MIMI SIKUACHIπ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘
Sehemu ya 24
Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa. Na ata mwanangu lemi akinipigia alikuwa haulizi kabisa issue za princess.si anajua nipo na fatuma uku. Atamsalimia tu fatuma shemeji shemeji nyingi. Hivyo yani. Na ata mchumba alikuwa huru sana na simu yangu. Yani alijilizisha kuwa ata chuo mm nimetulia sana na wala sina mambo mengi. Mana hakunikamata na sms ya mwanamke ata mojaaaa. Kuna mdaa anachukua simu yangu anaenda kulala nayo kwao ila wala . Naona princess alishanielewa kuwa sitaki masihara juuu ya mwanamke wangu. So hakuwa ananisumbua kabisaaa. Nilikaa mpka week 3 za rikizo zikaishaa. Nikamuaga baby . Ila safari hii hakulia sana si ana simu mkubwa nilimwambia tutakuwa tunaongea kwa kuonana so asijali. Na mchumba akanmbia sawa hakuna shidaaa.
Na mm nikaludi zangu chuo. Nimefika chuo ikakata kama week sijamuona kabisa princess chuo. Ndo siku iyo nikakaumbuka kumpigia simu sasa kumuulizia. Akapokea simu. Kisha akasema leo ndo umenikumbuka mm haji. Nikasema.ndio mbona sikuoni chuo. Akanmbia bado sijaludi nipo dar kwa wazazi. Nikasema oooh powa . Akanmbia now ushaludi chuo naweza kukupigia mda wowote .nikasema.ndio . Akanmbia sawa. Basi apo ndo ikawa kama.nimemruhusu kunipigia . Anakaa ananipigia ananiulizia hali. Ila yeye ndo alokuwa ananipigia sana. Yani uyu demu alinipenda mnoo. Mi ni ile kawaida sana . Si unajua wanaume eeh ndo vile
Na baada ya week.na yeye akaludi na mapenzi yakawa yanaendelea. Siku anakuja geto namtomba kama kawa. Siku naenda kwake nakuwa baba mwenhe nyumbaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππ. Hivyo yani. Na mpenzi wangu akinipigia simu ata mbele yake ananyamaza kimya naongea nae maisha yanaenda. Nakumbuka ikapita kama mwezi. Siku iyo fatuma kanipigia simu. Ila alikuwa mnyonge sana mpaka nikawa naogopa. Nikamuuliza wewe mbona unanaitisha unaumwa leo. Akanmbia mi nna matataizo.nikamuuliza yapi. Akanmbia mi najihisi kama.nna mimba haji. Doooh mimba tena .mbona sijajipanga kuwa baba kudadeki. Na kweli nilikuwa namwamgia ndani kweli kweli.nikasema.sikia usihisi nakutumia pesa uende hospitali ukapime kabisa.kisha tutajua tunafanyaje. Sawa mke wangu naomba urelax..akanmbia sawa .mimi nikakata simu..nikamtumia elfu 20. Lemi alikuwa pembeni akanmbia we jamaa unampenda sana fatuma yani ukiwa unaongea nae unamnyenyekea kinoma.ila princess kuongea nae vizur tu ni shida. Mi nikacheka .nikasema moyo unapenda sehemu moja tu kwengine zinakuwa tamaa kaka. Lemi akacheka akasema.we nishakujua bwana kwa princess pa kumwagia tu. Nikawa nacheka kweli kweli.
Daah baadae fatuma ananipigia simu akanambia kaenda hospital kapima na mimba ipo. Doooh nikaona apa kishakuwa kipengele.nikasem sawa ntajua nafanya nn. Akawa anaogopa sana wazazi wakijua watampiga. Mie nikamtuliza mno. Nikamwambia tulia mi ntajua tunafanyajeee. Basi mi nikampigia simu mama yangu .na nikamuelezea tu. Kuwa mama kwa bahati mbaya fatuma ana mimba..mama aksema sio bahati mbaya ni makusudi. Watu kila siku manajifungia chumbani . Mtakosa kupeana mimba. Mda wote mmegandana. Mh mi.nikanyamaza tu...mana kweli nilikuwa namtomba kila siku uyu demu mpaka rikizo imekata. Mama akanmbia apa cha kufanya .
SEHEMU YA 25
Tunaandika barua tunapeleka kwao. Na ujiandae we uje kumuoa ata kama utamuacha apa nyimbani ni sawa. Ila ukimuacha akae kwao itakuwa mtihani .nikasema.sawa mama tufanye hivyo. Mama akanmbia sawa na vile anampenda fatuma kwake wala haikuwa shidaa
Jioni sasa nipo zangi rooom . Nikaona princess kaja. Akamsalimia lemi pale. Akanisalimia na mie..na lemi alipomuona princess kaja akatupisha. Princess akanmbia ahaaa mambo . Nikasema powa vp. Akanmbia nimekuja tuongeee mana mh . Ata nikiataka kuwa na ww. Nakupata kwa mda mchache san. Nikasema.si unajua nakuwa busy na masomo. Peincess akanishika mkono. Akanambia haji naelewa una mwanamke sawa. Na nimekubali uwepo wake . Ila mboan hunipi mda na mm. Nakupenda sana baba yangu. Nateseka sana kwa ajili yako. Kuna mda nakaa nawaza najihisi sina bahati. Haji plss naomba unipende.nikamuangalia nikamwambia kwani mm sikupendi ww nani kasema mi sikupendi. Akanmbia lakini huoneshi kama unanipenda. Haji unanaipa mda mdogo sana. Mda wote ww na fatuma tu. Naumia piah..nikasema we si ulikubali kuwa wa pembeni. Lazima nitamjali zaidi fatuma ndo mwanamke wangu wa maisha na tayari ana mimba yangu mda wowote nakuwa baba . Mh princess akaningalia kwa huruma .akambia okey basi usiku mwema..nikasema powa ww piah. Kisha akanyanyuka zake akaondoka . Nilijua kakasilika ..na nikweli sikuwa nampanda sana uyu mwnaamke .yani siku nikimtafuta ujue nna nyege zimenijaa sana.
Basi bi mkubwa akanmbia washampelekea barua fatuma. Na barua ikajibiwa mahari ilikuwa kama laki 5 tu. Na mahari akanilipia dada. Mie nikatakiwa kwenda kuoa tu. Nikaon hamna shida . Kiukweli nilijipanga na kuoa. Ila nilisema mi siwezi kuoa nikaacha mke nyumbani. Lazima nije nae uku. Mbona watu kibao wanasoma na wana wake. So nilimpanga lemi .nikimwambia kabisa mi nataka nikamuoe fatuma mana nishaalibu nimemtia mimba. So nataka kupanga .nitoke hostel. Haji akanmbia sawa na akanisaidia na kutafuta chumba. Nilipata chumba kijiji kimoja kinaitwa sanga sanga. Wala sio mbali na chuo kabisaa. Ni unatembea kama dakika 10 tu. Nikalipia chumba. Nikatulia .na nilipopata boom nikanunua vitu vya kuanzia maisha kwanza . Aseee kwa uo mda princess alikuwa kama kaninunia hivi. Mana alikuwa hanipigiii simu ata na mm nikamkaushia kabisaaa yani . Na vile nataka kuoa ndo kabisa .
Basi bwana. Mie nikapangiwa tarehe ya kwenda kuoa. Kiukweli ikanilazkmu sasa nisafiri tena kwenda babati tena na mwanangu lemi ndo alinisindikiza . Na tulikaa nyumbani siku 2 tu. Mwanaume nikaenda kuoa . Haikuwa ni sherehe ilikuwa kimya kimya tu. Na ata wazazi wa fatuma walishajua kuwa mtoto wao ana miba. Kwaiyo hakukuw ana ngonjera..mie nikamuoa fatuma na rasmi tukawa mume na mke. Aseeeee nilifurahi sana kumuoa uyu mwnamke ni mwanamke ambae nampenda sana. Na vile kanibebea mtoto tena.nikaona aya ngoja niupokeee ukubwa tu.si nilikuwa nakula mzigo haina jinsi. Lemi alinambia daah kumbe fatuma.karembo hivi. Aya kaka umejua kuchagua . Basi tukapigwa picha nyingi sana
.asa lemi . Mi nikapost status picha yangu ya ndoa . Na ata lemi alinipost. Wadau walikoment wengi sana yani sana hongera kwa sana. Tu. Ila na princesss nae alikoment akanmbia basi acha nifunge ukurasa wa mapenzi na ww na nitazame pengine..mie sikumjali kwanza nikafuta sms yake haraka wife asije akaona bule ikawa kesi.
Huu ndo mwisho wa season yetu ya 1 usikose season 2 soon itakuwa tayarii
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
