Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Im asking you pendo who is boy tell me now😑😑 paschal alinikwida akanibana ukutaniπŸ™„πŸ™„ aliniuliza boy ni nani na kwanini akate simu baada ya kuisikia sauti yangu?! Ni mwanaume wako?! Pendo unanichit?! Niambie nakuuliza wewe Acha kukaa kimyaπŸ₯ΉπŸ₯Ή Boo niachie buana unaniumiza et😞😞 so huwezi kusema bila kulazimishwa πŸ€·β€β™‚οΈ at kulazimishwaπŸ€·β€β™€οΈ nilazimishe kama ukiwezaπŸ˜‰πŸ˜‰ pendo nitakuumiza Acha kunijibu ujinga😟😟 hahaha ukishaniumiza mwanao anabakia na nani?! Kamuumize lia yeye bado hana anayemtegemea mimi nategemewa ukiniumiza nini kitafuatia😎😎 pendo stop this nonsenseπŸ˜’πŸ˜’ ooh nonsense right😝😝 hebu niachie nioge nenda ukaendelee na mambo yako ukitaka tuongee kuhusu boy uanze wewe kuongea kumhusu lia..... pendo ni kwanini huachi kunitajia hilo jina kila mda lia lia lia my foot😑😑 hata akiwa kinyeo chako haijalishi I don't care about you and her just be free🫰🫰 niache na mimi nifanye kile kinachonipa mimi furaha..... kama ulivyoamua kutafuta furaha nje namimi naifuata hukohuko😞😞 pendo nimekwabia Acha huo upuuzi unaoongea utaondoka humu ndani kwangu utamfuata huyo mpuuzi mwenzio huwezi kuniletea upuuzi ndani ya nyumba yangu nikakuangalia😑😑 oh kumbe basi hebu nipishe nimalizie kuoga then nitamfuata boy nikaishi naye🫰🫰 get out just live me alone πŸ˜”πŸ˜’

Kwa hiyo ameshaanza kukupatia kiburi mara hiyo tu😑😑 ndiyo kama unavyopewa na liaπŸ˜‰πŸ˜‰ hee alitaka kuniwasha kibao vile naukwepa mkono wake si nikateleza πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nilisikia tu mine nikadakwa tukaenda wote chini alf yeye ndo aliyetangulia Chini mimi nikamdondokea kwa juu😝😝 sangapi lisianze kunipapasa πŸ™ˆπŸ™ˆ pendo please Acha huo upuuzi uliouanzisha unajua ni kiasi gani vile ninavyokupenda wewe tafadhari maa usije kuigawa tamu yangu nakupenda etπŸ’‹πŸ’‹ paschal alianza kunipa mate niliuziba mdomo wangu niliamka pale chini nikasimama nilimwambia kuanzia Leo huo sio udhaifu wangu na hauwezi kuwa udhaifu wangu tena naomba uamke unipishe nioge...... kama umebanwa sana usiache kumpigia lia siyo mimi...... nazani kuanzia Leo ni vyema ukawa na mipaka na mwili wangu nilikuwaga nakubali unanipakua vile unavyojisikia muda na wakati wowote kwa sababu nilijua kwako niko Peke yangu sikuwahi kujua kama ninashare😭😭 boo I hate you........

Pendo please maa tunaweza kuongea juu ya hilo tambua wewe ni mwanamke wangu ukininyima nitapewa na nani sasa?! Usinifanyie hivyo mamangu nakuomba nakupenda mke wangu tafadhari nielewe et alinisogelea akanikumbatia kwa kunilazimisha ...... nilimsukuma boo akateleza pale kwenye zile tiles za bathroom akadondoka chin alipigiza kichwa damu zikaanza kumtoka mdomon na puani ......boooπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilimuita huku nikiwa nabubujikwa na machozi pale chini alikolala palitapakaa damu nyingi na bado ziliendelea kutoka niliogopa sana nilikimbilia chumbani nikachukua dera nikavaa baada ya hapo nilikimbilia nje kwenda kumuita mlinzi ili aje kunisaidia tumnyanyue boo kule bathroom ili tuweze kumpeleka hospital mlinzi alikuja akambeba paschal aliyekuwa hajitambui damu nyingi ziliendelea kumtoka nyingi sana tulimkimbiza boo hospital alipokelewa na madactari haraka wakaanza kumpatia matibabu....... booo 😭😭😭nilipaza sauti kumuita baada ya kuwa nimefungiwa nje ya chumba alichopelekwa kwa ajiri ya kufanyiwa matibabu..... niliogopa sana nisijekuwa nmeuwa nitawaambia nini ndugu zake pamoja na mtoto wake........

Sikuwa hata na simu ya kuwataarifu watu wake wa karibu kumbuka simu yangu aliidumbukiza kwenye maji nilichukua simu yake ili niweze kuitumia alikuwa kabadiri password nilichokifanya nilichukua simu ya mlinzi nikaandika namba ya Hemed nikaongea naye usiku ule nimuomba anifanyie mpango niweze kupata simu haraka iwezekanavyo nilimwelezea na kile kilichotokea aliniomba location kisha akaniambia nisiogope yeye anaenda dukani kunichukulia simu then atakuja hapo hospital kuniona.....

Nilibakia pale hospital huku nikiwa najiuliza hivi itakuwaja kama boo asipoamkaπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ niliogopa hadi kumpigia baba yake nisijemdondosha kwa pressure πŸ˜”πŸ˜” nilibakia kule hospital mwenyewe nilimtuma mlinzi aende akaitoe simu yangu kule bathroom anichomolee line aniletee mlinzi aliondoka akaniacha mimi kule hospital nikiwa nimegubikwa na wingu zito la mawazo nilimuona Hemed akiwa anaingia kule hospital nilishuka chini kwenda kumpokea alinikumbatia nilikuwa na pressure sana alinituliza akaniomba nisiogope paschal atakuwa sawa tu..... alinipatia ile simu aliyoninunulia niliweka charge kule hospital mlinzi aliniletea line nikaweka kwenye simu nilimpigia rafiki yake paschal ambaye ni Romeo nilimwelezea kilichotokea aliniambia kuwa atafika pale hospital siyo muda mrefu.....

Nikiwa pale hospital huku hofu na wasiwasi vikiwa vimenigubika nilishangaa kumuona shem Romeo akiwa ametinga pale hospital na Lia😟😟 nilishikwa na hasira nikamrukia Lia lakini shem Romeo alimkingia kifua tulianza kuleta vurugu pale hospital tulitoleana maneno machafu sana Hemed alinishikilia mkono akanitoa kule ndani akanipeleka nje alianza kunituliza alinishauri mno aliniomba nisigombane na lia kama kweli paschal anakupenda basi yeye ndo anatakiwa kumuonya huyo mwanamke kuwa mbali na yeye....... aliniambia Hemed huku akiwa ananisihi niache kupambana na kitu ambacho cjy muanzilishi ni nani....... kiukweli kama kuna mtu anayewaamini mashemeji wa nyakati hizi za mama samia πŸ₯ΉπŸ₯Ήnamshauri aamke usingizini kushakucha...... Romeo alinifuata kule nje alikuja peke yake et naye akaanza kunibembeleza huku akiwa ananidanganya kuwa nisimchukulie lia vibaya kwa sababu lia na wao ni marafiki tu nilimwangalia tu sikujibu chochote kwa sababu tyr Hemed alikwishanizuia kugombana..... nilimwangalia tu Romeo alijiongelesha pale huku akiwa a ananiita shem darling bwa yule ☺️☺️kumbe ndo kuadi wa Lia kwa paschal ☺️☺️ nimekaa pale nje kama nusu saa hivi tukarudi ndani kule hospital nafika pale kwenye viti vya wagonjwa nashangaa kumuona Lia akiwa anatokea emergency room huku akiwa amefungwa bandage kweny mkono wake nikiwa naendelea kutahamaki si ndo nikamuona Doctor akitokea kwenye kile chumba na chupa la damu Lia alimshika yule doctor huku akiwa anajiliza alimwambia doctor please fanya chochote ilimradi mme wangu paschal arudi kwenye hali yake ya kawaida..... nilitoa macho hata sikuamini kile nilichokuwa nakiona pale hospital 😳😳😳 doctor alimtuliza lia akamwambia ucjali tunajitahidi asante kwa kujitolea damu kwa ajiri ya mme wako kuwa na imani atakuwa sawa......

Nilitamani kusimama pale nimkunje lia lakini Hemed alinizuia kwa jicho tuπŸ₯ΉπŸ₯Ή niliumia lakini sikuwa na namna nilimuomba tu mungu amsimaie paschal aweze kurudi kwenye hali yake ya kawaida...... muda ulizidi kwenda ilifika saa saba za usiku madactari walituomba tuondoke pale hospital kwa kuwa kwa muda ule tusingeweza kumuona paschal bado alikuwa hajarudi kwenye hali yake ya kawaida alitangulia lia na Romeo kuondoka pale hospital nikabakia mimi na Hemed nilimfuata yule dactari nikamhoji ni kwanini aliweza kumruhusu mtu baki kumtolea damu mme wangu mtarajiwaπŸ₯ΉπŸ₯Ή doctor aliniomba radhi alidai kuwa alipoita ndugu wa mgonjwa ambaye ni paschal ni Lia pekee ndiye aliyejitokeza na alipoambiwa juu ya swala la kutoa damu alijitolea bila kusita......nilimuomba doctor asimruhusu tena mtu yoyote kumuona paschal bila ruksa yangu baada ya hapo niliondoka pale hospital Hemed alinipeleka hadi nyumbani kwangu aliniomba niache kuwaza paschal atarudi kwenye hali yake nyieeeeee nilikuwa nikikumbuka hali aliyokuwa nayo paschal nawehuka nilikuwa najiuliza itakuwaje yani kama asipoamka?! Usiku ule nikiwa naagana na Hemed pale nyumbani baba paschal alinipigia simu nilitetemekaπŸ™„πŸ™„ nilijua tayari mzee atakuwa kaishapokea taarifa kuhusiana na kile kilichotokea kwa mtoto wake.....

Itaendeleaaaaaaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 44πŸ’˜πŸ’˜


Im asking you pendo who is boy tell me now😑😑 paschal alinikwida akanibana ukutaniπŸ™„πŸ™„ aliniuliza boy ni nani na kwanini akate simu baada ya kuisikia sauti yangu?! Ni mwanaume wako?! Pendo unanichit?! Niambie nakuuliza wewe Acha kukaa kimyaπŸ₯ΉπŸ₯Ή Boo niachie buana unaniumiza et😞😞 so huwezi kusema bila kulazimishwa πŸ€·β€β™‚οΈ at kulazimishwaπŸ€·β€β™€οΈ nilazimishe kama ukiwezaπŸ˜‰πŸ˜‰ pendo nitakuumiza Acha kunijibu ujinga😟😟 hahaha ukishaniumiza mwanao anabakia na nani?! Kamuumize lia yeye bado hana anayemtegemea mimi nategemewa ukiniumiza nini kitafuatia😎😎 pendo stop this nonsenseπŸ˜’πŸ˜’ ooh nonsense right😝😝 hebu niachie nioge nenda ukaendelee na mambo yako ukitaka tuongee kuhusu boy uanze wewe kuongea kumhusu lia........

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaah-imetosha-boss-n0-44

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-n0
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 57...58πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 57...58πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 64πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 64πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 59...60πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜   N0 74...75πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 74...75πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 62πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 48πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  N0 61πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 61πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 55...56πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 55...56πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 63πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 63πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 42πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 49πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 43πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.14K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.09K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

315
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

231
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

207
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

177
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

54
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

25
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

9
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

3

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest