Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE* Chapter 7
Gonga94 · Stories

REAL LOVE* Chapter 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile

hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi nilikuwa na cathe huyu nani sasaaaa seven alichanganyikiwa akawa anazunguka zunguka tu hakuelewa afanye nini

kama kafa je inamaana mimi ndo nimebaka? hapana sio mimi bado sijafikia ukatili huu, ebu kwanza mungu wangu madamu haya toba mimi jamani nasingiziwa kesi lakini mimi sindo nilifanya jana aahhh cathe. alizidikujisemea mwenyewe akiwa amechanganyikiwa kwelikweli akasogea haraka na kumshika shingoni alitabasam baada ya kuona bado damu inatembea

ni mzima asante mungu mzima haraka. akavaa nguo zake kisha akamvalisha na fahima haraka akachukua simu yake na kupiga namba fulani simu iliita kisha ikapokelewa

john uko wapi uko wapii alisema seven kwa haraka mno

niko hotel umenishtua vipi kwani alisema. john akiwa anafikicha macho yake

njo chumba namba 113 harakaaaaaaa alisema seven kisha akakata simu, johnalikirupuka kitandani akiwa na wasiwasi mwingi hakujuwa kuna nini akavaa. nguo haraka na kutoka mbio alipanda lifti iliyompeleka hadi chumba hicho alifika na

haraka

kuingia alipomuona binti kitandani na damu. alishtukaaaaa akaanza kurudi nyumaaa nani afungwe

"we john njo ah mi nishachanganyikiwa haraka tumpeleke hospitar yangu ya tomas haraka tumuwahisheeeee" alisema seven

boss u meee, ua... au alisema john kwa uwoga sana

hebu acha ujinga basi kama kafa si ningekwambia tukamzike hebu mshike huko anahali mbaya na hakikisha usimwambie mtu yoyote alisema seven haraka wakambeba na kushuka nae waliharakisha kumuingiza ndani ya gari kisha wakalitoa spidikuelekea hospitar ndogo tu ambayo alikuwa anaimiliki seven,

hapakuwa mbali walifika haraka na kumpeleka walipokelewa vizuri na haraka fahima akaanza kutibiwa masikini hakuweza hata kupumua vizuri akawekewa haraka mashine alikuwa na hali mbaya sana, seven na john walibaki nje tu

wakizunguka zunguka ndipo seven akakumbuka

kitu akaingia uwanja wa meseji akakuta meseji

nyingi sana kutoka kwa sarafika zikimtaarifu juu

ya hali ya mama yao na selina hapo ndipo seven akazidikichanganyikiwa akapiga kelele allumua sana mtoto wa kiume john hakuwa mbali alimfariji alijuwa ni maumivu gani anayasikia

baada ya dakika kadhaa daktari wa kike alitoka, alifika na kuwaangalia sana seven na john

"samahan boss kama ni mgonjwa wako tunaweza tukaonge pembeni alisema daktari huyo, basi seven hakuwa na kizuwizi akasogea pembeni ili kuongea n daktar

boss ujue ni hatari nini kilimkuta maana kaingiliwa vibaya mno mpala kachanika boss Ilibidi upitie kwanza police mimi nimepokea tu lakini haitakiwi hivyo alisema daktar huyo aitwae nice

nice hebu tumsaidie tu huyo binti shida yangu apone tu maana hata tungeenda police mlolongo ungekuwa mrefu na wakati tayari yupo hatarini ndomana nikamuwahisha, nachohitaji nice fanya lolote uokoe maisha yake alisema

seven

sawa boss tuombe tu mungu maana bado hajawa sawa kabisa" alisema nice

usiniangushe nice jitahidi na mpigie tomas haraka kesho awahi mapema nahitaji awekewe uangalizi mkali maana hata mimi siwezi kulala hapa mama yangu na dada wapohospitar natakiwa nikawaone

duh pole sana boss basi tutajitahidi boss** alisema nice, basi seven akaondoka kuelekea hospitar ya private iliyopo kigamboni ambayo amelazwa mama yake na selina, waliambatana na john usiku huo hadi wakafika walimkuta sarafına akiwa analia tu ndipo wakaambatana kwenye kilio hicho,

hatimae kulipambazuka nyumbani kwa mama fatuma hali ilikuwa tete alikuwa akisemwa san na mume wake akimdai fahima

safari hii sitakuchekea hakiyamungu nishaapia mama fatuma nitakufunga namtaka mwanangu:**" alisema ba fahima kwa uchungu sana, mama fatuma hakuwa na chakusema alibaki analia tu, alijutia sana kumpiga fahima kwasababu ndiyo sababu ilomfanya aondoke

alijutia sana

upande wa bar muhudumu agness alikuwa amihudumia wateja wake lakini ndani ya nafsi yake alimuwaza sana fahima sijui atakuwa

wapi huyu jamani ah au kashaelewana na mtu

wamelala? ila mh fahima navomjuwa hawezi fanya kitu kama hicho sasa atakuwa kaondoka bila kuniaga au? lakini mbona hanaga tabia. hiyo aliwaza agness lakini kabla hajaendelea kujiwazia alishtuliwa na mteja

"we egg vipi nakupa pesa yako mbona hupokel wewe alisema mteje huyo

oooh samahan bhana sikusikia jamani asante alipokea na kubeba sahani na chupa kisha akapeleka zinapokaa aliketi kwenye kiti na kufikiria, lakini kabla hajaanaz kufikiria. alishtuliwa kwa salamu

habari yako alikuwa ni fatuma alifika hapo na kuanza kumsalimia,, agness alimuangalia fatuma kwa hasira sana kisha akamsonya sonyo la chuo ile mxiyeeeeeeeeeeeuuuusuuuuuuuuuw,

sasa nkusalimia unanisonya usingesalimiwa.

je?" alisema fatuma

wewe mbwa wewe koma tena ukija hapal uongee kwa adabu mbwa mdogo wewe sema. shida yako alisema agnesa kwa hasira mno

ok nilikuwa namuulizia fahima kama alikuja hapa" alisema fatuma

nyooo kwahiyo umeona hapa ndo kituo cha wakimbizi au, yani mnavomtesa mnaona raha

wenyewe kama wehu mnamtesa mwenyewe mnarnfukuza wenyewe mnamtafuta wenyewe nyie kama mbuzi hamnazo nyie alisema. agneaal

eg kama umemuona sema babayaje anamtafuta kaondoka nyumbani hajafukuzwa ten..... aliserna fatuma lakini kabla hajamliza alikatishwa na egg

ishia hapohapo mwanga mkubwa wewe yani

nyle bado uchawi tu wanafki wakubwa nakama fahima angekuja kwangu basi nisingemruhusu aondoke kwa mateso mnayompa tena ukome kuja hapa iwe mwanzo namwisho kukanyaga. hapa ondokaaaaaaaaa alisema egg kwa ukali mno mpaka faturna akaogopa ikabidi aondoke

haraka

huku hospitar alipolazwa fahima asubuhi hiyo ndipo akashtuka, alikuwa hajiwezi hata kidogo

alijaribu kunyanyuka ilaalishindwa mwili mzima ulikuwa unamuuma sana hasa sehwmu za siri

ndo kulikuwa kunamuuma sana alipata sana. maumivu, ndipo daktari nae akaingia alifurahi sana kumuona fahima kaamka mara moja. akachukuwa simu na kumpigia seven alimjuza taarifa hizo ikabidi seven na john watoke hospiyari ile na kuja huku kumuangalia fahima

walifika na kumkuta daktari akiwa anampima baadhi ya vipimo, seven alitabasam baada ya kuona macho ya fahima yakiwa wazi alikuwa akiomba sana aamke na apone kabisa alimshukuru sana mungu

lakini kwa upande wa fahima haikuwa hivyo yeye alipomuona seven alikumbuka usiku wa jana ipombaka na kumtoa usichana wake kikatili mno aliumia sana na alizidi sana kuumia baada ya

kuona sura ya seven, alimchukia mno alikuwa anamuangalia kwa jicho kali sana la hasira
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE* Chapter 7



seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile

hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi nilikuwa na cathe huyu nani sasaaaa seven alichanganyikiwa akawa anazunguka zunguka tu hakuelewa afanye nini

kama kafa je inamaana mimi ndo nimebaka? hapana sio mimi bado sijafikia ukatili huu, ebu kwanza mungu wangu madamu haya toba mimi jamani nasingiziwa kesi lakini mimi sindo nilifanya jana aahhh cathe. alizidikujisemea mwenyewe akiwa amechanganyikiwa kwelikweli akasogea haraka na kumshika shingoni alitabasam baada ya kuona bado damu inatembea

ni mzima asante mungu mzima haraka. akavaa nguo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-chapter-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-chapter
REAL LOVE*  Chapter 8
REAL LOVE* Chapter 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

715
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

654
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

520
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

447
MY WANGU❤️ sehemu ya 73

MY WANGU❤️ sehemu ya 73

409
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

275
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

255
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

240
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

131
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

87

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.81K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.03K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

ndani ya hotel moja kubwa iliyopo posta katika chumba kimoja walionekana devi pamoja na cathe wakiwa wamekumbatiana kitandani, wanyama hawa hawakuwa na wasiwasi wowowte juu ya usaliti wao yani ndokwanza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 73 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
@majario LIVE

Basi hivyo ikawa ni tunalishana kimya kimya. Mpaka tumemaliza mie nikatoa vyombo. Nikaenda kuosha ndo niondoke. Basi nipo busy naosha vyombo mashangaaa nimeshikwa kiuno kwa nyuma nikageuka namuangalia ni mlige....

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest