AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 47ππ
Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia mimi naondoka nitunzie mhogo wangu sitopenda kushare na mwanamke yeyote yule tulikumbatiana baada ya hapo aliniitia usafiri mimi nikaondoka pale hotelini nikarudi nyumbani njia nzima nilikuwa nasmile tu nilikuwa nawaza juu ya ule utamu wa Hemed ππ tulifika nyumbani bado hata simu nilikuwa sijaiwasha nilitelemka kwenye tax ikaondoka mimi nilienda kugonga geit nilikuwa na kapressureππ nimegonga geit pale akaja kufungua mama...... pendoπ³π³ aliniita mama huku akiwa anarudishia lile geit alitoka nje ya geit alinivuta masikio yangu tukasogea pembeni hapo ndipo uoga uliponizidiaππ niliogopa sana....... mama unaniumiza jamani nilimuomba aniachie masikio yangu aliyokuwa ameyakandiza kwa nguvu alionekana kuwa na hasira sana...... pendo umetoka wapi?! Mimi nililala kwa paschal mamaπ€¨π€¨ una uhakika?! Ndiyo mama nililala kwake kweli...... kwa hiyo wewe na yeye ni yupi anayedanganya?! Yeye amekuja hapa nyumbani asubuhi sana amedai simu yako haipatikani usiku mzima na ana wasiwasi sana juu yako.....pendo mwanangu hii tabia ya lini mbona sikukulea hovyo?!
Haumhurumii hata mtoto?! Lilinishuka shuu baada ya kuambiwa kuwa paschal yuko pale nyumbani kwetu si mnakumbuka nilishawahi kuwasimulia vile mama yangu alivyomkaliππ mama alinitukana sana aligomba mno aliniuliza ni aibu gani hii pendo unayotaka kutuletea nilimumba mama yangu radhiπ€¨π€¨ lakini alichukia sana.....Mama alishanigundua hata kabla cjamwambia nilikokuwa aliniangalia kwa masikitiko sanaππ aliniuliza mtoto mzuri vile umeshindwa hata kuvumilia ukamnyonyesha?! Umeshindwa hata kumuwazia mwanao pendo mtoto mdogo huyo umeshaanza kuruka rukaπ mama samahaniππ samahani kitu gani mpumbavu wewe au umeona kama ulichokifanya ni sahihiππ mama alinichumia dawa Fulani hivi akanipatia nikaioge kabla cjamshika mtoto niliiweka ile dawa kwenye mkoba kimbembe ni vile nitakavyojieleza kwa paschal nililala wapiπ₯²π₯² nenda unaogopa nini wewe si mwanamke uliyekamilika unajitia ujuaji unataka kunidanganya hata mimi?! Mama aliniambia hivyo kisha alifungua geit akarudi ndani mimi aliniacha pale nje ya geit... nilisimama pale nikawaza au nirudi tu kwa Hemed sa nitamwambia nini paschal hadi anieleweππ nikiwa najishauri pale nje si geit likafunguliwa alitoka paschal kule ndani kwetu nilitetemekaπΉπΉ aliniita pendoππ unafanya nini hapa?! Na umetoka wapi mida hii?! Aliegesha gari pembeni akatelemka alinifuata pale aliniuliza umetoka wapi pendo natumaini hakuna chochote kibaya ulichokifanya cha kuniumiza moyo machozi yalianza kumtoka ulilala wapi jana kwanini ukamuacha nice usiku mzima ulikuwa wapi mom niambie ukweli ππjamani paschal aliongea kwa sauti ya chini sana iliyojaa maumivu machozi yaliendelea kumtoka alilia sana huku akiwa ananikagua mwilini kwangu..... roho iliniuma sana nilianza kujutia kile nilichokifanya usiku wa jana na Hemed sikuweza kujibu chochote kwa paschal alinivuta mkono wangu akanipakia kwenye gari alipanda akaondoa gari pale nyumbani kwetu alikuwa anatokwa na machozi kama mtoto ππ niliumia mno kusema kweli...... boo aliendesha gari kwa kasi sana huku akiwa anayapangusa machozi usoni kwake.......
Alinipeleka nyumbani kwake alitelemka kwenye gari akatoka alisimama akaliegemea gari lake bado aliendelea kulia tu nilishuka kwenye gari nikamfuata Boo nilimsogelea nikayafuta machozi yake alinivuta mkono hadi chumbani alinirushia kitandani akafunga mlango aliniuliza finally umeamua kufanya kweli pendo.... kwanini umenisaliti mineπ₯Ήhapana sijafanya hivyo boo nililala kwa rafiki yangu nilienda kumuona tu nikalala kwakeππ kwanini hukuniaga?! Kwanini ulizima simu yako kwanini ulimuacha nice niambie ukweli ulilala wapi jana,!? Ni rafiki gani huyo uliyeenda kumuona ukamuacha mtoto usiku mzimaπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ή hata simu nayo ulizima kwanini haukutoa taarifa?!
I'm sorry booo lakini kweli nakwambia nilikuwa kwa rafiki yanguπ₯Ήπ₯Ή nilimdanganya nilijishusha nilipiga got chini nilitembelea magoti siku ile nilimbembeleza boo masaa kalibia matano bado halainiki tuπ₯²π₯² alinifungia kule chumbani akatoka aliniambia kuwa kuanzia Leo utakaa hapa na mtoto hadi ndoa ipite alienda nyumbani kwetu kumchukua mtoto wake alimleta hata ile dawa aliyonipatia mama niioge ili kuzuia mtoto kuharibika kwa huo ujinga nilioufanya sikuioga kwa sababu mkoba niliuacha kwenye gari na paschal alivyotoka kule chumbani alinifungia na gari ndo hilohilo aliloondoka nalo na ule mkoba ulikuwemo kule ndani kila kitu hadi simu yangu vilikuwemo kule ndani...... alimleta mtoto akaniomba niende nikayakamue maziwa machafu yatoke then nije nimnyonyeshe mtoto wake niliingia bafuni nikawa nazunguka zunguka tu sitaki mwanangu aharibike nafanyaje ili nikaichukue ile dawaππ
Nikiwa natahamaki kule bathroom mtoto wangu alianza kulia njaa baba yake alikuja kunigongea akaniomba niwahishe mtoto wake ana njaa nilifungulia maji yakawa yanamwagika tu ili aamini kuwa ninaoga lakini wala hata towel nilikuwa cjaitoa kifuani kwangu nilikuwa nalia tu huku nikiwa najilaumu ujinga niliofanya jana usiku nimemkosea sana mtoto wangu nimemkosea na mme wangu mtarajiwa hii dhambi nitasamehewa kweliπ₯²π₯²baada ya muda nilifunga yale maji ili nisikilize kile kinachoendelea chumbani kati ya baba na mwana sikusikia chochote zaidi ya kimya kingi niliamua kutoka kule bathroom chumbani hakuwepo paschal nilitoka hadi nje ya chumba nikamuita Isabella ... huyu ni dada wangu wa kazi mlezi wa nice..... nilimuuliza paschal yuko wapi aliniambia yuko huko nje anambembeleza mtoto..... nilimwagiza aende kule kwenye gari anichukulie mkoba wangu aliniambia tyr alikwisha utoa kipindi anatoa vitu vya mtoto walivyotoka navyo kule nyumbani kwetu..... aliniletea ule mkoba niliitoa ile dawa haraka nikaenda kukoga niliiweka ile dawa kwenye maji nikaioga nilitoka kule bathroom nikamkuta paschal karudi chumbani alinitizama sana mwilini kwangu oh my goodness kumbe shingoni kwangu nilikuwa na malovebite ya kutosha shingoni mgongoni ,na vile mimi ni mweupe zile lovebite zilikuwa zimejichora sana tu na zilikuwa zinaonekana hata kwa mbali pia....baada ya paschal kunitizama sana si ndo ilibidi nisogee kwenye kioo ndo nikawa nimeziona zile lovebite jamani jamaniπββοΈπββοΈ paschal alinisogelea akanikabidhi yule mtoto baada ya hapo aliondoka bila kunisemesha kitu chochote kileπ€¨π€¨....
Nilimnyonyesha nice akatosheka nikamlaza niliichukua simu yangu nikablock namba zote za hemed nilifuta msg zote tulizowahi kutumiana yani niliondoa kila kitu kinachomhusu yeye kwenye simu yangu jamani nilijuta ile sikuπ₯²π₯² nilishinda siku nzima bila kula nilimpigia sana paschal lakini hakupokea nilituma msg nyingi lakini hakujibu niliwapigia hadi wazazi wangu siku ile niliwalilia machozi nikawaomba waniombee radhi kwa paschal π₯Ήπ₯Ή alipigiwa simu na kila mtu lakini hakupokea nilijiuliza hivi itakuwaje endapo kama ataamua kuhairisha ndoa kati yangu mimi na yeye?!..
Itaendeleaaaa.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi