Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama kosa gani lisilosameheka amapata mwanamke mwengine tayari .mama naumia sana..shule nikimpigia simu anakuwa ananijibu vibaya. Mi na moyo mama. Nililia kwa sauti. Uzuri tu mzee hakuwa karudi. Mama harkaa aknikumbatia na akaamza kunituliza. Akanmbia basi tulia farida.sawa naelewa mwanangu .tulia kabisa. Naomba utulize kichwa sawa. Nikasema ndio. akanmbia sitaki umuwaze mlige sawa..muache amalize hasira za moyo wake. .na wewe relax na uwe free na maosha yako.na ikiwezekana kesho nikupe nauli uende kukaa kwa mma yako mdogo nyakanazi ata week 2 kwanza ukatulize akirii. Nikasema sawa mama bola niende nyakanazi kwa mama mdogo. Basi maam alinibembeleza jamani. Alinituliza sana. Akanmbia relax mwanagu basi ndo nikatulia nikawa naongea na mama mambo mengine kabisaaa.

Basi mpaka mzeee akaludi tukala kwa pamoja mie nikaenda kujipumzisha . Nikasema mm uyu baba simtafuti tena kumwambia masuala ya mapenzi naona moyo wake ushagoma so sitakiwi kumfosi hapana . Basi mie nikajilalolia zangu. Asubuh mama akaniamsha nikajiandaa akanipa na nauli.ila nilikataa nilimwambia mie pesa nnayo mlige alinitumia tena na yeye nikampa laki 1. Akafurahi uyooo. Nikabeba na nguo zangu 2 tatu. Nikamuaga na baba. Na shoga yangu yusta nilimtumia sms.kuwa naenda kwa mma mdogo week 2 kumsalimia kwanza . Yusta akanambia sawa. Basi kweli mama akanisindikiza mpka stand mie uyoo mapaka nyakanazi. Kutoka kwetu mpaka nyakanazi nuli elfu 5. Basi shoga yenu mpaka kwa mama mdogo. Mama angu mdogo uyu wala hakuwa na familia. Yani single tu. Ila anafanya biasha biashara. Na amejenga kabisa. Kinyumba chake cha kawaida tu. Basi oddo alifurahi kweli mie kwenda kumtembelea. Alinikaribisha vizuri mno . Basi mie nikawa nipo tu nyakanazi kwa mama mdogo ile kubadilisha mazingira kidogoo. Basi nilikaa nyakanazi kama siku 3. Mlhhh siku iyo usiku naona mlige ananipigia.nilishngaaa nikasema leo kuna nn . Mie nikapokea ile simu nikasema haloo

Akaniuliza upo wapi? . Mh nikasema nipo nykanazi. Akaniuliza nyakanazi kufanya nn. Nikasema nimekuja kwa mama mdogo kutembea kidogo. Mlige akasema kesho ludi nyumbani . Sipaamini uko kabisa. Kwanza sikuoni. Na sijuh unafanya mambo gani ukute unakaa na bwana.alafu mm natoa pesa zangu. Mh nikamuuliza kwani kitu kidogo natowa pesa zangu. Natowa pesa zangu. Au unanaisomesha ili unisimange. Akanmbia kua na ww usomeshe mtu ambae sio mwanao wala ndugu yako ndo utajua raha yake. Nikasema sawa hesabu gharama zako nikipata kazi ntakulipa.akanmbia yani we mshenzi ungekuwa karibu yangu ningekunasa vibao ww. Mh alishapanik akaanza kupanda akanmbia unanaijibu unavyotaka sio. Unaona unanaiweza we mpumbavu si ndio we mjinga. Nikasema kwani umenipigia leo unigukane si ndio. Akanmbia sikia ww. Naomba kesho uludi nyimbani . Sitaki ukae uko nyakanazi nimemaliza sasa bishana na mm.nikasema mm siludi uku nipo na mama mdogo na nimebadilisha mazingira. Mlige akanmbia unabishana na mm sio. Mi nikaka kimya .akanmboa okey nataka usiludi kama kweli ww mwanamke. kisba akakata simu

Mh nikajua kanipigia kutafuta ugomvi. Mie nikakausha nikajipumzikia zangu. Na wala sikuwa na plan za kuludi nyumbani mm.Kesho yake saa 7 mchana anapiga. Mh niakpokea. Et umeshaludi nyumbani. Nikasema mm siludi mpakaa week 2 zipite. Akanmbia sawa tunabishana sio. Mie nikasema mlige kwaiyo mimi nisitembee kwa ndugu zangu kisa unanisomesha mbona unakuwa hivyo. Niache bwana niwe huru na mimi na ndugu zangu. Mlige akanmbia sawa . Kisha akakata simu. Apo hakunutafuta mpaka.nimamaliza week kwa mama mdogo. Na nikaongeza week ya 2. Nikatumia week 2 kwa mama mdogo ndo nikaludi nyumbani sasa . Basi mama aknmbia unajua yule mlige anakupenda sana .nikasema mh kwa nn mama.mama akasema Alipiga simu et amekutafutia tution hii likizo ukasome.mie nikamwambia umeenda kwa maam yako mdogo.ananza kusema ooh mma nyakanazi sio salama kuna wahuni wengi alafu ww mtoto wa kike. Mie nikabaki nimemshangaa ila nimeshamuelewa wivu unampelekesha .mh mie nimanyamaza mana mlige mwenyewe sie ni kugombana tu mda wote

Basi mie nikawa busy na mamabo yangu na yusta wangu. Siku iyo sasa tulikuwa nyantakara centre mie na shoga yangu yusta tunapiga story sehemu moja uku tunakunywa juice ya miwa. Basi tuliwa pale bwana.mh gari ya mlige ikapaki kwa pembeni . Kisha akapiga honi. Nikajua anajita mie .mie nikaenda akanifungulia mlango akanmbia ingia ndani. Mie nikamuuliza tunaenda wapi. Akanmbia unahisi ntaenda kukuza ama. Mh mie nikamwambia samahani kisha nikapnda. Basi kanuna uyoo kama anataka kupasuka. Basi akadrive mpaka nyamsebehi kwake makazi mpayaa. Tumefika. Akshuka akfungua geti lake .kisha akaingiza gari ndni. Kisha akafunga geti lake.akanmbia njoo ndani. Mie nikaingia mpaka.ndani .aseeeeee ni kuzuri jamani. Yani kuzuri mnoo.hii nyumba ilikuwa bomba mnooo.basi tumefika ndani akanmbia kwaiyo huwezi kununua juice ukaenda kunywia nyumbani. Unakunywa bala balani unajianika wanaume wakuone au sio. Mie nikanyamaza kimya wala sikutaka kujibu .namuheshimu tangu anipige . So nachunga mdomo wangu sana nikiwa nae karibu. Akanambka naenda kulala.nisaidie kufanya usafi ndani leo. Mie nikasema sawa.akanionesha vifaa vya usafi .kisha yeye akapanda chumbani kwake. Na kweli ndani kulikuwa na vumbi mnoo. Mtoto wakike nikaanza usfi.

Nilifanya usafi kote . Kila sehemu . Kuanzia iyo saa 7 mchana mpaka saa 10 ndo namliza nimechoka. Apo na vyombo nilishaosha mana alikuwa anatumia tu ata haoshi. Ila apa ni kuzuri jamani yani kila kitu alikinunua kipya. Baada ya kumalaiza usafi sasa ndo namuona anatoka chumbani kwake akanmbia nenda kamalizia na kwangu. Asa nakataaje ndo ananilipia ada uyu. Mie nikaingia chumbani kwake.nikapiga kazi aswaa. Nikambadilishia na mashuka pale. Iko kitanda chake woow. Yani chumba cha kisasa wallah mpka raha.basi nilipomaliza sasa nikatoka nikamkuta anacheka movue.nikasema mi naomba kuondoka sasa mda umeenda alfu sijamuoga mama kama nakuja uku. Akanmbia sawa . Akanipa pesa elfu 50 . Akanipa na funguo. Akanmbia hii ni funguo ya apa kesho asubuh uje apa kufua..nguo zangu zote chafu. Mie nikasema sawa .kisha uyo nikaondoka zangu. Nikapanda tu boda mpaka home.yani nilichoka mnoo nilifikia kujipumzisha tuuu

Kesho yake sasa niliamka alfajir nikamuaga na mama kuwa naenda kwa mlige kaniomba nikamfulie.mama akacheka aksema yani mlige anajifanya anakukazia ana lolote.aya bwana kafulianeni .mi siingili mapenzi ya watu.mie nikacheka tu. Basi bibi mie nikaakodi boda mpka kwake. Nikakuta yeye kashondoka kwa kua mie nilikuwa na funguo . Nikafungua nikaingia ndani. Basi nikaanza dobi na uzuri alikuwa na machine. Ila kusuuza ni mm na kuanika. Aliniekea mpkaa boksa zake kila kitu yani. Na nguo zilikuwa nyingi. Alikuwa anavaa yu ata hafui. Mpaka nikawa nawaza kwani uyo maraya wake hamfulii. Basi nilipomaliza kufua nilichoka sana. Mie nikaenda kujimwagia maji chooni kwake. Kisha nikaludi mpaka chumbani kwake . Nikabuta taulo lake nikajifunga kwa juu ya maziwa nikajilaza kitandani kifudi fudi. Basi usingizi wala haukunichelewsha nikapitiwa kabisaa

Nikaja kustuka namuona mlige amekaa pembeni yangu anachezea simu. Mh nikaamka nikasema heeee sory jamani nimelala kitandai kwako. Akaningalia kisha akanambia nimeleta vyakula jikoni. Kanipikie ugali nyama huu mda. Mie nikasema sawa . Kishs nikaelekea jikoni. Basi kweli shoga yenu nikaanda chakura vizuri nikatenga dining. Nikaenda kumuita mwanaume . Sasa kuwa chakura teali. Akambia sawa na kweli akaja . Mie ata sikutaka kula.nikasema nataka kwenda sasa. Akanmbia njoo ule kwanza. Mie nikasema naenda kula nyumabani akanambia sitaki tubishane nimesema njoo ule apa. Basi nikasogea nikawa nikaanza kula. Mh namuona mtu et ananilisha nyama. Mh nikala. Nikaona leo wamemtoka leo. Basi tukawa tunakula.ila uku anaiilisha nakwambia. Nikaona aka na mimi nikachukua kipande cha nyuma nikamlisha . Na yehe akala tena uku kanishika mkono wangu ule nilokuwa namlishia. Nilisika rahaa sana. Yani nilipata amani ya ajabu asee kweli mi nampemda uyu baba jamani

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72


Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama kosa gani lisilosameheka amapata mwanamke mwengine tayari .mama naumia sana..shule nikimpigia simu anakuwa ananijibu vibaya. Mi na moyo mama. Nililia kwa sauti. Uzuri tu mzee hakuwa karudi. Mama harkaa aknikumbatia na akaamza kunituliza. Akanmbia basi tulia farida.sawa naelewa mwanangu .tulia kabisa. Naomba utulize kichwa sawa. Nikasema ndio. akanmbia sitaki umuwaze mlige sawa..muache amalize hasira za moyo wake. .na wewe relax na uwe free na maosha yako.na ikiwezekana kesho nikupe nauli...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-71-na-72

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

564
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

442
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

400
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

375
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

341
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

202
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

157
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest