Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia mimi naondoka nitunzie mhogo wangu sitopenda kushare na mwanamke yeyote yule tulikumbatiana baada ya hapo aliniitia usafiri mimi nikaondoka pale hotelini nikarudi nyumbani njia nzima nilikuwa nasmile tu nilikuwa nawaza juu ya ule utamu wa Hemed πŸ’‹πŸ’‹ tulifika nyumbani bado hata simu nilikuwa sijaiwasha nilitelemka kwenye tax ikaondoka mimi nilienda kugonga geit nilikuwa na kapressureπŸ™ˆπŸ™ˆ nimegonga geit pale akaja kufungua mama...... pendo😳😳 aliniita mama huku akiwa anarudishia lile geit alitoka nje ya geit alinivuta masikio yangu tukasogea pembeni hapo ndipo uoga uliponizidiaπŸ˜”πŸ˜” niliogopa sana....... mama unaniumiza jamani nilimuomba aniachie masikio yangu aliyokuwa ameyakandiza kwa nguvu alionekana kuwa na hasira sana...... pendo umetoka wapi?! Mimi nililala kwa paschal mama🀨🀨 una uhakika?! Ndiyo mama nililala kwake kweli...... kwa hiyo wewe na yeye ni yupi anayedanganya?! Yeye amekuja hapa nyumbani asubuhi sana amedai simu yako haipatikani usiku mzima na ana wasiwasi sana juu yako.....pendo mwanangu hii tabia ya lini mbona sikukulea hovyo?!

Haumhurumii hata mtoto?! Lilinishuka shuu baada ya kuambiwa kuwa paschal yuko pale nyumbani kwetu si mnakumbuka nilishawahi kuwasimulia vile mama yangu alivyomkaliπŸ™ˆπŸ™ˆ mama alinitukana sana aligomba mno aliniuliza ni aibu gani hii pendo unayotaka kutuletea nilimumba mama yangu radhi🀨🀨 lakini alichukia sana.....Mama alishanigundua hata kabla cjamwambia nilikokuwa aliniangalia kwa masikitiko sana😟😟 aliniuliza mtoto mzuri vile umeshindwa hata kuvumilia ukamnyonyesha?! Umeshindwa hata kumuwazia mwanao pendo mtoto mdogo huyo umeshaanza kuruka ruka😟 mama samahaniπŸ˜”πŸ˜” samahani kitu gani mpumbavu wewe au umeona kama ulichokifanya ni sahihi😟😟 mama alinichumia dawa Fulani hivi akanipatia nikaioge kabla cjamshika mtoto niliiweka ile dawa kwenye mkoba kimbembe ni vile nitakavyojieleza kwa paschal nililala wapiπŸ₯²πŸ₯² nenda unaogopa nini wewe si mwanamke uliyekamilika unajitia ujuaji unataka kunidanganya hata mimi?! Mama aliniambia hivyo kisha alifungua geit akarudi ndani mimi aliniacha pale nje ya geit... nilisimama pale nikawaza au nirudi tu kwa Hemed sa nitamwambia nini paschal hadi anieleweπŸ™ˆπŸ™ˆ nikiwa najishauri pale nje si geit likafunguliwa alitoka paschal kule ndani kwetu nilitetemeka😹😹 aliniita pendoπŸ˜‰πŸ˜‰ unafanya nini hapa?! Na umetoka wapi mida hii?! Aliegesha gari pembeni akatelemka alinifuata pale aliniuliza umetoka wapi pendo natumaini hakuna chochote kibaya ulichokifanya cha kuniumiza moyo machozi yalianza kumtoka ulilala wapi jana kwanini ukamuacha nice usiku mzima ulikuwa wapi mom niambie ukweli 😭😭jamani paschal aliongea kwa sauti ya chini sana iliyojaa maumivu machozi yaliendelea kumtoka alilia sana huku akiwa ananikagua mwilini kwangu..... roho iliniuma sana nilianza kujutia kile nilichokifanya usiku wa jana na Hemed sikuweza kujibu chochote kwa paschal alinivuta mkono wangu akanipakia kwenye gari alipanda akaondoa gari pale nyumbani kwetu alikuwa anatokwa na machozi kama mtoto 😟😟 niliumia mno kusema kweli...... boo aliendesha gari kwa kasi sana huku akiwa anayapangusa machozi usoni kwake.......

Alinipeleka nyumbani kwake alitelemka kwenye gari akatoka alisimama akaliegemea gari lake bado aliendelea kulia tu nilishuka kwenye gari nikamfuata Boo nilimsogelea nikayafuta machozi yake alinivuta mkono hadi chumbani alinirushia kitandani akafunga mlango aliniuliza finally umeamua kufanya kweli pendo.... kwanini umenisaliti mineπŸ₯Ήhapana sijafanya hivyo boo nililala kwa rafiki yangu nilienda kumuona tu nikalala kwakeπŸ˜”πŸ˜” kwanini hukuniaga?! Kwanini ulizima simu yako kwanini ulimuacha nice niambie ukweli ulilala wapi jana,!? Ni rafiki gani huyo uliyeenda kumuona ukamuacha mtoto usiku mzimaπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή hata simu nayo ulizima kwanini haukutoa taarifa?!

I'm sorry booo lakini kweli nakwambia nilikuwa kwa rafiki yanguπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilimdanganya nilijishusha nilipiga got chini nilitembelea magoti siku ile nilimbembeleza boo masaa kalibia matano bado halainiki tuπŸ₯²πŸ₯² alinifungia kule chumbani akatoka aliniambia kuwa kuanzia Leo utakaa hapa na mtoto hadi ndoa ipite alienda nyumbani kwetu kumchukua mtoto wake alimleta hata ile dawa aliyonipatia mama niioge ili kuzuia mtoto kuharibika kwa huo ujinga nilioufanya sikuioga kwa sababu mkoba niliuacha kwenye gari na paschal alivyotoka kule chumbani alinifungia na gari ndo hilohilo aliloondoka nalo na ule mkoba ulikuwemo kule ndani kila kitu hadi simu yangu vilikuwemo kule ndani...... alimleta mtoto akaniomba niende nikayakamue maziwa machafu yatoke then nije nimnyonyeshe mtoto wake niliingia bafuni nikawa nazunguka zunguka tu sitaki mwanangu aharibike nafanyaje ili nikaichukue ile dawa😟😟

Nikiwa natahamaki kule bathroom mtoto wangu alianza kulia njaa baba yake alikuja kunigongea akaniomba niwahishe mtoto wake ana njaa nilifungulia maji yakawa yanamwagika tu ili aamini kuwa ninaoga lakini wala hata towel nilikuwa cjaitoa kifuani kwangu nilikuwa nalia tu huku nikiwa najilaumu ujinga niliofanya jana usiku nimemkosea sana mtoto wangu nimemkosea na mme wangu mtarajiwa hii dhambi nitasamehewa kweliπŸ₯²πŸ₯²baada ya muda nilifunga yale maji ili nisikilize kile kinachoendelea chumbani kati ya baba na mwana sikusikia chochote zaidi ya kimya kingi niliamua kutoka kule bathroom chumbani hakuwepo paschal nilitoka hadi nje ya chumba nikamuita Isabella ... huyu ni dada wangu wa kazi mlezi wa nice..... nilimuuliza paschal yuko wapi aliniambia yuko huko nje anambembeleza mtoto..... nilimwagiza aende kule kwenye gari anichukulie mkoba wangu aliniambia tyr alikwisha utoa kipindi anatoa vitu vya mtoto walivyotoka navyo kule nyumbani kwetu..... aliniletea ule mkoba niliitoa ile dawa haraka nikaenda kukoga niliiweka ile dawa kwenye maji nikaioga nilitoka kule bathroom nikamkuta paschal karudi chumbani alinitizama sana mwilini kwangu oh my goodness kumbe shingoni kwangu nilikuwa na malovebite ya kutosha shingoni mgongoni ,na vile mimi ni mweupe zile lovebite zilikuwa zimejichora sana tu na zilikuwa zinaonekana hata kwa mbali pia....baada ya paschal kunitizama sana si ndo ilibidi nisogee kwenye kioo ndo nikawa nimeziona zile lovebite jamani jamaniπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ paschal alinisogelea akanikabidhi yule mtoto baada ya hapo aliondoka bila kunisemesha kitu chochote kile🀨🀨....

Nilimnyonyesha nice akatosheka nikamlaza niliichukua simu yangu nikablock namba zote za hemed nilifuta msg zote tulizowahi kutumiana yani niliondoa kila kitu kinachomhusu yeye kwenye simu yangu jamani nilijuta ile sikuπŸ₯²πŸ₯² nilishinda siku nzima bila kula nilimpigia sana paschal lakini hakupokea nilituma msg nyingi lakini hakujibu niliwapigia hadi wazazi wangu siku ile niliwalilia machozi nikawaomba waniombee radhi kwa paschal πŸ₯ΉπŸ₯Ή alipigiwa simu na kila mtu lakini hakupokea nilijiuliza hivi itakuwaje endapo kama ataamua kuhairisha ndoa kati yangu mimi na yeye?!..

Itaendeleaaaa.....
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜


Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia mimi naondoka nitunzie mhogo wangu sitopenda kushare na mwanamke yeyote yule tulikumbatiana baada ya hapo aliniitia usafiri mimi nikaondoka pale hotelini nikarudi nyumbani njia nzima nilikuwa nasmile tu nilikuwa nawaza juu ya ule utamu wa Hemed πŸ’‹πŸ’‹ tulifika nyumbani bado hata simu nilikuwa sijaiwasha nilitelemka kwenye tax ikaondoka mimi nilienda kugonga geit nilikuwa na kapressureπŸ™ˆπŸ™ˆ nimegonga geit pale akaja kufungua mama...... pendo😳😳 aliniita mama huku akiwa anarudishia lile geit alitoka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaah-imetosha-boss-n0-47

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-n0
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

546
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

501
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

439
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

371
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

238
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

174
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

113
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

89
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

78

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest