Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee nakumalizia we mpumbavu nyanyuka usepe apo. Yani nikitoka nikakukuta faridah nakuua nakwambia. Mh kiukweli nilijikokota mnoo. Nilinyanyuka kwa kupepesuka. Nilitembea na ukuta .mpaka nikatoka njee ya geti. Njlivyotoka sasa kama bahati boda inapita . Mh nikaisimamisha kwanza .nikamwambia nipeleke nyantakara. Yule boda akaniuliza kwani unaumwa dada .nikasema.hapana. sikuwa sawa kabisa. Yule boda aliniangakia sana akanmbia panda. Yani kupanda boda tu ata siwez. Ikabidi anisaidie. Ila mh akaona sitafika.mana ata kujishikilia tu siwez. Ikanipeleka hospital apo runzewe . Inaitwa chares kurwa hospital. Ni ya private ila sio kubwa . Ni ya kawaoda tu . Basi akaniacha pale. Nilikuwa na hali mbaya mnoo. Ila tu nilipata akiri ya kumuomba simu yule boda na nikampigia simu mama. Nikamwmabia tu mama mi nipo hospital runzewe

Nyieeee sikuweza tena kuongea. Nikaona nguvu zinaisha. Nikawa sijajitambua tena. Nikalazwa pale. Kiukweli akiri ilikudi usiku saa 8 pembeni namuona mama yangu pale anafuta machozi. Akaningalia akanmbia unaendeleaje mwanangu. Nikasema naendelea sawa mama. Niko sawa kabisa. Mama akanambia ulienda kwa uyo mwana haramu kufanya nn. Eeeh umeenda kufanya nn. Anakupiga kama hivi ww ni mkewe . Au kisa kukulipia iyo ada yake. Uhai wako ni muhimu kuliko chochote . Nimeshaongea nae na nishamwambia kama ni shule nitakuludisha ile ile uliyofaulia na utasoma tu. Sitaki tena msaada wake. Kupiga gani uku eeeh . Ni kupiga gani uku. Sitaki nasema .apo mama alikuwa anaongea uku analia. Aseee na mlige alinipiga. Ahaaa hii siku alinipiga. Basi mama alikaaa pale mpaka asubhh. Ndo tukaruhusiwa. Nikaambiwa tu wala mkono sijavunjika ila umestuka tu. Basi gharama zote mama akalipia ndo tukalidi nyumbani.

Nyie nilijiuguza nyumbani kalibia week. Mlige hakunipigia wala hakuniulizia hali. Na mama alinambia marufuku kwenda kwake kujiombesha msamaha. Sasa nenda akakumalizie uo mkono. Basi mie niliona mh kwa kunipiga kule .ataniua kweli. Alafu anajua kaniumiza mpka mama kamsema . Lakini ata sms ya samahani yule bwana hakunitumia .nikajua aya bwana . Alompata sa hivi kamshikilia. Basi mie na mlige tukakaushiana hivyo. Na wala hakuja nyumbani kabisa. Wala hakumpigia tena simu mama. Na kuna jinsi mma alichukia sana ile mlige kunipiga. Ata kumuongelea akawa hamuongelei. Nazani si mnawaelewa wazazi. Hawezi kufurahi kupigiwa mwanae ata kama kakosea ndo ipo hivyo. Basi shoga yenu nilikaaa mno nyumbani . Mpaka wenzangu wa kuludi rikizo wakanikuta nyumbani nimejaa tele. Niliposikia yusta kaludi nilifurahi sana. Nilienda kwao kumuona kwa shangwe. Na alinifurahia sana. Basi akawa anazani na mm ndo nimeludi kumbe mie nyumbani nna mwez naaaaa.

Sikutaka kumficha shoga yangu. Nilimueleza yote .kuanzia upumbavu nilofanya shule . Kila kitu mpaka kupigwa na mlige nusu aniue. Na mpaka mama kugombana na mlige yote nilimueleza .mh yusta alinionea huruma sana . Akanmbia pole sana. Nikasema nishapoa. Ata shule mama kanmbia zinavyofunguliwa . Ananiludsha shule ile ile niliyopangiwa mwanzo. Mh yusta kanambia na mlige akikasilika anabadilika anakuwa chui kabisa. Nikasema ndo hivyo. Na ana madame ana tembea nae . Anaitwa madame milia nasikia ndo mwanamke wake. Hawezi kunikumbuka mie . Mtoto mdogo. Yusta akanmbia basi kuwa na amani na maisha yaende. Kila kitu kitakaa sawa. Nikasema powa

Apo kidogo nikwa na rahaa .na vile yusta karudi .rafiki yangu nimemzoea sana. Mala tukazulule uku. Mala kesho kule. Yani nilichangamka sana. Kuna siku tunapita mpaka kwenye iyo nyumba mpya ya mlige. Nyieee uko nyamsebehi aliachia nyumba. Yani mpaka roho inauma ..na wivu unakuja. Kuwa apa atakuwa anakuja na mwanamke wake mwengine .wakati ningekua naletwa mimi. Ila ndo hivyo . Rohoo inauma sana ila haina jinsi. Yusta akawa ananitia ngivu sana. Kuna mda nilikuwa namuona sana center pale dukani kwake kwa jamila. Ila sikuwa nataka kuwa karibu nae tena..yani nakata zangu kona kabisa.

Ikawa hivyo. Na yeye wala hakuwa ananitafuta ata pesa hakuna. Yani nilikiwa natumia viakiba vyangu tu. Sikuwa na pesa kama mwanzo mpaka.rikizo ikakata. Wenzangu wakaanza kufanya mchakato wa kuludi shule mie nikamuuliza mama akanambia ningoje . Mwanza mpaka tuvune kwa sasa yeye hana pesa. Rohoo inauma unazani nafanyeje. Basi wenzangu wakaondoka mie wakaniacha.nikajuta ata kwenda kusoma shule ya private.bola ningeenda zangu ya serikali tu. Basi ikavuka week mie nipo nyumbani. Apo baba bado hajaludi. Na mama hakumueleza shida zangu. Alinionea aibu na aliona kama atanidhalilisha tu kwa baba. So hakumuambia kabisa. Basi siku uyo. Mie nimetoka zangu kijiji cha pili mama alinituma nipeleke mchele kwa shoga yake uko. Nimeludi nafika pale .namkuta mama anambia mlige kaja apa. Mh moyo ukafanya paaah

Mama akanmbia amesema ujiandae kesho unaludi shule. Mh nikasema mama we umekubali tena. Si ningojee tu unipeleke kule kwa mwanzo mama . Mama akanmbia nenda ukasome mwanangu. Usingoje ambayo ata hatuyajuhi yatakuaje. Naona kasafisha moyo wake. Na kajiludisha nyuma na kaomba msamaha apa. Kuwa zilikuwa hasira. Ila nenda tu ukasome. Nikasema sawa mama . Basi nikaingia ndani nikaanza kujiandaa. Mama akanmbia kasema usibebe hivi vya zamani. Kama fomu mana anakuhamisha shule..mh nikasema ananihamisha. Mama kasema ndio. Anakupeleka shule nyengine ipo kahama apo . Nikasema sawa mama. Basi mie nikaingia ndani kwangu. Ndo nakuta hii siku ndo kanitumia sms

Kanmbia tu vitu ambavyo natakiwa kubeba na vpi niache. Haina ata mambo .sms ni kavu. Mie nikamjibu sawa. Hakunijibu tena.nikapanga tu vitu vyangu. Mama akaja chumbani akaongea sana na mm. Alinambia uyu mwanaume msome. Ni mtu amabea ana hasira sana .ila anakupenda so kuwa nae makini sana. Alafu ela inauma mwanangu .si unaona anakuhamisha shule so kule katupa milion 7 . Anakuhamisha anakupeleka kwengine. Akikukuta na kosa lazima atake kukua. Kuwa makini sana mwanangu shuleni . Naomba ukasome.mie nikasema sawa ntasoma mama. Hakuna shida. Yani hatukalala mama anaongea na mie mpka asubuh kunakucha. Basi mlige aknitumia sms. Nakufata saa 4 asubuh. Mie nikasema sawa. Nikajiandaa tu vizuri. Na saa 4 asubuh mlige akaingia na gari yake

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67


Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee nakumalizia we mpumbavu nyanyuka usepe apo. Yani nikitoka nikakukuta faridah nakuua nakwambia. Mh kiukweli nilijikokota mnoo. Nilinyanyuka kwa kupepesuka. Nilitembea na ukuta .mpaka nikatoka njee ya geti. Njlivyotoka sasa kama bahati boda inapita . Mh nikaisimamisha kwanza .nikamwambia nipeleke nyantakara. Yule boda akaniuliza kwani unaumwa dada .nikasema.hapana. sikuwa sawa kabisa. Yule boda aliniangakia sana akanmbia panda. Yani kupanda boda tu ata siwez. Ikabidi anisaidie. Ila mh akaona sitafika.mana ata kujishikilia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-66-na-67

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

589
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

543
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

366
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

348
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

316
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

39
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

28
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

27

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest