REAL LOVE* Chapter 10
yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga
alioufanya,
niachieeee seven uyu shetani sana seven yani tumemfumania kwa macho yetu afu anajifanya kukataa seven niache alisema john kwa hsira familia zote mbili wakabaki wanashangaa
hebu upumbavu mbona acheni mnatuchanganya ety seven nikweli ulimfumania au hujamfumania niambie ukweli mwanangu. hata ukificha hautasaidia kitu alisema mama
seven kwa uchungu sana
mimi hiko kitu kuamini tabu kwasabauu namjuwa vizuri cathe mwanangu hana tabia hizo. alisema mama cathe,
hapa tunaouhitaji ni ukweli nasisi pia tunamjuwa vizuri kaka yetu hawezi kulia lia hovyo hila sababu alisema selina nae akionyesha mkazo
"kwahiyo mnamuona mwanangu malaya sana au alisema mama cathe
mama nakuheshimu naomba ualtuvuruge. haukunyanyua hata mguu wako kuja hospitar kutuona mxieeeeew alisema selina dada
anayefanana na john yaani dakika mbili tu kashakuzibua hataki ujinga ikabidi mama seven. aingilie kati
jamani mbona sielewiiiiii seven narudia tenaaa
seven toa maelezo sitaki mnichanganye alisema mama seven huku akianza muhema kwa taabu ndipo seven akamuwahi kumshika mama yake na selina haraka wakampeleka
chumbani kwake na kumpatia dawa za usingizi ili apumzike, kisha wakatoka na kurudi seblenambako bado walikuwepo familia ya cathe
haya kikao kimeisha tunaomba mutokeeee alisema selina ten kwasaut ya juu
"mtuwie radhi kwa kilichotokea wazazi wangu, pia nawaomba mukae na cathe mpaka pale
mama yangu atakapokuwa sawa nitakuwa
nakaa nyumbani kumuangalia mama alisema seven kwa heshima sana, basi wazazi wa cathe wakaondoka najohn pia,,
sio hevi kaka hata ukificha kuna faida gani huko kupenda watakuumiza alisema selina ambaye ndiye mtoto wa kwanza kuzaliwa kati ya hao watatu, sasa mdogo wangu
usijari dada yangu ujue mimi huwa sikurupuki natumia akili sana wewe waache ila nitawadhalilisha vibaya sana zaidi walivonidhalilisha mimi alisema seven kwa uchu sana,
basi ikabidi seven na john waondoke kuelekea hospitar maana seven hakutaka kabisa kukaa mbali na fahima kutokana na jambo
alilomtendea, basi wakaondoka huku wakimuacha selina na sarafina wakimuangalia mama yao,
upande mwingine huku hospitar binti fahima. alikuwa na mawazo sana mpaka baba yake akamshangaa kidogo japokuwa alikuwa anamchekesha na kumpigisha story lakini bado hakuwa sawa kabisa,
fahima fahima we fahima alisema mzee fahad akimshtua fahima baada ya kumuona. ameganda kidogo
abee abeee baba aliitimia fahima Munatatizo gani mwanangu mbona uko hivyo
aliuliza mzee fahad,
hapana baba niko sawa alisem fahima
sio kweli wewe ni binti yangu nakujuwa vizuri sana hebu niambie mwanangu una tatizo gani aliuliza tena mzee fahad., fahima alimuangalia baba yake kisha akainama na kutafakari kitu kwa sekunde kadhaa kisha akainua kichwa tena
na kumuangalia baba yake
"baba sina tatizo lakini mimi sijapenda kukaa hapa naomba tuondoke sina amani kabisa alisema fahina k
lakini mwanangu ungesubiri kwanza upone ndio tuondoke na kule nyumbani sina tena imani nako mimi nashinda kazini siwezi kukuacha pale alisema baba fahima
sasa baba pale ndipo nilipo zaliwa nitafanyaje lazma tu niishi japo hivohivo alisema fahima
sawa nitafanya kama unavohitaji lakini utakaa nyumbani siku mbili tu siku yatatu nitakuwa nishapata pa kukupeleka siwezi kukuona
ukiteseka mwanangu siwezi umebaki wewe tu katika hii dunia aiseee mzee aliongea kwa hisia sana alikuwa anampenda sana na kumjali mwanae huyo wa pekee sana,
sawa baba nashukuru sana kwa kunijali alisema fahima kwa tabasam mzee fahad nae alitabasam kisha
aliushika mkono wa binti yake na kuubusu kisha akamkumbatia binti yake kipenzi, basi ikawa wamekubaliana hivo,
seven na john wakiwa njiani walipigiwa simu na mtu mmoja muhimu sana ambaye seven
anamuamini sana si mwingine bali mr sanju.
mwanasheria wa seven, mr huyo alimuhitaji seven kwa wakati huo ikabidi seven ageuze gari na kuelekea alipo mr sanju kwa mazungumzo zaidi
lakini unahisi anakuitia nini aliuliza john kwa wasiwasi sana
sijui ngoja nikamaikilize alijibu seven
mh kwasasa unatakiwa uwe makini sana boss kumbuka watu tunaowaamini ndio wanao tuumiza alisema john kwa usihi sana
"usijari nipo makini alisema seven
sawa na hujaniambia kuhusu yule msichana ulimtolea wapi aliuliza john, ndipo seven akakumbuka kwanza akashusha pumzi ndefu
sana
"yani dah sikumini kabisa john alisema seven ""hukuamini nini aliuliza john
sikuamini kama devi anaweza kuwa mnyama kiasi hiki nilimpenda kama ndugu yangu nilimpa siri zangu nyingi sana ambazo hata wewe
sikukumini kabisa kukupa siri hizo inaniumiza sana alisema seven kwa uchungu sana "pole sana kaka alisema john
siku ya tatu leo sijaenda kazini dah sena inahitaji moyo sana nashukuru sana kwa kunifariji wakatiwote john alisema seven
"usijari kaka alisema john
nilipatwa na mawazo sana kiasi cha kwamba nikamfanyia ukatili binti yule ambaye alikuja kuniletea kinywaji sikuamini macho yangu kama
ni mimi nimefanya alisema seven kwa
uchungu sana huku machozi yakimtoka, john alishtuka kidogo akamkazia macho seven
kaka usitake kumu...nia... alisema john kwa kigugumizi maana tayari alihisi kitu kwenye akili yake lakini kabla hajamaliza kuongea seven. alidakia
"nilimbaka john nilimbaka alisema seven
kwa uchungu sana hakuweza tena kuendesha gari alisimamisha gari na kuanza kulia alilia sana kama mtoto mdogo john alibaki tu amekodoamacho alivuta taswira alikumbuka
jinsi alivyoingia akakuta damu nyingi sana, ndipo
akashtuka kutoka kwenye mawazo hayo na kumshika bega seven ambaye alikuwa akilia sana
alijutia sana kwanini alikuwa na cathe kwanini alimjuwa cathe alilia sana kipindi hicho seven ni mtu wa kulia tu kama mtoto muda wote alifikiria. mambo mengi sana ya nyuma juu yake na cathe ahadi mbalimbali jinsi alivyokuwa akimpenda
Inauma sana seven alijuwa sana kulia alilia mno
ndipo john akakamata usukani na kugeuza gari alitaka amrudishe seven nyumbani lakini alikataa alidai waende hospitar kumuona fahima. basi john akaendesha gari kuelekea hospitari
upande mwingine hotelini ndani ya chumba kulisikika sauti za vicheko alikuwa ni cathe na devi walikuwa wakicheka sana.
"umejuwa sana kuwakomesha yani mkavu wewe aliserna cathe
nilikwambia niachie mimi alisema devi
nakwanini unamuachia sana john akupige alisema cathe
swali zuri sana namtengenezea kesi taratibu bila kujua kashanipiga mara mbili sasa naisubiri
yatatu anajifanya sana anauchungu sasa dawa yake inachemka alisema devi huku wakiendelea kucheka, basi mapenzi yao ndo yalikuwa kama hivo
upande mwingine seven na john waliwasili hospitarini kumuona fahima waliingia mpaka ndani seven akashtuka baada ya kumuona fahima kavua nguo za uuguzi na kuvaa nguo za
nyumbani, seven aliganda kwanza akahisi mojakwamoja watakuwa wanajiandaa kuondoka
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi