Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
Gonga94 Β· Stories

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
10 MPAKA 11
🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑


Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako na mwanmke wako mmoja tu. So ni kweli mzuri ila sio kwamba alinibanisha sana au alinivuruga sana kama alivyompagawisha lemi no. Wala.sikupagawa kiasi iko mimi. Basi yule dada akapanda mbele pale na akaanxa kutupa seminer mbali mbali za mwaka wa kwanzaa. Aseee ni siwe muongo . Uyu dada anaongea vizuri mno. Yani anaongea vizuri sna. Ana sauti tamu kweli kweli. Yani achoshi kumsikiliza .ila nilimsahangaa uyu demu wakati anaongea alikuwa ananingalia sana. Yani macho yake yote yapo kwangu . Mpka nikawa najistukia sasa

Lemi akawa ananmbia unaona mtoto anavyokuangalia kumbe sikukosea ile siku alikuwa anakuongelea ww. Mi sikuongea nikakakusha kimya mana lemi bwana namjua anaweza akanzisha kelele wakati tupo sehemu ambayo kuna watu wengi sana. Nikakausha kimya.na baada ya ule mkutano mi nikamstua lemi tukasepa . Ila tukapitia cafe pale .tukapiga msosi kisha sasa ndo tukaeleke hostel.basi tulivyofika lemi akanmbia

unamuona mchumba yule .umeona mkundu ule.ahaa mtoto kajazia .jamani kuna watu wanamwagia pazuri. Ahaa demu mkari kinoma.yani mzuri aswaa. Alafu mtoto kakuelewa yule plsssss akijichanganya tu haji usimuache nakwambia.mimi nikacheka tu.kisha nikapanda kitandani kwangu na nikapumzika .nklihisi nimechoka kutokna napilika pilika zetu za chuo.

Na nikamka usiku kaam saa 1 . Na ni baada ya simu yangu kuita na alokuwa ananipigia alikuwa kipenzi changu fatuma. Basi tukasalimiana vizuri na mpenzi. Na tukaongea mengi sana.mana fatuma huwa ananipa habari kibao za nyumbani . Mpaka nikamwambia ntakucheki mke wangu. naenda kupiga msosi kabisa wa usiku. Usije ukaisha akanmbia powa hakuna shida kipenzi.ndk nikakata simu .na kweli nikaondoka na lemi kuelekea cafe. Basi tulipomaliza kupiga msosi cafe tukaludi hosteli.na apo nikaanza kupitia tulichofundishwa daradani kwa hii siku. Sikuchelewa kumark na kuelewa tulichokisoma mana mimi kwanza nna kichwa kizuri sana na chepesi kushika vitu.

Basi mida kama ya saa 5 nataka kulala. Naona simu yangi inaita na namba ngeni ndo inapiga. Nikapokea simu.nikasema hallow. Aseee nikasikia suti ya mtoto wa kike tamu kinoma hallow haji. Nikasema ndio nanii mwenzangu sijakujua. Mh yule dada akasema ahaa mimi ni princess haji. Doooh nikajua kumekucha na nilishamjua ni princess gani mana tayali nilishaikumbuka sauti yake.nikamuuliza princess yupi. Akanmbia ni princess wa mwaka wa pili. Yule dada kuongozi nilokuwa naongea na nyie kwenye kikao mchana.nikasema sawa nimekupata nambie. Akasema haji samahani tunaweza kuoanana kesho ata tukapata lunch pamoja chuo.nikasema hapana princess htuwezi kesho nipo busy sana na vipindi. Eeeh lemi sindo akasiikia nimetaja jina princeess na yeye alikuwa busy na simu. Ila aliluka kama kipanga haraka aasogea nilipo

Princess akasema ahaa sawa naelewa sasa ni lini utakuws free tutapa naafasi ata ya kuongea ti .nikasema kiukweki sijajua ila ikitokea nimepata nafasi ntakutaarifu namba yako si hii. Akasema yaah ni hiyo haji. Nikasema.sawa princess ila hujanieleza una shida gani mpaka unataka tukutane na tuongee.akasems ahaa kawaaida haji ni kujuana tu. Au nimekosea wewe huitaji hilo.nikasema wala nikiwa fresh ntakuchek. Akasema sawa haji usiku ..... yani kabla hajamaliza mi nilishakata simu yangu. Sikutaka mazoea nae sana.mana nilishaona kwa jinsi anaongea kwa kudeka nikajua ana kitu uyu. Na mm kwanza demu mkari kama yeye simtaki sina mavi ya kumiliki mwanamke mzuri kama princesss.

Basj lemi akanambia daah kweli miti inaotaga pasipo na wajenzi. Yani demu anakuomba lunch unasema una vipindi. Hiki ni chuo hajj na wala sio shule mzee.sio kwamba usipoingia darasani mwalimu atakuchapa ww. Sio kweli bwana.unamuachaje mtoto uyo anakuomba mpka.lunch mwanangu mbona kama una malalia ww. Nikacheka sana kisha nikaumuuliza lemi kwani uku chuo mmi nimefata lunch.no mimi nimefata kusoma lemi na ndo mana suala la kusoma kwangu linakuwaga la kwanza na mengine yanafata nyuma .umeelewa apo. Lemi akasema daah we jau fresh hakuna noma. Basi mi nikavuata shuka langu nikataka kupumzkka sasa. Mh nikashika simu nakuta uyu princess kanitumia sms. Et mh haji umenijibu kiukali mpaka.nimeogopa samahani kama nimekuambia jambo baya na nimekusumbua .mimi wala sikutaka kumjibu nikavuta shuka langu nikalala zangu

Na. Asubuh mi niliamkia chuo kipindi cha asubuh kabisa. Ila lemi wala hakuudhuria alishindwa kuamka mapema kujiwahi. Ila mie tena mpenda kusoma nilidamka na nikawahi kusoma.mi na lemi tukakautana katika vipindi vyaa saa 4. Na tukaendelea na ratiba zetu mapka saa 7 mchana apo tukawa hatuna ata vipindi. Mi na lemi tukaenda kukaa kwenye vimbweta tukipiga story sasa. . Ila lemi akanmbia anakuja kuna mtu anaongea nae mala moja .nikamwambia fresh. yani ile lemi anatoka tu. Na gari ikapaki.kwa pembeni. Kisha sasa akashuka princesss. Mh uyu demu yupo njema alafu anapendeza kinoma noma. Hii siku alivaa kigauni kifupi.cha kubana kilichola bodi lake sio powa . Ahaaaa. Basi akanisogelea mpaka nilipokaa.kisha na yeye akakaaa . Mh demu mkari bwana

Akanmbia haji mambo. Nikasema powa vp. Akanmbia powa tu . Mbona jmekaa mwenyewe aapa. Mana nilizani nakufananisha.nikasema aha anilikuwa na mwenzangu ila katoka mala moja.akasema ahaa sawa ila haji una tabia mbaya jana si umekataa lunch yangu ww. Mbona leo uhuu mda nakuona apa . Na ni mda wa lunch. Nikasema ahaa vipindi vimegharishwa leo na mda sio mrefu ila ni kweli nakuaga na vipindi huu mda.

Basi princess Akaningalia kisha akasema sawa bwana.. but hatujachelewa now tunaweza kwends na tukapata chakura pia. Nikasema ooh sory mie nkmeshakula mda sio mrefu. Wala sio kweli sikuwa nimekula ata. Ila sikutaka tu kuongozana nae . Akanmbia aya bwana. But si tunaweza kuwa marafiki haji. Kisha akanipa mkono wake. Nikaona aya isiwe kesi nikapokea mkono wake. Nikasema yaa tunaweza princess hakuna shida.Mh mtoto ana mkono mraini kudadeki sio powa. Basi akatabasamu nakwambia mtoto mzuri uyu. Kisha sasa .mi nikaachia mkono wake. Nashangaa yeye kaung'ang'ania mkono wangu
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

10 MPAKA 11
🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑


Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako na mwanmke wako mmoja tu. So ni kweli mzuri ila sio kwamba alinibanisha sana au alinivuruga sana kama alivyompagawisha lemi no. Wala.sikupagawa kiasi iko mimi. Basi yule dada akapanda mbele pale na akaanxa kutupa seminer mbali mbali za mwaka wa kwanzaa. Aseee ni siwe muongo . Uyu dada anaongea vizuri mno. Yani anaongea vizuri sna. Ana sauti tamu kweli kweli. Yani achoshi kumsikiliza .ila nilimsahangaa uyu demu wakati anaongea...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-10-na-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

589
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

543
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

366
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

348
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

316
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

39
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

28
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

27

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.26K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest