MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Nikapambana mpaka sasa tukakalibia kumaliza term ya kumaliza form five. Na tukaanza mitihani ya kufunga shule. Asee tukapiga mitihani . Nilikuwa najitahidi sana darasani. Naongoza kila siku . Na report zangu zote anazijua mlige. Basi bwana baada ya mitihani tukaaambiwa tuongee na wazazi . Ili waje kutuchukua mana tuna kama siku 3 tunafunga shule. Bibi mie sasa ndo nikaazima simu ya mwalimu. Nikampigie mlige. Nikapiga mala moja tu akapokea. Nikamsalimia kwa unyeyekevu nakwambia. Ahaaa ila wapi nilizani kashapoa. Ila bado ni anajibu kwa hasira. Yani mtu mpka mood inakata kabisa nikamwambia sie kesho kutwa tunatakiwa kurudi nyumbani tunafunga shule. Akanmbia najua . Kwani na mm si ni mwalimu asa unazni ntakuwa sina hizo ratiba..nikasema.sawa so utakuja kunifata? Akasema.nikufate we ni mtoto. We kwenu hupajui kwani. We ni mtu mzima .kesho kutwa rudi nyumbani mapema mie ntakutumia nauli baadae kwa mwalimu wako. Nikasema.sawa. kisha nikakata simu nikamludishia mwalimu.nikaludi bwenini .mh nikaona kazi ipo jamani. Uyu baba .ni kisirani gani iki kinaenda miez 7. Hana ata mda na mm. Yani mm ndo namfosi tu.
Basi mie nikawa nimetulia zangu tu. Mana ata asipotuma nauli. Mi pesa nilikuwa nayo na nauli ni elfu 10 tu kutoka kaham mpka nyumbani nyantakra. Sasa shoga yangu mmoja kwao ni bukoba. Akanmbia yeye anafatwa na baba yake. Wee nikaomba lift apo apo.mana wanapita kijiji cha nyumbani kabisa. Shoga akanmbia wala hakuna shida mzee hana noma tutakuchukua tu. Basi nikawa na amani zangu tu. Nikafungasha kila kitu ambacho nilihisi ni muhimu kuludi nacho nhumbani. Kama vitabu nilibeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.
Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa
Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.
Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.
Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.
libeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.
Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa
Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.
Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.
Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi