Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya ngu. Ila uyu zayd alikuwa ni mbishi kwangu jamani. Yni akiniona atanisalimia . Atanichekea.mala atanikonyeza daah alikuwa ananikwaza na kuniboa sana . Yani ni hanielewi tu. Ila na mm sasa nilikuwa nusu nusu .mh uyu bwana akinikonyeza nachanganikiwa mnoo. Yani najikuta napata furaha moyoni ya ajabu. Ila nikikumbuka kuna mlige naishiwa nguvu kabisa moyoni. Basi nabaki kujinyamazia tu. Basi bwana tukangaziwa visiting day sasa. Yani wazazi waje kutetembelea shuleni. Ila kiukweli nilihisi mlige hatakauja et waliipanga j 5. Mm nilichukia namjua mlige atakuwa busy na kazi uko. Na uku kulivyo mbali. Basi siku iyo tukiwa tunaonge na simu ya mwalimu

Nikamwambia baby tuna visiting j 5. Ila we si utakuwa busy sana. Mlige kanmbia ahaa busy sio mbele yako. Ntakuja mama. Au nimpe nauli mama aje kukuona yeye. Mh nikasema hapana nimekumiss sana ww. Mama ntamuona likizo. Akanmbia basi sawa ntakuja kipnzi changu. Aya nambie nikuletee nini. Basi nikaanza kumwambia vya kuniletea nikamuolozeshea mavitu mengi mpka mlige akawa anacheka ananiuliza we uko shule umeenda kula ama. Mavitu yote ya kula aya mke wangu jamani. Mie nikasema ndo nataka sasa. Na nnavyodeka mie nikiongea na mlige. Basi akanmbia sawa ntakuletea iyo j 5. Basi tukaongea na mengine kisha tukaagana mie nikaendelea na masomo yangu. Jamani uyu zayd ni alikuwa ananifatilia sana. Yani mnooo mpaka sasa mashost zangu wakawa wanajua kuwa yule bwana ananitaka.

Kwanza ni mbishi. Hataki kuelewa. Yani akiniona ni moikonyezo tu. Nina mkwepa tu.mana daah sikuwa nataka shida na wanawake zake. Mana mtu mwenyewe nilisikia mpka anagombaniwa na madames wa hapa. Nikaona ebu nipambane na kusoma mie. Na apo pia napata changamoto za kutingizwa na wavulana wengi.na mpaka walimu wa kiume. Ila aliyekuwa anastua moyo wangu ni uyo zayd. Wengine awa wala hawanisumbui.Bas bwan kweli j 5 siku ya visitingi ikawa imefika. Asubuh niliamka nikajiandaa vizuri man nilikiw ana huwakika lazima mlige ajee. Basi shoga yangu zai akanambia aseeee mie mwenzenu leo na bahati mbaya wazazi wangu jana wamesafiri kwenda marekani kikazi hivyo sina ata mtu anakuja kwa ajili yangu leo.

Mie nikasema basi utakuwa na mie kaka yangu anakuja .na prisca akamwambia ata na mm mama yangu anakuja pia ukitaka utajoin na mm. Zai akasema sawa. Basi tukajiandaa tukatoka tu kaenda kungoja wazazi. Asee hii siku kulichangamka wazazi walikuwa wengi sana. Na zilipark gari za kustosha jamani . Si unajua tena. Basi bwana mie mpka saa 7 simuoni mlige nilishaanza na kununa pale. Mh kufika saa 7 na nusu . Naona kuna mwanfunzi kaja kuniita et kaka yako anakuita kule nyuma. Nyie nilifurahi.nikainuka nikaenda haraka ni kweli ni mlige alikuwa kapendeza mnooo. Kawaka kinoma uyu baba.nilimkumbatia kwa furahaaa. Basi na yeye akanikumbatia akanmbia ulizani sitakuja ama .nikasema wee usingekuja ningenuna mno. Mlige akasema na ungelia nakujua wewe. Basi tukacheka. Akanmbia jana nilikuwa wilayani bukoba kabisa. Nilikuwa busy sana .ila nilisema nisipokuja utalia . Ikabidi nifosi. Nikawa nacheka .mana anaielewa sana mkewe

Kisha sasa. Akanmbia aya twende basi kule. Na kweli akanishika mkono tukaemda . Alipopark gali yake .yeye hakupark parking mana gari zilijaa. Aseee kwanza kabadili gali.nikamuuliza mh mbona hukunambia kama unabadili gari. Akacheka akanmbia ahaa kwani shida nn mke wangu . Si nimekuja nayo uione. Alafu kuna kitu ntakuonesha ukiludi nyumbani. Kuna nyumba najenga nyamsebehi. Achana na ile ya kupanga runzewe. Uko ndo nataka tufanyae maisha yetu. Na familia yetu . Mm na ww na watto wetu. Mh nikasema sawa nikuulize kitu
. Akanambia niulize mke wangu eeh.

Nikasema kwani ukiacha na ualimu kuna kazi nyengine unafanya. Akanambia mh leo ndo umeuliza unakulaga hela tu we mrembo. Nikacheka sana. Akanmbia yaa nna duka la viatu kahama .dodoma na dar. Mi ni mfanya biashara wa vitu vingi mama. Sitegemi tu ualimu pekeee. Ualimu ni kitu napenda sana. Ila ni mfanya biashara mke wangu. So hutalala na njaa ata siku moja nitakapokuoa.nikajikuta nacheka tu mana mlige bwana.nikamuuliza hujanisaliti ew. Akasema haa wapi na funga na kufuri kabisa. Nailinda kwa ajili ya ww tu. Nikacheka yani uyu mlige bwana kuna mda anapenda sana makuzi asa tukiwa wawili. Basi akanmbia nimebeba kuku za kutosha ebu huna rafiki aje kukusaidia kula umalizi hizi. Nikasema naenda kumuita ni zai leo wazazi wake hajwajafika. Mlige akanmbia sawa kamuuite. Basi mie nikanyanyuka nikaondoka zangu nimamuacha pale ananisubir. Amekaa kwenye kiti. Mana vilipangwa sehemu mbali mbali kwa ajili ya wazazi wanaofika kukaa wakiwa wnaongea na watoto wao.

Basi bibi mie nikaludi mpaka alipo zai. Alikuwa tayar kashaenda kwa familia ya kina prisca nami nikaenda nikawaslimia wazazi wa prisca kisha nikamnong'oneza kwamba twende tukale kuku kaka kaleta nyingi. Mh zai akaaga pale pale . Tukaenda sasa kwa mlige. Na kweli mlige alimsalimia tu vizuri zai. Kisha sasa akatoa vyakula vya kula alivyokuja navyo vilikuwa vingi mnoo. Sijih kuku. Kabeba nyama choma.na soda . Chipss. Aseee tulikula.mnoo. mapaka vyengine tukafunga. Baada ya apo sasa . Zai akagaa akabeba na vile vyakula akapeleka bweni akaniacha na mlige tuliongea ongea sana mpka saa 10 sasa ndo akanmbia nataka kwenda mana mda wa mwisho wazazi kubaki na sisi ulikuwa saa11. Nikasema sawa ila akanmbia tuingie kwenye gali.nikaju uyu anataka kunikiss hana lolote. Anataka ivyo sasa tukachezeane kwenye gari tu
Mie nikaingia kwnye gari na yeye akingia. Kisha akafunga mlango wa gari

Mh baada ya kufunga mlango wa gari. Akaniangalia sana. Akaniuliza zayd ni nani yako. Nyie moyo wangu ulifanya paaah. Mambo ya zayd mlige kayajuaje tena .uyu baba mchawi nini. Mie nikasema.sio mtu wangu. Kabisa. Sio mtu wangu. Yani kma nilipanik.mlige akaningalia akasema kwani mm nimekwambia ni mtu wako. Si nimekuuliza ni nani wako. Mambo ya kusema sio mtu wako yamekujaje. Ebu nambie..nikasema.ahaaa samahani. Akanmbia nambie ni nn kinaendelea kati yako na uyo zayd. Apo alishakuwa serious jicho kalitoa si mnamjua mlige akishachukia. Mie nikasema.sio mtu wangu wa karibu. Mi namuonaga tu .ni kijana wa form six. Mlige akanmbia shuka kwenye gari yangu sasa hivi. Ntakuua umu. Mh nikatulia kwanza . Alishapanik na akawa na hasira . Mie nikasema.sikia mlige usipanik basi..akanmbia nisipanik kwa nn wakati unanaidanganya eeh. Amekuja mwanfunzi amenambia. Kabisa kuwa mdogo wako anatembea na mkaka apa shule anaitwa zayd mdo mana nakuuliza ni inakuwaje hii. Kisha ww unanijibu non sense faridah. Unataka nikuvunje.kiuno si ndio. Yani mi natupa pesa zangu we unakuja kufanya upumbavu shule si ndio. Mh nikaona ap kazi ishakiwa ngumu.

Nikasema baby nisikilize. Uyo zayd ni ananitaka tu . Ananintingoza sana. Lakini sina mahusiano naye mm. Ananifatilia tu mume wangu. Sio mtu wangu kabisa. Aseeee mlige akaniuliza umeenda kusema kwa mwalimu kuwa unatungozwa nakuuliza ww umenda .nikasema hapna . Akanmbia so unapenda kutongozwa sio unapenda anavyokufata fata. Na ankuuliza ni nani unasema huna unachikijua chochote unalimlinda eeeh. au mshaanza na kushikana shikana nambie we mpumbavu. Mh mnanijua shoga yenu kusemwa kidogo tu. Macho yakaanzaa kutoka machozi. Aseeee mlige alivyoona nalia tena..akanyamaza kuongea . Mie nikasema basi mi naludi bweni tutaongea mda mwengine. Mana nilishaona mwenzangu ana hasira sana. Basi nikafungua mlango akanishika mkono. Akasema nn sasa unaondoka unaenda wapi. Nimekwambia ushuke kwani au ushaanza kuwa na kiburi sa hiz. Mie nikanyamaza kimya nikawa nalia. Ahaa naona akajiikisikia vibaya. Akanikumbatia kwa nguvu. Akanmbia basi nisamhe ni hasira na wivu tu mke wangu. Ila naomba kesho mapema sana ufike ofisini ukamshtaki uyo mwanafunzi ntaongea na mwalimu wako sawa. Nikasema ndio . Akaaanza kujiongelesha ongelesha kuniweka sawa . Mie nikaamua tu kuyapotezea akataka kisss. Mie nikampa na apo hasira zote zikayeyeka.

Tulikisss mda mrefu mno. Mpaka kadindaa. Nikamuonea huruma ila kwa pale asingeweza kunifanya hivyo. Basi akanipa pesa . Nikabeba na mizigo yangu. Akaninga pale. Akanipiga mikwaara mno kuhusu uyo zayd akanmbia na ntafatilia nakwambia ole nijue chochote .hii itakuwa issue kubwa. Mie nikasema wala sina mahusiano naye akanmbia sawa. Bibie mie ndo nikaludi bwenini. Macho yamevimba .nyie mlige akikasilika hataki matani. Na aswa swala la wivu yani nilikuwa nawaza sijuh nani kamwambia mlige uo upumbavu mungi wangu. Daaah

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60


Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya ngu. Ila uyu zayd alikuwa ni mbishi kwangu jamani. Yni akiniona atanisalimia . Atanichekea.mala atanikonyeza daah alikuwa ananikwaza na kuniboa sana . Yani ni hanielewi tu. Ila na mm sasa nilikuwa nusu nusu .mh uyu bwana akinikonyeza nachanganikiwa mnoo. Yani najikuta napata furaha moyoni ya ajabu. Ila nikikumbuka kuna mlige naishiwa nguvu kabisa moyoni. Basi nabaki kujinyamazia tu. Basi bwana tukangaziwa visiting day sasa. Yani wazazi waje kutetembelea shuleni. Ila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-59-na-60

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

924
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

208
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

194
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

190
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

187
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

170
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

131
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

118
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

107
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest