti fahima. alikuwa na mawazo sana mpaka baba yake akamshangaa kidogo japokuwa alikuwa anamchekesha na kumpigisha story lakini bado hakuwa sawa kabisa,

fahima fahima we fahima alisema mzee fahad akimshtua fahima baada ya kumuona. ameganda kidogo

abee abeee baba aliitimia fahima Munatatizo gani mwanangu mbona uko hivyo

aliuliza mzee fahad,

hapana baba niko sawa alisem fahima

sio kweli wewe ni binti yangu nakujuwa vizuri sana hebu niambie mwanangu una tatizo gani aliuliza tena mzee fahad., fahima alimuangalia baba yake kisha akainama na kutafakari kitu kwa sekunde kadhaa kisha akainua kichwa tena

na kumuangalia baba yake

"baba sina tatizo lakini mimi sijapenda kukaa hapa naomba tuondoke sina amani kabisa alisema fahina k

lakini mwanangu ungesubiri kwanza upone ndio tuondoke na kule nyumbani sina tena imani nako mimi nashinda kazini siwezi kukuacha pale alisema baba fahima

sasa baba pale ndipo nilipo zaliwa nitafanyaje lazma tu niishi japo hivohivo alisema fahima

sawa nitafanya kama unavohitaji lakini utakaa nyumbani siku mbili tu siku yatatu nitakuwa nishapata pa kukupeleka siwezi kukuona

ukiteseka mwanangu siwezi umebaki wewe tu katika hii dunia aiseee mzee aliongea kwa hisia sana alikuwa anampenda sana na kumjali mwanae huyo wa pekee sana,

sawa baba nashukuru sana kwa kunijali alisema fahima kwa tabasam mzee fahad nae alitabasam kisha

aliushika mkono wa binti yake na kuubusu kisha akamkumbatia binti yake kipenzi, basi ikawa wamekubaliana hivo,

seven na john wakiwa njiani walipigiwa simu na mtu mmoja muhimu sana ambaye seven

anamuamini sana si mwingine bali mr sanju.

mwanasheria wa seven, mr huyo alimuhitaji seven kwa wakati huo ikabidi seven ageuze gari na kuelekea alipo mr sanju kwa mazungumzo zaidi

lakini unahisi anakuitia nini aliuliza john kwa wasiwasi sana

sijui ngoja nikamaikilize alijibu seven

mh kwasasa unatakiwa uwe makini sana boss kumbuka watu tunaowaamini ndio wanao tuumiza alisema john kwa usihi sana

"usijari nipo makini alisema seven

sawa na hujaniambia kuhusu yule msichana ulimtolea wapi aliuliza john, ndipo seven akakumbuka kwanza akashusha pumzi ndefu

sana

"yani dah sikumini kabisa john alisema seven ""hukuamini nini aliuliza john

sikuamini kama devi anaweza kuwa mnyama kiasi hiki nilimpenda kama ndugu yangu nilimpa siri zangu nyingi sana ambazo hata wewe

sikukumini kabisa kukupa siri hizo inaniumiza sana alisema seven kwa uchungu sana "pole sana kaka alisema john

siku ya tatu leo sijaenda kazini dah sena inahitaji moyo sana nashukuru sana kwa kunifariji wakatiwote john alisema seven

"usijari kaka alisema john

nilipatwa na mawazo sana kiasi cha kwamba nikamfanyia ukatili binti yule ambaye alikuja kuniletea kinywaji sikuamini macho yangu kama

ni mimi nimefanya alisema seven kwa

uchungu sana huku machozi yakimtoka, john alishtuka kidogo akamkazia macho seven

kaka usitake kumu...nia... alisema john kwa kigugumizi maana tayari alihisi kitu kwenye akili yake lakini kabla hajamaliza kuongea seven. alidakia

"nilimbaka john nilimbaka alisema seven

kwa uchungu sana hakuweza tena kuendesha gari alisimamisha gari na kuanza kulia alilia sana kama mtoto mdogo john alibaki tu amekodoamacho alivuta taswira alikumbuka

jinsi alivyoingia akakuta damu nyingi sana, ndipo

akashtuka kutoka kwenye mawazo hayo na kumshika bega seven ambaye alikuwa akilia sana

alijutia sana kwanini alikuwa na cathe kwanini alimjuwa cathe alilia sana kipindi hicho seven ni mtu wa kulia tu kama mtoto muda wote alifikiria. mambo mengi sana ya nyuma juu yake na cathe ahadi mbalimbali jinsi alivyokuwa akimpenda

Inauma sana seven alijuwa sana kulia alilia mno

ndipo john akakamata usukani na kugeuza gari alitaka amrudishe seven nyumbani lakini alikataa alidai waende hospitar kumuona fahima. basi john akaendesha gari kuelekea hospitari

upande mwingine hotelini ndani ya chumba kulisikika sauti za vicheko alikuwa ni cathe na devi walikuwa wakicheka sana.

"umejuwa sana kuwakomesha yani mkavu wewe aliserna cathe

nilikwambia niachie mimi alisema devi

nakwanini unamuachia sana john akupige alisema cathe

swali zuri sana namtengenezea kesi taratibu bila kujua kashanipiga mara mbili sasa naisubiri

yatatu anajifanya sana anauchungu sasa dawa yake inachemka alisema devi huku wakiendelea kucheka, basi mapenzi yao ndo yalikuwa kama hivo

upande mwingine seven na john waliwasili hospitarini kumuona fahima waliingia mpaka ndani seven akashtuka baada ya kumuona fahima kavua nguo za uuguzi na kuvaa nguo za

nyumbani, seven aliganda kwanza akahisi mojakwamoja watakuwa wanajiandaa kuondoka
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE* Chapter 10




yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga

alioufanya,

niachieeee seven uyu shetani sana seven yani tumemfumania kwa macho yetu afu anajifanya kukataa seven niache alisema john kwa hsira familia zote mbili wakabaki wanashangaa

hebu upumbavu mbona acheni mnatuchanganya ety seven nikweli ulimfumania au hujamfumania niambie ukweli mwanangu. hata ukificha hautasaidia kitu alisema mama

seven kwa uchungu sana

mimi hiko kitu kuamini tabu kwasabauu namjuwa vizuri cathe mwanangu hana tabia hizo. alisema mama cathe,

hapa tunaouhitaji ni ukweli nasisi pia tunamjuwa vizuri kaka yetu hawezi kulia lia hovyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-chapter-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-chapter
REAL LOVE*  Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 7
REAL LOVE* Chapter 7
REAL LOVE* Chapter 9
REAL LOVE* Chapter 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

733
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

661
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

548
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

357
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

226
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

215
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

194
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10

181
REAL LOVE*  Chapter 8

REAL LOVE* Chapter 8

133
REAL LOVE* Chapter 7

REAL LOVE* Chapter 7

125

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

ndani ya hotel moja kubwa iliyopo posta katika chumba kimoja walionekana devi pamoja na cathe wakiwa wamekumbatiana kitandani, wanyama hawa hawakuwa na wasiwasi wowowte juu ya usaliti wao yani ndokwanza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest