AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐๐ N0 36๐๐
Boo alikaa katika siti iliyokuwepo mbele yangu tena in the same side๐๐ basi tu kuna mda nilikuwa nainyosha mikono yangu natamani kumgusa kichwani๐๐๐ yani nilitamani ajue kama niko naye pale nina kisebengo mwenzenu๐๐ boo wangu alionekana kama mtu mwenye mawazo sana..... pale kwenye siti ya jirani nilipokuwa nimekaa nilikaa na mbaba mmoja hivi wa kitanzania baba muongeaji yule cjy mzaramo๐๐๐ si alianza kunipigisha story nikajikuta nimeanza kupiga naye story sangapi boo hajaisikia sauti yangu๐น๐น๐น alf nilivyo na kiherehere kichwani tayari nilikuwa nimeshajitolea kile kimjitandio๐คฃ๐คฃ๐คฃ boo aligeuka akaniona nilikuwa niko busy kuna kitu nilikuwa nakiangalia kwenye simu ya yule mzee ๐๐๐ nilishtuka tu mtu ananiita ""mine๐ฅน๐ฅน you are here....""
""๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ mie lieeee""
""Pendooo๐ฅน๐ฅน๐ฅน""
""Lieeeeeeeee๐ฅฒ๐ฅฒ๐ฅฒ""
Vipi mbona ninyi wawili mnalia?! Aliuliza yule mzee cjy mchaga yule cjy mhaya..... mnafahamiana?! Ndiyo baba yangu nakuomba kama hautojali tubadirishane sit uje ukae hapa kwenye sit yangu mimi nihamie hapo kwenye sit yako..... boo alimuomba yule mzee aliyekuwa amekaa jirani na mimi ili waweze kubadirishana sit hakukataa alikubali walibadirishana boo wangu akawa amekuja kukaa pale jirani yangu alinikumbatia tulipeana mate kwanza๐๐ nilimmiss sana๐๐ i miss you mine kwanini uliamua kutokunishirikisha mapema pendo? Nisingekosa cha kukusaidia aliniambia huku akiwa anakigusagusa kitumbo changu๐๐ naomba unisamehe mpenzi wangu kwa kukuficha juu ya kila kitu kilichonisibu juu ya hakim lakini ni kitu kizuri kwa kuwa tayari tumeshaonana tena nakupenda boo wangu baba wa kijacho wangu๐๐ aliniangalia then akanimbia nilikutafuta sana pendo kila wiki nilikuwa narudi tanzania kuja kukutafuta wewe bilaa mafanikio tafadhari nakuomba usije tena ukaondoka mbali na mimi alinibusu๐๐ baada ya hapo sasa๐๐๐ penzi likaanza upyaaaa๐คธ๐ปโโ๏ธ๐คธ๐ปโโ๏ธ๐คธ๐ปโโ๏ธ marekani sikwenda tena kwa Hemed nilienda kwa my babe ๐คธ๐ปโโ๏ธ๐คธ๐ปโโ๏ธ๐น
MAISHA MAPYA NDANI YA USA๐ซฐ๐ซฐ
Ilikuwa ni usiku mida ya saa saba nilikurupuka usingizini nikawa najisikia kula udongo pamoja na zabibu๐๐๐ baby baeiiib nilimuita boo aamke usingizini ili aende akanitafutie udongo๐
""Mine vipi uko sawa?!""
""Niko sawa lakini nina hamu ya kula udongo๐"
""Muda huu?!""
""Ndiyo baby tafadhari nakuomba uamke ukaninunulie....""
""Basi lala mamangu tutanunua kesho asubuhi mapema angalia saizi ni usiku sana maduka yote yamefungwa๐ค๐ค.... yani kunijibu vile mimi niliona ni kama vile ananinyanyasa๐๐๐ nyie hizi mimba.... sangapi nisianze kulia๐คฃ paschal kuona vile ilibidi aamke akabadir nguo akaanza kunibembeleza nikanyamaza tukaondoka huo usiku kwenda kutafuta udongo kwenye shop za marekani๐๐๐ tumezunguka sehemu zote kumefungwa nilivimba nikatamani kupasuka alf et nikawa namnunia paschal kama vile yeye ndo aliyeyafunga maduka๐คฃ๐คฃ nilimnunia sikutaka kumuongelesha tena akinisemesha nikawa nalia alichokifanya paschal๐ alinipeleka kuna sehemu kulikuwepo na kichuguu tukakaa pale usiku huo mwenzenu naona ni kama mchanaโบ๏ธโบ๏ธ paschal si akaanza kumimina vimaji pale kwenye kichuguu kikaanza kunukia๐๐๐ akawa anachukua ule udongo wa kichuguu anaukanda then anautengeneza kama pemba ananipa ninakula๐๐๐๐ nilikula huku nikiwa nimerilax kama nakula kitu cha maana vile...... nilivyotosheka kula udongo nikashushia na maji udongo mwingine tuliubeba tukaondoka nao๐๐๐ nimefika nyumbani saa tisa usiku hapo tumbo likaanza kunivuruga mharo na kutapika vilikuwa vinapita vyote kwa wakati mmoja๐ baby unataka kuniua mimi na mtoto wako๐๐๐ nilimwambia paschal huku nikiwa hoi bin taabani
Usiku huo ikabidi tena paschal anipeleke hospital nimefika hospital nikatundikiwa drip la maji nikapewa na dawa za kutuliza ile hali nilikuwa natibiwa huku baby wangu akiwa yuko pembeni yangu jamani raha ya ujauzito umpate anayekupenda ajue na kukudekeza๐คช๐คชnilikuwa nampa hekaheka mtoto wa watu๐๐ kuna muda nilikuwa najihisi ni kama duniani hapa mimi pekee ndo ninayependwa na yule ninayempenda๐ฅฐ paschal anajua kuhandle si utani....... kazini tulikuwa tunaenda pamoja katika campuni yetu ambayo na mimi nilikuwa nimeshapatiwa umiliki wa asilimia 50% kila sehemu tulienda huku tukiwa tumeongozana kwa pamoja nyie nampenda yani nampenda kiasi kwamba akijaribu kuniumiza nitapalalaizi mwili mzima๐ ๐ ๐ amu gona dai dai๐คฃ....... paschal ni mwanaume ambaye akipendwa vizuri anatulia๐ yani hadi unaenjoy mwenyewe the way anavyocare.....
Ujauzito wangu ulipofikisha miezi saba paschal aliniambia kuwa kuna sehemu anatamani twende kabla cjajifungua..... nilimuuliza ni wapi aliniambia ni nyumbani kwenu..... kwetu hapana sitokaa nikawasamehe wazazi wangu kwa kile walichonifanyia๐ฅฒ๐ฅฒ usilie mamangu lakini ni vyema kufanya kitu kitakachokupa wewe amani.....nakuomba uwasamehe wazazi wako kwa sababu wanahitaji sana msamaha wako..... nitafikilia juu ya hilo na usijaribu kunilazimisha๐๐ wewe mbona hujamsamehe mika๐๐.... nilimjibu paschal then nilisimama nikamgeuzia mgongo machozi yalianza kunitirika alisimama akanifuta machozi yangu kisha akaniambia nakuahidi nitamsamehe mika pale atakapohitaji msamaha wangu najua watu hukosea ili wajifunze nakuomba utoe msamaha kwa wazazi wako! Mika siku akihitaji msamaha wangu nitamsamehe na kumtoa gerezani na nitaishi naye kama ndugu yangu lakini sitokaa karibu naye........ ni kweli natamani kuwasamehe ili niwe na amani ya moyo nilijiwazia hivyo kichwani niliwaza kufanya kitu ni sawa baby nipe muda...... nilimtafuta jimmy nikamuomba anifanyie mpango ili niweze kuirudisha ile nyumba yetu mikononi mwa wazazi wangu sikutaka ijulikane kama mimi ndo ninayeinunua lakini nilitamani ijulikane baada ya kuwa tayari imeshakuwa kwenye mikono yangu......
Nilitaka kumuonyesha hakim nguvu ya pesa๐น๐น jimmy alitafuta madarali walioenda kuongea na yule wakala wa hakim aliyeachiwa jukumu la kuitafutia mteja ile nyumba yetu! Madarari walielewana na yule wakala akasema mpunga anaoutaka nikautuma ikabakia mimi kwenda kutia saini kwenye makaratasi ya mauziano ya ile nyumba muuzaji ni hakim mnunuaji ni pendo patamu hapo๐คธ๐ปโโ๏ธ๐คธ๐ปโโ๏ธ pesa walishalipwa tena mbele ya viongozi wa mtaa...... ila tu muuzaji na mnunuaji wote tuko nje ya nchi tulipanga kukutana tanzania kwa ajiri ya saini na makabidhiano...... nilianza safari kurudi tanzania mimi na baby wangu kwa ajiri ya kwenda kukabidhiwa ile nyumba kutoka katika mikono ya hakim.....hahahaaaa hiyo siku tumeenda kukutana katika ofisi ya mwenye kiti tulimkuta tayari hakim yuko pale alivyoniona๐๐๐ alisimama huku akiwa ameachama mdomo wazi pendo๐๐ aliniita kwa mshangao huku akiwa anapiga hatua kunifuata nyooooo pendo wa nyoko paschal alimuonya๐๐๐ alimwambia fanya kilichokuleta hapa acha shobo kwa wanawake za watu๐คธ๐ปโโ๏ธ๐คธ๐ปโโ๏ธ๐คธ๐ปโโ๏ธ
Itaendeleaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi