Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE* Chapter 7
Gonga94 · Stories

REAL LOVE* Chapter 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile

hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi nilikuwa na cathe huyu nani sasaaaa seven alichanganyikiwa akawa anazunguka zunguka tu hakuelewa afanye nini

kama kafa je inamaana mimi ndo nimebaka? hapana sio mimi bado sijafikia ukatili huu, ebu kwanza mungu wangu madamu haya toba mimi jamani nasingiziwa kesi lakini mimi sindo nilifanya jana aahhh cathe. alizidikujisemea mwenyewe akiwa amechanganyikiwa kwelikweli akasogea haraka na kumshika shingoni alitabasam baada ya kuona bado damu inatembea

ni mzima asante mungu mzima haraka. akavaa nguo zake kisha akamvalisha na fahima haraka akachukua simu yake na kupiga namba fulani simu iliita kisha ikapokelewa

john uko wapi uko wapii alisema seven kwa haraka mno

niko hotel umenishtua vipi kwani alisema. john akiwa anafikicha macho yake

njo chumba namba 113 harakaaaaaaa alisema seven kisha akakata simu, johnalikirupuka kitandani akiwa na wasiwasi mwingi hakujuwa kuna nini akavaa. nguo haraka na kutoka mbio alipanda lifti iliyompeleka hadi chumba hicho alifika na

haraka

kuingia alipomuona binti kitandani na damu. alishtukaaaaa akaanza kurudi nyumaaa nani afungwe

"we john njo ah mi nishachanganyikiwa haraka tumpeleke hospitar yangu ya tomas haraka tumuwahisheeeee" alisema seven

boss u meee, ua... au alisema john kwa uwoga sana

hebu acha ujinga basi kama kafa si ningekwambia tukamzike hebu mshike huko anahali mbaya na hakikisha usimwambie mtu yoyote alisema seven haraka wakambeba na kushuka nae waliharakisha kumuingiza ndani ya gari kisha wakalitoa spidikuelekea hospitar ndogo tu ambayo alikuwa anaimiliki seven,

hapakuwa mbali walifika haraka na kumpeleka walipokelewa vizuri na haraka fahima akaanza kutibiwa masikini hakuweza hata kupumua vizuri akawekewa haraka mashine alikuwa na hali mbaya sana, seven na john walibaki nje tu

wakizunguka zunguka ndipo seven akakumbuka

kitu akaingia uwanja wa meseji akakuta meseji

nyingi sana kutoka kwa sarafika zikimtaarifu juu

ya hali ya mama yao na selina hapo ndipo seven akazidikichanganyikiwa akapiga kelele allumua sana mtoto wa kiume john hakuwa mbali alimfariji alijuwa ni maumivu gani anayasikia

baada ya dakika kadhaa daktari wa kike alitoka, alifika na kuwaangalia sana seven na john

"samahan boss kama ni mgonjwa wako tunaweza tukaonge pembeni alisema daktari huyo, basi seven hakuwa na kizuwizi akasogea pembeni ili kuongea n daktar

boss ujue ni hatari nini kilimkuta maana kaingiliwa vibaya mno mpala kachanika boss Ilibidi upitie kwanza police mimi nimepokea tu lakini haitakiwi hivyo alisema daktar huyo aitwae nice

nice hebu tumsaidie tu huyo binti shida yangu apone tu maana hata tungeenda police mlolongo ungekuwa mrefu na wakati tayari yupo hatarini ndomana nikamuwahisha, nachohitaji nice fanya lolote uokoe maisha yake alisema

seven

sawa boss tuombe tu mungu maana bado hajawa sawa kabisa" alisema nice

usiniangushe nice jitahidi na mpigie tomas haraka kesho awahi mapema nahitaji awekewe uangalizi mkali maana hata mimi siwezi kulala hapa mama yangu na dada wapohospitar natakiwa nikawaone

duh pole sana boss basi tutajitahidi boss** alisema nice, basi seven akaondoka kuelekea hospitar ya private iliyopo kigamboni ambayo amelazwa mama yake na selina, waliambatana na john usiku huo hadi wakafika walimkuta sarafına akiwa analia tu ndipo wakaambatana kwenye kilio hicho,

hatimae kulipambazuka nyumbani kwa mama fatuma hali ilikuwa tete alikuwa akisemwa san na mume wake akimdai fahima

safari hii sitakuchekea hakiyamungu nishaapia mama fatuma nitakufunga namtaka mwanangu:**" alisema ba fahima kwa uchungu sana, mama fatuma hakuwa na chakusema alibaki analia tu, alijutia sana kumpiga fahima kwasababu ndiyo sababu ilomfanya aondoke

alijutia sana

upande wa bar muhudumu agness alikuwa amihudumia wateja wake lakini ndani ya nafsi yake alimuwaza sana fahima sijui atakuwa

wapi huyu jamani ah au kashaelewana na mtu

wamelala? ila mh fahima navomjuwa hawezi fanya kitu kama hicho sasa atakuwa kaondoka bila kuniaga au? lakini mbona hanaga tabia. hiyo aliwaza agness lakini kabla hajaendelea kujiwazia alishtuliwa na mteja

"we egg vipi nakupa pesa yako mbona hupokel wewe alisema mteje huyo

oooh samahan bhana sikusikia jamani asante alipokea na kubeba sahani na chupa kisha akapeleka zinapokaa aliketi kwenye kiti na kufikiria, lakini kabla hajaanaz kufikiria. alishtuliwa kwa salamu

habari yako alikuwa ni fatuma alifika hapo na kuanza kumsalimia,, agness alimuangalia fatuma kwa hasira sana kisha akamsonya sonyo la chuo ile mxiyeeeeeeeeeeeuuuusuuuuuuuuuw,

sasa nkusalimia unanisonya usingesalimiwa.

je?" alisema fatuma

wewe mbwa wewe koma tena ukija hapal uongee kwa adabu mbwa mdogo wewe sema. shida yako alisema agnesa kwa hasira mno

ok nilikuwa namuulizia fahima kama alikuja hapa" alisema fatuma

nyooo kwahiyo umeona hapa ndo kituo cha wakimbizi au, yani mnavomtesa mnaona raha

wenyewe kama wehu mnamtesa mwenyewe mnarnfukuza wenyewe mnamtafuta wenyewe nyie kama mbuzi hamnazo nyie alisema. agneaal

eg kama umemuona sema babayaje anamtafuta kaondoka nyumbani hajafukuzwa ten..... aliserna fatuma lakini kabla hajamliza alikatishwa na egg

ishia hapohapo mwanga mkubwa wewe yani

nyle bado uchawi tu wanafki wakubwa nakama fahima angekuja kwangu basi nisingemruhusu aondoke kwa mateso mnayompa tena ukome kuja hapa iwe mwanzo namwisho kukanyaga. hapa ondokaaaaaaaaa alisema egg kwa ukali mno mpaka faturna akaogopa ikabidi aondoke

haraka

huku hospitar alipolazwa fahima asubuhi hiyo ndipo akashtuka, alikuwa hajiwezi hata kidogo

alijaribu kunyanyuka ilaalishindwa mwili mzima ulikuwa unamuuma sana hasa sehwmu za siri

ndo kulikuwa kunamuuma sana alipata sana. maumivu, ndipo daktari nae akaingia alifurahi sana kumuona fahima kaamka mara moja. akachukuwa simu na kumpigia seven alimjuza taarifa hizo ikabidi seven na john watoke hospiyari ile na kuja huku kumuangalia fahima

walifika na kumkuta daktari akiwa anampima baadhi ya vipimo, seven alitabasam baada ya kuona macho ya fahima yakiwa wazi alikuwa akiomba sana aamke na apone kabisa alimshukuru sana mungu

lakini kwa upande wa fahima haikuwa hivyo yeye alipomuona seven alikumbuka usiku wa jana ipombaka na kumtoa usichana wake kikatili mno aliumia sana na alizidi sana kuumia baada ya

kuona sura ya seven, alimchukia mno alikuwa anamuangalia kwa jicho kali sana la hasira

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE* Chapter 7



seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile

hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi nilikuwa na cathe huyu nani sasaaaa seven alichanganyikiwa akawa anazunguka zunguka tu hakuelewa afanye nini

kama kafa je inamaana mimi ndo nimebaka? hapana sio mimi bado sijafikia ukatili huu, ebu kwanza mungu wangu madamu haya toba mimi jamani nasingiziwa kesi lakini mimi sindo nilifanya jana aahhh cathe. alizidikujisemea mwenyewe akiwa amechanganyikiwa kwelikweli akasogea haraka na kumshika shingoni alitabasam baada ya kuona bado damu inatembea

ni mzima asante mungu mzima haraka. akavaa nguo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-chapter-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-chapter
REAL LOVE  Chapter 13
REAL LOVE Chapter 13
REAL LOVE  Chapter 14
REAL LOVE Chapter 14
REAL LOVE  Chapter 12
REAL LOVE Chapter 12
REAL LOVE  Chapter 15
REAL LOVE Chapter 15
REAL LOVE*  Chapter 10
REAL LOVE* Chapter 10
REAL LOVE* Chapter 9
REAL LOVE* Chapter 9
REAL LOVE*  Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.14K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.1K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

348
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

233
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

209
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

177
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

62
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

25
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

10
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest