MY WANGU❤️ sehemu ya 68
Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye kaviweka kwenye buti. Na vile akapakiza kwenye buti. Kisha akamuaga mama. Mama alinambia ukazingatie niliyokwambia .nikasema sawa mama. Mie nikapanda kwenye gari yake. Na yeye akapanda safari ikaanzaa. Kwanza ni amevimba. Ata kumuongelesha siwezi. Ni yupo busy na usukani wake . Ata kupepesa macho kunitazama hakuna. Na mm nikabaki kimyaaa. Kutoka kwetu na kahama wala sio mbali ni kama masaa 4. So mpaka.saa 8 mchana tukaingia shuleni. Ata hii ilikiwa ni shule nzuri sana. Tena ya girlss tupu. Hii haina wavulana.
Basi tukashuka. Akanishushia vitu vyangu .akaenda kunikabizi kwa walimu. Akaniandiksha na kila kitu. Na kama kawa akaijiandikisha kama vile ni kaka yangu. Baada ya kila kitu. Akanmbia sasa nimekuleta apa shuleni tena .fanya usenge wako. Now utatembea na walimu naona. Mana apa wasichana tupu. Asa ukiwashwa awa walimu ndo watakukuna na tabia zako za kipumbavu. Mie nikanyamaza kimya. Akanipa laki 1. Akanmbia sitaki kusumbuliwa kuhusu pesa tumia vizuri. Mh nikajua apa kazi ipo.kisha akaondoka zake. Mie tena nikapelekwa dom na matron ndo naanza kuangalia vitu alivyoninunulia . Ni kanijazia chupi. Taiti. Sidiria. Tena anaijulia . Kila kitu ni vile vile kama nilichagua nae . Traki .night dress. Mashuka. Yani alinibeba vjtu vingi mnoo . Na Hii shule ada ilipoa kidogo niliona sleep ni milion 5 na alinilipia yote kwa mwaka. Mh basi mie apo shule ndo ikaanzaaa
Awamu hii bweni nilikuwa nakaa na wadada watatu bweni so jumla tukawa wa 4. Ila nilikiwa makini sana. Nilikiwa nipo busy na kusoma tu. Sikuwa nataka masihara kabisa. Na uyu baba simu akawa hanipigii sijuh week ends kama nilivyozoe hapigi. Na mie waka sikuwa nampigia zaidi namsalimia mama tu. Na kuna mda namsalimia bba. Yeye sikuwa namsalimia kabisa naogopa mnoo. Na pesa nilikiwa natumia kwa. Makini si kashanambia hatki usumbufu asa mimi na utoto gani wakushindwa kuelewa mtu anaposema hataki. Basi nikawa busy sana na shule yani busy mno. Manazani ao walimu wa kiume walikiwa hawanitongozi. Walikuwa wananitingoza vizuri. Ila weee nilikoma .nilikoma mnoo. Sikuwa nataka ata kusikia na niliwambia kabisa wakiendelea naenda kusema kwa head mistress. Wakawa wamekausha mie nikawa busy na shule. Zikitokea visiting. Sikuwa namwambia kabisa mlige. Na yeye haji. Mana sms walikuwa wanatumiwa vizuri wazazi. Ila hakutaka kujihusisha na chochote na mimi.mpaka kuna mda naumia sana. Yani naumia kiukweli najua tu ni busy na wanawake zake hawez kuniwazia mimi tena.
Basi ndo hivyo kuna mda nanua vitabu . Vinakuja vitu nanua. Ile pesa ndani ya miezi 4 ikakata na nikabakiwa na kama miez 2 ya term kuisha. Mh sikuwa na pesa tena. Ila nikasema week end hii namuomba mlige nione itakuwaje. Basi kweli ilivyofika weend nikaenda kuomba simu kwa mwalimu nikampigia. Basi akapokea .nikasema.shikamoo mi faridah. Akanmbia nishajua ni ww sema shida yako. Nikasema ahaa nimeishiwa pesa . Naomba pesa kidogo. Akanmbia umetumia nn laki 1 miezi 4 na ugali upo apo shule. Na mnakula wali na chakura ni kizuri. Unahisi mi nachuma pesa sio. Mie sikupemda majibu yake. Yani niliona kama kanikashifu.nikasema basi samahani. Nikakata simu nikamludishia mwalimu. Nikaludi dom .nikawa nalia zangu. Yani mlige ni amechange ile. Mbayaaaaa. Basi baadae jioni nikajiandaa .nikaingia prepo na marafiki zangu. Na kuna mwenzetu mmoja aliniazima elfu 50 inisogeze. Nikamshukuru kweli.. basi nikiwa zangu prepo. Naona mwalimu kaja. Akaniita akanmbia kak ako kakutumia pesa.mh mlige uyo. Mwalimu akanipa laki 4. Mbona sikuamini. Ila mlige ana mbwe mbwe. Nikaipokea ile pesa nikasema asante mwalimu.nilipata kafuraha ka ajibu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi