MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni wanawake wa zayd unazani nani mwengine na vile wanaona umewazidi kete. Na bwana kila.siku anakufatailia. Ndo wanakuonea wivu wala hawana lolote washenzi wakubwa ao. Yani hawana lolote lile. Ni wivu ndo unawatesa na rohoo mbaya ndo zinawasumbua doooh. Basi nikawasimulia shoga zangu kuwa kaka kakasilika na kanigombeza sana . Kumbe kaka mchumba wivu ndo ulimkamata. Basi . Zai akanmbia mh ila kaka yko ni handsome bwana uwii. Anaonekana ana pesa pesa. Alafu kapendeza ebu niunganishe nae jamani. Khaaa mpka nilicheka. Anajua nnavyompenda yule baba mie.nikasema kashaoa na ana watoto 3. Aya shoga utulie
Zai akacheka akasema mh ndo unishushue hivyo. Inaonekana wewe una wivu na kaka ako . Au. Unampenda sana wifi yako.nikasema nampemda sana wifi yangu hanaga shida. Basi zai akasema aya bwana akimuacha nambie mie nipo nimemuelewa broo wako. Basi bwana mie nikapumzika na hii siku wala hatukuenda prepo. Kesho yake asubuh nikaitwa na mwalimu mkuu. Nikajua teali mlige kashapiga simu kwa mwalimu mkuu kumuelezea.na kweli nafika pale namkuta zayd yeye kashaitwa .kesi ikaanza kuunguruma..mimi nikaelezea tu kuwa kweli natongozwa na zayd na nishamwmambia kuwa sitaki..ila anaendelea kunifatilia. Basi mwalimu mkuu akasema hivi zayd nikukupa suspension kwa hili kosa tena inakuwa ya ngapi. Zayd akajibu ya 4. Mwalimu mkuu akasema.nakuonea huruma sababu ww ni kidato cha sita. Una mitihani ya necta ila ukiendelea na hizi tabia. Zayd ntakufukuza shule zayd .hizi tabia zkmezidi sana. Ata kama baba yako ana share nyingi kwenye hii shule
Ila nitakufukuza. Apo anasemwa hana ata presha.yani kaweka mikono mfukoni. Doooh kaka ana zalau uyu acheni kabisaaa. Ila nilijua uyu kufukuzwa sio rahisi mana ata mkuu hamsemi ile kwa ghadhab. Ata kupigwa hakuna . Akasemwa tu akaambiwa et akiludia tu . Anafukuzwa shule. Basi mwalimu akaongea sana akanmbia akikutongoza tena njoo ofisini . Nikasema sawa .kisha tukatoka nje . Basi tumefika tu njee ananikonyezaa akhaa uyu ni kichaaa nini
Akanmbia asa unazani mi namuogopa mtu . Suspensio. Nimezoea ila ww lazima uwe wangu nakupenda kinoma .mpaka usiku nakuota faridah. Mi sijali lolotee. Sijuh kaka ako kajua sijuh nn . Kwani uyo kaka ako hataki mashemeji. Au anatka kukuoa yeye .mimi nikaamua kuachana nae nikaondoka zangu. Basi kuanzia hio siku ndo alizidi usumbufu. Ananitumia watu waniletee pesa nakataa mala naletewa zawadi naktaaa yani fujooo mnoo. Alafi sasa shuleni nilikuwa najitahidi yani napasua mnooo. Tukifanya mitihani ya kujipima Nakuwa wa kwanza au wapili. Basi zayd ananambiaga ahaa yani www ni mke wangu kabisa. Kwanza una akiri alfu mzuri we lazima nikuzalishe.
Yani alikuwa ananaisimbua sana zayd mpaka ikakata miez 4 nipo shulee. Siku iyo nakumbuka ilikiwa mida ya saa 5 usiku. Ndo tumemaliza prepo tunalidi bwenini sasa. Basi mie nikawa naludi tarabu. Na shoga zangu. Tinakalibia bwenini.hee zayd katokea mbele yetu. Et naomba tuongeee kidogo apo pembeni. Khaa saa 5. Mie nikasema.sitaki tena sitaki nakwmabia .zayd akasem sawa ngoja basi nikuongeleshe mbele ya marafikk zako na watu wote wasikie. Kesho iwe scandal apa shuleni. Mh . Zai akanmbia sikia faridah ebu msikilize. Nikasema.sawa .kisha nikasogea nae karibu na vyoo vya wasichana .kwa huu mda kulitulia sana. Mana mda wa usiku tunatumia vyoo vya ndani vya bweni na sio vya njee.
Basi kufika kule . Nyie hakutaka kuongea na mm lolote .akanidaka mdomo akaanza kunikisss. Aseeee mimi nguvu ya kujizuia kwa uyu kaka sikuwa nazo kabisa.nikajikuta tu begi limenianguka. Ana nukia kwanza pafyumu za kiislamu zile. Nyie nilikuwa sina ngivu za kumzuia akanishika kiuno changu. Na akazidi kunikisss nilitulia kimyaaa. Akanikisss aswaaaa . Yani sio ile kimasiharaaa.nyieee na mie nikanogewaa. Tukawa tunakiss ile serious. Yani ile tupo busy kukolisss si tukamulikwa na tochi . Mimi nilistuka nikamsukuma kwa nguvu zayd. Aseee tuasikia sauti ya haed master mwenyewe akasema khaaa yani nyie washenzi mnafanya ufiriuni shuleni. We si zayd ww. Zayd akasimama bila hofu. Ila mm nilikuwa natetemeka mnoo.aseee mwalimu akasema na ww si faridah. We sindo kaka yako aloleta kesi kuwa uyu anakusumbua kumbe ni mwanume wako mshenzi mkubwa ww. Nampigia kaka yako sasa hivi. Heee si akavuta simu na mda uo uo akampa tarifa mlige. Et kesho uje kumchukia dada yako nampa.suspension ya mwez mmoja. Amekutwa na mwanaume wapo wanakisiana . Khaaaa nyie nilihis kufa hii siku ama nilitamani iwe ndoto niamke nilikuwa natetemeka namjua mlige mm nitamueleza nn
Mkuu akasema nenda dom sasa hivi kimarya kitoto ww. Nyie mie nikakimbilia dom nikaacha sasa mkuu anambwatiza zayd ase nilichanganikiwa nimefika bweni nilikuwa nalia kama chzi ata kuongea siwez. Wenzangu waakaanza kuwa na shaka.na kuhisi uwenda zayd kanifanya kitu kibaya. Ila baadae ndo nikasimulia. Kuwa zayd alinibusu kilazima ndo mkuu katufuma na kesho kaka kaitwa. Wkanmbia yani apo lazima utapewa suspension hii shule ina suspension sana. Jamani huu usiku sikulala nawaza ntamwambia nn mlige. Ntamueleza nn mm yule baba. Tena na mwanaume uyo uyo zayd..si ataona nilikuwa ni mwanayme wangu mda . Aseeee sikuwa sawa kabisa. Yani nilikiwa naogopa sana.
Basi bwana . Asubuh na mapema kwanza tulitangazwa asamble. Nyie mie ndo nalia yani uyu kaka hana habali ni dont care kweli kweli.na tukapewa suspension. Ya mwez mmoja. Yani niliumia sana . Mnajua niliumia yani sikuwa sawa. Kwakua mzazi wangu hakuwa amefika niliambiwa nikae ofsini nimsubir . Yani daah ilikuwa ni shida. Uyo zayd ye alifatwa kama.saa 7 na wazazi wake..yani ata wazai wake hawakutaka maongezi na mkuu wakmchukua kijana wao wakaondoka mie ndo nilibaki pale.kila mwalimu akipita ananisema asa madame jamni uwii nilikoma.mi.nilijua mlige lazima achelewe si anatoka mbali. Yani katoka.shule kama.week.2 nyuma alafu analudi tena kwa kesi za kipumbavu kweli kweli. Sijuh ata nambebaje mie mlige. Naogopa mnooo .mpaka.nahisi kutetemeka wallah. Yani naogoapa mnooo
Basi saa 10 jioni. Ndo naona anaingia alikuwa kawaida sana. Nilizani atakuwa kaja kakasilika sana. Ila wala alipofika akaingia ofisini akaongea sana na mkuu uko. Alivyotoka sasa.akanmbia kachukue kila kilichochako bweni nikuludishe kwa wazee wako. Si shule imekushinda .Mh nikajua kazi ipo.basi kweli.mie.nikaenda nikachukua vitu vyangu vyote akaja akapkiza kwenye buti.yani mpka godoro alinambia kachukue. Basi nikaenda kuchukua. Nikaingi kwa gari. Tukaanza safari ya kuludi kagera.nyie njiani uyu baba hakuwa anaongea kabisa ni kimya. Anasikiliza mziki wa gari yake mpka mie ndo nikawa najistukia nalia. Il wala hakuniuuliza unakia nn. Hakuniuliza imekuwaje. Yani hakuniuliza lolote lile. Na safari yetu wala.haikuwa na kula. Mpka asubuh saa1 moja.mlige anapark kwemye uwanja wetu. Yani hakuna ata kunipitisha kwake runzewe hakuna iyoo. Nikajua uyu baba nimemuumiza sana. Kwa ujinga wangu daah sijuh itakuwaje.na apo bado Sielewi ntamwambia nn mama anielewe mm😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi