AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 44ππ
Im asking you pendo who is boy tell me nowπ‘π‘ paschal alinikwida akanibana ukutaniππ aliniuliza boy ni nani na kwanini akate simu baada ya kuisikia sauti yangu?! Ni mwanaume wako?! Pendo unanichit?! Niambie nakuuliza wewe Acha kukaa kimyaπ₯Ήπ₯Ή Boo niachie buana unaniumiza etππ so huwezi kusema bila kulazimishwa π€·ββοΈ at kulazimishwaπ€·ββοΈ nilazimishe kama ukiwezaππ pendo nitakuumiza Acha kunijibu ujingaππ hahaha ukishaniumiza mwanao anabakia na nani?! Kamuumize lia yeye bado hana anayemtegemea mimi nategemewa ukiniumiza nini kitafuatiaππ pendo stop this nonsenseππ ooh nonsense rightππ hebu niachie nioge nenda ukaendelee na mambo yako ukitaka tuongee kuhusu boy uanze wewe kuongea kumhusu lia..... pendo ni kwanini huachi kunitajia hilo jina kila mda lia lia lia my footπ‘π‘ hata akiwa kinyeo chako haijalishi I don't care about you and her just be freeπ«°π«° niache na mimi nifanye kile kinachonipa mimi furaha..... kama ulivyoamua kutafuta furaha nje namimi naifuata hukohukoππ pendo nimekwabia Acha huo upuuzi unaoongea utaondoka humu ndani kwangu utamfuata huyo mpuuzi mwenzio huwezi kuniletea upuuzi ndani ya nyumba yangu nikakuangaliaπ‘π‘ oh kumbe basi hebu nipishe nimalizie kuoga then nitamfuata boy nikaishi nayeπ«°π«° get out just live me alone ππ
Kwa hiyo ameshaanza kukupatia kiburi mara hiyo tuπ‘π‘ ndiyo kama unavyopewa na liaππ hee alitaka kuniwasha kibao vile naukwepa mkono wake si nikateleza πππ nilisikia tu mine nikadakwa tukaenda wote chini alf yeye ndo aliyetangulia Chini mimi nikamdondokea kwa juuππ sangapi lisianze kunipapasa ππ pendo please Acha huo upuuzi uliouanzisha unajua ni kiasi gani vile ninavyokupenda wewe tafadhari maa usije kuigawa tamu yangu nakupenda etππ paschal alianza kunipa mate niliuziba mdomo wangu niliamka pale chini nikasimama nilimwambia kuanzia Leo huo sio udhaifu wangu na hauwezi kuwa udhaifu wangu tena naomba uamke unipishe nioge...... kama umebanwa sana usiache kumpigia lia siyo mimi...... nazani kuanzia Leo ni vyema ukawa na mipaka na mwili wangu nilikuwaga nakubali unanipakua vile unavyojisikia muda na wakati wowote kwa sababu nilijua kwako niko Peke yangu sikuwahi kujua kama ninashareππ boo I hate you........
Pendo please maa tunaweza kuongea juu ya hilo tambua wewe ni mwanamke wangu ukininyima nitapewa na nani sasa?! Usinifanyie hivyo mamangu nakuomba nakupenda mke wangu tafadhari nielewe et alinisogelea akanikumbatia kwa kunilazimisha ...... nilimsukuma boo akateleza pale kwenye zile tiles za bathroom akadondoka chin alipigiza kichwa damu zikaanza kumtoka mdomon na puani ......boooπ₯Ήπ₯Ή nilimuita huku nikiwa nabubujikwa na machozi pale chini alikolala palitapakaa damu nyingi na bado ziliendelea kutoka niliogopa sana nilikimbilia chumbani nikachukua dera nikavaa baada ya hapo nilikimbilia nje kwenda kumuita mlinzi ili aje kunisaidia tumnyanyue boo kule bathroom ili tuweze kumpeleka hospital mlinzi alikuja akambeba paschal aliyekuwa hajitambui damu nyingi ziliendelea kumtoka nyingi sana tulimkimbiza boo hospital alipokelewa na madactari haraka wakaanza kumpatia matibabu....... booo πππnilipaza sauti kumuita baada ya kuwa nimefungiwa nje ya chumba alichopelekwa kwa ajiri ya kufanyiwa matibabu..... niliogopa sana nisijekuwa nmeuwa nitawaambia nini ndugu zake pamoja na mtoto wake........
Sikuwa hata na simu ya kuwataarifu watu wake wa karibu kumbuka simu yangu aliidumbukiza kwenye maji nilichukua simu yake ili niweze kuitumia alikuwa kabadiri password nilichokifanya nilichukua simu ya mlinzi nikaandika namba ya Hemed nikaongea naye usiku ule nimuomba anifanyie mpango niweze kupata simu haraka iwezekanavyo nilimwelezea na kile kilichotokea aliniomba location kisha akaniambia nisiogope yeye anaenda dukani kunichukulia simu then atakuja hapo hospital kuniona.....
Nilibakia pale hospital huku nikiwa najiuliza hivi itakuwaja kama boo asipoamkaπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ niliogopa hadi kumpigia baba yake nisijemdondosha kwa pressure ππ nilibakia kule hospital mwenyewe nilimtuma mlinzi aende akaitoe simu yangu kule bathroom anichomolee line aniletee mlinzi aliondoka akaniacha mimi kule hospital nikiwa nimegubikwa na wingu zito la mawazo nilimuona Hemed akiwa anaingia kule hospital nilishuka chini kwenda kumpokea alinikumbatia nilikuwa na pressure sana alinituliza akaniomba nisiogope paschal atakuwa sawa tu..... alinipatia ile simu aliyoninunulia niliweka charge kule hospital mlinzi aliniletea line nikaweka kwenye simu nilimpigia rafiki yake paschal ambaye ni Romeo nilimwelezea kilichotokea aliniambia kuwa atafika pale hospital siyo muda mrefu.....
Nikiwa pale hospital huku hofu na wasiwasi vikiwa vimenigubika nilishangaa kumuona shem Romeo akiwa ametinga pale hospital na Liaππ nilishikwa na hasira nikamrukia Lia lakini shem Romeo alimkingia kifua tulianza kuleta vurugu pale hospital tulitoleana maneno machafu sana Hemed alinishikilia mkono akanitoa kule ndani akanipeleka nje alianza kunituliza alinishauri mno aliniomba nisigombane na lia kama kweli paschal anakupenda basi yeye ndo anatakiwa kumuonya huyo mwanamke kuwa mbali na yeye....... aliniambia Hemed huku akiwa ananisihi niache kupambana na kitu ambacho cjy muanzilishi ni nani....... kiukweli kama kuna mtu anayewaamini mashemeji wa nyakati hizi za mama samia π₯Ήπ₯Ήnamshauri aamke usingizini kushakucha...... Romeo alinifuata kule nje alikuja peke yake et naye akaanza kunibembeleza huku akiwa ananidanganya kuwa nisimchukulie lia vibaya kwa sababu lia na wao ni marafiki tu nilimwangalia tu sikujibu chochote kwa sababu tyr Hemed alikwishanizuia kugombana..... nilimwangalia tu Romeo alijiongelesha pale huku akiwa a ananiita shem darling bwa yule βΊοΈβΊοΈkumbe ndo kuadi wa Lia kwa paschal βΊοΈβΊοΈ nimekaa pale nje kama nusu saa hivi tukarudi ndani kule hospital nafika pale kwenye viti vya wagonjwa nashangaa kumuona Lia akiwa anatokea emergency room huku akiwa amefungwa bandage kweny mkono wake nikiwa naendelea kutahamaki si ndo nikamuona Doctor akitokea kwenye kile chumba na chupa la damu Lia alimshika yule doctor huku akiwa anajiliza alimwambia doctor please fanya chochote ilimradi mme wangu paschal arudi kwenye hali yake ya kawaida..... nilitoa macho hata sikuamini kile nilichokuwa nakiona pale hospital π³π³π³ doctor alimtuliza lia akamwambia ucjali tunajitahidi asante kwa kujitolea damu kwa ajiri ya mme wako kuwa na imani atakuwa sawa......
Nilitamani kusimama pale nimkunje lia lakini Hemed alinizuia kwa jicho tuπ₯Ήπ₯Ή niliumia lakini sikuwa na namna nilimuomba tu mungu amsimaie paschal aweze kurudi kwenye hali yake ya kawaida...... muda ulizidi kwenda ilifika saa saba za usiku madactari walituomba tuondoke pale hospital kwa kuwa kwa muda ule tusingeweza kumuona paschal bado alikuwa hajarudi kwenye hali yake ya kawaida alitangulia lia na Romeo kuondoka pale hospital nikabakia mimi na Hemed nilimfuata yule dactari nikamhoji ni kwanini aliweza kumruhusu mtu baki kumtolea damu mme wangu mtarajiwaπ₯Ήπ₯Ή doctor aliniomba radhi alidai kuwa alipoita ndugu wa mgonjwa ambaye ni paschal ni Lia pekee ndiye aliyejitokeza na alipoambiwa juu ya swala la kutoa damu alijitolea bila kusita......nilimuomba doctor asimruhusu tena mtu yoyote kumuona paschal bila ruksa yangu baada ya hapo niliondoka pale hospital Hemed alinipeleka hadi nyumbani kwangu aliniomba niache kuwaza paschal atarudi kwenye hali yake nyieeeeee nilikuwa nikikumbuka hali aliyokuwa nayo paschal nawehuka nilikuwa najiuliza itakuwaje yani kama asipoamka?! Usiku ule nikiwa naagana na Hemed pale nyumbani baba paschal alinipigia simu nilitetemekaππ nilijua tayari mzee atakuwa kaishapokea taarifa kuhusiana na kile kilichotokea kwa mtoto wake.....
Itaendeleaaaaaaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi