MIMI SIKUACHIπ₯° Sehemu ya 7 na 8
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘
Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani saa 2 usiku wanafunzi kama watu . Alafu chuo ni kikubwa .mi nilipenda sana mazingira yake nilipapenda sana. Basi mimi nikaludi rooom kisha sasa nikampigia mrembo wangu nikaongea sana. Asee mpka nimelala lemi hakurudi.yani nilikuja kustuka asubuh kabisa ndo namkuta kitandani kwake kalala sikuwa ata nimeelewa kuwa uyu bwana aliludi saa ngapi.
Basi mi nikapotezea .nikaenda bafuni kujimwagia kisha sasa .nilimuomba lemi anisindikize mjini nikanunue simu kubwa .mana dada alinipa laki 3 ya simu. Kweli lemi hakuwa na shida. Na akanisindikiza mpka mjini.na yeye ni mtaalamu sana wa mambo ya simu. Mimi sikuwa naelewa kabisa chochote kuhusu simu kubwa.ila mshikaji wangu lemi ndo akanielekeza sas lale na akanishauri simu tukanunua kama laki 2 na 50. So nikabaki na kama na 50 . Hii pesa nikamwambia lemi tupite kwa wakala kuna mtu nimtumie .akanmbia mh shemeji nini.nikasema uwakika hiyo. Akanmbia ahaa ndo mana unanambia mademu sio vitu vyako kumbe unalinda penzi mwanagu. Nikacheka nikamwambia kausha .na ile pesa mimi nikaenda kumtumia fatuma elfu 50.
Akanipigia akanmbia jamani mbona umenitumia pesa ww ushatulia na ushaweka mambo sawa. Nikamwambia yaa mpenzi kuwa na amani .we iyo pesa fanyia mambo yako madogo madogo. Kisha nikipata nyengine nakutumia .apo nlikuwa nangoja boom na tayri lemi alishanmbia kuwa j tatu ni uwakika tunaekeea wanafunzi wote. Na kwa kipindi iko ilikuwa inaingia laki 5 kwa miezi 2. Nikajua ntajibalance tu. Alafu dada ananipenda sana na kunisuppirt mno.mda wote anapiga et pesa imetosha au nikakope nikutumia.namwambia wala usijali we tulia dada mim mwanaume ntafosi. Anambia kwenda uko kwa uanaume gani. Ahaa dada angu ananitania jamani mpaka natakaga kulia .ila ananipenda sana na ananipambania sana dada yangu kiukweli.
Basi baada ya kumtumia mchumba sasa tukaludi zetu chuo. Na nikaanza kutumia hii simu kubwa sasa. Nikafungua magroup ya chuo na mwanangu lemmi ndio alinunga kwenye ayo magroup. Mana chuo bila ya simu kubwa inakuwa majanga kinoma noma.Na kesho yake kwanza nilianza kufatilia registration ya chuo. Na mpka saa 7 nikawa nishamaliza kujisajili pale chuok na usiku ndo nikaingia vipindi sasa.mi ata class nilikaa zangu na lemi tu. Na mimi nikiwa darasani uwa ni msikivu sana. Aseeeee napenda sana kusoma na naelewa kilichonileta chuo do siwez kufanya ujinga kabisa. Alfu nna kichwa kizuri mno cha kuelewa kitu haraka na kikaaa tu kichwani namshukuru mungu kwa hilo.
Basi tukapiga sana vipindi pale baada ya apo jioni sana ndo tukaludi zetu hostels kupumzika. Aseeee ilikata kama week nipo napiga kitabu mno na nilishazoe chuo sasa. Na mpenzi naongea nae vizuri kidogo presha ishamshuka. Na nilipipata pes ya boom hamuwez amini .nikampa laki 3 fatuma. Nikamwambia kaa nayo na ufanye matumizi yako kisha mimi ndo nikabaki na laki 2. Nikajua mimi mwanaume ntabisha tu. Ila fatuma ni wakike. Alafu ni binti mzuri asije aktokea kijana uko akamshawishi mambo yakwa mengi.na kila siku lazima mm na fatuma tuongee yani mpka lemi alishajua sasa kuwa shemeji yake anaitwa fatuma. Na kuna mda anaongea nae yani anamsalimia. Na fatuma akawa akinipigia ananiuliza lemi ajambo msalimie hivo yani.
Basi bwana sku iyo sasa niipo zangu room nimecheal tu nacheza game katika simu yangu. Akaja lemi anacheka kinoma akanmbia daah we msenge una bahati ww sijapataga kuona. Nkkasema.mm ndo nna bahati aya nimefanya nn mpaka unanambia nna bahati. Akanmbia unamjua princess. Mh nikasema princess ndo nani mi simfahamu. Akanmbia acha ujinga bwana ..pisi kali wa chuo kizima mtoto mzuri . Yupo mwaka wa pili cozi kama yetu unasema humjuhi. Nikasema sasa mimi wanafunzi wa mwaka wa pili mimi nawajuaje sasa kwa mfano. Akanmbia princess ni maarufu alafu ni mtoto wa kishua sana alafu baba yake ni mbunge wa jimbo la mvomero uku moro. Mtoto mzuri kweli kweli. Unashindwaje kumjua .nikasema bwana mimi simjuh ao watu tunaosoma nao coz moja wengine siwajuh ndo nitamjua uyo princess wa mwka wa pili.
Nikamujliza kwani kafanyaje kwan .akanmbia daah yule demu leo napita uku nyuma kasimamisha gari kashuka kisha kanisimamaisha . Oyaaaaa nimejiona nn bahati kisenge. Yani kwanza ile kunisimamisha tu .nimehisi mimi ndo mwanaume sasa. Oyaa kwanza apo aliponisimamisha watu wananishangaa mimi. Daah demu kaja pale nikamsalimia fresh.oyaa anavyoongea sasa. Kuna wasenge wanakojoa sehemh nzuri kumamake. Yule mtoto baada ya salamu akanmbia samahani namuulizia yule kijana unayependa kutembea nae. Yule mrefu mweusi. Daah nikajua zali hili sio langu. Ila kwa jinsi amenielezea yule demu nimejua kabisa alikuwa nakuulizia wewe. Nikamwambia unamuulizia haji. Akanmbia simjuh jina ila huwa unagembea nae sana yule kijana
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘
MIMI SIKUACHIπ₯°
Sehemu ya 9
Basi mimi mwanangu nikatia tiki kuwa moja kwa moja yule mrembo alikuwa anakuzungumzia ww pale. Nikasema eeeh kwaiyo ikawaje. Akanmbia daaaah asa demu si kaomba buku 3. Mi nikaona nimpe tu. Mana dasah yule mtoto mkari kinoma oyaaaaaa mtoto akishoboka mtombe usimuache yule..nikacheka sana mana lemi anapenda sana mademu na uzinzi fala uyu.nikasema kwaiyo mwanangu unataka kuwa kuwadi au sio. Akanmbia nn wewe mtoto ana gari kali kinoma ana driveee oyaasss . Yule demu naishi kumamae.alafu mzuri kisenge ana mkundu sio powa .mtotot mweupeeeeeeee. Nikasems lemi mtu kaomba namba huenda ana issue nyengine kabisa .acha kuwaza uzinzi mda wote.
Daaah akasema kweli bwana . Daaah alafu ni ana uongozi yule demu ukute kweli ana issue ya chuo alafu mm najua kanada apa. Nikaaanza na kumcheka nikamwambia kausha bwana. Akanambia powa ila akikupigia tu naomba upikee we fala na atakachokisema we sema ndio. Hakuna kukataaa. Asee yule demu leo nampigia punyeto uku namuwaza yeye nilicheka sana lemi ni msenge sana . Yaan nlicheka mpka mbavu ziliuma. Daah alivyokuwa anamsifia sasa uyo demu msenge uyu. Mpkaa nikawa naona kazi ipo apa basi tukapiga sana story pale. Na usiku mi nikatoka nje kuongea na mpenzi wangu. Mana nilimmis sana. Basi fatuma akiongea na mm anavyojua kudeka sasa mtoto ahaaaa mi hoi. .mtoto ataniua uyu mimi uwiiii
Basj mpaka saa 6. Mi ndo naludi ndani kulala. Basi ikakata week mi sikutafutwa kabisa na uyo demu .basi lemi ni ana kihere here kinoma kila siku anafanya kunijlizia yule demu hajakitafuta. Oyaaa hajakutafuta. Namwambia sijatafutwa babu mbona una shida ww. Yani ana kihere here kweli. Wakati mimi nilipotezea kabisa. Daa siku iyo nakumbuka tulikuwa na seminar na viongozi wa chuo ya kukalibishwa mwaka wa kwanza . Basi kulikuwa na viongozi wengi sana pale wa chuo. Na wakaongea mengi na kutuelewesha mengi mno. Aseeeee sasa akaingia demu flni hivi mkari kisenge. Alivyoingia tu lemi akanmbia oyaaaa angalia chuma kile yule ndo princess sasa . Aliyechukua namba yako. Nikageuka kumtazama vizuri kudadeki nyie kuna watu wazuri . Mi nahisi siku mungu anamuumba uyu dada . Alitulia sana.
Ni mweupe sana kwanza . Ila weupe wake hauboi kabisa. Yule dada ni mnene kidogo wala sio mwembaba ila ana hipsi za kwenda . Yani figa imejichora namba 8. Alafu sasa alivaa suti hii siku kali sana. Yani ile suti ilitulia mahara pake kisha chini akavaa kiatu kirefu. Aseeeee uyu dada mzuri sasa. Ndo nikamuelewa lemi ndo mana alikuwa ananielezea kwa kupagawa ile siku kuhusu uyu dada. Aseeee mungu kaumba bwana. Oyaaaaaa demu mkari kwanza anavyoingia tu shobo za wanaume kama zote. Nikaona kweli kazi ipo apa.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi