Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi elfu 50 yake mana ata kuitumia sikuwa nimeitumia .nilimwambia tu asante kaka kashanitumia pesa ya matumizi. Akanmbia powa. Basi mie nikapanda kitandani kupumzika. Nilipokuwa pale kitandani nilimfikklia sana mlige . Nilihisi bado ananipenda labda ana hasira tu na mm. Ila tutayaweka sawa na kila kitu kitakaa sawa tu. Basi shoga yenu shule ikawa inaendelea na napambana na kusoma. Na mitihani yangu yote alikuwa anatumiwa mlige. Na nilikuwa napasua mno. So alikuwa anaona. Mana sie shule yetu. Matokeo yako anatumiwa na mzazi piah kwa njia ya simu. Basi bwana ikakata mwezi bwana mlige hakunipigi tena kuniulizia baada ya kunitumia ile pesa . Na mie nikauchuna tu. Nikaona ngoja kwanza nipambane na shule mana mtoa ada ana mashauzi kweli kweli

Nikapambana mpaka sasa tukakalibia kumaliza term ya kumaliza form five. Na tukaanza mitihani ya kufunga shule. Asee tukapiga mitihani . Nilikuwa najitahidi sana darasani. Naongoza kila siku . Na report zangu zote anazijua mlige. Basi bwana baada ya mitihani tukaaambiwa tuongee na wazazi . Ili waje kutuchukua mana tuna kama siku 3 tunafunga shule. Bibi mie sasa ndo nikaazima simu ya mwalimu. Nikampigie mlige. Nikapiga mala moja tu akapokea. Nikamsalimia kwa unyeyekevu nakwambia. Ahaaa ila wapi nilizani kashapoa. Ila bado ni anajibu kwa hasira. Yani mtu mpka mood inakata kabisa nikamwambia sie kesho kutwa tunatakiwa kurudi nyumbani tunafunga shule. Akanmbia najua . Kwani na mm si ni mwalimu asa unazni ntakuwa sina hizo ratiba..nikasema.sawa so utakuja kunifata? Akasema.nikufate we ni mtoto. We kwenu hupajui kwani. We ni mtu mzima .kesho kutwa rudi nyumbani mapema mie ntakutumia nauli baadae kwa mwalimu wako. Nikasema.sawa. kisha nikakata simu nikamludishia mwalimu.nikaludi bwenini .mh nikaona kazi ipo jamani. Uyu baba .ni kisirani gani iki kinaenda miez 7. Hana ata mda na mm. Yani mm ndo namfosi tu.

Basi mie nikawa nimetulia zangu tu. Mana ata asipotuma nauli. Mi pesa nilikuwa nayo na nauli ni elfu 10 tu kutoka kaham mpka nyumbani nyantakra. Sasa shoga yangu mmoja kwao ni bukoba. Akanmbia yeye anafatwa na baba yake. Wee nikaomba lift apo apo.mana wanapita kijiji cha nyumbani kabisa. Shoga akanmbia wala hakuna shida mzee hana noma tutakuchukua tu. Basi nikawa na amani zangu tu. Nikafungasha kila kitu ambacho nilihisi ni muhimu kuludi nacho nhumbani. Kama vitabu nilibeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.

Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa

Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.

Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.

Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.
libeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.

Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa

Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.

Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.

Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi elfu 50 yake mana ata kuitumia sikuwa nimeitumia .nilimwambia tu asante kaka kashanitumia pesa ya matumizi. Akanmbia powa. Basi mie nikapanda kitandani kupumzika. Nilipokuwa pale kitandani nilimfikklia sana mlige . Nilihisi bado ananipenda labda ana hasira tu na mm. Ila tutayaweka sawa na kila kitu kitakaa sawa tu. Basi shoga yenu shule ikawa inaendelea na napambana na kusoma. Na mitihani yangu yote alikuwa anatumiwa mlige. Na nilikuwa napasua mno....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-69-na-70

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

641
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

495
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

273
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

208
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

84
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

83
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest